Kweli ninavo elewa na izo surprise zake mpaka kuowa unashindwa kumwambia muhusika unamwambia mama yake alihofia wasijui mabaya yake na ndo mana alikua anapitia kwa mama
Great interview, Poor lighting kindly improve on that... Everything else..kudos👏👏👏👏👏also get some nice wall paper and cosy couches your setting look is so basic
Sikuzote Mwanamke katika Afrika akionyesha ujasiri, na ukakamavu, na kujua thamani yake bila kuteteleka, na kufanya maamuzi magumu katika wakati jamii haitarajii ,HUITWA JEURI NA KIBURI😊🤣🤣. WEAK MEN IN AFRIKA ARE INTIMIDATED WITH INDEPENDENT WOMEN. ESMA YO A REALL WOMEN. ENJOY YO LIFE BBY♥️♥️♥️♥️
Kabsa mamy ukiw na msimam unaoksn yamekushinda yaan mm namsif maan ndan tunamatatz makubwa ila huf ya kipat ndo inatufany tynavumilia ujinga my dear 🥰😍
Tunajifunza hapa kuwa, mzazi unaruhusiwa kumshauri mtoto wako juu ya machaguzi yake ya maisha ila sio kumlazimisha mtoto wako kuolewa kwa sababu ya uwezo wa kifedha,, kwa msizwa amefake life ila wapo ambao hawajafake na wananyanyasa na kudharau wake zao kwasababu ya pesa zao Ladies: tusigeuke watumwa wa pesa za waume, na kuona aibu kutoka matesoni kisa jamii itakuchukulia wewe si mwanamke uliyefunzwa na wazazi wako kabla ya ndoa. It's okay kuitwa jeuri ama kiburi kwasababu ya kuwa sahihi na kutafuta furaha
Pole Esma.....I have a feeling that they planned it all with his South African wife.....I said it on your wedding day live chat that Msizwa ni mkora wa Tanzania wakani attack....Am happy that you left that devil
Nafatilia zamaradi tv nikiwa Burundi Bujumbura 🇧🇮pole da esma,watu wanaongea wasiyo yajuwa.njo maana katika dini yetu ya kiislam,tunashauriwa ukipata mwanaume anataka kukuowa,sali kwanza sala ya istikhara,njo ukubali kuolewa,ukishapewa majibu na Allah,proud to be Muslim.
Pole sana Esma kwa matatizoo. Pia tunashukuru kwa story, hiyi ni fundisho kwa sisi wanawakee. Asante Da Zama❤️❤️❤️ that why we love ur Tv💥💥💥🥰. Esma mungu atakusahidiyaaa 🙏🏽
Jameni wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu hivi Esma alishuhudia huyu mwanaume akiwatusi wake zake wale wawili na kuwa dhalilisha mbele yake hivi alidhani ni nini tofauti kitatokea kwake atapata special treatment au????wanaume ni wale wale...usiwai ingia nyumba ya mwanamke mwingi ukidhani yeye ndio tatizo
I LOVE YOUR COURAGE TO WALK AWAY ESMA, ALOT OF WOMEN ARE SUFFERING WITH SUCH NARCISSISTIC MEN AND THEY KEEP PROTECTING THEM, YOU ARE SO BEAUTIFUL GOD WILL BE WITH YOU ❤️
Diamond ndiyo amuelewe mama yake hana ushauri mzuri ktk mahusiano ndiyo maana kakupoteza wewe kwa tamaa zake,na Diamond naye hatokuja kua na furaha na mahusiano yoyote anayoyabariki mama yake.
Yaan alikuw ametegemea ishu imetiki na beg nao ulikuw mtego kama ni madaw yakulevya angempa then angemcholesha akikamatwa yy angepata hela coz diamond asingekubali dadaake aende jela dah,msizwa co mtu mzr aliingia cha kike eee wah!!🤣🤣🤣
Zamaradi ni kioo Cha wengi sio kwa wanawake tu mbali pia kwa wanaume.Mungu akuzindishie maisha marefu na kazi yako iinuke sky iwe the limit na familia yako kwa jumla🔥🔥🔥❤️🌞🙏 @Kenya.
