Maasha llah jazakallah khair. Sionduguzangu wadam ilakwaimani inasikitisha sana. Alla akulipe kheir shekh kwa wema wako. Mtihani alla awafanyie wepesi isha allah nawewe utalipwa na allah
Subhana allah watoto wengi wana tabia hii ya kuwasingizia wazazi wao wachawi haswaaa wale wanaeolewa huwa chanzo cha kuwatia fitina waume zao allah akulipe kheri shekh wetu
Allah amuweke mama yangu mahala pema peponi, amuondoshee adhabu za kaburini, nimejikuta natoa machozi jaman tuwajali mama zetu walohai na tuwaombee dua walotangulia 😭😭😭😭🙏🙏
Yaarabbi aniepushe na maneno nitakayokuwa nazungunza mbele ya wazazi wangu hadi nimejikuta natoa machozi kwa hiki radhi ya mama inauma sana Yaarabbi niepeshe na maneno ya kiibiris mbele ya mama yangu😭😭imeniuma sana ila sheikh othumani asante sana kwa kusaidia kuwaombe msamaha kwa mama maana mama alikuwa amekasirika sana .kwahili nitamtii mama yangu maisha yangu yote🙏🙏
Allah akupe maisha marefu shekhe Othman uwepo wako katika dunia hii umesaidia wengi ambao wasingepata elimu kutoka kwako wangesha tengana,,,😢😢 hakika unaunganisha jamii ya kiislamu isitetereke 🤝🤝 Allah akupe maisha marefu na afya njema daima🙏🙏🕌
SubuhanaAllah yani Allah aniekeemamaangu nachochote atakacho niweze kumtimizia niwe ninacho au sina niweze kujituma hadi aridhike mkubwa hakusei mdogo mama Allah akulipe kheri na baraka tele
Mashallaah sheikh Othman Michael naanza kupata nafuu kwa idhini ya allah dawa ulizonipatia kuhusu kusumbuliwa na majini mahaba hakika allah azidi kukupa heli na Baraka
Iki kipind nimeanz kukijua jana 2 wallah lkn natamn kila ck nione darsa xloambatan na suluh nimekipenda na tunafaidika kweli alhamdulillah Mola akup kla la kher Sheikh elmu yak iwe n sabab ya umma kuongoka na kuw ktu kmoja na sababu ya mafanikio ya dunian na akhera 🤲🤲 Mola atup mwsho mwsh na elmu yeny manufaa na cc dunian na akhera 🤲
wallah ustadhi Allah akuhifadhi akupe umri tawil ustadhi machozi yamenitoka ustadhi mama yetu na yeye Allah ampe umri ili wanawe waweze kupatiliza wema zaidi ya uovu walio mfanyia ili ata itakapo fika hatima yake aondoke akiwa radhi na wanawe 😢
Usheikh mgumu. Kama mimi ningewatembezea bakora na vibao hao watoto kwanza. Lakini kweli ndio maana mimi si sheikh, na kweli Allah amzidishie busara na hekima Sheikh Othman, na azikubali dua zetu, Amiin
Nyie watoto mkome kabbisa tena mshike adabu zenu.mnasali huku mnammshirikisha Allah? Allah haibiwi hakika. Mama. Wasamehe wajinga hao Pia waache kumshirikishm Allah. Washirikina hao.
Mtume s.a.w amesema mwenyekumwendea mpiga ramli akamuuliza jambo nahata kama hakulisadiki hatakubaliwa ibada zake za siku arubaini naambae amesadiki amekufuru yote aliyoteremshiwa mtume Mohammad s.a.w ambayo ni qur an hivvyo. Kama mama atawasamehe bado mnatakiwa mlete. TOBA. KWA KUMMSHIRIKISHA ALLAH
Alhamdulillahi Rabil alamiyn. Tumshukuru Allah kwa kumjalia Shkh Athuman Michael kwa kauli zake za hikma upole na vifungu vya Aya na khadithi mpaka Mama na wanaye KURIDHIANA KWA AMAN. Mimi nawaombea Aman baraka upendo neema.. Nawaombea nyote enyi mliopataniishwa pamoja na shkh wetu na waislam woooote tuwe na mwisho mwema. Tuingie sote pepon Amin.
