Розмір відео: 1280 X 720853 X 480640 X 360
Показувати елементи керування програвачем
Автоматичне відтворення
Автоповтор
Ongeleni sana mwenyezi mungu hawalinde, napia mkumbukeni sana mungu latina ndoa enu. By flora
Mmependeza. Sana tunawatakia kila laher ndoa yenu iwe na aman
Nice niwapongeze, wanandoa, apo wamekosa wimbo wa injili kwa ajili ya baraka zaidi, Mungu awabariki
Gg
ongera sanaaa"ndoa yenu ikawe nafraha nabaraka teleee🌹🌹🌹
Mashallah jina la mama angu zainabu na baba angu abubakari jamani nawatakia kila rakheri,
Inshaaalah Waombee tu 🙏🤲
Waoooo ni Moja ya hatua zainabu , ila nimesoma naye shule Moja
Nmesoma nae kazima secondary tabora😊
Hongereni maharusi ❤️❤️❤️💃💃💃💃
😂😂😂😂😂camera man mbiguni uendiii...yni wachukua hyo mama mwenye makeup ya uso tu kila atakapoenda
Haki mbinguni atapaskia
@@fridamshana9265 😆😆
Maharusi hongereni Ila alomlemba huyo mama mapodaaa ana balaa
Alie mpka mek up jamn ajuwii usoni namikono tofauti kbx uxo umempodoa sana. Weeh, !!
Hiyo inaitwa poda mzungu,😁😁😁😁
Naombeni nielekeze hiyo saloon 🤣🤣🤣🤣
Mungu away baliki
Kuna mekap nimeiona duuuuuh mpaka mwenyew kakimbia🤣🤣🤣🤣
Hata mimi nimeiona nikaishangaa
Sio makeup hao wa Comoro wanaita lies ndio wanavyopaka
Umeona pia ehh
@@ashabually9313 wa Comoro wa Kigoma? 😂😂😂😂
Hiyo sio mekap ni vumbi la congo 😁😁
Duh mwenzenu mambo ya kucheza ivo mbele za watu aiseee Bora niolewe kimy Kimy t mambo ya ukumb na mahol apana kabisaa😄😄😄😄🙌🙌🙌
We mshamba, utaweza wapi mambo haya🤣🤣
@@saiditwalibu5244 acha niendelee t Kua mshamba😄😄😄😄jmn mie akuuu mambo mengine yanipite t
Wewe kama Mimi tu siyapendi haya mambo 😁😁
Nakubali sanaa
Gaun la bi harus sijalielewa na aliyemfunga lemba mmmmmh apana kwakweli
😂😂😂😂😂😂😂alie mpotoa mbingu ataishia kuisikia arufu😂😂😂
Mungu awape maisha marufu
Mmetishaaa
Mashaallah 🥰
Umendeza Sana 🎉
Hongereni wanandoa mungu awabariki katika kila hatua ya maisha yenu ya ndoa amen 🙏.
Tunashukuru sana mwanatz
Leo nilikuwa nasoma tuu coment sikuwa na kaz nyengine
Mc hongera kwa kaz yako pamoja na wajina tv
Mh jmn bora niwe natural jmn akuuuuu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Kuna mtu kapakwa mekap km kavaa mask usoni jmn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😃😃😃
Nimecheka kwa sauti
Yn katisha
🤣
Hongera
Nime muona dada anamekapu hadi emsi kaipenda eti mwanamke mekapu kakimbiya uyo mwenye mekapu
Makeup artist jamani Mungu anakuona😊
Kabisa
😅😅😅😅😅😅Sijuwi katoa pesa ngapi akamtia mwenzie aibu jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona kapendeza jamqn
Yan nimecheka uwiiii kawapaka marangi meupe
Makeup ni nomaa🤣 kuna moja kajipaka poda kama sicrub wasiwasi hana furaha kama yote😀
Yaan nimemuona nimechekaa, yupo kaa msikule
Shingo umeiona na uso tofauti
😃😃😃😃make up
Hii video naitazama kila sku mc nawe mbea eti sifa ya mwanamke makeup mbavu zangu jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hiyo saloon kiboko
Hhhh
😅😅😅😅😅 makeup jaman.....alaf yeye mwenyew ajali Wala Nini😅😅😅😅😅
Mc.amestukia hizo mekap hahahaha uwiiii
Bonas nsekela
Mashallah
Wakina ntumie hii video Whatsapp mimi ndo uyo dada wa wheelchair
Sherehe nzur
Hongera Sana mdogo angu Abuu
Nashukuru sana martin mussa
Mbona kapendeza tu
Waooooow traaaaam iyoooo ongereni Sana mmependeza hatar
Kuna sura za mekp na mekp za sura dj walete😅😅🤣🤣
Duu mkp ya huyo dada hahaaaa anatisha
Wamependeza sana wachawi wabaya
Hizi make up vip jamani saloon iliyompaka makeup huyo mama huendi mbinguni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
😁😁😁veil iko poa napenda emefunika kichwa pia ila make up imeharibu kabisa
Wapo wengi tu sio Mmoja🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣walah kamkomesha sio vizuri
🤣😂🤣🤣🤣🤣 tena kamkomesha sana daaaa nimecheka🤣😂😂😂😂
Ndoa pambeee
Mumedamshi,🥰😘
Nilichogundua hawakupakwa makeup ni foundation bila make up aisee ka nyanii
Kwani harusi yako ? Yako nakuuliza? Waache kwa raha zao. Utamwitaje mtu nyani?
