HAJUI KUPIKA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 28 гру 2022
  • Wadada mnajua kukimbilia ndoa lkn kujua kupika ndio shida..😂😂
    Mjiandae kupoteza ndoa kila siku
  • Комедії

КОМЕНТАРІ • 706

  • @nitunda
    @nitunda Рік тому +35

    Duh;Wapo wengi sana hao kwenye maisha yetu na ukichunguza vizuri historia zao nyuma ni uvivu kila kitu mpaka wafanyiwe🇨🇩🇹🇿🇰🇪🇧🇮🔥

  • @tiffanyakramJr822
    @tiffanyakramJr822 Рік тому +33

    Nawaza tu ile tuzo yetu ilifata nini kuleee kwa Mr mwanya 🤣🤣🤣😂😂 huyu mwamba ni komedy wa miaka yote kwangu

  • @gerysongratian
    @gerysongratian Рік тому +54

    Leo ndo nmeona walaka wa Aman uliowafanya wayahd washindwe kula na kunywa wakati ule😂😂

  • @malakimoses6115
    @malakimoses6115 Рік тому +17

    😂😂😂😂 nimecheka Sana mpaka mbavu zinauma aise joti next level kwenye comedy

  • @ericajoseph5481
    @ericajoseph5481 6 днів тому +1

    Nimeingia kwenye ndoa sababu ya mapenzi tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @veronicapascal1485
    @veronicapascal1485 Рік тому +11

    Joti unajua sana na hawa unaoekti nao wapewe tuzo pia maana wanajua kuvaa huusika hadi Raha👏

  • @aishabakari7362
    @aishabakari7362 Рік тому +5

    Masikini huyu kaka anajitaidi kweli Joti ww ndio best comedy

  • @anithamwambola9292
    @anithamwambola9292 Рік тому +19

    Suzy nimempenda yuko serious na kufundisha

  • @witnessobadia3076
    @witnessobadia3076 Рік тому +13

    Duh;Wapo wengi sana hao kwenye maisha yetu na ukichunguza vizuri historia zao nyuma ni uvivu kila kitu mpaka wafanyiwe

    • @lucykapinga369
      @lucykapinga369 Рік тому

      Haswaa0

    • @csato9415
      @csato9415 Рік тому

      Watu wa aina hiyo wazazi wanahusika sana.

    • @witnessobadia3076
      @witnessobadia3076 Рік тому

      @@csato9415 Kulea watoto kimayai kila mpaka wafanyiwe na Dada wa kazi hayo ndo madhara yake;Joti anafikisha ujumbe japokuwa wasioelewa wataishia kuburudika tu

  • @thengejunior8180
    @thengejunior8180 Рік тому +56

    Kiboga hii ni story ya kweli kuna mtu uku kwetu kenya 🇰🇪 mambo yake ni kama haya 🤣🤣🤣
    Gonga like tukienda

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Рік тому +1

      😂😂😂😂
      ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html

    • @onesmolwambano9349
      @onesmolwambano9349 Рік тому +1

      Wakenya hawajuagi kupika kila nikija napata shida ya chakula sana

    • @olicej7837
      @olicej7837 Рік тому

      @@onesmolwambano9349 z😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @zenaycechanzinho6702
      @zenaycechanzinho6702 Рік тому

      Sio kenya tuu ni all over the world

    • @user-kj9bo9jv1g
      @user-kj9bo9jv1g 17 днів тому

      Makanya yote kpika hayajui

  • @michaelrambo6207
    @michaelrambo6207 Рік тому +16

    Fridge tena wakat mwanzon umesema umeme akuna😂😂😂

  • @Sokomoko13
    @Sokomoko13 Рік тому +6

    ila joti bwana eti ni mjomba au kenge 🙌🏾😃

  • @rashidimrang3463
    @rashidimrang3463 Рік тому +197

    Leo nimekuwa wa kwanz jaman naombeni laiki zenu tunao mkubali joti 😂😂na nawatkieni ijumaa lmubaraka kwa wote🙏🙏