Kumbe ww nkama mm yni naenza shindwa hata na kazi kwa sababu tu nimeskia mmangu Hana raha kwa simu yni lazima ni juwe Ana shida gani mpka Hana furaha wallahi nampenda sana Mmangu na Bbangu Alhamdulillah
Subhanallah... Allah awadumishe kupendana watoto na mamayenu... Allah akulipe ujira mwema shehe Othman Michael.. Allah atudumishe kuwapenda wazazi wetu..
Hi video imeniliza sana sana. Hadi najiuliza kweli wazazi wangu wanaridhika nakile ambacho nawatendea au bado. Nijihisi sifanyi chochote kwao Mungu atujaalie radhi zawazazi wetu
Mwenyezi Mungu Atusamehe sisi waja wake In Shaa Allah... Mara ya kwanza alipokuwa anaingia huyu kijana nilikuwa nafikiri pengine hajasoma Qur'an kumbe amesoma na MashaAllah amebobea, lakini licha ya hayo yote anakosa kumwaamini Mungu hadi anaenda kwa waganga jamani na kuambiwa fitna hadi anakosa hikma na kutoa maneno makali kwa mama yake mzazi, SubhanaAllah...YAA RABBI MLINDE MAMA YANGU POPOTE ALIPO, KWANI SAHII YEYE NDIYE MAMA NA NDIYE BABA, VILEVILE MPE KHERI MAREHEMU BABA YANGU KABURINI KWAKE ZITOKAZO KWAKO KWANI BILA WEWE HATUNA WAKUTUPA MSAMAHA. ... Sheikh Allah Akubariki sana na Akupe ilimu zaidi In Shaa Allah.
Subuhanalla mungu atuhfadh na hasra zetu juu ya wazaz wetu kwan wao ndongaz yamafanikio nimeshindwa kujizuwya nmeliya M Mungu akupe maisha marefu yenyeher na baraka shehe wetu tunajivuniya sana uwepo wako Maalim
Kwa vyovyote mzee anaumia sana anapoambiwa mchawi, pole mama wasamehe hao washiririkina wakubwa. Allah ajaalie iwe dawa yao ya kuacha ushirikina, Amiin.
Nikweli jamni pole mama yetu.nakumbuka binamu yangu kabisaaaa aliniambia mchawi namroga asifanikiwe navitu kibao,nikalia sana nikasema km kweli nakufanyia hivyo Mungu aniadhibu hapa hapa duniani nikashukuru basi.Mungu mkubwa
ALLAH atupe mwisho mwisho mwema sisi pamoja na wazazi wetu innshallah rakher pia atuepushe na shirki.sheikhe othumani Allah akupe umri mrefu maana junajifunza mengi kupitia mawaidha yako 🙏🙏
Nimetokwa na machoz sanaa yaani hapa tu tuna Ndugu wa baba wakike anaambiwa mchaw na mtoto wake wakwanza wakike...shangaz analia kila uchao namuhurumia😭😭😭 wacha nitawaskilizisha hii....Alhamdhulillah sheikh Allah akuweke utujuze kutulainisha zaidi
Kwa kweli nimelia Sana kwakuskiza hii nasaha Allah akulipe heri sheikh othman na akupe umri mrefu yani kila siku nakufatilia vipindi vyako vyani gusa Sana insha Allah wakaelewane wakafungukiwe na kila LA heri ya Rabb🤲🤲🤲😭😭😭
Aslm alkm wtw..... Wallah Sheikh nimelia kabla hujalia wewe. Maneno ya huzuni. Kijana Mola akupeni kheir vijana wangu. Sheikh Othman wakezako wewe ndio chanzo Cha wao kupendana. Wewe umzuri unakaa na wao vizuri na ukawaonyesha jinsi ya kukaa kimapenzi na kumtambua Allah. Hio ndio sababu Allah awazidishie mapenzi yenu. Wanaume wengi hawana mapenzi, wala ucha Mungu. Ndio Mana hawakai vizuri. Mapenzi hakuna Sheikh wetu. Ndoa yataka mapenzi na kushirikiana. Allah akulipe jannah firdaus kwa unayo tutendea. Twakupenda sanaaaa Sheikh wetu.