Mashaallah mashaallah allah awajaalie kher ktk ndoa yenu mzae watoto wenye kher na nyie
Nashukuru kwa niaba ya sisi wote
Jaman achan kukosoa hakuna mkamilifu
MUNGU awabariki saana ndoa idumu
Alie muona mtu kapaka mekapu kama kinyago anione😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Jmn inamaan hakujiangalia na kioo hpo saluni au ndo fashion duu
jmn uyo dada kabila gan
Ayii hahaha Good luck🤗🤗🤗🤗
Hongereni Bibi na bwana harusi
Hongereni maharusi ila washangiliaji Sasa izo make up vinyago tupu
Izo mekap cio za nchi hiii wallah
😂😂😂😂😂😊😊
Zinakaa manjano 😄😄🤔
🤣🤣🤣🤣 ila kwakweli 🤣🤣
@@faustinaurio3703 ndiyo kesha olewa lkn nyie midomo tindiga kaeni na gubu lenu nguru bangi nyie.
@@gulionigulioni3234 sijasema kuhusu bi arusi wapambe walichemka hata wewe waona ngamia wewe
Mekap sio mchezo🤣🤣🤣🤣
Ty
Tobaaaaa uyo mmoja jmn kajisiriba make up t
Jamn ukumbi unaitwaje huu?
🤣🤣🤣🤣 hyo mekap nomaaaaaaaa San
Jaman sio kwa make up hizi kama majini 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣nilizani nimeona mimi
Kwani lazima liwipo ilo swali mmekutana wp!!? Uswahil😏😏
Wache wacheze kwa adabu kama walivyo lelewa wasifanye vitu vya kuiga
Hongeren
Google☺☺
Kwani wametoka mkoa gani jamani
Duh hizi mecup aliyempaka Mungu anakuona
, 🤣🤣🤣
Kupatwa kwa poda
Acheza kiruwa ngoma ya Tanga hiyo poda
@@fatmaalnabhani3609 vijiba vya roho nyie wasichana, nyie ni wachawi nini cha ajabu hapo wakati ndoa hamuijui na hamtaijua. Endeleeni kudanga na kuwapelekesha wajinga kwa mpalange.
@@gulionigulioni3234 mpalange labda ni wewe unafanyiwa ujinga huo
@@fatmaalnabhani3609 ha ha ha kwani kuna nani aliepata kilema kwa kuwaburudisha kwa mpalange? Ni kawaida mbona
@@gulionigulioni3234 Ahhh makubwa hayo jamani mbona sio njia ya kisawasawa, watu wavuja Mavi ovyo
Watu wamepodoka hatr😄😄😄
Duh! Kuna MTU kavaa gauni LA maua a see bora angepaka poda2 kdg
Huyu aliempaka makeup huyu dada atafika mbinguni hoii
Hahahahah
Huyo jamani nani kampiga make up amekimbia mmh jamani hizi makes up ukikosea unainekana kituko
Ukumbi umependeza Mashallah
Uyo mwanamke ingekua Mimi nicngeoa japo nipo kininini lakini najua kuchagua
Waislamu Mila zakikriso
Sasa hao ni wakristo au waislamu ebu nisaidieni jamani maana majina Niya
Ovyooo
Inna lilahi wanna ilaihi rajium kweli niwaiclam nyie huo Sasa sio uislam jamani ndoa zetu hatuendeshi namna hiyo nendeni mkaulize wajuzi hakuna sherehe kamaizo kwa waislamu
jitahidi kaka utatoboa tu kusherehesha
Vichekesho
Dada apo alokupaka makeup bila shaka ni mke mwenza
🤣🤣🤣🤣
Labda ndo fashion yake kaona kaiona jmn
@@khadijahamisi8531 dada vp umeipenda hyo? 😃😄😉 Duh huo usooo!!!!! 😉😄😃😃😃
Alio paka awo wa dada makeup aki hii mbingu ataisikia kwa redio
Mhmh au Ni mmmh (ex) Janama maanasiokwa makeup hiyo🤣🤣🤣🤣 jamani ye aogopi?
