Sheria zakijinga sana hivi mmejifikilia wakati mnatunga hizo Sheria mnaakili kweli tunatanga ushindani mnaleta kukuza vipaji vya watu ambao hawataki hata kujituma acheni ushamba
Hawa ndio wanao uwa soka letu hakuna kitu chochote cha point al8chokizungumza hapo kuanzia macoach mpk wachezaji watueleze hizo academy za kipaji mmeziaanda wp au za magolikipa au kuna coach gani mzawa anayefundisha nje? Na pili hiyo nafasi ya 6 tumeipata mwaka gn je ni kwa wachezaji wazawa na macoach wazawa? Au baada ya players wenye quality wa nje ndio wametufikisha hapo? Tusipochagua watu makini wenye weledi na vision ya mbali itoshe kusema hatutasogea popote kwa watu design hii✅🤔🙌
Ukistaajabu ya Musa....!! Yaani mafundi wa magari wanaweka mikakati ya kutibu wanadamu .....!! Jopo la wataalam wa kupiga picha linajadili taaluma isiyowahusu na wadioijua !! Ni ujinga uliopitiliza kupambana na Katiba ya FIFA, CAF na TFF !!
Hivi kabla ya kuzungumza ufikiriya hakula hata moja zuri mira ni biashara sahivi habari ya kupangia tim wacheze kina nani sijuwi kipa sijuwi timu injanganywe kwa ushirikina sijuwi wa and 20 wacheze wanne km ww unatimu ungefanya hivo
Sikubaliani na hoja hata Moja. Bora ibaki kama ilivyokuwa. Watanzania wasipojituma watabaki kuwa na viwango duni tu.Uwezo unatokana na kipaji.Tafakari.Anzisheni chuo cha makocha.
WEWE UNAPOSEMA KILA TIMU IWE NA WACHEZAJI 4 AMBAO NI WAZAWA USHAURI NI KILA MCHEZAJI APAMBANE APATE NAFASI VINGINEVYO WATAKUWA WANASEMA HATA NISIPOCHEZA VZR NTAPANGWA TUU HAMUONI NYIE NDY MNAYEHARIBU MPIRA?
Hii Simba wandawaazimu kweli hivi Mungu kwann hii simba kila siku inazungumziwa maredioni kwenye matv yanii waandishi wanaipa promo kubwa sana sisi yanga hata hatupewi sapoti kubwa na waandishi Simba inapendelewa sana sisi yanga hatupendwi
Waandishi msiingilie sana suala soka wahamasisheni wachezaji wetu wajitume zaidi badala ya kuwaonea huluma kama mnavyofanya. Tunao wachezaji wachache wa kuigwa mfano Baca,Shalala,Kibu ,Mzize nk wao mbona wanapata namba za kudumu
MNAWAPANGIA SHERIA WENYE TIMU ZAO BASI NA NYIE ANZISHENI TIMU ZENU. KOCHA MNAMPANGIA KIKOSI AKIFUNGWA MNAMFUKUZA NA KUSEMA HAFAI. KWANI HAYO MAPENDEKEZO HAYO MMEYATOA WAPI?ACHENI KUHARIBU MPIRA
UNAACHA KUWAREKEBISHA MAREFA KM KAYOKO ILI WAYAFUTE HAYO MAKOSA?HAYO NI MAPENDEKEZO CY LAZIMA YAFUATWE WEWE UNATAKA WACHEZE 4HAO VIJANA KM HAWAWEZI ITAKUWAJUJIFUNZE KWA TIMU NYINGINE
Hivi mnaujua mchezo wa mpira wa miguu kweli??? Hayo mapendekezo yenu ndio ushirikina wa kwanza kabisa kabla ya ule unaoudhania wewe, ligi yetu itakuwa ya hovyo sana kuliko ligi yoyote Africa. Na itashuka kwenye viwango vya CAF.
Rudini tena ndani mkapendekeze upya,na mshirikishe watu wengine wenye weledi sio nyie,hapo hakuna cha maana labda kwenye ubora wa kipa kuzingatia save,,ila wachezaji wa kitanzania wanatakiwa wapambanie namba msiwafeve tu tutaua mpira wetu wenyewe
Mpira ni biashara, tuache kingiza siasa kwenye mpira wetu kutaka kuingiza suala la wazawa. Hili litaua mpira wetu sababu tutalazimika tusahiri na kutumia wachezaji wetu wenye uwezo mdogo wasiojituma. Timu zinalazimika kutafuta wachezaji nje ya nchi sababu wazawa ni wazembe hawajitumi. Suala la kujiuliza ni sera zipi za mpira wa miguu hapa kwetu tofauti na za nchi nyingine
NIWAULIZE SWALI MOJA TU.Je mtawezaje kuthibitisha ushirikina? Swali la nyongeza , mlikuwa wapi siku zote kuhusu haki za makipa pale KASEJA ALIPODAKA LIGI YOTE HADI MECHI ZA KIRAFIKI? AU MLIKUWA MUMEKUFA SASA NA MUMEFUKA?