Allah akbar, Allah akbar, Allah akbar, Allah akulipe sheikh JazzakaAllahu feeq kwakweli safi sana kabisa. Wewe ni sheikh wa Kwanzaa ulimwenguni kwa Kazi hiyi, waallaahi allah swt atakulipa inshaa'Allah, ni mependa sana
M/,mungu amzidishie imani mama huyo. Machozi wallahi yamenitoka au kulia niseme. Alhamdulillah atleast watoto wamegundua makosa yao. M/mungu awasameh kwa wote. Awaongezee mapenzi kuliko waliyokuwa nayo mwanzo. M/mungu atakulipa ujira wako maalim. Kazi nzuri uloifanya.
Haaaaa Allah atunusuru Hata kama mamangu ni mchawi kweli cmdhalilishi ntampa nasaha taratibu na niamke usiku kuswali tahajud nimuombee mungu amuondoshee.
Ya allah wahurumie wazazi wetu kama walituhurumia tukiwa wadogo
Ameen
Ameen
Amiin amiin amiin araabi
Allahumma amin
Ameen thumma ameen
Shekh othman michael nimekubali kazi yako mashallah allah akjaalie uingie peponi kwa rehma yake bila ya hesabu.
Amin😢😓😓😢😢😟
Mimi kama mimi sheikh Othman Michael nakuombea kheli sana Allah akuzidishie kila lenye kheli
Ameen Ameen Ameen yarab
Ameen yaraab alamiin.
Ameen
Allahumma amiiin Yarabb
Maashaallaah mama ni mama tu mama kila kitu duniani jamani nikitu muhimu sana mama vzr kuwasamehe watoto
Wallahi mipia nafurahi kwa msamaha ,machozi yanitoka mama ni pepo ukiikosa moto watungoja.subhanallah watoto wana ilmu wameteleza yarab tuongoze
Ameen yarabby
Allahumma amiiin Yarabb
😭😭😭😭😭hili nifunzo kubwa sana kwetu na shekh Othuman Allah Akulipe kher nyingi kwa kazi yako hii wallah nimelia😭😭😭
Huyu shekhe anapatikana wapi
Naww shehe mungu akulipe hery nakupenda sana shehe Othman kwaajili ya Allah hatuna chakukulpa ss ila Allah atakulipa ishalla
Kila alie toa machozi kama Mimi agonge like hapa😭😭😭😭😭
Shukran Shekh othman
Maasha llah jazakallah khair. Sionduguzangu wadam ilakwaimani inasikitisha sana. Alla akulipe kheir shekh kwa wema wako. Mtihani alla awafanyie wepesi isha allah nawewe utalipwa na allah
Yaani nimejikuta namwaga machozi tu allah atupe mioyo ya kusamehe na tuwaheshimu wazazi
@@mariambakari996 Amiiin
@@mariambakari996 Ameen
😭😭😭😭😭😭 Mungu haniwekee mama hangu nampenda sana
Inaniuma sana... Ninapoonamtu anakosanana mzaziwake
Allah akulipe shekh hakika mwenye kujutia kosa bas Allah humjaalya neema I love mama
Subhana allah watoto wengi wana tabia hii ya kuwasingizia wazazi wao wachawi haswaaa wale wanaeolewa huwa chanzo cha kuwatia fitina waume zao allah akulipe kheri shekh wetu
Ni kweli
