Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 лип 2024
  • Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
    Mashaa Allah Sheikh Walid Bin Sheikh Alhad Omar akielezea kwa uzuri na ubora wa hali ya juu Ya Fanya Haya Kila Baada Magharibi Utafanikiwa / Tofauti Kati Ya Kujaaliwa Na Kujibiwa/ Sheikh Walid Alhad Omar
    tizama mpaka mwisho usisahau kushare
    usisahau kutu support kwa subscribe channel yetu na kutu follow kwenye social media zetu inshaallah support yako ni muhimu sana
    Support us DARSA TV
    M-PESA +255 765100906
    Paypal 👇👇👇👇
    paypal.me/DarsaTv?locale.x=en_US
    Get MORE of DARSA TV:
    ► WATCH MORE: • Swala za Mtume Zinazop... ​
    ► FOLLOW DARSA TV on Instagram: / ​
    ► LIKE DARSA TV on Facebook: / ​
    Subscribe
    Comment
    Like
    And
    Thanks
    Tu follow katika social media zetu
    Facebook @Darsa tv
    Instagram @Darsatv
    UA-cam @Darsa tv
    TikTok @Darsa tv
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 47

  • @user-qb3yh9gq5l
    @user-qb3yh9gq5l Рік тому +9

    YAA RABII MPE MAZURI SH WETU DUNIAN NA KESHO AKHERA NA FEMILI YAKE

  • @FatmaHajj-z7s
    @FatmaHajj-z7s 8 днів тому

    Alhamdullilah Allah atakulipa Kwa kutuelimasha

  • @yusufbongo9785
    @yusufbongo9785 Місяць тому

    Shukran sheikh walid alhad

  • @shabanizena2612
    @shabanizena2612 10 місяців тому +2

    Alhamdulillah waneemat'il Islam yarab

  • @harunarashid1650
    @harunarashid1650 Рік тому +3

    Mashalla Alihabibi Nakupenda Sana Alla akupe kheri.

  • @jamilanassor1135
    @jamilanassor1135 Рік тому +5

    Shukran Sheikh wetu Allah azidi kukuhifadhi

    • @hawamkumbwa6490
      @hawamkumbwa6490 Рік тому

      Sheikh asante.Kwa wanaosali nyumbani peke yao wafanyeje?? Naomba majibu nimependa sana hiyo.

  • @allymchuzi5466
    @allymchuzi5466 Рік тому +3

    Shukrani shekhe Walid kwa faida kubwa uliyotupa allh akuhifadhi na akujaalie umri mrefu tuzidi kufaidika na ww

  • @ashamussa5129
    @ashamussa5129 9 місяців тому +1

    MASHALLAH JAZAKALLAH KHER MUNGU ATAKULI PA HERI

  • @hawaamohammed6687
    @hawaamohammed6687 Рік тому +3

    Hakika wewe nihazina.MashaAllah

  • @mkmwayama4534
    @mkmwayama4534 Рік тому +3

    May Allah bless you sheik...darasa zako zimenipeleka mbele ki iman

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Рік тому +2

    Barakalahu fiku Allah ajalie mwanangu qwe kama wewe

  • @habibaabass2922
    @habibaabass2922 Рік тому +2

    Ahsante sana sheikh alla akujaalie jazaa njema

  • @HairahSayyed-hs9sb
    @HairahSayyed-hs9sb Рік тому +1

    Mashaallah tabarakallah

  • @bentybenty2343
    @bentybenty2343 Рік тому +3

    Masha ALLAH Tabarakallah. Shukran sheikh ALLAH akulipe kheir.

  • @basmaabdul1143
    @basmaabdul1143 Рік тому +7

    انشاالله FINALLY SHEEKH WALID IN NAIROBI THIS YEAR

    • @abdallahismael3993
      @abdallahismael3993 Рік тому

      Twende

    • @aminaawal8953
      @aminaawal8953 Рік тому +1

      Shekh sababu ni kua hawana kipato wala watu hawawatizami walimu wa madrasa kwa jicho la tatu mbona walimu wa school hawaombi

    • @jumamwegelo9563
      @jumamwegelo9563 Рік тому

      Allah akujalie maisha malefu amen

  • @aquinoilham5941
    @aquinoilham5941 Рік тому +8

    Asalaam alaykum warahmatullaah wabarakaatuh ustaadh samahani mimi nina swali .... swali langu ni mimi ni wa kike na huwanasalia nyumbani je dua hii haifai kusomwa na wenye kuswali nyumbani ila kwa wenye kupata jamaa tu....naomba kujua sheikh wetu