  • @chrismuganwa8634
    @chrismuganwa8634 Рік тому +17

    Thank you so much Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮

  • @episonfelician7670
    @episonfelician7670 Рік тому +9

    Jot we ni comedian namba moja hakuna mpigamizi 📌🔨

  • @rebecatangson3621
    @rebecatangson3621 Рік тому +6

    mama mkwe kapikiwa waraka wa amani ulio wafanya wayahudi washindww kula n kunywa wakati ulee😄😄😄😄😄

  • @lilianalmas5911
    @lilianalmas5911 Рік тому +14

    🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kombe la Dunia nimetolewaa. Ndoa imejipa Jotiii kibokoo🙌🏼🙌🏼😂😂😂

  • @Zaitoon72
    @Zaitoon72 Місяць тому +1

    Joti kiboko ila suzy nimempenda bure 😂😂😂 Huyu jamaa anajua ila reality yapo makwetu watu wanatak ndoa kupika hawajui aibu tupu😅

  • @lainacemmmwasote1862
    @lainacemmmwasote1862 Рік тому +2

    Nilikua bado cjacheka vizuri tangu mwanzo,lkn baada ya kuona jopo la wageni getini afu nikimuwaza mpishi kiboga haahahahaaaa,nimebaki hoiii kwa cheki,uwiii hahahaaaa.

  • @paulshibhiti9584
    @paulshibhiti9584 Рік тому +7

    Jot aseee mbna mi nachelewa every time kulike jomon niungen mkono

  • @neemamzande8547
    @neemamzande8547 Рік тому +1

    Sawa huo mda wote unaomuelekeza si alikua ashapika tayari 😂😂😂😂😂😂jotiiiiii mambo vp

  • @ladayidermonelenge1291
    @ladayidermonelenge1291 Рік тому +7

    Omg 😂😂😂😂😂 that would have been me 2 years ago but baby baby baby, now try my food u can not combeya combeya 😂😂

  • @LughanoSaid
    @LughanoSaid Місяць тому +1

    Eti nilikuwa nimejipanga Kila idara😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @ericajoseph5481
    @ericajoseph5481 6 днів тому +1

    Kiboga nimfano wa kuigwa kwa uvivu🤣🤣🤣🤣

  • @alfredjohn5693
    @alfredjohn5693 Рік тому +9

    Et ushajua hisia zangu zilipo ntashindwa kuongea 😂😂😂

  • @ericajoseph5481
    @ericajoseph5481 6 днів тому

    Nimependa sury anavyoelekeza😂😂😂😂😂 ilezawadi imetimia😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @paulalove1223
    @paulalove1223 Рік тому +4

    Ila joti🤣🤣🤣ahadi ya bibi 🤣🙌kombe la Dunia nimetolewa

  • @tumainimsuya_3301
    @tumainimsuya_3301 Рік тому +8

    🤣🤣🤣 yaani Joti hushikiki funzo la hali ya juu

  • @makwayasamweli8338
    @makwayasamweli8338 Рік тому +39

    The best comedian in TZ

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Рік тому

      😂😂😂😂
      ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html

  • @tonyboss6556
    @tonyboss6556 Рік тому +2

    SawA ila nafasi za SOPA, mama DAME na KIPANDE mdahalo mezani!!
    KANYINYI mtu na nusu, MLEWA hakui.