😀😀😀😀ms kachamba Mac up ymtu hapo
Kwakweli lazima itazamwe na watu milion 10 maana makeup ina utofauti
Kajimwagia powder 😂😂😂
Alomminia mwenzie hiyo mipoda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂saluti kwa kweli
Nyie mmefanya mm niangalie video nitafute poda
Makeup balaaa daaa. Mpambaji alikuwa anajifunza nn
🥰
Sio makosa yake, huyo aliempamba
Ndio maana sio vizur kwenda na watoto 😂😂🙈🙈
Hatareee sana mapouundoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Make up ya bibie mmmh
Jamani kwani commendy -makeup ama 🤣🤣🤣
Kweli izo mak up ni Noma n'a nusu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani wamepaka nini!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uyo mdada alifanya makusudi au maana sio Kwa iyo makeup 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
shida ya weng wa huko hawajui kabisa make up ee Mungu bariki kipaji changu
Sherehe ina visa iyo poch aliyo beba bb harus sasa😂
Hhhh watu jamani
Kumbe tupo wengi hhh
Mwenye makeup kilo mbili .alisahau kupaka shingoni na mikono haaaaaah
Shoga maharus wa hvyo wny shekere ( money ) zao mjin sema hakumpaka shingon .....kibongo mpaka mikononi hzo masaki , osterbay mpnz , waachen tu binadamu hatuna dogo tunaona kasoro tu , mbona hamsifii vzr 🤔
Mashallah ndoa ikawe ya kheri
Alhamdullah tunashukuru
🤣🤣🤣🤣hyo kweli mekup
Huyo mwingine kapaka scrub au
Jamani mmeziona hizooo poda?😁😁😁😁😁😁
Mpka nacheka peke yangu
@@fatmayusuf1656 yani watu wamedamshi hatari.
Siwangeacha kujipaka ivio aki kuliko.kukaa.Kama paka
Poda mbna imetaradadi😅😅😅🥰🥰🥰
Ongeleni sana mwenyezi mungu hawalinde, napia mkumbukeni sana mungu latina ndoa enu. By flora
Mmependeza. Sana tunawatakia kila laher ndoa yenu iwe na aman
Nice niwapongeze, wanandoa, apo wamekosa wimbo wa injili kwa ajili ya baraka zaidi, Mungu awabariki
Gg
ongera sanaaa"ndoa yenu ikawe nafraha nabaraka teleee🌹🌹🌹
Mashallah jina la mama angu zainabu na baba angu abubakari jamani nawatakia kila rakheri,
Inshaaalah Waombee tu 🙏🤲
Waoooo ni Moja ya hatua zainabu , ila nimesoma naye shule Moja
Nmesoma nae kazima secondary tabora😊
Hongereni maharusi ❤️❤️❤️💃💃💃💃
😂😂😂😂😂camera man mbiguni uendiii...yni wachukua hyo mama mwenye makeup ya uso tu kila atakapoenda
Haki mbinguni atapaskia
@@fridamshana9265 😆😆
Maharusi hongereni Ila alomlemba huyo mama mapodaaa ana balaa
Alie mpka mek up jamn ajuwii usoni namikono tofauti kbx uxo umempodoa sana. Weeh, !!
Hiyo inaitwa poda mzungu,😁😁😁😁
Naombeni nielekeze hiyo saloon 🤣🤣🤣🤣
Mungu away baliki
Kuna mekap nimeiona duuuuuh mpaka mwenyew kakimbia🤣🤣🤣🤣
Hata mimi nimeiona nikaishangaa
Sio makeup hao wa Comoro wanaita lies ndio wanavyopaka
Umeona pia ehh
@@ashabually9313 wa Comoro wa Kigoma? 😂😂😂😂
Hiyo sio mekap ni vumbi la congo 😁😁
Duh mwenzenu mambo ya kucheza ivo mbele za watu aiseee Bora niolewe kimy Kimy t mambo ya ukumb na mahol apana kabisaa😄😄😄😄🙌🙌🙌
We mshamba, utaweza wapi mambo haya🤣🤣
@@saiditwalibu5244 acha niendelee t Kua mshamba😄😄😄😄jmn mie akuuu mambo mengine yanipite t
Wewe kama Mimi tu siyapendi haya mambo 😁😁
Nakubali sanaa
Gaun la bi harus sijalielewa na aliyemfunga lemba mmmmmh apana kwakweli
😂😂😂😂😂😂😂alie mpotoa mbingu ataishia kuisikia arufu😂😂😂
Mungu awape maisha marufu
Mmetishaaa
Mashaallah 🥰
Umendeza Sana 🎉
Hongereni wanandoa mungu awabariki katika kila hatua ya maisha yenu ya ndoa amen 🙏.
