Sisi sikubali maana si mnavyombo vyenu vya habari na wachambuzi Kila Kona wanawalipa bahasha na gsm, ndiyo maana mnaitukama Simba kila mahala mbwa wakina nyooo
Sasa hiyo ni tff ya madomo waandishi wa habari ili nao wapige pesa . Na mimi natowa wazo pendekezo langu wana habari watowe michango kwa TFF Milion moja kila mwana Habari hilo pendekezo langu
Kila binaDamu Ni mshirikina. Kuna kuomba, kuamini, na kuabudu. Yote hayo ni kubahatisha. Hivi Hosipitali kubwa ya kutibu kobe ambao wanaishi Mika mingi kuliko binaDamu IKOWAPI ACHANA NA NENO USHIRIKINA litawaponza wejeni fini tu
Mapendekezo yenu ni upuuzi mnataka ligi irudi ilikotoka
So kweli wachezajiii wannee ligiii itashukaaa mazimaaa wee vipiii
Hapo kwenye kukatwa point Kwa Kwa ajil ya uchaw saf
YANGA yangu hapaa itatesekaaaa
Sisi sikubali maana si mnavyombo vyenu vya habari na wachambuzi Kila Kona wanawalipa bahasha na gsm, ndiyo maana mnaitukama Simba kila mahala mbwa wakina nyooo
Sasa mbna kama wanataka kuwapangia makocha kwan ni lazma watumie magolikipa wazawa
Nataka nishuhudie penye kukatwa point tatu yanga au Simba😄😄
Mnapokuja na mapendekezo yenu ni vyema mkafikiri kuhusu watu wanaowekeza pesa zao kwenye vilabu
Wewe umeongea ujinga mtupu ..sijaona mada inayo husu marefa wala rushwa..wazamini wa team zaidi ya7....
Vijana walau wanne hampo serious kwa mechi moja
Kuna Tim hazina vijana 😂😂 MNATAKA kuziuaaaaa
Sasa hiyo ni tff ya madomo waandishi wa habari ili nao wapige pesa . Na mimi natowa wazo pendekezo langu wana habari watowe michango kwa TFF Milion moja kila mwana Habari hilo pendekezo langu
Huyu jama ana tatizo la afya ya akili, mpira wa sasa ni biashara, nani atawekeza kwenye ujinga huo unauelezea?
Tunako elekea sasa ni mungu kutunusuru tuu
Huyu bwege ni memkwa uelewa sifuri au katumwa
Kila binaDamu Ni mshirikina. Kuna kuomba, kuamini, na kuabudu. Yote hayo ni kubahatisha. Hivi Hosipitali kubwa ya kutibu kobe ambao wanaishi Mika mingi kuliko binaDamu IKOWAPI
ACHANA NA NENO USHIRIKINA litawaponza wejeni fini tu
Acheni zenu bwana
Upuuzi mtupu sijaona ht lamaana kwahayo2 bado sana
Nasemaje ha yo mapendekezooo mmechemkaaaa sio kweli hatutakiiiii ujinga wenu huo
Mapendekezo ya watoto wa mtaaniii
Wote mliopendekeza mlizaliwa njee ya ndoaaaaa
Mmevimbiwa matumbo jamanii
Mtu mmoja kudhamini timu nane mbona hujaliona au kwa vile wewe ni uto kwako halisumbuwi?
Hiyo ya magol KIPA Kwan nyie ndo mnawalipa misharaaa
Tunaitajiii tuongezee wachezajii wewe unapunguzaaa
Makocha wazawa wa nin wana mambo ya kijingaaa sana
Mapendekezo yenu ni ya kijinga mno
Mapendekezo ya kijinga Sana pumbavu zenu kabisa