  • @stevewanga957
    @stevewanga957 Рік тому +1

    mbwa mzee hafundishiki....much love from🇶🇦🇶🇦 😂😂

  • @hamadiabdallah3906
    @hamadiabdallah3906 Рік тому +1

    Unajua wote wanaoingia ktk
    Ndoa Wana Akili
    😂😆😆😅😃😄😃😅🤣😂

  • @habbyhalawa5266
    @habbyhalawa5266 Рік тому +13

    Nimependa jot alivyopiga magoti 😍

  • @ibrahimsaidy130
    @ibrahimsaidy130 Рік тому +22

    🙌 Best comedian ever

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Рік тому

      😂😂😂😂😂
      ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html

  • @rizikifalidy8495
    @rizikifalidy8495 Рік тому +1

    Nyie katika watu wa comedy joti namba One Nampenda ❤️❤️

  • @SalmaMohamed-ck3og
    @SalmaMohamed-ck3og Рік тому +5

    Toka saa kumi na mbili nairudia hadi saiii..Jotiii🙌🙌🙌🙌🙌

  • @martamustini6946
    @martamustini6946 Рік тому +5

    Moyo wangu unasema naaga mashindano hiii part imenimaliza😂😂😂😂😂😂😂

  • @farhatfarrid
    @farhatfarrid Рік тому +2

    i just love the whole team of Joti TV🥰🙌♥️… mnajua keep it up 👍 😊

  • @shabanmohammed8235
    @shabanmohammed8235 Рік тому +1

    Huyu ni mjomba au ni kengeee😂😂😂😂😂

  • @emeldaraymond2085
    @emeldaraymond2085 Рік тому +11

    Nimecheka sana 😂😂😂

  • @aronpaul2331
    @aronpaul2331 Рік тому +3

    Nimecheka sanaaaa jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @josephaugustino646
    @josephaugustino646 Рік тому +3

    Uso wangu unaongea ila moyo wangu unaaga madhindano 😄 🤣 😂 😆

  • @shikaocharles3613
    @shikaocharles3613 Рік тому +4

    Wengine Tunajua Kupika Na Ndoa Hatuzioni😭😹

  • @abbyadams8691
    @abbyadams8691 Рік тому +6

    Nimeona aibu mimi badala ya kumuonea aibu kiboga.🙈🙈🙈🙈😄

  • @justinegilayo224
    @justinegilayo224 Рік тому +89

    Kama umeilewa hii gonga Like twende sawa

  • @rennicknyamu3713
    @rennicknyamu3713 Рік тому +1

    😂😂😂😂😂😂I regret watching this in public while on Bluetooth.People thought I was mad.😂😂😂😂😂😂

  • @agnesbasistian9248
    @agnesbasistian9248 Рік тому +22

    Kiboga wewe jamani 🤣🤣🤣 saruti kwako sana.Hili ni funzo kubwa kwa kina Mama siye tujitahidi kuwafundisha watoto wetu kupika leo kimekuwa kichekesho lakini ni maisha halisi haya 🙏🧎😘

  • @saidharith5643
    @saidharith5643 Рік тому +3

    nimechelewa kidogo ila nimeikubali hii nipeni na mimi likes zangu kutokea kenya

  • @shabani_Osee_Ngena
    @shabani_Osee_Ngena Рік тому +4

    Uyu jamaa anajua mpaka anajua tena✌️👍😂😂

  • @veronicakalondji2375
    @veronicakalondji2375 Рік тому +22

    Joti never disappoint 😂😂😂

  • @VeronicaJoseph-pc1ii
    @VeronicaJoseph-pc1ii Місяць тому +1

    Ila huyu kaka😂😂😂

  • @nolimittvonline6822
    @nolimittvonline6822 Рік тому +6

    Wengine tunaingia kwenye ndoa atuna ata akili 🤣🤣🤣🤣

  • @azarajsalum2117
    @azarajsalum2117 Рік тому +2

    😂😂😂😂😂😂 kiboga nmecheka wadada tujifunze sio tunajua kueka mikucha tu

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 Рік тому +1

    Ukichambua ndani yake kuna ujumbe mzito pamoja na kuwa ni kichekesho.kuna somo kubwa Sana hapo

  • @user-uj8ge7zk4p
    @user-uj8ge7zk4p 19 днів тому

    Malezi ya wtt kuwalea matakon mpk wanaolewa awajui kupika 😂😂😂😂😂kisa wasomi walikuwa bzee na shule hawa ndio moja ya hasara kama hz za kiboga

  • @KaziloLulabhi
    @KaziloLulabhi 23 дні тому +1

    Wizo alivyo itwa ss 🤣🤣🤣

  • @justinegilayo224
    @justinegilayo224 Рік тому +14

    🙌🙌best comedian Tanzania..mkuu subir tuzo zako tu🙏

  • @edwinosoro8078
    @edwinosoro8078 2 місяці тому

    Mungu pea huyu comedian maisha marefu

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Рік тому +3

    Mwaka una ijumaa 52 na Kila ijumaa Joti anaupdate.kama unamfuatilia tokea mwaka uanze na Leo ijumaa ya mwisho ya 2022.Nipitie

  • @steve_tz
    @steve_tz Рік тому +1

    Ndani Kuna joto tukae nje umeme umekatika mala juice iweke kwenye friji bongo 🤣 shikamoo