Tunashukuru sana mwanatz
Leo nilikuwa nasoma tuu coment sikuwa na kaz nyengine
Mc hongera kwa kaz yako pamoja na wajina tv
Mh jmn bora niwe natural jmn akuuuuu 😂😂😂
🤣🤣🤣🤣Kuna mtu kapakwa mekap km kavaa mask usoni jmn🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😃😃😃
Nimecheka kwa sauti
Yn katisha
🤣
Hongera
Nime muona dada anamekapu hadi emsi kaipenda eti mwanamke mekapu kakimbiya uyo mwenye mekapu
Makeup artist jamani Mungu anakuona😊
Kabisa
😅😅😅😅😅😅Sijuwi katoa pesa ngapi akamtia mwenzie aibu jamani
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona kapendeza jamqn
Yan nimecheka uwiiii kawapaka marangi meupe
Makeup ni nomaa🤣 kuna moja kajipaka poda kama sicrub wasiwasi hana furaha kama yote😀
Yaan nimemuona nimechekaa, yupo kaa msikule
Shingo umeiona na uso tofauti
😃😃😃😃make up
Hii video naitazama kila sku mc nawe mbea eti sifa ya mwanamke makeup mbavu zangu jamani😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂hiyo saloon kiboko
Hhhh
😅😅😅😅😅 makeup jaman.....alaf yeye mwenyew ajali Wala Nini😅😅😅😅😅
Mc.amestukia hizo mekap hahahaha uwiiii
Bonas nsekela
Mashallah
Wakina ntumie hii video Whatsapp mimi ndo uyo dada wa wheelchair
Sherehe nzur
Hongera Sana mdogo angu Abuu
Nashukuru sana martin mussa
Mbona kapendeza tu
Waooooow traaaaam iyoooo ongereni Sana mmependeza hatar
Kuna sura za mekp na mekp za sura dj walete😅😅🤣🤣
Duu mkp ya huyo dada hahaaaa anatisha
Wamependeza sana wachawi wabaya
Hizi make up vip jamani saloon iliyompaka makeup huyo mama huendi mbinguni😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Kabisa
😁😁😁veil iko poa napenda emefunika kichwa pia ila make up imeharibu kabisa
Wapo wengi tu sio Mmoja🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣walah kamkomesha sio vizuri
🤣😂🤣🤣🤣🤣 tena kamkomesha sana daaaa nimecheka🤣😂😂😂😂
Ndoa pambeee
Mumedamshi,🥰😘
Nilichogundua hawakupakwa makeup ni foundation bila make up aisee ka nyanii
Kwani harusi yako ? Yako nakuuliza? Waache kwa raha zao. Utamwitaje mtu nyani?
Mashaallah mashaallah allah awajaalie kher ktk ndoa yenu mzae watoto wenye kher na nyie
Nashukuru kwa niaba ya sisi wote
Jaman achan kukosoa hakuna mkamilifu
MUNGU awabariki saana ndoa idumu
Alie muona mtu kapaka mekapu kama kinyago anione😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Jmn inamaan hakujiangalia na kioo hpo saluni au ndo fashion duu
jmn uyo dada kabila gan
Ayii hahaha Good luck🤗🤗🤗🤗
Hongereni Bibi na bwana harusi
Hongereni maharusi ila washangiliaji Sasa izo make up vinyago tupu
Izo mekap cio za nchi hiii wallah
😂😂😂😂😂😊😊
Zinakaa manjano 😄😄🤔
🤣🤣🤣🤣 ila kwakweli 🤣🤣
@@faustinaurio3703 ndiyo kesha olewa lkn nyie midomo tindiga kaeni na gubu lenu nguru bangi nyie.
@@gulionigulioni3234 sijasema kuhusu bi arusi wapambe walichemka hata wewe waona ngamia wewe
Mekap sio mchezo🤣🤣🤣🤣
Ty
Tobaaaaa uyo mmoja jmn kajisiriba make up t
Jamn ukumbi unaitwaje huu?