Esma nimekuelewa Sana Ila usirudie tena makosa, it seems ulikuwa desperate pia na ndoa, unaolewaje while you were not ready, jamani ndoa sio majaribio ni agano, na hii iwe fundisho kwa wanawake wengine ogopa Sana mwanaume anayekuja na ndoa mkononi na hakupi hata nafasi ya kumfahamu, wengi wao ni vichomi, alafu mwanaume mwenye kujitambua hawezi kusema mapungufu ya wanawake zake hadharani, eti ooh huyu mwanamke hana akili, hana akili lakini talaka hawapi, so mwanaume akija na hizo gia usije ukajiona special Sana ni tamaa tu zinawasumbua, Yani Msizwa alicheza tu na akili yako, alitaka fame na kashaipata, anyways hakuna jipya chini ya jua
I have met such characters...trust me the guy must be bitter because he feels like he invested in a raw deal 🤣🤣 he wanted to use you for his own gain 💯
I always advice ladies don't rush into another relationship afta a breakup wait for atlct 2-4 minutes He jct wanted to use you to promote his business xory Esma
Nimekupenda, maisha ya sasa ni kujipenda na kujali furaha yako, haijalishi watu wanasema nini, kuishi ni bahati usitumie vibaya bahati yako, Kwan tunaishi mara moja
Usiri wakuficha utapeli 😂😂😂😂hata kama huyo mwanamke asipojua kila kitu, kwani hana akili yakumsoma ni mtu wa aina gani!? Kila kitu unaona, mnamtangaza yeye tu na biashara zake, bado atake Mamillion kwa shemeji 😁😁😁😁eti anataka kumdanga Mond kupitia Esma 🤣🤣🤣hata kama lazima ushtuke loh.
Ndoa ya mke wa tatu mbwembwe zile hazikustahili ilibd ujiulize sana na uwafikirie wenzio Ni mungu tu amejibu na ulipoambiwa una akili ukaona wake wenzio mataaaahiiira pole mwaya ila mmejua kujidhalilisha na siri nyingi zitafichuka
Ndo mkome kupenda wanaume wenye pesa..nyoooo ...mi ata sikuhurumii Kenge wewe kumkashifu petii wetu Eti hana pesa alafu unaenda kwa mwanaume anae face maisha..ovyoooo😏😏😏
Yule mwanaume wa mwanzo alikuwa anakupenda kumbuka mungu nae achelewi kujibu yote uliyo mfanyia mwenzio machoz yalimtoka wakat nyie mkiselebret na ndoa mpya hayaaa sas ona hiyo aibu unajizalilisha ndio maana jamii haishi kuwatus hovyo usikalibishe milango ya shetani na mikos kwenu jamaniii mam dangote nae asifos mambo mtu aolewe from no where kesho yakimkuta lawama zote zinakuludia wew sasa kma wew mzazi mim nmeckitika kma nawafahamu ukoo wenu esma nakushauli usiolewe tena tulizanaàaa
Hawa watu wanashda kidogo kwel umaarufu mbaya jmn unakumbuka sku ya harus walvomçhamba petii jmn ila Mungu n mwema sana hata mwaka haujaisha wameachana sahv petii anacheka tu huko
Chama Cha wasoma comments Tanzania CHAWACOTA ✔️
Nimeipenda hii🤣
Hatari sana
Tupo kaka
Hahahaaaa nipo hapaa
Kidumu chama
Yaani nimekuelewa saaaaana Esma mpaka umepitiliza.
Mimi nimekuelewa sana esma ..pole mpenzi
Sio kila anaevaa koto jeupe ni daktari wengine ni wauzaji nyama butcher upo!
Wengine mama ntilie
Kwel kabisa
Duuuh!
😂😂🤣🤭🤭
Nimeipenda hii
Esma mshukulu mungu unamachale yani imekusaidia sana bila yaivo angekuachia bonge la demeji angetumia vibaya jina lako na lafamilia yako pia
Pole sana Isma wanaume wanaotoka south Africa usiwaamini asilimia kubwa wapuuzi alitaka kukutumia
Hili ni Tatzo linawakuta dada zetu sana very sad
Pole love Esma🤔🤔watu wanakuongolea vbaya jaman!!