Hamna kila kitu,mnataka kutuharibia mpira
Sheria zakijinga sana hivi mmejifikilia wakati mnatunga hizo Sheria mnaakili kweli tunatanga ushindani mnaleta kukuza vipaji vya watu ambao hawataki hata kujituma acheni ushamba
Wekeni sheria kwenye uandishi wenu wa habari ila mpira hamuwezi
Naona mmekuja kuwapangia watu vikosi Sasa
Ni mtizamo mzuri sana hasa hapo kwenye save/cleansheet
Mnaweka PESA kwenye timu au maneno tyu....!! Tutarudi nyuma Mita 300 Kwa kutaka Nafasi za upendeleo kwenye football
Hawa ndio wanao uwa soka letu hakuna kitu chochote cha point al8chokizungumza hapo kuanzia macoach mpk wachezaji watueleze hizo academy za kipaji mmeziaanda wp au za magolikipa au kuna coach gani mzawa anayefundisha nje? Na pili hiyo nafasi ya 6 tumeipata mwaka gn je ni kwa wachezaji wazawa na macoach wazawa? Au baada ya players wenye quality wa nje ndio wametufikisha hapo? Tusipochagua watu makini wenye weledi na vision ya mbali itoshe kusema hatutasogea popote kwa watu design hii✅🤔🙌
Adhabu kali sana hyo kunyang'anya timu point si vzuri mtakatisha tamaa wawekezaji. Mchezo utakuwa siyo profession tena.
Yani hawa naona hata hawajielewi
Ushauri wako upi
Ukistaajabu ya Musa....!! Yaani mafundi wa magari wanaweka mikakati ya kutibu wanadamu .....!!
Jopo la wataalam wa kupiga picha linajadili taaluma isiyowahusu na wadioijua !!
Ni ujinga uliopitiliza kupambana na Katiba ya FIFA, CAF na TFF !!
Mpira hapewe mtu nafasi nafasi anatafuta mwenyewe hem acha kuushi kwa mazoweya mwenye ubora ndio anacheza
Huyu hajui mpira ana ingiza siasa
IV mlijifikilia au mlikulupukatu je mashabiki wa timu pizani na wakavaa jezi za wezao na wakafanya uo ujinga mjifikilie vzuli
Hivi kabla ya kuzungumza ufikiriya hakula hata moja zuri mira ni biashara sahivi habari ya kupangia tim wacheze kina nani sijuwi kipa sijuwi timu injanganywe kwa ushirikina sijuwi wa and 20 wacheze wanne km ww unatimu ungefanya hivo
Yaani kama mmeenda kujizalilisha hata mpira hamjui Bali mnataka kuharibu ligi
Kwenye kufunga magoli sio kweli mbona wengi wamepewa na hawajafunga na hizo tuzo msitake kuwapangia NBC anzisheni tuzo zenu
Maoni ya kipuuzi
MNAACHA KUWAPA SEMINA MAREFA KILA CK MNAUHARIBU MPIRA. MAREFA WA KWETU HAWAJUI MPIRA NA SHERIA
Sikubaliani na hoja hata Moja.
Bora ibaki kama ilivyokuwa.
Watanzania wasipojituma watabaki kuwa na viwango duni tu.Uwezo unatokana na kipaji.Tafakari.Anzisheni chuo cha makocha.
Mawazo mengi hayana faida na soka la tanzania,hapo hakuna kitu,kuna nchi gani inataratibu wa hivyo,hivi huyu anaeongea alicheza timu gan hapa tanzania
TFF ANGALIENI HILI HUYO ANATAKA KUUHARIBU MPIRA.
WEWE UNAPOSEMA KILA TIMU IWE NA WACHEZAJI 4 AMBAO NI WAZAWA USHAURI NI KILA MCHEZAJI APAMBANE APATE NAFASI VINGINEVYO WATAKUWA WANASEMA HATA NISIPOCHEZA VZR NTAPANGWA TUU HAMUONI NYIE NDY MNAYEHARIBU MPIRA?
Pumbavu lisipitishwe hata moja kuku kweli mnaakili nyie
Hii Simba wandawaazimu kweli hivi Mungu kwann hii simba kila siku inazungumziwa maredioni kwenye matv yanii waandishi wanaipa promo kubwa sana sisi yanga hata hatupewi sapoti kubwa na waandishi Simba inapendelewa sana sisi yanga hatupendwi
Acha usenge
Jinyonge
Jipende mwenyewe boya wee
Sheria mbovu sana hizo
Mashabiki wa yanga nimashetani wachawi wakubwa yanga kubebwa mbebwe bado tena mroge matusi ni ya yanga
Du! Mmeona mshahara hamjapewa mkaamua kutaftiza vikao ili mpewe posho
Hizo Sheria mmezitunga mkiwa choon😂😂
We jamaa izo Sheria peleka nyumban kwako,,mpira wetu Bado unakua huwez kuweka Sheria za hovyo kama izo,,
Kichwa cha habari na mnacho kiongea ni tofauti
Ukiona matusi ujue ni shabiki wa yanga
Nyie hamna akili kabisa wapumbavu sana
Hizi sheria zote mnazipendekeza baada yakuona kunatimu inazinyoosha zingine kona zote,,nimapendekezo yaliyojaa ucmba
Asante kayoko mbwa
Kwenda sharia izo kawake kwa mkeo
Mnavyo viongea mna vielewa kweli?? Maana inaonekana waz kwamba mna malengo ya kuua soka la kiushindan nchin
Haya mapendekezo hayafai, hata kwenye vikoba😮
Wadau wanasemaje kuhusu mapendekezo yenu?