    • @sanciroandrea8826
      @sanciroandrea8826 Рік тому +1

      Yawezekana friji lilikuwa na ubaridi kitambo 😂😂😂😂😂😂

  • @thieryniyonkuru5023
    @thieryniyonkuru5023 Рік тому +2

    Ndoa imejipa hiyo😂😂😂😂😂😂
    Kiboga mshenzi kweli
    Ati majibu kwenye chakula

  • @pukboy2066
    @pukboy2066 Рік тому +2

    Kanyinyi nimuongo katokakuwaambia wageni waishie nje ndani joto umeme hamna alafu baadae Tena anamwambia kiboga aweke juice kwenye frege ili ipate baridi😁

  • @jacklinerenson1708
    @jacklinerenson1708 Рік тому +6

    Its a beautiful friday🤣🤣🤣ndoa imejipa

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Рік тому

      😂😂😂😂
      ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html

  • @ndukulusudikucho_
    @ndukulusudikucho_ Рік тому +2

    nawapata kutokea Rorya, Ror Bin Kamageta hahahhahaha

  • @ptstore7918
    @ptstore7918 Рік тому +1

    Huyu mjomba au kengeee😂😂😂

  • @simonandrew1489
    @simonandrew1489 Рік тому +5

    The Best Comedian

  • @cedricmaina4523
    @cedricmaina4523 Рік тому

    Tangu lini mbwa mzee akakubali mafunzo 🤣🤣🤣🤣

  • @ericajoseph5481
    @ericajoseph5481 6 днів тому

    Nampenda sana jot💞💞💞💞💞💞💞💞

  • @neemanyimbi2355
    @neemanyimbi2355 Рік тому +1

    Sijui kwann tunaojua kupika hatuolewi

  • @nadirabdullahal_hinai2016
    @nadirabdullahal_hinai2016 Рік тому +6

    Saws joti nakupa Salam zangu from Oman 🇴🇲🇹🇿

  • @dogomkalimani
    @dogomkalimani Рік тому +6

    Big love from 🇰🇪🇰🇪🔥

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Рік тому

    yaani joti umefanya kma ulivyoelekezwa 😄🤣😂😆😄hata bila kuvipika umechanganya na kuvifunika nima sana 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣

  • @daud405
    @daud405 Рік тому +7

    watching from Singapore , much love Joti. kazi nzur san

    • @burundibujumbura2078
      @burundibujumbura2078 Рік тому

      Aca shobo wey, singapore ya Iringa?

    • @daud405
      @daud405 Рік тому

      @ Burundi, akili yako ipo saw kweli. unaona mimi ni wa Iringa. Nipo Singapore wewe.unanijua???

    • @selinaemanuel1877
      @selinaemanuel1877 Рік тому

      Tanzania huludii au🤣🤣🤣

    • @daud405
      @daud405 Рік тому

      @ Celina, nipo kikazi. Tz ndo home nitakosaje kuludi?

  • @dominicknondo7681
    @dominicknondo7681 Рік тому

    Yani huyu bro ananifariji sana nikimiss mzee majuto 😁😁😁 eti mzaa chema🥰😁😁😁

  • @alexkissinga.5883
    @alexkissinga.5883 Рік тому +1

    ASA JUICE IWEKEE KWENYE FRIJIII IWE YA BARIDI NA UMESEMA UMEME HAMNAA WATU WASIIINGIE NDANIIII???😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅BONGO BANA

    • @vocalizertz6868
      @vocalizertz6868 Рік тому

      Majanga,😂😂😂😂😂 tena nyumba ni nzuri kuna hadi AC lakini wanapikia mkaa

    • @alexkissinga.5883
      @alexkissinga.5883 Рік тому

      @@vocalizertz6868 WABONGO WE HAVE A LONG WAY TO GO😂😂😂🙌🏾

  • @sarahmumanyi3502
    @sarahmumanyi3502 2 місяці тому

    Kiboga mke wanguu abeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @michaelkauki4607
    @michaelkauki4607 Рік тому +1

    kanyinyi mwanzo kasema hakuna umeme badae kasema uweke juis kwny fliji ametupiga na kitu kizito

