@@csato9415 Kulea watoto kimayai kila mpaka wafanyiwe na Dada wa kazi hayo ndo madhara yake;Joti anafikisha ujumbe japokuwa wasioelewa wataishia kuburudika tu
Nilikua bado cjacheka vizuri tangu mwanzo,lkn baada ya kuona jopo la wageni getini afu nikimuwaza mpishi kiboga haahahahaaaa,nimebaki hoiii kwa cheki,uwiii hahahaaaa.
Kiboga wewe jamani 🤣🤣🤣 saruti kwako sana.Hili ni funzo kubwa kwa kina Mama siye tujitahidi kuwafundisha watoto wetu kupika leo kimekuwa kichekesho lakini ni maisha halisi haya 🙏🧎😘
Kanyinyi nimuongo katokakuwaambia wageni waishie nje ndani joto umeme hamna alafu baadae Tena anamwambia kiboga aweke juice kwenye frege ili ipate baridi😁
Duh;Wapo wengi sana hao kwenye maisha yetu na ukichunguza vizuri historia zao nyuma ni uvivu kila kitu mpaka wafanyiwe🇨🇩🇹🇿🇰🇪🇧🇮🔥
Mitoto aifanyi kazi kila kitu mdada wa kazi
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html
😅
Nawaza tu ile tuzo yetu ilifata nini kuleee kwa Mr mwanya 🤣🤣🤣😂😂 huyu mwamba ni komedy wa miaka yote kwangu
Alichomzid Macho labda yale ya kulegea 😂😂😂😂
@@kawanga0073 🤣🤣
Leo ndo nmeona walaka wa Aman uliowafanya wayahd washindwe kula na kunywa wakati ule😂😂
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂 in bahat bukuku voice
Nyie kunawatu mnamaneno😂😂🙌
Hahaha jamani
😂😂😂😂 nimecheka Sana mpaka mbavu zinauma aise joti next level kwenye comedy
Nimeingia kwenye ndoa sababu ya mapenzi tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Joti unajua sana na hawa unaoekti nao wapewe tuzo pia maana wanajua kuvaa huusika hadi Raha👏
Kama hyo mjombaa na mama mkwe aiseee nomaaa
Masikini huyu kaka anajitaidi kweli Joti ww ndio best comedy
Suzy nimempenda yuko serious na kufundisha
Duh;Wapo wengi sana hao kwenye maisha yetu na ukichunguza vizuri historia zao nyuma ni uvivu kila kitu mpaka wafanyiwe
Haswaa0
Watu wa aina hiyo wazazi wanahusika sana.
@@csato9415 Kulea watoto kimayai kila mpaka wafanyiwe na Dada wa kazi hayo ndo madhara yake;Joti anafikisha ujumbe japokuwa wasioelewa wataishia kuburudika tu
Kiboga hii ni story ya kweli kuna mtu uku kwetu kenya 🇰🇪 mambo yake ni kama haya 🤣🤣🤣
Gonga like tukienda
😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
Wakenya hawajuagi kupika kila nikija napata shida ya chakula sana
@@onesmolwambano9349 z😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sio kenya tuu ni all over the world
Makanya yote kpika hayajui
Fridge tena wakat mwanzon umesema umeme akuna😂😂😂
Fridge halipozii
ila joti bwana eti ni mjomba au kenge 🙌🏾😃
Leo nimekuwa wa kwanz jaman naombeni laiki zenu tunao mkubali joti 😂😂na nawatkieni ijumaa lmubaraka kwa wote🙏🙏
😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
Waoooo
Thank you so much Mr Joti!! Love from Burundi 🇧🇮
😂😂😂
Jot we ni comedian namba moja hakuna mpigamizi 📌🔨
mama mkwe kapikiwa waraka wa amani ulio wafanya wayahudi washindww kula n kunywa wakati ulee😄😄😄😄😄
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣walahi
😄😄😄😄😄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Kombe la Dunia nimetolewaa. Ndoa imejipa Jotiii kibokoo🙌🏼🙌🏼😂😂😂
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html
Joti kiboko ila suzy nimempenda bure 😂😂😂 Huyu jamaa anajua ila reality yapo makwetu watu wanatak ndoa kupika hawajui aibu tupu😅
Nilikua bado cjacheka vizuri tangu mwanzo,lkn baada ya kuona jopo la wageni getini afu nikimuwaza mpishi kiboga haahahahaaaa,nimebaki hoiii kwa cheki,uwiii hahahaaaa.
Cheko.
