MAGONJWA YA MAHARAGE NA TIBA ZAKE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024
  • Magonjwa Katika zao la maharage ni changamoto kwa wakulima. Katika kilimo cha maharange Ili upate mavuno mengi ya kupasa kudhibiti magonjwa. Ukungu, unjano na wadudu mbalimbali uwa athari kubwa sana.
    #kikimochatangawizi#tangawizi#kilimo
    ✍️Jifunze zaidi kuhusu kilimo cha maharage. Jinsi ya kupanda,mbolea na mavuno ya zao hili. Bonyeza apa
    • Kilimo cha maharage

КОМЕНТАРІ • 54

  • @AndrewGasper-or4sd
    @AndrewGasper-or4sd 5 місяців тому +1

    Msaada naomba kujuwa ni wadudu gn Wanao shambulia Jani la harage kwa kukata na kutoboa kama ulivyo onyesha kwenye video hpo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Jina La mdudu au

  • @NelsonLunyungu
    @NelsonLunyungu 5 місяців тому +1

    sijaelewa vizur kwenye myauko ni dawa gan nitumie

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  5 місяців тому

      Apo HADI dukani ndugu WATAKUPA dawa waliyonayo

  • @davidletee
    @davidletee 4 місяці тому +1

    Nidawa ipi au Gani hutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  4 місяці тому

      Tembelea duka LA kilimo utapata dawa, waliyo nayo ndugu

  • @asaakaim
    @asaakaim Рік тому +1

    Mm nahitaji mbegu mzuri ya maharage

  • @martineopapa7383
    @martineopapa7383 Рік тому +1

    Bro kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayoifanya.mimi ni mkulima wa maharage ya kumwagilia,changamoto ni kuwa nikimwagilia maharage huwa yanaanza kunyauka huku yakionyesha dalili ya kuoza mizizi na shina kwa chini yaani karibu na mizizi,namba msaada wako

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Tupo pamoja ndugu.shida ipo kwenye shamba lilikua Lina wadudu.apo ni dawa upige

  • @user-il6ni4ug1b
    @user-il6ni4ug1b 9 місяців тому +1

    Kwakweli mnamafunzo ambayo yanatusaidia sana sisi wakulima. Ninaomba ushauri, mazingira niliyopo hakuna mbegu za maharage zilizothibitishwa.
    Nilikuwa ninaomba ushauri KATI YA MBEGU KUUKUU NA MPYA ZIPI NI BORA KWA KUPANDIA?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Barikiwa Sana ndugu nahisi tumeshawasiliana

  • @oriethkimaro333
    @oriethkimaro333 Рік тому +1

    Naomba Dawa hiyo jiana lake la dawa

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Dawa ya UGONJWA Gani apo maana magonjwa ni MENGI tumetaja

    • @oriethkimaro333
      @oriethkimaro333 Рік тому +1

      Majani kutobolewa pamoja na maharage yanatobolewa yanapo Anza kutoa matunda nipigie Dawa gani?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Zipo NYINGI SANA ndugu Cha KUFANYA tembelea duka la pembe jeo watakupa waliyo na yo ndugu

  • @asaakaim
    @asaakaim Рік тому +1

    Udongo wa tope na mfinyazi maharage yanakubali?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Yes ni mzuri pia ila kumbuka kuweka mbolea

    • @asaakaim
      @asaakaim Рік тому +1

      Mbolea ya kupndia au ya kukuzia?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Aina zote za mbolea

  • @festokivuyo7121
    @festokivuyo7121 9 місяців тому +1

    Shida kuongea sana

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️

  • @myoungbrother2872
    @myoungbrother2872 8 місяців тому +1

    Nitumie dawa gani kupalilia maharage

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  8 місяців тому

      Zipo nyingi Sana ndugu apo tembelea duka LA Pembe jeo WATAKUPA waliyonayo

  • @JosephKadeha-gm5ut
    @JosephKadeha-gm5ut Рік тому +1

    Eka ya maharage hutoa gunia ngapi

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Zaidi ya gunia 10 utegemea na matunzo yako na ubora w shamba na Hali ya hewa pia

    • @JosephKadeha-gm5ut
      @JosephKadeha-gm5ut Рік тому +1

      @@AGALUSTV vp kuhusu dawa nidawa gani ni ya mala kw mala

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Dawa za ukungu, na wadudu kama Kuna barid

  • @asaakaim
    @asaakaim Рік тому

    Maharage yangu mvua nyingi sana majani yanapiga njano

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Piga mbolea ya maji

    • @asaakaim
      @asaakaim Рік тому

      Nishapiga marambili buster

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  Рік тому

      Ishu ipo kwenye udongo mbolea imepotea na Mvua. Ni zao gani kwanza

    • @asaakaim
      @asaakaim Рік тому

      Udongo wa mfinyazi

    • @asaakaim
      @asaakaim Рік тому

      Maharage

  • @cosmaslisu837
    @cosmaslisu837 2 роки тому +1

    Vp kilimo Cha nyanya

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Unahitaji Kujua nini kwenye kilimo cha Nyanya masomo yapo kwenye Channel hii mengi tu mfano magonjwa ya nyanya n. K video ni Zipo apa
      ua-cam.com/play/PL8xez8Eh4s0H7UnL1W2MsOqohuc0owITS.html

    • @cosmaslisu837
      @cosmaslisu837 2 роки тому +1

      @@AGALUSTV sumu za kuua wadudu wanaoshambulia nyanya Kama vile vipepeo

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      OK Zipo nyingi ndugu. Pia Kuna vipila au Raba pia Zipo Kaz ya hivi viraba vinakusanya vipepeo vya karibu na kuviua. Ushauri ndugu Chek Duka la pembe jeo lililokaribu ndugu🙏🏿🙏🏿

    • @cosmaslisu837
      @cosmaslisu837 2 роки тому +1

      Vp kuhusu mbegu zinazofanya vizuri za nyanya au tuseme Aina gan za mbegu zinazofanya vizuri?

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  2 роки тому

      Mbegu hutegemea na msimu,yaani mvua nyingi au kiangaz, pia eneo lako unalotaka kulima, ni vizur ukajua ivyo kwanza ndugu

  • @Binanceforextradertanzania
    @Binanceforextradertanzania 10 місяців тому +1

    Tutumieni namba za Whatsapp

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  10 місяців тому

      Sawa ndugu 🙏🏿 ✍️ 🤝

    • @Binanceforextradertanzania
      @Binanceforextradertanzania 9 місяців тому +1

      @@AGALUSTV umetuacha tu

    • @AGALUSTV
      @AGALUSTV  9 місяців тому

      Wapi ndugu. Yaani shida ipo wapi ndugu 🙏🏿

    • @davidletee
      @davidletee 4 місяці тому

      Nitumie dawa Gani kutibu na kuthibiti wadudu wanao tobowa majani ya maharage namba mniambie jina ladawa