Alikiba - Mnyama (Simba SC Anthem)
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- Get it now Sumu:smartklix.com/...
Stream/Download:linktr.ee/Alikiba
Listen to Alikiba on Digital Streaming:
Audiomack: audiomack.com/...
Apple Music: / alikiba
Boomplay: www.boomplay.c...
UA-cam: / alikibaofficial
Spotify: open.spotify.c...
Connect with Alikiba on Social Media:
Instagram: / officialalikiba
Facebook: / officialalikiba
Twitter: / officialalikiba
Snapchat: / officialalikiba
TikTok: / officialalikiba
Connect with Marioo on Social Media:
Instagram: / marioo_tz
Facebook: / thisismarioo
Twitter: / kingbad_
+For More Information Booking Alikiba:
Contact:emailalikiba@gmail.com
©2023 Kings Music Records.All Rights Reserved.
#Alikiba #Mnyama
Nampenda sana mnyama
nakubali KING UNYAM NI MWINGI Ssio leo toka zamani
Ila Mwijaku Bwana
Jicho langu kwa mwijakuuuuu anavyohangaikaaaaa
Kwa hii nyimbo Kiba ametuheshimisha Bonge la ngoma
Wow huu wimbo umeni toa machozi kiba unajua Sana 💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽💪🏽
I'm Sudanese..I love Tanzanian people and Simba Club ❤ and this Song...
I'm a fan of Alhilal..Thanks Tanzania 🇹🇿 and people of Tanzania..Asante Sana 😊
Thanks so much Welcome to Tanzania ❤🇹🇿
❤
We appreciate 🔥🔥🔥🔥❤️🇹🇿 welcome too
Mm mnyama from kenya
Nahamia Simba kwazia Leo,mashabiki WA Simba naomba munipokee,🏃 king kiba respect for you 🇲🇿🇲🇿
karibu
Karib san
Karibu sana 😊❤😊😊😊
krb xn msimbazi
😂😂😂❤❤❤🎉
Nani kajatena leo simba day kusikiliza goma letu❤ubaya ubwela
Woooyooo big up saaana king kiba unasitailii upewee maua yako❤❤❤
Si tuiregeshe trending hii ngoma wana #simba #ubayaubwela
Mimi Yanga dam lakin kwa hili goma natoa saluuuuut kwa king kiba.. My favourate 😘
Amin kka
Sure❤
Kama kweli wewe ni shabiki wa SIMBA sema UNYAMA MWINGI ❤
Kwa kweli wimbo huu nimeukubali japokuwa mimi sio shabiki wa simba @alikiba fundi sana
Hakika Unyama mwingi sana, huu wimbo wa taifa wa Simba
Mwana younga mimi ila mziki wa Mfalme sirahisi kupita bila kuusikiliza mara miya 🎉🎉❤❤❤❤🔥🔥🔥👑👑👑
Kesho huu wimbo uwe namba moja hakuna wakutuzuia kengeyoyote
100%❤❤❤❤❤❤❤ kiba wetu jmn safi sana
Msim huu hatukamatiki watoto wa msimbazi
Mimi yanga ila nimekuja hapa kwaajili ya king of Africa kama unanisapoti tujuane. From Tanzania 🇹🇿
Mliosema mtakaa trending milele hapo ni wap😊
Jamanii kumekucha huku
Kweli king 👑 ni King 👑 tu 💯✅ hata waseme nini huyu jamaa Bado mkali sana 💯👌 acha Mungu awatie nguvu Kwa kazi nzuri 💯
Nice and good music 🎶💯 forever ♾️
Furaha kwamashabiki wasimba tu....❤❤
Yani huu moto🔥🔥🔥hauzimwi😂😂🙌🙌🙌
Unyama mwingi.timu niipendayo na msanii nimpendae 🔥 🔥 🔥
Watoto wa Dar watoto wa Msimbazi dah!! ngoma kali mnoo from kwa Wahaya Bukoba.