Wah never judge book by its cover. I learn something from you girl🤔
Me binafsi kama mwanamke nimekuelewa esma 🙌
Nmekuelewa sana afu ww n mkwel
Wanaume wasumbufu
@@veronicadaniel1122 llpl
Kweli ninavo elewa na izo surprise zake mpaka kuowa unashindwa kumwambia muhusika unamwambia mama yake alihofia wasijui mabaya yake na ndo mana alikua anapitia kwa mama
Ata me
Ambao tunamuombea esma mema like
Pole Esma
Duh! Esma umejua kufumbua madada wengi macho..hiki kisa kimenikumbusha mengi..ila Mungu mkubwa🙏🙏
👏
Wengine ndo kwanza wanadanganywa
Great interview,
Poor lighting kindly improve on that...
Everything else..kudos👏👏👏👏👏also get some nice wall paper and cosy couches your setting look is so basic
Jamani ndio
Very true,at first i thought my settings were in night mode
@@veldaonyango5856 àaaaààaaasa
yaaa
Zamaradi is such a host👏.... Love from Kenya❤️
Kabisa esmas apo niko sahihi ukija tajiri inabidi nijishushe niwe maskini 🥳
Unaongea vizuri sana una akili sana fanya mambo yako mungu atakujalia
Ahsante
Wanawake hasa wenye vipato kuweni makini Sana 💗💗hili ni somo, hongera esma kwa kusimama imara 💪
Yaani nimejifunza kitu
Mh... kweli usilolijua Ni sawa na usiku wa Giza!! Hongera kwa msimamo esma!! Hongera Zamararad....una hekima, Allah akulinde
Kweli huyo Msizwa ni jipu Wallah Wabillah duuh Esma ujeuri wako ndio umekuokoa 😂😂😂 endelea kuwa kiburi tu
🤣🤣🤣🤣
Wewe atukuwezi akya mungu😂😂
Dah! Esma kwa Sasa I love unyang'anyang'a maana nimekuelewa mpaka nimekuelewa tenaaa♥️♥️♥️♥️😘😘😘
Sikuzote Mwanamke katika Afrika akionyesha ujasiri, na ukakamavu, na kujua thamani yake bila kuteteleka, na kufanya maamuzi magumu katika wakati jamii haitarajii ,HUITWA JEURI NA KIBURI😊🤣🤣. WEAK MEN IN AFRIKA ARE INTIMIDATED WITH INDEPENDENT WOMEN. ESMA YO A REALL WOMEN. ENJOY YO LIFE BBY♥️♥️♥️♥️
Apriciate u🙌🙌
Kabsa mamy ukiw na msimam unaoksn yamekushinda yaan mm namsif maan ndan tunamatatz makubwa ila huf ya kipat ndo inatufany tynavumilia ujinga my dear 🥰😍
@@rebekantiha4131 hakika kipato mamii tunavumilia basi tu
My ex told me that buh i knew i was his competition
Tunajifunza hapa kuwa, mzazi unaruhusiwa kumshauri mtoto wako juu ya machaguzi yake ya maisha ila sio kumlazimisha mtoto wako kuolewa kwa sababu ya uwezo wa kifedha,, kwa msizwa amefake life ila wapo ambao hawajafake na wananyanyasa na kudharau wake zao kwasababu ya pesa zao
Ladies: tusigeuke watumwa wa pesa za waume, na kuona aibu kutoka matesoni kisa jamii itakuchukulia wewe si mwanamke uliyefunzwa na wazazi wako kabla ya ndoa. It's okay kuitwa jeuri ama kiburi kwasababu ya kuwa sahihi na kutafuta furaha
Nasibu akikumbuka alivyomchamba petii siku ya harus ya dada ake, mwili wote wacheza jeje
😃😃😃 hapo anawaza atamface vipi, coz anajua lazma esma atamrudia petit
😂😂😂😂umejua kunifurahisha snaa eti mwili wote unacheza jeje jamani
Hahahaha
Khalos Salim 😂😂😂😂
😅😅😅
Ko esima uliingia choo cha kike🤣🤣🤣😂pole ila nimejifunza
Aliingia kwa kaka jambazi 😂😂
Ewaaaaaah cha kike🤣🤣🤣🤣
Yaan bora alivyotoka wacha watu waseme tu lol 😂😂😂