Sijaskia wakimtaja kayoko
Waandishi msiingilie sana suala soka wahamasisheni wachezaji wetu wajitume zaidi badala ya kuwaonea huluma kama mnavyofanya. Tunao wachezaji wachache wa kuigwa mfano Baca,Shalala,Kibu ,Mzize nk wao mbona wanapata namba za kudumu
MNAWAPANGIA SHERIA WENYE TIMU ZAO BASI NA NYIE ANZISHENI TIMU ZENU. KOCHA MNAMPANGIA KIKOSI AKIFUNGWA MNAMFUKUZA NA KUSEMA HAFAI. KWANI HAYO MAPENDEKEZO HAYO MMEYATOA WAPI?ACHENI KUHARIBU MPIRA
UNAACHA KUWAREKEBISHA MAREFA KM KAYOKO ILI WAYAFUTE HAYO MAKOSA?HAYO NI MAPENDEKEZO CY LAZIMA YAFUATWE
WEWE UNATAKA WACHEZE 4HAO VIJANA KM HAWAWEZI ITAKUWAJUJIFUNZE KWA TIMU NYINGINE
Mmefeli hapo mbona mapendekezo yenyewe ndio ushikina sasa
Hivi mnaujua mchezo wa mpira wa miguu kweli??? Hayo mapendekezo yenu ndio ushirikina wa kwanza kabisa kabla ya ule unaoudhania wewe, ligi yetu itakuwa ya hovyo sana kuliko ligi yoyote Africa. Na itashuka kwenye viwango vya CAF.
Wachezaji waongeze juhudi ili wapate nafasi. Mbona mzize anapata nafasi mbele ya Prince na baleke
Sisi Simba tushamsamehe haya ni maisha tu
Mnataka kuua viwango vya timu zetu na vijana wenu
Hii Sheria ya tff ya GSM kuwadhili zaidi ya tim Moja inatoka wapi wakati GSM ni yanga damu acheni siasa kwenye mpira wetu wa Tanzania,
Nenda akasome kwanza sheria za soka then urudi kucoment ..hata mo akitaka kudhamini team nyingine anaruhusiwa
Rudini tena ndani mkapendekeze upya,na mshirikishe watu wengine wenye weledi sio nyie,hapo hakuna cha maana labda kwenye ubora wa kipa kuzingatia save,,ila wachezaji wa kitanzania wanatakiwa wapambanie namba msiwafeve tu tutaua mpira wetu wenyewe
Mpira ni biashara, tuache kingiza siasa kwenye mpira wetu kutaka kuingiza suala la wazawa. Hili litaua mpira wetu sababu tutalazimika tusahiri na kutumia wachezaji wetu wenye uwezo mdogo wasiojituma. Timu zinalazimika kutafuta wachezaji nje ya nchi sababu wazawa ni wazembe hawajitumi. Suala la kujiuliza ni sera zipi za mpira wa miguu hapa kwetu tofauti na za nchi nyingine
La magoal kipa mmmh wapambane kwa kweli
Munataka kualibu ligi hayo mapendelezo mulipendekeza mukiwa baa
Sheria zenu hizo ni mbaya zaidi ziko kihisia zaidi kuliko uhalisia wake
Mapendekezo fake hayo,
Walevi nyie tokeni hapo hamna cha maana mnachojadili
Kwa nini Leo?
Waqmuzi wenu mbona hamuwasemei au wana shelia zao?
Wachezaji waoneshe wiwango kama hawana viwango akae bech
Kuhusu ushirikina mtathibitishaje? 🤔
Akili zako finyo kuliko za mkeo
Kuhusu Magoli kipa unaongea pumba kabisa!
Sasa nyie ni nani?.
Pigen chin R,kayoco
Hamna lolote nyie
Wajinga watupu. Hawajui U 17 au U20 au U23 nani kazianzisha !! Wamejichora !!
NIWAULIZE SWALI MOJA TU.Je mtawezaje kuthibitisha ushirikina? Swali la nyongeza , mlikuwa wapi siku zote kuhusu haki za makipa pale KASEJA ALIPODAKA LIGI YOTE HADI MECHI ZA KIRAFIKI? AU MLIKUWA MUMEKUFA SASA NA MUMEFUKA?
Mkipitia mlango wa nyuma tu wakati mlango rasmi upo wazi hiyo ni dalili ya kwanza yq ushirikina😂😂😂
Hawa ni wajinga wa wapi