Allah amuweke mama yangu mahala pema peponi, amuondoshee adhabu za kaburini, nimejikuta natoa machozi jaman tuwajali mama zetu walohai na tuwaombee dua walotangulia 😭😭😭😭🙏🙏
Amin
Pole sana kaka
Amiin
Wallah nimelia Sana kuona mama anahisiwa vibaya na watoto wake wakuwazaa shekhe allah akulipe na ss we gine tumejifunza kitu kikubwa sana
Naomba kuuliza ndugu zanguni hivo hii ni Kweli imetokea au Wanafanya acting tu?!🤔
@@fatmaabdallah7709 hiyo nkweli
Mashallha nasisi tunajifumza
Mwenyezi mungu atakufanyia wepesi at akubark atakupa noor pamoja na family akupeni pepo ya duniani na akhera
Ameen Ameen Ameen yarab
Ameen yarabi🤲🤲🤲
Yaarabbi aniepushe na maneno nitakayokuwa nazungunza mbele ya wazazi wangu hadi nimejikuta natoa machozi kwa hiki radhi ya mama inauma sana Yaarabbi niepeshe na maneno ya kiibiris mbele ya mama yangu😭😭imeniuma sana ila sheikh othumani asante sana kwa kusaidia kuwaombe msamaha kwa mama maana mama alikuwa amekasirika sana .kwahili nitamtii mama yangu maisha yangu yote🙏🙏
Amiin insha Allah
Allah akuzidishie kher kweny maisha yak Shekh wetu
Wallah nimetoa machozi sheikh Allah akupe umri mrefu akuzidishie heqima na busara akujazie thawabu akawunt ya. Akhera
Ameen thumathuma Ameen
Ammin yarab
Kama ww msambaa gonga like twende pamoja Hongea shekhe wetu mungu akuongoze tifeifike
Wallah mumeniliza kwa machungu aliokuwanayo Huyo mama mwenyezi mungu akupe afwa njema na umri mrefu.
Tumrejeeni mwenyezi mungu unapo kosa enyi ndugu zetu waimani.
Alhamdulillah alhamdulillah mamayng mungu akuongezee tuzid kupendana
Mashallah sheikh othman mpaka nimetoka na machozi Allah akupe afya na umri mrefu na Allah akupe kheiri hapa dunian na kesho akheira ameen ya rabi
😭😭😭😭wallh nimelia,mungu naomba nipe maneno matamu na mama yangu
Ameen
ALLAH akujaalie umri mrefu shekh wetu,ALLAH atuongoze
Ameen Ameen Ameen yarab
Ameen yaraab alamiinsote jamii Islam
Amina
Allah akupe maisha marefu shekhe Othman uwepo wako katika dunia hii umesaidia wengi ambao wasingepata elimu kutoka kwako wangesha tengana,,,😢😢 hakika unaunganisha jamii ya kiislamu isitetereke 🤝🤝 Allah akupe maisha marefu na afya njema daima🙏🙏🕌
SubuhanaAllah yani Allah aniekeemamaangu nachochote atakacho niweze kumtimizia niwe ninacho au sina niweze kujituma hadi aridhike mkubwa hakusei mdogo mama Allah akulipe kheri na baraka tele
Ameen Allah atuwezeshe sote in shaa Allah
Sheikh !! Allah akupe mwisho
Mwema
Ameen.