Simba hashikikikikiiii🤣🤣🤣 gonga tano 🤜 kama una juwa iyo simba yaki mataifa. Ayaaaa twende mbele. SELEMANI.B from CONGO DRC
Love from Nigeria 🇳🇬
Sasa king kiba wimbo bora wa mwaka Aise tushindwe sisi tu kila kitu tuko vizuri ❤❤❤❤ kwa Wimbo mtamu
Hongera sana wajina wangu Ally karibibu sana u nyamani ngoma kali tutakutana kwa mkapa tukiimba pamoja na kucheza
Sio leo tangu zamani 🎶🎶🎶🎶
Piga hela mfalme, viongozi wa yanga walikutenga wapuuzi wale 😢, mwenye nakuja taifa kucheza hii nyimbo
Nilikuwa nashangaa siku zakaribuni mwijaku na ali kiba zinaiva sana kumbe walikuwa na jambo lao nguvu moja💪
Mnyamaaaa......
Bonge la nyimbo salute kwa king kiba nakubali sana unacho kifanya, #Onelove #Nguvumoja. 🦁🇹🇿🙋
Nan kamuon mwijaku😂😂😂 love simba ❤❤❤
Kati ya nyimbo moja kali sana ya timu iliwahi kutunga .kazi kwetu mashabiki kuimba kwa pamoja lupaso..❤❤❤
Jamani watanzania wanavyozipigia timu za kwao upato Hadi napata kushishabikia tu bila kujua wachezaji.Mimi shabiki wa simba tayari😂gonga like kama unaikubali simba💪
Alikiba MNYAMA..ngoma kweli ni unyama..KING you kill it
Tuache utani yanga walitufunika kwa ngoma ya marioo ila kwa hili goma weeeee tumewafunika wao sasa
Unyama ni mwingi
@@albertkatuga2434 kweli kabisa,ilahuu utadumu kwakua haujataja majina ya watu kwakua watu wakati wowote wanahama,ona leo mayele hayupo sasa huo wimbo utakua na maana
@@josephfuni756 uko sahihi ndiyo maana Kiba alisema mtakuja kunishukuru na kunikumbuka hata ikiwa nitaondoka kwa kufariki huu wimbo utabaki milele ni simba anthem
Unyama mwingi
Nyimbo ni ya motooo sana
I can't wait uwanja utavyokuwa unaitikia MNYAMA MNYAMA MNYAMA MNYAMA MNYAMA MNYAMA MNYAMA 🎉🎉🎉🎉🎉
Huu wimbo wetu wanamsimbazi wa muda woteeee.....big up brother king kiba umewaza mbali sana kutomtaja mtu yeyote maana watu huja na kupita ila simba ipo milele
Yaani nimeurudia kuusikiliza na kuutazama wimbo huu Mara ya ishirini leo...KING KIBA umetuheshimisha mjn aisee💪💪❤️❤️❤️
Yaani we acha tu, mi ndo nimeirudia hata sielewi mara ngapi😃🥰
Unyama ni mwingi sanaa hutopolo hawajasema bado yaan mpak waseme ❤❤❤❤😂🎉🎉🎉🎉simbaaa nguvu Moja
Karibu sana mfalme KIBA ndani ya Msimbazi!!!!! Ulichelewa sana!!! Chapa kaziiii SIMBA NGUVU MOJA!
King Kiba tunakubali sana kazi zako mjini ottawa.
We love you so much brother.
Simba yangu milele moyoni mwangu kiba umeupiga mwingi🙏🙏🙏 SIMBA
Unyama ni mwingi sana simba nguvu moja
Hii ngoma kali sana inatufanya Wana Simba tuinjoy sanaaaaaaasaaaa
Hii nyimbo dahhh kiba imewauma sana kukupoteza ❤❤❤
Imepenya hiyoooo
Hii nyimbo itaishi milele kwa watu wa simba 🎂🎉❤️🔥
Umeuaaaaa......Imeenda Iyo...
Jaman naomben like 100 kuniunga mkono kumpongeza King kwa huu Wimbo wa Taifa wa simbaaa🔥🔥
Kama tumefurah pamoja kwenye unyamaa huu wa kingkiba tujuane hapaa👌🔥🔥🔥🦁🦁🦁🦁
Daaaaah kidogo nidownload huu wimbo kwa utamu huu nikakumbuka mm Yanga nkaamua yaishe big watani kwa anthem kali Mungu awabariki wote Simba moja, Young Africans 💚 na timu zngne 🙏🙏
usiogope download tu utaskiliza ata kisiri siri co lzm uskilize hadharan
Pakua kaka utasikiliza kupitia earphones .
