Ni Nini Kilichotokea Baragoi?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 лис 2012
  • Maswali mengi bado yanaulizwa kuhusiana na shambulizi lililopelekea vifo vya zaidi ya maafisa 30 wa polisi. Wengi wakishangaa iwapo maafisa hao hawakuwa wamejitayarisha kwa makabiliano hayo au kuna baadhi ya maafisa waliowasaliti kwa wavamizi.kikosi cha nipashe kilimpata afisa mmoja wa polisi aliyeokolewa kutoka kwenya mkasa huo zaidi ya saa 48 baada ya mkasa huo kutokea na anaelezea kwa kina yaliyojiri.

КОМЕНТАРІ • 94

  • @shadykim.mediasolutions
    @shadykim.mediasolutions Рік тому +6

    We should pray for our government, the police forces etc, i think there's wisdom which could be applied to avoid this pray, pray for kenya.

  • @robertkibera7779
    @robertkibera7779 2 роки тому +5

    Ukiwa kwa mlima definitely you will win

  • @UshindichoirMusique
    @UshindichoirMusique 2 місяці тому

    Pole sana vraiment MUNGU apewe sifa Sana

  • @ramchabaha5575
    @ramchabaha5575 4 роки тому +9

    kenya n kelele tu king kaka uko sawa vile ulisema

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Рік тому +1

    This is one thing i applaud musevrni he is hands down if it comes to bandits in karamoja or north we don't have banditry.

  • @peterkamau2960
    @peterkamau2960 4 роки тому +25

    This was the highest manslaughter in Kenya. How can a govt' with antistock theft send fresh trainees in baragoi who had no idea of how the terrain was???? May their souls continue resting in eternity

  • @musalemagas6863
    @musalemagas6863 Рік тому +2

    Am very sad to the our Young soldiers for both lost life and injured and may God Forbid 🤔🤔🤔

  • @rukayasalafiyat5230
    @rukayasalafiyat5230 4 роки тому +2

    Oooh maskini ni hasara sana kupoteza police mkenya
    Pole sana

  • @abdomohd2494
    @abdomohd2494 Рік тому +2

    Poleni sana mandugu zatu.lakini watu hawo watowa wapi silaha.

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee Рік тому

      Wako na magaidi kwa serkal,na pia wakiuwa polisi wanachukua silaha na ug pia.

  • @sammycharomwalili6728
    @sammycharomwalili6728 2 роки тому +3

    Hii walipanga kuwauwa police chuguzeni vizuri

  • @stevek8318
    @stevek8318 Рік тому +2

    Lucky man

  • @JBK1964
    @JBK1964 Рік тому

    Poleni sana

  • @ENOCKKIPKOECH-rl5on
    @ENOCKKIPKOECH-rl5on 3 місяці тому

    Ok

  • @raymondmayiekondege8839
    @raymondmayiekondege8839 Рік тому

    Pole sana mkisiinwetu

  • @ismailadan6012
    @ismailadan6012 Рік тому +11

    I send my condolences to the family everyone who lost their loved ones soo painful 🥺😭😭😭

  • @kenotieno5007
    @kenotieno5007 Рік тому +1

    Lack of planning and strategy in the Kenya police operations.

  • @enosowino2113
    @enosowino2113 Рік тому

    Poleni bro

  • @kingschannelvoiceofjustice6255

    I can if given opportunity.

  • @millyjohns1906
    @millyjohns1906 Рік тому

    My deepest condolences

  • @danielkaruga7770
    @danielkaruga7770 Рік тому +1

    10yrs after, Situation is the same

  • @josephmakaumunyao4869
    @josephmakaumunyao4869 5 місяців тому

    Needed air support

  • @timothylangat4821
    @timothylangat4821 4 роки тому +6

    Kenyan government has no mercy on it's people

  • @thomasisaiah9319
    @thomasisaiah9319 4 роки тому

    Pole

  • @dishonotieno5591
    @dishonotieno5591 Рік тому

    It looks like a movie .......