    • @YusrayYunus-rr1kq
      @YusrayYunus-rr1kq 7 місяців тому

      shekh m naomba umjibu huyu

    • @sammarley1413
      @sammarley1413 5 місяців тому

      Ibada zote kwa mwanamke nibora nyumbani kuliko masjid. Mwanamke kwenda msikitini ni dharura tu kama ijuma ao yende kwa ajili ya darsi

  • @ruqaiamohammed345
    @ruqaiamohammed345 Рік тому +3

    Shukran shekhe kwa sie tunaosali nyumbn je ?

  • @maliamhotimaliamhoti5302
    @maliamhotimaliamhoti5302 Рік тому +4

    Allah azid kukuhifadh sheikh walid, tunapata faida nying mashaa Allah. Kwa sisi tunao swali nyumban inakuwaje sasa?

    • @vamelamani2381
      @vamelamani2381 Рік тому

      Allah tabarak wa tanlaah azidi kuku ifadh sheikh walid

  • @yusufchaki8683
    @yusufchaki8683 11 місяців тому

    Asalamualeikum. Skh jhazakkalahu khair for dua clip. Asanto

  • @saidasaleh6376
    @saidasaleh6376 Рік тому

    Shukran Allah akulipe jee na sie kina mama tunaoswali nyumbani itafaa au mpk wanaoswali jamaa mskitini tu

  • @sheikhaalamoudi3390
    @sheikhaalamoudi3390 Рік тому +7

    Sheikh ikiwa ni mwanamke aswali nyumbani hana jamaa atakuwa hawezi kusoma ?

  • @mahamudguyo-fn2dj
    @mahamudguyo-fn2dj Рік тому

    JazakAllahu kheir Ahlan

  • @tumajunior6080
    @tumajunior6080 Рік тому

    Shukran jazzakallah khairan

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Рік тому

    Shukran kwa ijazaah, na mengineyo mengi tu

  • @zakiasiwa797
    @zakiasiwa797 Рік тому

    Allah akujaalie umri mrefu wenye heri na ili waja wake wapate kuelimika kupita kwako, Ameem

  • @IMRANSTORIES136
    @IMRANSTORIES136 Рік тому +2

    Shukran sheikh, Allah atujibie dua zetu aamiin

  • @nayeemn9275
    @nayeemn9275 Рік тому +5

    Allah akupe umri mreefu wenye kheri na Baraka. Vip kwasis tunayo salia nyumbani?

  • @safiasaleh669
    @safiasaleh669 Рік тому +1

    🙏🙏🙏🙏🙏🤲

  • @CholoBoy-wo9yf
    @CholoBoy-wo9yf 19 днів тому

    Nakama Ni mwanamke utafanyaje nasisi huswali nyumbani

  • @NajuuuzAhmed
    @NajuuuzAhmed Рік тому +3

    Asalam alaikum warahmatullah wabarakatuh. Je kwetu sisi wanawake huu uradi hatuwezi kuupata maana twasali nyumbani sio jamaa?

  • @mgenisalim6830
    @mgenisalim6830 Рік тому +2

    Asalaam Aleiko
    Nilikuwa nauliza jee kwa wanawake tusoma vipi maana hatuswali jamaa

    • @Khamisussi
      @Khamisussi Рік тому

      W.salam. nilipata kusikia kwa masheikh kuwa jamaa ya mwanamke ni pale ambao ikisomwa azana tu akasali hapo nd itakuwa imepatikan jamaa kwa wanawk wasio sal mskitn

    • @faridaikussi
      @faridaikussi 9 місяців тому

      ​@@Khamisussinakushukuru kakaangu

  • @ashuramzungu
    @ashuramzungu Рік тому

    Shekhe kwasisi wanawake tunao swali nyumbani dua hii vipi?

  • @user-db3hv6zq1d
    @user-db3hv6zq1d Рік тому

    Kwa Sisi wanawake tunao salia nyumbani hatuwezi kusoma?

  • @buhitexmohamed4785
    @buhitexmohamed4785 Рік тому

    Na kama hauko kwa jamii uko nyumbani ?

  • @yes_yes1310
    @yes_yes1310 Рік тому +2

    Kapu la Sheikh 🤣🤣🤣 ilo.