MashaAllah MashaAllah Allah akulipe gheri na baraka sheikh wetu nakupenda kwa ajili ya Allah
Ewe mama yetu mwenyezimungu akubari kwakuaseme wa Toto wako🙏🙏chekh wetu mwenezimungu akubarik kwa ufundisho wako🙏🙏🙏🙏🙏🇧🇮
Nimejikuta nalia wallahi mungu atujaalie kizazi kilicho bora
Amiin
Amin
AMEEN, Allahumma Ameen
Amiin dhumma amiin
Allahumma amiin
ALLAH AKBAR yani nimeliya saan .Mama wampe msamaha wanao kwa ajili ya ALLAH from🇨🇦🇨🇦
😭😭jaman tujitahidi kuwatendea wema wazazi wetu apo mzazi akifa n hujapata msamaha sijui unaenda kujiokoa vp n adhabu z allah nampenda sasa mama yng 😘
Mashaallah mashaallah mashaallah mola akube maisha marefu akuzidishiye iman akuhifathi
Mtihani yarab yaallaah tupe mwisho mwema
AMEEN, ALLAHUMMA AMEEN, YAA RABBIL ALAMEEN
Alhamdulillah 😢😢😢 Allah akuzidishie shekhe kwakusuluhisha matatizo ya watu
سبحان الله. اللهم اغفر لي ولوالدي و ارحمها كما ربياني صغيرا. أمين يارب العالمين
Amin
Awa waliwadha nini jamani duuh pole
Ameen 🤲
Allah akuhifadhi sheikh wangu 🤲 Tunakupenda Bi idhnilla❤❤❤
MashaAllah kisa cha mazingatio sana.Allah atupe mapenzi ya juu na wazazi wetu.
Mjaalie mamangu na waislamu wote waliotangulia janaat ya rabbi,, mama ndio nuru kwa kila cku ya maisha
SubhanaAllah Alhamdullillah it mad e me cry sooooo much SubhanaAllah 😢 😭
Allah akuzidishie sheikh umri mrefu Machozi yananitiririka Allah akuzidishie sheikh ❤❤❤
Namuombea mama yangu kheri,afya njema na maisha marefu, nakupenda sana mama yangu
Masha'alllah sheikhy othuman Michael Allah akulipe kwa wema wako inshaallah
Alhamdulillah...mama Allah akuzidishie nimedondokwa na Chozi😭
Mashallaah sheikh Othman Michael naanza kupata nafuu kwa idhini ya allah dawa ulizonipatia kuhusu kusumbuliwa na majini mahaba hakika allah azidi kukupa heli na Baraka
Iki kipind nimeanz kukijua jana 2 wallah lkn natamn kila ck nione darsa xloambatan na suluh nimekipenda na tunafaidika kweli alhamdulillah
Mola akup kla la kher Sheikh elmu yak iwe n sabab ya umma kuongoka na kuw ktu kmoja na sababu ya mafanikio ya dunian na akhera 🤲🤲
Mola atup mwsho mwsh na elmu yeny manufaa na cc dunian na akhera 🤲
Amina
Hata mm ni jana daah allah atufanyie wps kweny doa zet
Allahumma amiiin Yarabb
wallah ustadhi Allah akuhifadhi akupe umri tawil ustadhi machozi yamenitoka ustadhi mama yetu na yeye Allah ampe umri ili wanawe waweze kupatiliza wema zaidi ya uovu walio mfanyia ili ata itakapo fika hatima yake aondoke akiwa radhi na wanawe 😢
Nimekujikuta nalia bila kujitambuwa wallahi
Allaah azidi kutuongoza kwa Neema zake
Amiin amiin amiin yarab
Binafsi nimelia
To sad 😭😭 kumtusi mzazi ..
Pia very sad kuona watoto kuomba msamaha na kulia..
Sheikh Othman pongezi sana kwa kazi yako nzuri MashaAllah
Subhanaallah mungu TUSAMEHE fi dunia walakhera mitihani inayotupia sisi VIUMBE VYAKO thaifu yaarabi 🤲🤲🤲🤲
Usheikh mgumu. Kama mimi ningewatembezea bakora na vibao hao watoto kwanza. Lakini kweli ndio maana mimi si sheikh, na kweli Allah amzidishie busara na hekima Sheikh Othman, na azikubali dua zetu, Amiin
😁😁
Mashaallaah Sheik Othman Michael mungu akuzidishie umri inshaallah
alla akulipe kher inshallah
Nyie watoto mkome kabbisa tena mshike adabu zenu.mnasali huku mnammshirikisha Allah? Allah haibiwi hakika. Mama. Wasamehe wajinga hao Pia waache kumshirikishm Allah. Washirikina hao.