Haki ya mungu nikiwa mmoja wao😂😂😂😂😂😂😂daaaah MM NI YANGA DAMU
😅😅😅😅
Unyama ni mwingi
Unyamaaaaaaa
Wimbo mzuri sana ungeufanya uwe mrefu kidogo
Waoooo hiii kalii na ndio wimbo umevunja record UA-cam kwa kuangaliwa na watu wengi kwa mda mfupi jmni naipenda Simba kwanzia SAs nahamia mnyama mnipokeee, naomben likes zangu
Usjal
Welcome 🦁
ua-cam.com/video/v7E5KmgxK88/v-deo.html uga t mix
Pamojaa
Karibuuu🎉🎉🎉
huu wimbo ni mtamu Santa sana Mungu amubariki Kiba
Kali sana nakubali kaka kiba
All the way from Kenya,,, I salute this bang,,, mnyama lina unyama mwingi mno❤❤
Najua king up yanga ila yanga hawa kupi heshima yako me nimekubali kwa ulicho kifanya japo kua nime umia moyo ww kwenda kwa makolo ila nimeipenda kazi yako pamoja san anko king 👑 goma la 💥💥💥💥
Uto nenda vidudu Ili myaka10 ijayo ucheze super ligi uto nenda vidudu uto
Huu wimbo unaenda kumpa Alli Kiba mashabiki wengi wapya, mimi nikiwa mmoja wao. Bonge moja la ngoma. salute salute Kiba
Daah kabisaaah
Nami nikiwepo
Tupo wengi❤❤
Mimi pia aise jamaa kaja amejua kwenda nyakat aise
Vipi kuhusu kupoteza mashabiki wa upande wa pili?
Unyama Mwingi Simba Nguvu 1
Haijawahi kutokea timu Tanzania ikatungiwa Ngoma kali kama hii🙌🙌🙌
Kama unakubariii gonga like💪💪💪
Aaah wee, unajua simba(mnyama)
Si huyo wa picha(mnyama)...the goosebumps modi alipata after hizo maneno😂😂😂
King Kiba twakumbali🇰🇪🇰🇪🇰🇪
King KIBA 👑. Huku ni mahali pako wewe umechelewa tu kuja, sio siri brother. Umekamilisha furaha yangu kwa kuwa SIMBA 💪💪💪🦁🏆
siyo leo toka zamani mnyamaaaa
Tuliorudia NGOMA hii mara mbili tujuane hapa 🔥🔥
Melody 100% ✅
Matusi 0%
N.b unaweza kuimba bila ya kupaisha boss na NGOMA ikawa kali TU
Kuna alikiba na Rayvanny. My favorite artists in beautiful land of my country tz 🇹🇿. Nyimbo zenu hazijawahi nikifu Kuzisikiliza. Coz tungo zenu nizaleo , kesho na Hata milele.
Jamani kila simba ikicheza mashabiki tuimbe kwa nguvu uwanja mzima kuleta hamasa Wimbo mzuri unaimbika,is the song who show what Simba is great club in the world,, if you baliver or not.
Kama Alikiba ni fan wa Simba pia Mimi ni fan. Nice Anthem
Mwaka wetu huu,labda Mungu asipende tu,yaaani unyama ni mwingi sana aisee❤❤
Huu ni wimbo wa karne!
Wana simba wanapaswa kutembea kifua mbele kwa wimbo huu❤❤❤❤❤❤❤
Sou Moçambicano e não percebo Suahily, mas gosto e amo musicas e talento do magnífico Alikiba, se eu fosse musico diria que ele é o meu ídolo. Força
Hiii nyimbo niyadunia aise
Nilikuwa mshabiki wa yule mtoboa pua anaye jiita Simba kumbe uto rasimini sasa mimi ni mshabiki wa king kiba na king music kwa ujumla umenitendea haki kwenye chama langu na pia sio mtu wa sikendo. Allah akujahalieni kheir kwenye maisha yako ya music na maisha yako nje ya music. Hakika ngoma kali na itaishi kwenye vichwa vya wana Simba. Una baya 🦁🦁🦁💪 KING KING KING KIBAAAAA.....!!!!!.
It's how Mwijaku is dancing for me 😂...nimeikubali ngoma🔥
Mwijaku hana maana!! Na yeye kafanya unyama umemuona kumbe!?
Nilikua naona chawa nimemuona pekeangu
Huu wimbo ndo umefanya ticket siishe mapema 💯,hilo performance lake lupaso utakua unyama sana #KING
Hakika
Pamoja sana mkuu kila la heri ❤❤❤❤❤❤❤❤❤!!!!!🎉!