  • @davidmaingi874
    @davidmaingi874 4 роки тому +6

    Kulikuwa na msaliti hapo,bt askari mnaitaji zoezi special ju hawa watu wako na ujuzi kuwaliko

    • @CoolBoy-kq1kq
      @CoolBoy-kq1kq Рік тому

      It was ambush ,,ata uwe n training gani chances of survivor very less

  • @ephraimngiria868
    @ephraimngiria868 Рік тому

    Has this been sorted now .I think this now the work of county governments so settle between themselveves

  • @murithimugambi8217
    @murithimugambi8217 Рік тому

    Gok sould make sure it works better for the action

  • @erickkioko-fk4pb
    @erickkioko-fk4pb Рік тому

    Only God our provider nowns

  • @rashid.mwenyezimunguakurin2968
    @rashid.mwenyezimunguakurin2968 4 роки тому +5

    nyinyi wazembe tu vita hamijui nimdomo tu

    • @samuelmaloba4939
      @samuelmaloba4939 4 роки тому +1

      Ukweli mbona wajiingize ndani ya bonde na wengine wasikae juu

  • @dennisotieno6384
    @dennisotieno6384 Рік тому

    Very painful

  • @harunmuhammed4371
    @harunmuhammed4371 4 роки тому +2

    Mnajua kupiga tu rai . mafi ya kuku

  • @philemonkipkemoi3314
    @philemonkipkemoi3314 Рік тому

    Poleni wanzangu

    • @SP1-media
      @SP1-media Рік тому

      One policeman dead is one bad character gone

  • @babyofficial7767
    @babyofficial7767 4 роки тому +3

    Kutoka Tanzania nyie kama jeahi mutaendaje kizembe

  • @nobertkarisa2380
    @nobertkarisa2380 Рік тому

    Afadhali hivyo mumezoe sana kitu kidogo askari wa kenya chaitu

  • @emilygatwiri7223
    @emilygatwiri7223 4 роки тому

    Maria

  • @athmanchimerah3379
    @athmanchimerah3379 4 роки тому +4

    Gvnt hawawezi kuaford kitengeneza helcopter bt Kuna watu wako n private helcopters hahahaha what a joke country

  • @anthonymaina2902
    @anthonymaina2902 Рік тому

    In the Era of Mathew Itere so many officers died.

  • @pascalinejebet1508
    @pascalinejebet1508 Рік тому

    Aki poleni

  • @elphaskiplagat6461
    @elphaskiplagat6461 4 роки тому +3

    They did not call for backup

  • @mwendapoleee
    @mwendapoleee Рік тому

    Kuna wasaliti in the security organs by the time this guys do an ambush the bandits are well informed.Its a shame it spells doom.

  • @jestonelazaro6543
    @jestonelazaro6543 Рік тому

    Wakenya Jenga Kambi ya jeshi huko

  • @mrambanyundo117
    @mrambanyundo117 Рік тому

    weeee kwa fikira zangu ma bandit wako bunge

  • @emmanuelkulokhoma8971
    @emmanuelkulokhoma8971 Рік тому

    Our officers needs more training in military you cant fight what you don't know , we can loss many officers if we go that way. Let there be no movement zone for just one month and they will surrender as simple as that.

  • @PeterMakau-uj4on
    @PeterMakau-uj4on 4 місяці тому

    Kupunguza namba ya polisi

  • @wilfredmungai2998
    @wilfredmungai2998 Рік тому

    Ole Jo

  • @jacktoneafwandeooko2676
    @jacktoneafwandeooko2676 Рік тому

    sad

  • @_Kipkorir
    @_Kipkorir Рік тому

    9 officers Killed 26/09/22 . In 2022 We are still taking of cattle rustling. Rip this must end

  • @josephmuthami4710
    @josephmuthami4710 Рік тому

    This area is hot terran is terrible why did Kenya Army provide airstrike all police died nobody bothered be serious on Kenyan security mdomingi while people are dying

  • @joelnyaga1985
    @joelnyaga1985 Рік тому

    Hao majangili wapelekwe somalia

  • @erickkioko-fk4pb
    @erickkioko-fk4pb Рік тому

    Only God kwom

  • @djrichieofficial7222
    @djrichieofficial7222 4 роки тому +1

    Sasa kama wewe umefunza juzi kushika bunduki n pale Wale wamezalia wakifunzwa from 7yrs hamuwezi patana SWA I come from Maralal samburu county so iyo watu wanafaa kujua OK.