Jot aseee mbna mi nachelewa every time kulike jomon niungen mkono
Mungu akubaliki
Mungu akibaki
Sawa huo mda wote unaomuelekeza si alikua ashapika tayari 😂😂😂😂😂😂jotiiiiii mambo vp
Omg 😂😂😂😂😂 that would have been me 2 years ago but baby baby baby, now try my food u can not combeya combeya 😂😂
Eti nilikuwa nimejipanga Kila idara😂😂😂😂😂😂😂😂
Kiboga nimfano wa kuigwa kwa uvivu🤣🤣🤣🤣
Et ushajua hisia zangu zilipo ntashindwa kuongea 😂😂😂
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html
Nimependa sury anavyoelekeza😂😂😂😂😂 ilezawadi imetimia😂😂😂😂😂😂😂😂
Ila joti🤣🤣🤣ahadi ya bibi 🤣🙌kombe la Dunia nimetolewa
🤣🤣🤣 yaani Joti hushikiki funzo la hali ya juu
The best comedian in TZ
😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
SawA ila nafasi za SOPA, mama DAME na KIPANDE mdahalo mezani!!
KANYINYI mtu na nusu, MLEWA hakui.
mbwa mzee hafundishiki....much love from🇶🇦🇶🇦 😂😂
Mambo bro Steve
@@AsmaAsma-gd3mv nko poa kabisa..vp pande hizo?
Unajua wote wanaoingia ktk
Ndoa Wana Akili
😂😆😆😅😃😄😃😅🤣😂
Nimependa jot alivyopiga magoti 😍
🙌 Best comedian ever
😂😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
Nyie katika watu wa comedy joti namba One Nampenda ❤️❤️
Toka saa kumi na mbili nairudia hadi saiii..Jotiii🙌🙌🙌🙌🙌
Km mim🤣🤣🤣
Moyo wangu unasema naaga mashindano hiii part imenimaliza😂😂😂😂😂😂😂
i just love the whole team of Joti TV🥰🙌♥️… mnajua keep it up 👍 😊
Huyu ni mjomba au ni kengeee😂😂😂😂😂
Nimecheka sana 😂😂😂
Nimecheka sanaaaa jaman🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uso wangu unaongea ila moyo wangu unaaga madhindano 😄 🤣 😂 😆
Wengine Tunajua Kupika Na Ndoa Hatuzioni😭😹
😄
Dyadyaaaa 😂😂😂👌
Nimeona aibu mimi badala ya kumuonea aibu kiboga.🙈🙈🙈🙈😄
Hahaaaa
Kama umeilewa hii gonga Like twende sawa
Wanaopenda iphone 14 dongo lenu kucha kubwa
Kiboga watake radhi wa dada
Mkaa au msitu 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂I regret watching this in public while on Bluetooth.People thought I was mad.😂😂😂😂😂😂
Kiboga wewe jamani 🤣🤣🤣 saruti kwako sana.Hili ni funzo kubwa kwa kina Mama siye tujitahidi kuwafundisha watoto wetu kupika leo kimekuwa kichekesho lakini ni maisha halisi haya 🙏🧎😘
nimechelewa kidogo ila nimeikubali hii nipeni na mimi likes zangu kutokea kenya
Uyu jamaa anajua mpaka anajua tena✌️👍😂😂
Joti never disappoint 😂😂😂
😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
Joti ukiacti mwanamke ndio unapatia
Jmn nampenda Sana hyu kiboga
Lovely👏👏👏
Ila huyu kaka😂😂😂
Wengine tunaingia kwenye ndoa atuna ata akili 🤣🤣🤣🤣
Wapo wengi
@@baloz8974 apana joti kiboko
😂😂😂😂😂😂 kiboga nmecheka wadada tujifunze sio tunajua kueka mikucha tu
Ukichambua ndani yake kuna ujumbe mzito pamoja na kuwa ni kichekesho.kuna somo kubwa Sana hapo
Malezi ya wtt kuwalea matakon mpk wanaolewa awajui kupika 😂😂😂😂😂kisa wasomi walikuwa bzee na shule hawa ndio moja ya hasara kama hz za kiboga
Wizo alivyo itwa ss 🤣🤣🤣
🙌🙌best comedian Tanzania..mkuu subir tuzo zako tu🙏
Umeona e👍
Mungu pea huyu comedian maisha marefu
Mwaka una ijumaa 52 na Kila ijumaa Joti anaupdate.kama unamfuatilia tokea mwaka uanze na Leo ijumaa ya mwisho ya 2022.Nipitie
Ndani Kuna joto tukae nje umeme umekatika mala juice iweke kwenye friji bongo 🤣 shikamoo
Yawezekana friji lilikuwa na ubaridi kitambo 😂😂😂😂😂😂
Ndoa imejipa hiyo😂😂😂😂😂😂
Kiboga mshenzi kweli
Ati majibu kwenye chakula
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html
Kanyinyi nimuongo katokakuwaambia wageni waishie nje ndani joto umeme hamna alafu baadae Tena anamwambia kiboga aweke juice kwenye frege ili ipate baridi😁
Its a beautiful friday🤣🤣🤣ndoa imejipa
😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
nawapata kutokea Rorya, Ror Bin Kamageta hahahhahaha
Kamageta makanye
Huyu mjomba au kengeee😂😂😂
Kanichekesha kinoma bwege uyu
The Best Comedian
Tangu lini mbwa mzee akakubali mafunzo 🤣🤣🤣🤣
Nampenda sana jot💞💞💞💞💞💞💞💞
Sijui kwann tunaojua kupika hatuolewi
Saws joti nakupa Salam zangu from Oman 🇴🇲🇹🇿
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html
Big love from 🇰🇪🇰🇪🔥
yaani joti umefanya kma ulivyoelekezwa 😄🤣😂😆😄hata bila kuvipika umechanganya na kuvifunika nima sana 😄🤣😂😆😄🤣😂😆😄🤣
watching from Singapore , much love Joti. kazi nzur san
Aca shobo wey, singapore ya Iringa?