Pole sn ila esma ulishawai kuwambiwa Instagram uyo mwanaume sio mtu mzuri ukaona km watu wanakuonea wivu sasa umejionea mwenyewe angekubebesha madawa
@@sekelamwangosi3289 🤣🤣🤣
Wanawake tujifunze wallah 🙌 pole Esma
Kabisaa
Atari sana
Kabisaaa hili ni funzo kwetu
Duh hakuwa na amani kwenye ndoa,wanawake wengi wanapata mateso lkn kutoka haiwezekani😥😥😥
@@salomewandya7257 inawezekana sana ukijitambua
Pole Esma.....I have a feeling that they planned it all with his South African wife.....I said it on your wedding day live chat that Msizwa ni mkora wa Tanzania wakani attack....Am happy that you left that devil
Very true
That man he's a big evil
Leo nimemuelewa Esma kweli aliolewa na taperi
Very nice 👍👌 interview zamaradi ,Esma nimekupenda bure fata moyo wako
Nafatilia zamaradi tv nikiwa Burundi Bujumbura 🇧🇮pole da esma,watu wanaongea wasiyo yajuwa.njo maana katika dini yetu ya kiislam,tunashauriwa ukipata mwanaume anataka kukuowa,sali kwanza sala ya istikhara,njo ukubali kuolewa,ukishapewa majibu na Allah,proud to be Muslim.
Hapana sala apo yupo mbali na sala
🇧🇮
Komeraaaaa👊🤝
I love your interviews zamaradi...... If you could also get esmas husband it could be much bettter
Umesema ukweli umejifunza nini? Jinsi umetoa funzo kwa Wanawake wengne ata kwa wasichana wengne
Pole sana Esma kwa matatizoo. Pia tunashukuru kwa story, hiyi ni fundisho kwa sisi wanawakee. Asante Da Zama❤️❤️❤️ that why we love ur Tv💥💥💥🥰. Esma mungu atakusahidiyaaa 🙏🏽
Wengi tunaangamia
Nimenifunza sana jamani
🤣🤣🤣 Msizwa anaonesha ni mnyanyasaj Ata uyo mama Melo wa sauzi yupo kma Sukule wallah
😂😂
@@neemaswai4130 wallah
Hata sura yake tu inaonekana ni muigizaji tu 😂😂
Hahahahahaha
😂😂😂😂😂😂
Daaah interview tamu afu yenye mafunzo asante da Zama
Asima nimekupenda sana mdogoangu wanaume niwajanja sana
Nikuwa makini nao maana mwanzo atajifanya anakupnd San akuwek ndani ssa utayaona makucha yake Heee Mwenyezi Mungu tusaidiy sis wanawake
Tamu mnooo
Alikuja kwenu kwa masilahi tuu
Jameni wanawake tuwe na huruma na wanawake wenzetu hivi Esma alishuhudia huyu mwanaume akiwatusi wake zake wale wawili na kuwa dhalilisha mbele yake hivi alidhani ni nini tofauti kitatokea kwake atapata special treatment au????wanaume ni wale wale...usiwai ingia nyumba ya mwanamke mwingi ukidhani yeye ndio tatizo
Esma pole sana nduguu.nimekuelewa sana bora ulivyoondoka zako mwaya.
I LOVE YOUR COURAGE TO WALK AWAY ESMA, ALOT OF WOMEN ARE SUFFERING WITH SUCH NARCISSISTIC MEN AND THEY KEEP PROTECTING THEM, YOU ARE SO BEAUTIFUL GOD WILL BE WITH YOU ❤️
I agree
Come down esma is a lier, I don't believe anything she says. She's nothing but a joke.
@@jacklinengozi1122 you won't believe something that you haven't experience. People who have been through this do believe her
All in all but abortion is a Crime
📌💯💯
Basi nipeeni likes ni zipeleke sokoni😄
Mngoje shemeji msizwa atakuja kukupa like nyingi😂😂😂
Asma umesema wewe ndie ulienda kumuomba mamaake aje harusini kisha baada ya saba yako akakupigia dadaake kuhusu mama yake,kwaiyo mwanzo ulisema hujawahi kumuona mamaake kisha akakupigia dadaake wacha uwongo dadaangu.
