viongozi simba ndio shida unamwacha phiri, baleke hao walioletwa hawana kiwango hata nusu hawafiki kitu kingine kocha aliyeletwa falsafa yake ni kulinda kuliko kushambulia halafu unamlazimisha afundishe mpira wa pasi fupi fupi hamna kitu hapo, mpaka leo haijulikani kwanin mgunda hayupo kwenye benchi la ufundi na ujinga wa kufanya pre season nje ni upumbavu maana hiyo hela ingetumika kuongeza muda wa pre season na pre season ingefanyika hapa hapa kwa ujumla simba haina mikakati wala mipango
wew benchika mpira ndio umeisha hivyo uondoke na wenzio unabak kwenye benchi ngoja taree 20 ifike yan ww chakufanya anza kukunjaga nguo ujiandae kwa safar maana tare20 kama sio 5 ni 8 na hilo litimu lenu
Sidhani kama ally salimu anafiti sana kwa sasa bado tunamuhitaji kipa mmoja wa wa kulizoea lango sijajua ni nn kocha anawaza ila makipa kila siku kubadilishwa si sawa
oooooh ihefu watoto haya sasa mnafungwa na watoto aise tatizo mnaongea mpaka mnajimaliza muege mnaeka akiba ya maneno kula chuma hiyoooooooo meche ya kiume kesho mwananchi
Kocha hana mbinu za mchezo, ameshindwa kuwatumia vzr wachezaji alionao. Huyu kocha akifeli plan A ustegemee ushindi na ndy maana akipata goli sub zake mara nyingi ni ulinzi hana mbinu zaidi ya ku defence. kwhy timu pinzani zikiweza kuzuia muda mrf na wakapata goli, inaharbu mipango yake na hana mbinu ya kutegua mipango ya mpinzani, ndvyo alivyo. Fuatlia michezo yake utaona hili, si Simba tu hata huko alikopita yupo hvyo. Tunafumbwa na profile kubwa aliyonayo lkn ana shida huyu kocha hana mbinu nyingi. Kumbuka mechi ya Yanga na usm Alger hapa bongo na kule kwao utaona hili, usm Alger na Al Ahal alifunga moja akapaki bus, angalia game za mapinduz Zanz na hata hapa hiz za ligi hasa zile zenye ugumu wa matokeo utaona hayo, huyu ni tofauti na Nabi na hata Gamond. Hana mbinu zaidi, ameshindwa kuwatumia vizr wachezaji alionao. Na atabakia sana viwanjani baada ya mechi😂😂
@@JohnsonMartin-cb5ru " sexual immorality ( especially sexuality, homosexuality and devil worship " , soma kitabu Cha ufunuo sura ya 12 na 13 utaelewa zaidi.
Timu mbovu hii kweli kweli hakuna timu inayodharaulika kama hii.. usajili WA kijinga kijinga matunda yake HATUCHUKUI UBINGWA na kufungwa kupo pale pale tu zeni maneno yangu mutakumbuka
Unyama tuuuu!
Oooyee Simba jamani,Hivi leo kama hamngepata penalty,ina maana mngekuwa mmefungwa?
Jaman mkikutana na Mashabik wa Simba msiwatanie maana kwa sasa wanapitia kipind kigumu sana
Tutawatania hadi wakome kudadadeki zao 😂😂😂😂
Yanga pia walipitia walijiona kuwa ni miungu acha wachanwe.leo kwako kesho kwangu.lakini ni mpira na utani tu tusiumizane.
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Asante ihefu
Mzingaa unajua sana
Nimeinyaka juu Kwa juu Leo wakwanza😂😂.
Faida yake ni nn??
Nawashangaaga kwel kwel ukiwa wakwanza na WANAOOMBA LIKE faida yke n nn sijui like zinawalipa
Utasikia "ninekuwa wakwanz Naombeni like zang"
Tunaipenda Simba yetu mpaka mwisho ila mabadiliko lazima niupepoflan tunapitia
Nikweli usemacho
Huyu fred ni ngombe Anamosa goli yeye na goolkiper
MTUACHE MPAKA TUFENAYO
"SIMBA nguvu moja"
Mko sawa na ihefu
Mbn simba inacheza vizuri tu inatengeneza nafasi vzr tu😊
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
@@IvanChrisantus ila sportpesa anaipenda sio
@@dengahmediatz1230 inawezekana huwez tofautisha tofauti ya chata ya sportpesa na m-bet
Walikua na mategemeo ya match hiii na ya tarehe 20 kuweka mategemeo yao ya ubingwa Sawa je na tarehe 20 wanaham ya point 3?