Mtume s.a.w amesema mwenyekumwendea mpiga ramli akamuuliza jambo nahata kama hakulisadiki hatakubaliwa ibada zake za siku arubaini naambae amesadiki amekufuru yote aliyoteremshiwa mtume Mohammad s.a.w ambayo ni qur an hivvyo. Kama mama atawasamehe bado mnatakiwa mlete. TOBA. KWA KUMMSHIRIKISHA ALLAH
Nimeona watu wengi wakiwaombea msamaha tu. Nisawa ila. sijaona. Wakiwaonya Mimi bado nasema wakome
Alhamdulillahi Rabil alamiyn.
Tumshukuru Allah kwa kumjalia Shkh Athuman Michael kwa kauli zake za hikma upole na vifungu vya Aya na khadithi mpaka Mama na wanaye KURIDHIANA KWA AMAN.
Mimi nawaombea Aman baraka upendo neema..
Nawaombea nyote enyi mliopataniishwa pamoja na shkh wetu na waislam woooote tuwe na mwisho mwema.
Tuingie sote pepon Amin.
😭😭😭vile ninavompenda mama yangu hata nikimpigia simu niskie anaongea na sauti ya unyonge walai naumia sana
Kumbe ww nkama mm yni naenza shindwa hata na kazi kwa sababu tu nimeskia mmangu Hana raha kwa simu yni lazima ni juwe Ana shida gani mpka Hana furaha wallahi nampenda sana Mmangu na Bbangu Alhamdulillah
Nitapataje namba ya huyu anajua stazi
Dah Wallah hakuna kama mama hakika nampenda sana mama yangu
Wanawake kwa ujumla wanahuruma lkn akitokea mkorofi nihatari huyo
Acha😭😭
Yarabi mwenyezi mungu utufanyie wepesi dunuani na akhera
Allahuma Aamin Yaarabiy na watoto hawa awape imani na khofu ya Allah
Subhanallah... Allah awadumishe kupendana watoto na mamayenu... Allah akulipe ujira mwema shehe Othman Michael.. Allah atudumishe kuwapenda wazazi wetu..
Ma shA Allah Allah atujaalie tupende wazazi wetu ya rabbih
MaashAllah sheikh wetu umefanya kazi kubwa sana Allah akuzidishie kheir InshaAllah na ukupe umri mrefu Aaamen.
Allah atuzidishie upendo
Msshaallah Asante shehe kwakipindi kizuri nikisikiliza vipindi vyako vinanikumbusha mbali sana najikuta tu nalia mwenyewe
Mama ni mama hata kama hana maana ❤️❤️ nakupenda mama yangu 🙏
Ma asha allah sheikh shukran kwa mawaidha ,unaelimisha in sha allah nakuombea Jannatul fardousa🌹🤲🌹🤲🌹🤲
Subuhanallah 😭😭Allah akulipe khery Shaikh Othuman
Yaa rabi nitunzie mama angu umujalie maisha marefu ili Mimi mwanao nizidi kukusaidia inauma sana jaman 😭😭😭😭😭😭😭
Subbuhana Allah nimelia kwauchungu yaalabbih awadumishe namaerewano adi mwisho wamaisha yao Allah humma ameen👏
iyi clip imenitowa machoz kiukwel...Allah atusamhe sis ambao tuko nawazz wet2 walioko hai
Allahumma Amiin
Hi video imeniliza sana sana. Hadi najiuliza kweli wazazi wangu wanaridhika nakile ambacho nawatendea au bado.
Nijihisi sifanyi chochote kwao
Mungu atujaalie radhi zawazazi wetu
Wallah machozi inauma sanaa 😭😭😭😭😭 sheikh Allah akulipe
Subhana Allah
Allahu Akbar
😭😭
Allah atuzidishie mapenzi kwa wazazi wetu🤲🏻
😭😭😭inaliza kwakweli, lakini wamejua kosa lawo. الله ataleta weepesi wake.