🤣🤣🤣🤣 hyo mekap nomaaaaaaaa San
Jaman sio kwa make up hizi kama majini 😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣nilizani nimeona mimi
Kwani lazima liwipo ilo swali mmekutana wp!!? Uswahil😏😏
Wache wacheze kwa adabu kama walivyo lelewa wasifanye vitu vya kuiga
Hongeren
Google☺☺
Kwani wametoka mkoa gani jamani
Duh hizi mecup aliyempaka Mungu anakuona
, 🤣🤣🤣
Kupatwa kwa poda
Acheza kiruwa ngoma ya Tanga hiyo poda
@@fatmaalnabhani3609 vijiba vya roho nyie wasichana, nyie ni wachawi nini cha ajabu hapo wakati ndoa hamuijui na hamtaijua. Endeleeni kudanga na kuwapelekesha wajinga kwa mpalange.
@@gulionigulioni3234 mpalange labda ni wewe unafanyiwa ujinga huo
@@fatmaalnabhani3609 ha ha ha kwani kuna nani aliepata kilema kwa kuwaburudisha kwa mpalange? Ni kawaida mbona
@@gulionigulioni3234 Ahhh makubwa hayo jamani mbona sio njia ya kisawasawa, watu wavuja Mavi ovyo
Watu wamepodoka hatr😄😄😄
Duh! Kuna MTU kavaa gauni LA maua a see bora angepaka poda2 kdg
Huyu aliempaka makeup huyu dada atafika mbinguni hoii
Hahahahah
Huyo jamani nani kampiga make up amekimbia mmh jamani hizi makes up ukikosea unainekana kituko
Ukumbi umependeza Mashallah
Uyo mwanamke ingekua Mimi nicngeoa japo nipo kininini lakini najua kuchagua
Waislamu Mila zakikriso
Sasa hao ni wakristo au waislamu ebu nisaidieni jamani maana majina Niya
Ovyooo
Inna lilahi wanna ilaihi rajium kweli niwaiclam nyie huo Sasa sio uislam jamani ndoa zetu hatuendeshi namna hiyo nendeni mkaulize wajuzi hakuna sherehe kamaizo kwa waislamu
jitahidi kaka utatoboa tu kusherehesha
Vichekesho
Dada apo alokupaka makeup bila shaka ni mke mwenza
Hhhh
🤣🤣🤣🤣
Labda ndo fashion yake kaona kaiona jmn
@@khadijahamisi8531 dada vp umeipenda hyo? 😃😄😉 Duh huo usooo!!!!! 😉😄😃😃😃
Alio paka awo wa dada makeup aki hii mbingu ataisikia kwa redio
Mhmh au Ni mmmh (ex) Janama maanasiokwa makeup hiyo🤣🤣🤣🤣 jamani ye aogopi?
😀😀😀😀ms kachamba Mac up ymtu hapo
Kwakweli lazima itazamwe na watu milion 10 maana makeup ina utofauti
Kajimwagia powder 😂😂😂
Alomminia mwenzie hiyo mipoda 😂😂😂😂😂😂😂😂😂saluti kwa kweli
Nyie mmefanya mm niangalie video nitafute poda
Makeup balaaa daaa. Mpambaji alikuwa anajifunza nn
🥰
Sio makosa yake, huyo aliempamba
Ndio maana sio vizur kwenda na watoto 😂😂🙈🙈
Hatareee sana mapouundoooo🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Make up ya bibie mmmh
Jamani kwani commendy -makeup ama 🤣🤣🤣
Kweli izo mak up ni Noma n'a nusu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwani wamepaka nini!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 uyo mdada alifanya makusudi au maana sio Kwa iyo makeup 🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣
shida ya weng wa huko hawajui kabisa make up ee Mungu bariki kipaji changu
Sherehe ina visa iyo poch aliyo beba bb harus sasa😂
Hhhh watu jamani
Kumbe tupo wengi hhh
Mwenye makeup kilo mbili .alisahau kupaka shingoni na mikono haaaaaah
Shoga maharus wa hvyo wny shekere ( money ) zao mjin sema hakumpaka shingon .....kibongo mpaka mikononi hzo masaki , osterbay mpnz , waachen tu binadamu hatuna dogo tunaona kasoro tu , mbona hamsifii vzr 🤔
Mashallah ndoa ikawe ya kheri
Alhamdullah tunashukuru
🤣🤣🤣🤣hyo kweli mekup
Huyo mwingine kapaka scrub au
Jamani mmeziona hizooo poda?😁😁😁😁😁😁
Mpka nacheka peke yangu
@@fatmayusuf1656 yani watu wamedamshi hatari.
Siwangeacha kujipaka ivio aki kuliko.kukaa.Kama paka
Poda mbna imetaradadi😅😅😅🥰🥰🥰