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 Рік тому +4

    yaaan uyo mim kabsaaaaa cjui kupika 😂😂😂ila apo joti katudanganyaa ssa juice ya barid si umeme haupo 😂😂😂

  • @dayanaelvinamos9474
    @dayanaelvinamos9474 Рік тому

    Huyu ni mjomba au kenge😁😁🙈🙈🙈

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 Рік тому +3

    Huyo mziwanda nimekubali sana😂

  • @azizally5283
    @azizally5283 Рік тому +4

    Jombaa wee ni nomaa🇹🇿😂😂😂🤣🤣

  • @Jkone891
    @Jkone891 Рік тому +16

    Mbwa mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂 wa kwanza kwenye sight 😂😂😂 leo naomba subscribers wana asante......

  • @ummyirembe6145
    @ummyirembe6145 Рік тому

    Nyie huyu mkaka kanyinyi namuelewa sana akicheza na kiboga anajua SANAA KUIGIZA NIMECHEKA😂😂 Eti kiboga ukishajua hisia zangu zilipo kazi nzuri joti

  • @azibossladykenny2455
    @azibossladykenny2455 Рік тому

    Ivi kweli kwenye iyi dunia kuna wadada wasio jua kupika kam kiboga kweli🤦‍♀️🤦‍♀️🥺🥺🤣🤣🤣🤣

  • @japhetlust5050
    @japhetlust5050 Рік тому +5

    Moja+ kucheka ila uyu jot🙌

  • @ahmadsaid4878
    @ahmadsaid4878 Рік тому

    Toka lin mbwa mzee akaelewa somo😀😀😀😀😀joti bhna ....alafu hyo shep jot dah ziwq kubwaaa kiuno kma. mbu dah😀😀😀

  • @marcansayo7110
    @marcansayo7110 25 днів тому +2

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂jotiiìiiiiiii

  • @ashnaom2270
    @ashnaom2270 Рік тому

    Ivi kwel umri huo ajui pika yupo, mana mwanaume anapenda ale ashibe, asipo shiba shoo amna yauhakika

  • @deborambutu9547
    @deborambutu9547 Рік тому +3

    "Huyu mjomba anacheza au kenge"

  • @khadijashabaninimba7890
    @khadijashabaninimba7890 Рік тому

    Tangu lini mbwa mzee hakakubali mafunzo 😂😂😂😂😂🤣🤣joti

  • @jaffarymwaduga5983
    @jaffarymwaduga5983 Рік тому +1

    Daaah nimecheka vibaya sana yani joti Hapana 😂😂😂

  • @ruthkasumba7739
    @ruthkasumba7739 Рік тому +3

    Nime angalia mala mbili kwa kwel🤣🙌

  • @jacksondominick2726
    @jacksondominick2726 Рік тому +1

    Kasema waishie nje ndan kunajoto umeme hakuna kamwambia jot akaweke juic kwenye frij wakat umeme hakuna

  • @user-xi1pi4zr3b
    @user-xi1pi4zr3b Рік тому +49

    🤣🤣🤣 Joti never disappoint 😂

    • @nasramsomalizulkhan4741
      @nasramsomalizulkhan4741 Рік тому +2

      Bonyeza 👇
      ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html

    • @Kizanda_84
      @Kizanda_84 Рік тому

      😂😂😂😂
      ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale Рік тому

    Manina zako tena. Hahahaha sasa hilo SHANGAZI kaja umeliandaa kabisa kabla hujaachwa umeacha! MAE!

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 Рік тому +5

    Leo umenikosha🤣🤣🤣🤣🤣👏👏

  • @malongosalim6826
    @malongosalim6826 Рік тому

    🤣🤣🤣🤣🤣kiboga jmn kuangalia mwenzio miguu ya kuku mibichi ndio nn 🤣🤣🤣🤣

  • @victoriakyando4307
    @victoriakyando4307 Рік тому +35

    Wa kwanza leo mnipe like zangu😊

  • @maquemkondela
    @maquemkondela Рік тому +5

    😁😁😁king of comedy

  • @mansourally91
    @mansourally91 Рік тому +9

    😂🤣😂😂🤣 JOTI U MADE MY DAY 🙌🙌🙌