Amina
Mwenyezi Mungu Atusamehe sisi waja wake In Shaa Allah... Mara ya kwanza alipokuwa anaingia huyu kijana nilikuwa nafikiri pengine hajasoma Qur'an kumbe amesoma na MashaAllah amebobea, lakini licha ya hayo yote anakosa kumwaamini Mungu hadi anaenda kwa waganga jamani na kuambiwa fitna hadi anakosa hikma na kutoa maneno makali kwa mama yake mzazi, SubhanaAllah...YAA RABBI MLINDE MAMA YANGU POPOTE ALIPO, KWANI SAHII YEYE NDIYE MAMA NA NDIYE BABA, VILEVILE MPE KHERI MAREHEMU BABA YANGU KABURINI KWAKE ZITOKAZO KWAKO KWANI BILA WEWE HATUNA WAKUTUPA MSAMAHA. ... Sheikh Allah Akubariki sana na Akupe ilimu zaidi In Shaa Allah.
Mashaallah mashaallah mungu ni mwema mashaallah.nakupenda sana mama❤ sitaki tukosane Inshaallah
SubhanAllah, masha Allah, Allahu Akibaru, wallahi nimetoka na machozi kama yanayotoka kwa mfereji,,,,,
Atakae ona video hii chozi isimtoke basi ana lake....ila Alhamdulillah mola amelainisha moyo wa mamatu ...alhamdulillah mama katoa msamah
Wallahi tuwapede wa mamazetu
Amini.mungutakulipa
Mm.sinamama.naumiasana.nikiona.wezanguwanachezeamama.awsaminiatakindongu
Subuhanalla mungu atuhfadh na hasra zetu juu ya wazaz wetu kwan wao ndongaz yamafanikio nimeshindwa kujizuwya nmeliya M Mungu akupe maisha marefu yenyeher na baraka shehe wetu tunajivuniya sana uwepo wako Maalim
Alhamdullillah Alhamdullillah machozi yamenitoka 😂machozi ya furaha,mashaallah mashaallah mama mzazi,inshaallah Allah atakulipa kheir Amin
Kwa vyovyote mzee anaumia sana anapoambiwa mchawi, pole mama wasamehe hao washiririkina wakubwa. Allah ajaalie iwe dawa yao ya kuacha ushirikina, Amiin.
Nikweli jamni pole mama yetu.nakumbuka binamu yangu kabisaaaa aliniambia mchawi namroga asifanikiwe navitu kibao,nikalia sana nikasema km kweli nakufanyia hivyo Mungu aniadhibu hapa hapa duniani nikashukuru basi.Mungu mkubwa
Watu waomba msamaha we wwaita washirikin so vzr
Sheikh ww Allah akulipe kheri ya khera na dunia kwa jitihada yako Allah humma ameen
Maasha'Allah Tabarak'Allah mama Allah akuzidishie kheri hapa duniani na kesho akhera In shaa Allah
Mashaallah Mashaallah ama kweli nimelia kama mtoto mdogo mama mungu akupe kila la kheri
Alhamdulillah shehe kwa kazi hii Allah in shaa Allah akakuweke poponi bila kuhesabiwa amiiin
ALLAH atupe mwisho mwisho mwema sisi pamoja na wazazi wetu innshallah rakher pia atuepushe na shirki.sheikhe othumani Allah akupe umri mrefu maana junajifunza mengi kupitia mawaidha yako 🙏🙏
mashaallah sheikh ALLAH akulipe kila mazuri kwa suluhu iliyotoka na sisi ALLAH atuongoze YAARAB
Alhamdullillah PEPO IPO chini ya unyayo wa Mama yenu. Shehe othman Allah Akulipe. Inshallah