@@bintimrope kj
Jppnpnppppn
Ukimuona mwanaume anamponda mke wake kwa mwanamke wake kuwa Makin nae saana Ana matatizo
@@hanslii1296 huyu muongo bana💃💃💃
Aliyesikia "....TV za kuiba South Africa...." agonge "like". Hahaaaa.
Pole Esma ❤❤
Wangapi walimuelewa #esmaplatunmz jmn me nimemuelew cz ndoa hizi zina mambo mengi san 🙏
💪
Esma ni mkweli. Big up Esma. Bora umeongea 👏🏾👏🏾👏🏾👏🏾
Kipindi kirefu,I suggest muwekee wageni maji wasuuze koo kidg jamani!!
Msizwa mtoto wa mjini bora ulivongundua mapema angekubebesha sembe ungeozea jera ila mama enu ndo chanzo cha aya yotee
Mmmh! Wazazi nao jaman changamoto
Mamake ndo chanzo sawa kwani alimtuma msizwa amfanyie hayo matatizo
@@rehemamsambila6820
Swali zuri .
Ht mama pia hn kosa ni kuto kujuwa tu
Thanks
Esma ni Yuda ndio lakini sio mwongo
ni kweli kabisa
Zama weka kameza uwe na maji au juice jamani, koo zinakauka😂😂😂
Bora umeliona Hilo kameza nimuhimu🤣🤣
Apo kwa juice apo umenena
Kabisa...na apambe kidogo
Kwangu kama.msichana mwenye natarajia kuolewa nimejifunza kitu kwako Esma,,,,
Umeona
Diamond ndiyo amuelewe mama yake hana ushauri mzuri ktk mahusiano ndiyo maana kakupoteza wewe kwa tamaa zake,na Diamond naye hatokuja kua na furaha na mahusiano yoyote anayoyabariki mama yake.
Wanaume mh
Msimlaumu mama, akujua juu msizwa alikuja kama mtu mwema
Fact
Ml 200 kisa ushemej???? Msizwa nomaa🤣🤣🤣alikuwa na hesabu kali sana bora Esmah ulivyojitoa kwake....begi tena kampe mpakistani??😳😳😳😳
😂😂😂🙌
😂😂😂
Hapo kwenye begi Esma kaamua kufunika kombe,ingekua mwingine angefanya waaaaah
Yaan alikuw ametegemea ishu imetiki na beg nao ulikuw mtego kama ni madaw yakulevya angempa then angemcholesha akikamatwa yy angepata hela coz diamond asingekubali dadaake aende jela dah,msizwa co mtu mzr aliingia cha kike eee wah!!🤣🤣🤣
Hahahahhaahah tapeli msizwa hahahhaha
Nmekwama hapo.kwa #KAKA JAMBAZI 🤣🤣🤣🤣 hataarr
😀😀😀
Hahaha
🤣🤣
Gonga like kama unaamin peti anakula mzigo mpaka now
Kuna wakati unaweza kufikiri mume wako nimbaya ukikutana na kama hayo sasa ndo unamkumbuka e-husband.
Kabisa
Jamani mapenzi yqko na mambo mengi sana aiseee
Kama unaipenda zamaradiTv like hap👇
asat zamaradi
Zamaradi ni kioo Cha wengi sio kwa wanawake tu mbali pia kwa wanaume.Mungu akuzindishie maisha marefu na kazi yako iinuke sky iwe the limit na familia yako kwa jumla🔥🔥🔥❤️🌞🙏 @Kenya.
@@ab3ab313 j
Esma anaongea huku roho inamuuma
Hhhh pel
Kabisa yaan
Inaonekn anamengi duuuh jmn Mungu aturehemuu_😘😘
Mama alitumika kutangaza bar 😂😂 jamaa noma
🤣😂😂
🤣🤣🤣
🤣😂😂😂🤣
LOVE YOU ESMA. BORA UENDELEE KUWA KIBURI HIVO HIVO. KWELI DIAMOND AMEPATA DADA MWENYE AKILI. NDIO MAANA DIAMOND ANAKUPENDA.