@ Burundi, akili yako ipo saw kweli. unaona mimi ni wa Iringa. Nipo Singapore wewe.unanijua???
Tanzania huludii au🤣🤣🤣
@ Celina, nipo kikazi. Tz ndo home nitakosaje kuludi?
Yani huyu bro ananifariji sana nikimiss mzee majuto 😁😁😁 eti mzaa chema🥰😁😁😁
ASA JUICE IWEKEE KWENYE FRIJIII IWE YA BARIDI NA UMESEMA UMEME HAMNAA WATU WASIIINGIE NDANIIII???😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅BONGO BANA
Majanga,😂😂😂😂😂 tena nyumba ni nzuri kuna hadi AC lakini wanapikia mkaa
@@vocalizertz6868 WABONGO WE HAVE A LONG WAY TO GO😂😂😂🙌🏾
Kiboga mke wanguu abeeeee 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
kanyinyi mwanzo kasema hakuna umeme badae kasema uweke juis kwny fliji ametupiga na kitu kizito
yaaan uyo mim kabsaaaaa cjui kupika 😂😂😂ila apo joti katudanganyaa ssa juice ya barid si umeme haupo 😂😂😂
Kama kaagiza je?
Huyu ni mjomba au kenge😁😁🙈🙈🙈
Huyo mziwanda nimekubali sana😂
Jombaa wee ni nomaa🇹🇿😂😂😂🤣🤣
Mbwa mzee 😂😂😂😂😂😂😂😂 wa kwanza kwenye sight 😂😂😂 leo naomba subscribers wana asante......
Nyie huyu mkaka kanyinyi namuelewa sana akicheza na kiboga anajua SANAA KUIGIZA NIMECHEKA😂😂 Eti kiboga ukishajua hisia zangu zilipo kazi nzuri joti
Ivi kweli kwenye iyi dunia kuna wadada wasio jua kupika kam kiboga kweli🤦♀️🤦♀️🥺🥺🤣🤣🤣🤣
Moja+ kucheka ila uyu jot🙌
Toka lin mbwa mzee akaelewa somo😀😀😀😀😀joti bhna ....alafu hyo shep jot dah ziwq kubwaaa kiuno kma. mbu dah😀😀😀
😂😂😂😂😂😂😂😂😂jotiiìiiiiiii
Ivi kwel umri huo ajui pika yupo, mana mwanaume anapenda ale ashibe, asipo shiba shoo amna yauhakika
"Huyu mjomba anacheza au kenge"
Tangu lini mbwa mzee hakakubali mafunzo 😂😂😂😂😂🤣🤣joti
Daaah nimecheka vibaya sana yani joti Hapana 😂😂😂
Nime angalia mala mbili kwa kwel🤣🙌
Kasema waishie nje ndan kunajoto umeme hakuna kamwambia jot akaweke juic kwenye frij wakat umeme hakuna
🤣🤣🤣 Joti never disappoint 😂
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html
😂😂😂😂
ua-cam.com/video/WLa97naM9JM/v-deo.html
Manina zako tena. Hahahaha sasa hilo SHANGAZI kaja umeliandaa kabisa kabla hujaachwa umeacha! MAE!
Leo umenikosha🤣🤣🤣🤣🤣👏👏
🤣🤣🤣🤣🤣kiboga jmn kuangalia mwenzio miguu ya kuku mibichi ndio nn 🤣🤣🤣🤣
Wa kwanza leo mnipe like zangu😊
Joti🤣🤣🤣🤣🤣
Umetupa tukukamatie❓️
😁😁😁king of comedy
😂🤣😂😂🤣 JOTI U MADE MY DAY 🙌🙌🙌
Bonyeza 👇
ua-cam.com/video/3MSsWgSVxM4/v-deo.html