Nimetokwa na machoz sanaa yaani hapa tu tuna Ndugu wa baba wakike anaambiwa mchaw na mtoto wake wakwanza wakike...shangaz analia kila uchao namuhurumia😭😭😭 wacha nitawaskilizisha hii....Alhamdhulillah sheikh Allah akuweke utujuze kutulainisha zaidi
Kwa kweli nimelia Sana kwakuskiza hii nasaha Allah akulipe heri sheikh othman na akupe umri mrefu yani kila siku nakufatilia vipindi vyako vyani gusa Sana insha Allah wakaelewane wakafungukiwe na kila LA heri ya Rabb🤲🤲🤲😭😭😭
Alhamdulillahi Rabbi insha allaah shekh Othman Micha tuilimishe kwamawaidha yako iwe sadaqa kwako kwa allah amin
😭😭Mama mtu wa tamani katika hii dunia yarabi muepushie mamangu adhabu ya kaburi
Aslm alkm wtw..... Wallah Sheikh nimelia kabla hujalia wewe. Maneno ya huzuni. Kijana Mola akupeni kheir vijana wangu. Sheikh Othman wakezako wewe ndio chanzo Cha wao kupendana. Wewe umzuri unakaa na wao vizuri na ukawaonyesha jinsi ya kukaa kimapenzi na kumtambua Allah. Hio ndio sababu Allah awazidishie mapenzi yenu. Wanaume wengi hawana mapenzi, wala ucha Mungu. Ndio Mana hawakai vizuri. Mapenzi hakuna Sheikh wetu. Ndoa yataka mapenzi na kushirikiana. Allah akulipe jannah firdaus kwa unayo tutendea. Twakupenda sanaaaa Sheikh wetu.
More love for Kenya 💖💖💖🇰🇪🇰🇪
Asalam aleykum Sheikh Othman, Allah akuzidishie kwa hayo uyafanyayo ya kusuluhisha watu Allah akupe nguvu na imani aminnn.
Mwenyezi mungu atufanyie wepesi duniani na akhera yarabbi mwenyezi mungu atutakabalie dua zetu
Dada yangu mpenzi asalam shukuru wanao bado wana imani ya mwenyezi mungu wasamehe nakuombea
MashaAllah, shekh Mola akulipe jannat fridhaus😭😭😭
Allah akbar, Allah akbar, Allah akbar, Allah akulipe sheikh JazzakaAllahu feeq kwakweli safi sana kabisa. Wewe ni sheikh wa Kwanzaa ulimwenguni kwa Kazi hiyi, waallaahi allah swt atakulipa inshaa'Allah, ni mependa sana
😭😭😭SubhanaAllah pole sana
Allah Akbar. mashaallah Allah awahifadhi wote..waliokosea, alye samehe, na aliye suluhisha.
😭😭😭ya Allah tupe Kher Kwa wazazi wetu
Mungu atupe kauli njema kwa wazazi wetu na atupe mwisho ulio mwema ndani ya familia zetu,,,🤲🤲🤲🤲
Mola atupe mwisho mwema cc na wazaz wetu 😭😭😭
Ameen
Amina yaraby
Amiin
Allah atujalie mwisho mwema cc nawazazi wetu amiin
M/,mungu amzidishie imani mama huyo. Machozi wallahi yamenitoka au kulia niseme. Alhamdulillah atleast watoto wamegundua makosa yao. M/mungu awasameh kwa wote. Awaongezee mapenzi kuliko waliyokuwa nayo mwanzo. M/mungu atakulipa ujira wako maalim. Kazi nzuri uloifanya.
Haaaaa
Allah atunusuru
Hata kama mamangu ni mchawi kweli cmdhalilishi ntampa nasaha taratibu na niamke usiku kuswali tahajud nimuombee mungu amuondoshee.
MashaAllah tabarakallah ya Allah tujalie mwisho mwema wallah rah sn
Mwenyezi mungu utusamehhhh makosa yetuuu
Allah akupe maisha maref shekh
Alhamdulilah Rabbil Alamin shukran sheikh Othman kwa suluhi jazzakallahu kheri