Nimekupenda ESMA rudi tu kwa petty
Esma nimekuelewa Sana Ila usirudie tena makosa, it seems ulikuwa desperate pia na ndoa, unaolewaje while you were not ready, jamani ndoa sio majaribio ni agano, na hii iwe fundisho kwa wanawake wengine ogopa Sana mwanaume anayekuja na ndoa mkononi na hakupi hata nafasi ya kumfahamu, wengi wao ni vichomi, alafu mwanaume mwenye kujitambua hawezi kusema mapungufu ya wanawake zake hadharani, eti ooh huyu mwanamke hana akili, hana akili lakini talaka hawapi, so mwanaume akija na hizo gia usije ukajiona special Sana ni tamaa tu zinawasumbua, Yani Msizwa alicheza tu na akili yako, alitaka fame na kashaipata, anyways hakuna jipya chini ya jua
Ila
Wanaume kawaida yao kuponda mke ili atimize au kumpata demu wa nje.halafu baadae wanarudi kwa wake zao wale wabovu
Kweli kabisa
Fact
I have met such characters...trust me the guy must be bitter because he feels like he invested in a raw deal 🤣🤣 he wanted to use you for his own gain 💯
Iiisiss
Kama umeelewa kaka jambazi ngonga like twende!!!
😂😂😂😂😂
Mna drama nyinyi wenzetu wa tz 🤣🤣🤣🤣 gari la ku kodi ili utunze mtu uonekane jmn
Msizwa ni muuza madawa huyo mama yako pia ndo chanzo cha ww kuingia kichwa kichwa kwa msizwa kupitia kwa kiben 10 chake
Apo kuna mama ake
Wakiangalie sana kibenten cha mama yao,huko waendako yule mama atakuja afirisi watoto wake na yeye atabaki uchi
Kweli kabisa
Esma ni yuda ila huwa si muongo anaongea ukweli
Ukimsikiliza unaona kabisa anaongea ukweli
Ni kwel Esma huwa ni mkweli sema tu kwavle ni yuda mtu unaweza sema anachoongea ni uongo ila nimtu poa sana
Nikweli kabisa
Hahahaha eti yuda
Mi mwenyewe nampendaga sana yani hata kama kitu ni cha kumuhusu yeye anasemaga tu ukweli mtupu....hahaha baya Esma wetu
NI HERI UWE MDOGO MBELE ZA WATU KULIKO KUTAKA SIFA HATIMA YAKE NI MADENI
Kabisa
Nisiwee muongoo mm mwenyewee sipendd kuonewaa boraa niwe single mother
Kwani uliskia Nani anataka kukuoa🙄
Nampenda Esma akiongea kama mzungu anaejifunza Kiswahili 😁😁
ila me kiukweli napenda anavoongea kama hawezi hivi ila inampendezea
Mapoz meng sanwhy
Kuwa makini esma msinzwa siyo m2 mzuri atakufanyia mbaya
Zamaradi I like the way you speak you are too smart nakupongeza sana
Zamaradi maji na tissue kwenye kipindi chako kwani are they that expensive
Sure
Yaani Target ya uyo kijana ilikuwa ni kubwa mno mno. Ila baati nzuri kakutana na kisiki
Mwanamke anaakili ndomaana ameshindwa😂😂
Amekula huu na asara juu Hahahahaha imekula Kwake litaeka wap jisura lake mwana izaaa
Kakutana na mtu anajitambua
Kaingia msala wa choo Cha walemavu,,lazma ainame tuu
I always advice ladies don't rush into another relationship afta a breakup wait for atlct 2-4 minutes
He jct wanted to use you to promote his business xory Esma
Rama Aisha..you mean 2-4minutes🤣🤣
Ni kweli
They should wait for what?😂😂😂
Fact
🤣🤣🤣🤣🤣
The Nigeria calls them "Yahoo boys" too much flashy life yet have zero finances.
Exactly yahoo boys!!!!....