Sijawahi kuwa shabiki wa Ali japo sikuwahi kuwa na shaka na kipaji na uwezo wake ktk uimbaji. Amethibitisha tena kwenye hii na ameitendea haki haswaa brand ya Simba anthem ni kali sana. Simba nguvu moja 💪💪💪
No one on trending unyama ni mwingi sana kama nawe ulisubili kuiona iko number moja on trending gonga like kuonyesha unyama wako 🦁🦁🦁👑👑👑
Kama tunawezaaa kujazaa uwanjaa kwa siku 3 tunashindwa nn kuifanyaa hii ngoma kufikishaa views elf 60 mpakaa jpilii wanachanama na mashabikii wa mnyamaaa tuanzee kuifanyaa kuwa ya ajabuu tokaà leoo mnyaamaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamaaaa hakamatikiiiiiiiiiii ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🎉❤❤❤❤🚘🚘🚘🚘📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢📢
Mi sio shabiki wa soka ila huu wimbo ni mzuri safi sana alikiba
Hongera Kingkiba karibu unyamani mwaka huu hatuachi kitu WANASIMBAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA Hatujamaliza Bado Mzungu nguvumoja.
Design ya nyimbo kama za ma World Cup, nice song Ali bin Kiba 👏🏻
Uyu jamaa anajua sana basi tu anatumelody tuzuri sana nimempenda bure aisee
Huu wimbo unafaa kabisa kuwa ndio mahususi kwa klabu ya simba 🔥🔥
Mtt la kigoma naiku bali
Kinoma ❤❤❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉
Tafadhar naomba sana Huu wimbo uwe SIMBA DAY ANTHEM🙏🙏🙏
wanaSimba tupo tunafanya yetu ili nyimbo iwe nafasi wa 1 on trending soon tu apa
Wimbo mkali sana,inaimbika,inachezeka,inavutia na nibora na inashikika kwa wepesi...kutoka kwa mwimbaji bora zaidi....nipe like kama ww ni mnyama🎉🎉🎉🎉🎉🎉#nguvumoja#kingkiba#cmba day.
❤❤❤❤❤❤❤♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️😭💯💯💯💯💯🦁🦁🦁🦁🦁💌💌💪👏👏👏💪🫶🫶🫶🫶🫶❤❤❤🤳🫅😍😍😍 Simba pamoja
Ngufumoja 🦁🦁🦁🦁🦁❤❤❤
Mfalme Kiba mfalme 🦁🦁🦁 unyama mwing
Ukwel nyimbo ni Kari Sana, unyama mwingi ,King pokea maua Yako umetutendea haki Wana Simba.
Alikiba ni artist mwenye IQ kubwa sana mwimbo Haujataja majina ya wachezaji, viongozi wala mtu yeyote kalijua Hilo maana mtu ataondoka lakini Simba itaendelea kuwepo. SIMBA NGUVU MOJA🦁🦁🦁🏆
Mbna kamtaja diamond
Umesema ukwel imagine unamtaj mchezaj af mwak ujao anauzw😂😂😂
Umeisikia nyimbo lkn
@@huseinallen6729😂😂😂😂
🔥🔥🔥🔥🔥🔥💯💯💯💯🤫
woyoooooooooooooooooooo hiiii ndio ngoma inayoenda TREND number 1 mpaka kesho saa moja usiku. tunamtoa kizuchu pale
Kweli mnyama
KING 👑 KIBAAAA ❤❤❤Nimefurahi Msanii Wangu Pendwa Anai Support Team Yangu Pendwa 🎉🎉😊
10/10 bruu🔥
Yaani nimefurahi sanaa🥰😍
Nimependa sanaaaa mwishoni This is Simba sisi ndio mabingwa wa Africa nzima❤... Kwa matumiz ya baadae hii
Hata mimi
Mwijaku sasa😅😅😅😅
Kabisa. Yawezekana huu wimbo ukawa umetabiri hilo. Mungu awe nasi Simba. 2:24
Nyimbo bora ya club africa mashariki na kati
Nyimbo quality
Nyimbo inavibe
Nyimbo ina imbika na watu wa rika zote
Nyimbo inafaa kwa ringtone mpk alarm
Hongera #Alikiba
Mimi nabaki natazama sichoki
Hatariii
Bonge la ngoma