Kwa Nini Wizi Wa Mifugo Umekithiri, Pokot?

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 12 лип 2013
  • Wanasema hawana lolote la kufanya kwani maisha yao ni msituni na serikali imeonekana kuwatelekeza na ndiposa wakajitosa katika biashara haramu ya wizi wa mifugo huku wakijetea kwa kusema lau eneo hilo lingekuwa na maendeleo hawangejishughulisha na mifugo ya wenyewe......nazungumzia wakaazi wa eneo la Pokot ....na huku hayo yakijiri, mpango wa serikali wa kuwapokonya wakaazi wa eneo hilo silaha haramu unaendelea......Kwa wenyeji swali ni moja tu ikiwa watapokonywa bunduki hizo na wasiwapate askari wa ziada je watajikinga vipi na adui.

КОМЕНТАРІ • 25

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 2 роки тому +3

    Watching 2022🇹🇿

  • @qeyrsheeg7976
    @qeyrsheeg7976 5 років тому +3

    Watching at 2019

  • @johnkamau4294
    @johnkamau4294 4 роки тому +2

    Huyu njama ni comedians.bibi yake alindungwa miba na rafiki yake na mupendasana teteta waturukana nyinyi ni wakenya pia mimi ni mukenya

  • @WycliffeMuniu
    @WycliffeMuniu Місяць тому

    For sure gava wanacheza na hawa watu

  • @Shiro-ig5lk
    @Shiro-ig5lk 3 роки тому +1

    Watching 2020.

  • @yusufkipkemei7100
    @yusufkipkemei7100 3 роки тому +2

    Aaaah

  • @maxshadmaina6112
    @maxshadmaina6112 5 років тому +1

    waah

  • @mbarakahmed3892
    @mbarakahmed3892 Рік тому

    Andikeni asikari wakukomaa wale visirani mambo kama ayo munapeleka wandaazimu uko visirani sio kupeleka watu wamesoma walio itimi wakiuliwa akuna maana kueni na mafikira yakuandikisha jeshi lakupambana na watu aina iyo muimu

  • @teclajesang1923
    @teclajesang1923 Рік тому

    For prayers is the only key to defeat those guys

  • @douglaskiptuit5030
    @douglaskiptuit5030 10 місяців тому

    God iswith us not kenyan government

  • @teclajesang1923
    @teclajesang1923 Рік тому

    We believe the new government will do new thing as far as prayer place we have been given

  • @binttsulu647
    @binttsulu647 Рік тому +1

    Watching 2022 october

  • @nelsonodero3052
    @nelsonodero3052 Рік тому

    Do these people go to school? That's the solution to this menace

  • @davidcheruiyot4709
    @davidcheruiyot4709 Рік тому +1

    Signs of neglect

  • @nyanjechengokarisa1540
    @nyanjechengokarisa1540 Рік тому

    Serikali ya kenya kwanza iongee na youth ya pokot viongozi waweke mkutano pokot na wangalie vijana wa pokot wanasumbuliwa na coast of living that is are mistake of chief office and wazee wa nyumba kumi

  • @josephinenzioki2142
    @josephinenzioki2142 3 роки тому

    Yasmin you mean this are our Kenyans. Jesus help

  • @brevaliankisaka3588
    @brevaliankisaka3588 Рік тому

    Watching 2023,, so sad

  • @stevenkimani4976
    @stevenkimani4976 Рік тому

    Woii

  • @ngunitv
    @ngunitv Рік тому +2

    Ngunitv

  • @rasantoo5915
    @rasantoo5915 Рік тому +2

    Mungu bariki kenya

  • @teclajesang1923
    @teclajesang1923 Рік тому

    I am one of the bictims

  • @patrickkhaemba9642
    @patrickkhaemba9642 Рік тому

    Police Na majifu Na politics wanafaa kuhuliswa maswali ? Wizi wa Kijiji lazima wawe wanajua kazi Yao ni Gani? Waizi wakubwa wanapesa hata wakishikwa watahajwa mahakama pia Kuna shida maloya wetu kutetea wahalifu Pora pesa tunaelekea wapi?