  • @robertmtiba5604
    @robertmtiba5604 4 роки тому

    Mnajua tu kukimbia jeshi tuachieni watanzania

  • @254adventureseekers8
    @254adventureseekers8 Рік тому

    Ruto is sending kdf to DRC Congo yet he has not been able so put his country at peace

  • @kunaguero7313
    @kunaguero7313 4 роки тому +1

    Police,kdf yote hamjai enda friendly shida ni hiyo .muende somalia, south Sudan na iraq

  • @nyanjechengokarisa1540
    @nyanjechengokarisa1540 Рік тому

    Huyo kibochi si apeleke kdf huko ama snaipers ndio ipambane na hao wahalifu

    • @CoolBoy-kq1kq
      @CoolBoy-kq1kq Рік тому

      Kdf ni idea poa kwa ground battle wako roho juu , uko mount elgon walifagia sabot land defence

  • @nellychebet6542
    @nellychebet6542 Рік тому

    Recruit us pls

  • @machax002
    @machax002 11 років тому +6

    kenya needs an overhaul..

  • @edistaupendo7149
    @edistaupendo7149 4 роки тому +2

    Nyinyi Ni bure sana,kazi yenu Ni hongo tu

    • @fredrickwetiva5122
      @fredrickwetiva5122 4 роки тому +3

      siku mama yako atajipata kwa mikono ya magaidi ndo utajua umuhimu wa askari for now relax na uongee

    • @maxwell3473
      @maxwell3473 Рік тому

      The bandits are ex kdf where do you think of kalenjins who resign or retire from army na hakuna other jobs uko n kusafeguard ngomb'e zisiimbiwe hama uibe

  • @petergicheru349
    @petergicheru349 Рік тому

    Hii ni ukahaba wa serikali ya kenya kwani hawangewapatia ndege ama hizo dege niza kazi gani? Ama hazikuwa na mafuta?bure Sana Takataka .

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee Рік тому

      Mafuta iko kwa waheshimiwa kwa askari hakuna woi Mungu tuhurumie.

  • @scheffertomar2069
    @scheffertomar2069 Рік тому

    Mueshimiwa rudisha matiangi Kwa kazi yake binadamu ukosea na usamehewa . matiangi aliwazibiti Hawa wezi.sasa wanarudi tena

  • @jimmykariuki4340
    @jimmykariuki4340 Рік тому

    Alafu Kenya law society wanapiga kelele,if any lawyer never lost any brother or relative shame on you.

  • @simonkamau4179
    @simonkamau4179 4 роки тому

    Serikari irikubari wakae na buduki.

  • @edwinsimiyubwanamo786
    @edwinsimiyubwanamo786 Рік тому

    Very much bad

  • @joycewafula935
    @joycewafula935 4 роки тому +1

    Uhuru alishindwa kazi kitaaaaaaaambo hana maana yoyote

    • @justicemutai637
      @justicemutai637 4 роки тому

      Very low intelligence level

    • @mofatnyingi9352
      @mofatnyingi9352 Рік тому

      Kwani uhuru ni mwanajeshi?

    • @mwendapoleee
      @mwendapoleee Рік тому

      @@mofatnyingi9352 si yy ndio alikuwa commander in chief sikuile bandits wataingia muthaiga ndio watajua nikubaya.

  • @swaumumachandi72
    @swaumumachandi72 4 роки тому

    Bikini