Simba inatia huruma
Jamani mashabiki wa Simba tunateseka sana
Tunaoteseka ni sisi mashabiki😢
Lowest team lowest expectations
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Simba mavi mbovu uyo tajiri wa Simba jiandae kula hasara kwa timu hii
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Bora trh 20 msipeleke timu uwanjani maana kipigo cha Mbwa koko kinawahusu kumamae
nikweli
Wana simba tusife moyo mchezo wa mpira una matokeo katiri sana
UMEONAE WANAPENDWA WAKIFANYA VIZURI TU BINADAMU NOMA SANA
Ndo Kila siku sasa
mpeni miquson muda mrefu uwanjani jamani ana mavituvitu hamjamjua tuu
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Aatari
Poor marking ya back ndio furaha ya igefu bado wanakaba kwa nacho
Naona Simba ameanza kutengeneza ushemeji na Ihefu kimyakimya😂😂😂😂
Simba hii mechi ya yanga utashangaa inashinda dabi haitabiriki
Labda waroge
Mmh watakula 7
viongozi simba ndio shida unamwacha phiri, baleke hao walioletwa hawana kiwango hata nusu hawafiki kitu kingine kocha aliyeletwa falsafa yake ni kulinda kuliko kushambulia halafu unamlazimisha afundishe mpira wa pasi fupi fupi hamna kitu hapo, mpaka leo haijulikani kwanin mgunda hayupo kwenye benchi la ufundi na ujinga wa kufanya pre season nje ni upumbavu maana hiyo hela ingetumika kuongeza muda wa pre season na pre season ingefanyika hapa hapa kwa ujumla simba haina mikakati wala mipango
Hii ndio simba 2nayo ijua
Bila penalty awashindi
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Umekosa la kusema ndugu!! kwani haikuwa penalti? kama ingekuwa penalti ya kugaiwa ndo ungestahiki kusema maneno hayo .
Simlikuwa mnasema et lhefu mnawaweza sasa kiko wapi 😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
Ihefu leo Katoa droo ndio ushindi kwake aende akatambe utopoloni huko
Tar 20 madunduka poleni 5g tena
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi@@MussaRasul
wew benchika mpira ndio umeisha hivyo uondoke na wenzio unabak kwenye benchi ngoja taree 20 ifike yan ww chakufanya anza kukunjaga nguo ujiandae kwa safar maana tare20 kama sio 5 ni 8 na hilo litimu lenu
Je yani mpka msemeeee😂😂😂😂😂
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Sidhani kama ally salimu anafiti sana kwa sasa bado tunamuhitaji kipa mmoja wa wa kulizoea lango sijajua ni nn kocha anawaza ila makipa kila siku kubadilishwa si sawa
Simba tinaweza tu na subira❤❤❤
oooooh ihefu watoto haya sasa mnafungwa na watoto aise tatizo mnaongea mpaka mnajimaliza muege mnaeka akiba ya maneno kula chuma hiyoooooooo meche ya kiume kesho mwananchi
HUYU KEVINI NASHONI ASAJILIWE SIMBA ANAJUA KUKABA
Saivi simba hataukiibeba haibebeki jamani timuyetu
HOVYO HOVYO kabisaaa
Ukibebwa bebeka simba nguvu moja
tupo na simba etu
Penalty omewabeba😅
Hahahaha simba tukaoge maji ya mukuyuni
Uchawi upo daah😂
Simba tumefeli
Kila siku nyie mnafunga kwa penati😂😂😂😂
Mrejesheni boko hatuna no 9
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
nguvu moja ila duh kocha kiukwer anavunjika moyo
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Kocha hana mbinu za mchezo, ameshindwa kuwatumia vzr wachezaji alionao.