😂😂😂 nadhani leo mme elewa kuongea kwa Mange ali mshauri Esma kama huyo mwanaume ni muuza madawa yakulevya baadhi ya watu mapovu yaliwatoka
Nimekupenda, maisha ya sasa ni kujipenda na kujali furaha yako, haijalishi watu wanasema nini, kuishi ni bahati usitumie vibaya bahati yako, Kwan tunaishi mara moja
Being free and happy ni kitu cha msingi ambacho kina Naomi tunazingatia mno😀
Word 🥂”kuishi ni bahati “
Big point my dada naomi
@@kipipakipipa5050 sanaaa yani
Esma wanaume wengi kwa Sasa wapo hivyo hivyo hata ungekaa one week inatosha miezi yote hiyo umevumilia mama bola single mama kuliko ndoa ya mawazo
Nimekuelewa
Wanaume wenzangu tusiwe tunawaambia kila kitu Hawa viumbe,,sio wasiri
Usiri wakuficha utapeli 😂😂😂😂hata kama huyo mwanamke asipojua kila kitu, kwani hana akili yakumsoma ni mtu wa aina gani!? Kila kitu unaona, mnamtangaza yeye tu na biashara zake, bado atake Mamillion kwa shemeji 😁😁😁😁eti anataka kumdanga Mond kupitia Esma 🤣🤣🤣hata kama lazima ushtuke loh.
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂
Kweli kaka
😂😂😂🤣🤣🤣
Bet ilifeli ..he thought by marrying yu you will get money from diamond. Huyo ni kaa mnigeria..tapeli
Sasa wanigeria wananinglia aje hapa...akili yao ndio hamuiezi ama nini
Kuhusu mimba umejichanganya 😂😂 nadhan umeambiwa kosa utashitakiwa maelezo yanaonyesha ulitoa
Anashitakiwa na nani ? Yeye anasema hajatoa
@@grandneo5264 kauli ya kwanza ndio itakayo mshitaki na wa kumshitaki serekali
@@seifmohamedseif9467 inakuhu nini sasa ?🤷🏾♀️
Msizwa kiboko! Juma alisema mlikuwa na target ya kumchuna Msizwa
Kumbe nae anawamendea awachune😂😂
@@lilianlodric987, Msizwa kiboko ya Esma
Ndio wamechunana sasa
Mimi sija rizika mpaka ni muskie nae musizwa njo nitowe maon yangu 😉😉
umeona Eeeh 🤣🤣
Mbona msinzwa amesha ongea labda wewe ndo ujamsikia
@@swidekitali7213 Alf sija muelewa hataaa 🤧🤧
Kwa mara ya kwanza nimeamini Esma ndiye anasema ukweli. Yuda mwenzangu kaa single wachana na hawa wanaume
🤣🤣🤣
I'm not buying this story when she got married she was saying different story.
Very true
Pole Sana jaman wanawake tujiadhari na wanaume wa dar
Cooker and the cooking
@@aishashabanishabani7753 waume wote duniani si dar pekeyke
Malipo hapa hapa.. Walisema kumwozesha ddke kwa mwanaume asiye na ela inaboa.. Umevuna ulicho panda😐..
Japo pole kwa kuumwa
Kuhusu kutozaa hovyo hovyo na kila mwanaume, UMEONGEA POINT YENYE AKILI SANA. SIYO NZURI KWA WATOTO.