Huyu kocha akifeli plan A ustegemee ushindi na ndy maana akipata goli sub zake mara nyingi ni ulinzi hana mbinu zaidi ya ku defence.
kwhy timu pinzani zikiweza kuzuia muda mrf na wakapata goli, inaharbu mipango yake na hana mbinu ya kutegua mipango ya mpinzani, ndvyo alivyo. Fuatlia michezo yake utaona hili, si Simba tu hata huko alikopita yupo hvyo.
Tunafumbwa na profile kubwa aliyonayo lkn ana shida huyu kocha hana mbinu nyingi.
Kumbuka mechi ya Yanga na usm Alger hapa bongo na kule kwao utaona hili, usm Alger na Al Ahal alifunga moja akapaki bus, angalia game za mapinduz Zanz na hata hapa hiz za ligi hasa zile zenye ugumu wa matokeo utaona hayo, huyu ni tofauti na Nabi na hata Gamond.
Hana mbinu zaidi, ameshindwa kuwatumia vizr wachezaji alionao.
Na atabakia sana viwanjani baada ya mechi😂😂
mishabiki ilivyo shabikia kwani mlijua mtafunga tena
Mnatia huruma,tarehe ishirini je?????🤣🤣🤣🤣🤣 Goli nanee
Huy mtangazaji ni mnyama kabx
Huku ndio kukata pumzi
Simba hii mbovu kabisa hata inabow
Subirini tarehe 20......😂😂
MO ARUDI KWENYE KITI CHAKE.
Utopolo mnaowasema wana simba mmejisahau sana tuachie hapo😂😂
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
@@IvanChrisantus inaaashiria nn
@@JohnsonMartin-cb5ru " sexual immorality ( especially sexuality, homosexuality and devil worship " , soma kitabu Cha ufunuo sura ya 12 na 13 utaelewa zaidi.
Wabovu san makolo
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Simba ipumzikee tu sasa 😂😂😂😂😂 mbovu ipelekwe gereji
Rahaaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
BONGOZOZO ANATIA HURUMA 😂😂😂😂
Ukuta wa yeriko
Simbaaaaa wabov San sisi kamamashabik tunaumia simbaaaaa inacheza kamahawatak
😂😂😆😆
Timu mbovu hii kweli kweli hakuna timu inayodharaulika kama hii.. usajili WA kijinga kijinga matunda yake HATUCHUKUI UBINGWA na kufungwa kupo pale pale tu zeni maneno yangu mutakumbuka
😂😂😂😂 washashona vijora Makolo
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Simba saivi sokit niyakuua wat kwapulesha 2
Ihefu wamefunga Gori la uwezo sana
Kama Wana uwezo wangefunga la pili,utopolo wee
@@LabaniAkyootunakuona wew mweny uwezo umefunga la pili kolomelody mkubwa wew
@@LabaniAkyoo Aya mama
Fabrice ngoma linakimbia kama halitaki sijui kwann wanaling'ang'ania kila siku jinga hili kila siku halikabi na ndio kazi yake daaahhh taka taka hii
KULA CHUMA ICHO MNAJUA SANA KUROPOKA NCHI NZIMA MKAOMBE RADHI KWA MANGUNGU TRY AGEYN
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
tutafanya nini jamani timu yetu tupo bado pamoja ila tuombe tu viongozi wafanye mabadiliko yenye tija
😂😂
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Tumia akili ni chater ndo inacheza 😂
simba wako f
Simba hao wachzaji ni wazeee
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Mnyama ameoza😂😂😂😂😂 mtajiju mbwa nyie
NGURUWE MLA MIHOGO WEWE UMEOTA CHOGO 😂😂😂😂😂 MACHOGO FC
😂😂😂😂
Wakundu wa msambiazi
Wachezaji awajuii konga wanampa kibarua kizito iyo simba hata aje mocha gang mutampa lawama
Duuu!?🤭 Konga na mocha ndio nini?😮
@@selemanmaganga-le4zg😂😂
Adi muondoe iyo chata ya m-bet kwenye jezi zenu , iliyo mfano wa nyoka na namba 666 , Yeshuah hapendi
Benchika aligom kutoka uwanjani
2𝕞𝕖𝕡𝕚𝕘𝕨𝕒 𝕒𝕡𝕠