Interview nzuri sana. Esma nimekuelewa sana
Huyuu jamaa aliwekeza sanaa akiwa na target zakee anatoaa elaa ilii apatee elaa 😂😂😂😂 daaahhhh ilaa ndo ivoo amnaa kaz isiyoo na hasaraa
Ha ha ha alijipangaa
😂😂😂😂
Hahaha kweli
Dah yan ni mjanja sana aiseee
Ndiyo tupate fundisho aiseee
Yani nimekupenda sehem moja tu huna maringo na huna to much English nakupendea hapo
English si mpaka ajue shogaangu
Anajulia wapi iyo English 🤣
Ajui English ndio maana, so kwa masifa huyu tungemkoma
@@tinaelias3432 ila watu 😂😂😂😂
@@tinaelias3432 bora umesema wee😂😂😂😂
Kwa iyo dada mange aliongea Kweli kuwa msizwa muuza madawa uwiiii
Dada wataifa atakuwa ana mafile ya msinzwa yote,esma angeingia kwa maktaba ya mange kipindi cha urafiki na msinzwa asingekubali kuolewa kabisaaa
Esma alikutana na taperi
Bora angeolewa na mimi
Zama unajuw unahoji vzr wey na millard ayo Allah awabariki😍😍
Huyo petit kaka yako hakumpenda coz hana pesa
Ndio kapata mwenye ela sasa
Sio kama petit hana pesa, hana akili kakalia uchawa. Petit alikua ana channel way before Dai... ila Dai kampita mafanikio Petit
@@nishaabias5694 na wameshindwan chezea mungu wewe
Yaani gari iliazimwa kwa mtu kha mjini kuna ma drama bwana had raha🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
na kaka ake salifanya drama kwa tanasha pigo lazima lirudi ukijifanya mjanja lazima upate wenzie 🤣mjini hapa
@@uwimanauwimana7692 alimfanyaje tanasha
@@agrialauzi3097 kwani tanasha salipewa gari feki kama yalo mtolea esmaa malipo hurudi
😂😂😂
Ndoa ya mke wa tatu mbwembwe zile hazikustahili ilibd ujiulize sana na uwafikirie wenzio Ni mungu tu amejibu na ulipoambiwa una akili ukaona wake wenzio mataaaahiiira pole mwaya ila mmejua kujidhalilisha na siri nyingi zitafichuka
Zamaradi your so cleverrr, I like you so much! Your the real meaning of being a presenter, ❤️💕 nimeenjoy na nimejifunzaaa mengi! Big respect
Yaani Me nikionaga mtu amehojiwa na Zama nateganga muda wangu kabisa nifahidi.
Msizwa ni tapeli!!! Alifata umaarufu tuu.
Pole sana esma watu huwa hatujui ya ndani tunakurupuka tu kutukana alitaka amchune domo kupitia ww hahahaha
Usimuumbue usiyeweza kumuumba hata wewe una kasoro zako mungu akusamehe kwa kumkosoa mungu
Sasa nimeelewa maana ya vurugu iyo yote. Nakupenda Sana Esma. Toxic relation just move out..
Ndo mkome kupenda wanaume wenye pesa..nyoooo ...mi ata sikuhurumii
Kenge wewe kumkashifu petii wetu
Eti hana pesa alafu unaenda kwa mwanaume anae face maisha..ovyoooo😏😏😏
Face maisha 😆😆😆
Hahaha face maisha duuu
Alivyokua anamsifia sasa kabda ya ndoa mweeee makubwa
@@belak999 jaaamaaani😂
I am so sorry Esma...He is such a bastard. Mungu atamlipa cha kumlipa. Glad you had the strength kuondoka
Maisha ya ndoa bila penzi la kweli ni upuuz mtupu mungu tusaidie sisi ambao tunatarajia ndoa🙏🙏🙏🙏🙏
Unaitaji mume kumbe karibu kwng
Nikweli kabisa Mimi naona nimateso tu dah
Mbona comment nyingi sana kweli watu wanamfatilia dada wa taifa
Yuda Kama yuda🤣🤣🤣
kama yeye yuda we nan!? em vaa kiatu chake uone utaixhije ngurue ww, fyuuuh...
Ndoa za kufuru hivi, nyingi huwa hazidumu!
Yule mwanaume wa mwanzo alikuwa anakupenda kumbuka mungu nae achelewi kujibu yote uliyo mfanyia mwenzio machoz yalimtoka wakat nyie mkiselebret na ndoa mpya hayaaa sas ona hiyo aibu unajizalilisha ndio maana jamii haishi kuwatus hovyo usikalibishe milango ya shetani na mikos kwenu jamaniii mam dangote nae asifos mambo mtu aolewe from no where kesho yakimkuta lawama zote zinakuludia wew sasa kma wew mzazi mim nmeckitika kma nawafahamu ukoo wenu esma nakushauli usiolewe tena tulizanaàaa
Hawa watu wanashda kidogo kwel umaarufu mbaya jmn unakumbuka sku ya harus walvomçhamba petii jmn ila Mungu n mwema sana hata mwaka haujaisha wameachana sahv petii anacheka tu huko
This man was an opportunist,he married u for 💰 money ..
Hakua na upendo wote kwako
Ila nikushaur dada esma kuwa Makin na kumatak huyu bwana watu wa ishu hizi ni hatar sana wasije wakakuzur bure