SIKUTEGEMEA KAMA ANGEWEZA KUNIUMIZA NILIMWAMINI SANA |TUNAO WAPENDA HAWATUPENDI

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 110

  • @jazzymkalitv5535
    @jazzymkalitv5535 2 роки тому +5

    Vitu 5 ambayo siye Wanawake tunamkubali na kumpenda mwanaume mazima ni:
    1. Awe Mcha Mungu, mwenye hofu ya Mungu
    2. Awe Mchapa kazi hodari
    3. Mwenye Heshima
    4. Muaminifu, na anajielewa
    5. Mwenye Huruma, na mwenye upendo wa dhati
    Hatujali sura, pesa, na mavazi, Kwa sababu huwa twavirekebisha siye wenyewe. Ila hongera sana bro. Nimependa sana interview yako.👍🏽👍🏽👍🏽

  • @saidypilly1803
    @saidypilly1803 2 роки тому +3

    The BEST INTEVIEW in the word 👊👊

  • @khadijarashidbo3184
    @khadijarashidbo3184 2 роки тому +2

    Oh my God Yan Leo nimejua hata Bima ya mapenzi thanks you so much brother

  • @hadharaalli5201
    @hadharaalli5201 2 роки тому +3

    Daaah umesema kweli hapa mtu mwenye hasira hatak kuvimiliwa mfano ndioo huo swalha na said ni hasira zilizidi na kuamua kumuua mwenzio bip up broo

  • @OmanCom-ky8tn
    @OmanCom-ky8tn 2 роки тому +3

    Nimejifunza mengi sana kupitia huyo kaka nawapenda sana maxmamo tv

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma1459 2 роки тому +3

    MASHALLA Allah UBARIKIWE unajua kuongea

  • @mwajumaissa2358
    @mwajumaissa2358 2 роки тому +1

    Doooh maashaallah huyu kk namuelewaga saan big up brother na Fabian uko vzr kwa kuuliza maswali ubarikiwe mwe pia mwanamke anahitaji true love Bas 🤣🤣🤣Mie tukitoka aisee siwezi kupepesa kichwa changu kuangalia watu mie napenda kudeka saan ss cjui km ntawatamani wengine

  • @ladyt1471
    @ladyt1471 2 роки тому +1

    Asante nimekuelewa unakuta mtu ànasema acha kazi nikuoe hapana hiyo sahau kabisa

  • @khamoshmikidadi618
    @khamoshmikidadi618 2 роки тому +2

    Mng nitunzie ndoa yng nizidi kufahamiana n mume wng 🙏

  • @husnashaibu6312
    @husnashaibu6312 2 роки тому +1

    Mashaallah ❤️ hongeren sana @ maximum TV kwa kutuletea huyu kaka
    .... Nampenda sana anatufunza meng 😍😍 mahusiano jaman 😰😰😰😰

    • @munakhamis982
      @munakhamis982 2 роки тому

      Hao wanaokuwa na nus ndio wanaozingua 😂😂

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      @@munakhamis982 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @sinyooo6583
      @sinyooo6583 2 роки тому

      Mwanaum na nusu ndo nin

  • @deboraadolfu4011
    @deboraadolfu4011 2 роки тому +1

    Umenielimisha sana kaka asante na hongera sana God bless you

  • @farahfrooha9715
    @farahfrooha9715 Рік тому

    Ni kweli sana kaka mume nimemuamini lakin maumivu aliyoniachia sitosahau

  • @sifatiiman
    @sifatiiman 2 роки тому +2

    performance kubwa kubwa 👍👍

  • @swabrahswabrah636
    @swabrahswabrah636 2 роки тому +4

    hawa ndo watu wakusikilizwa sio munatuletea watu kurupukurup tunapoteza mb zetu tu bure

  • @nasrahussein1653
    @nasrahussein1653 Рік тому

    Jmn mm sipendi pesa wala muonekano pia cpendi kipaji mm napenda uwaminifu na hofu ya mungu make nalizwa jmn cna raha mm

  • @fatmaahamad633
    @fatmaahamad633 2 роки тому +1

    Mko vizuri sana kwa maswali na majibu nimepata kitu

  • @theresaelizabethelijah117
    @theresaelizabethelijah117 2 роки тому +2

    Nimewatch hii Interview kidogo nikahisi ni mtaalam wa mapenzi kuna kitu nitajifunza lakini alipofikia kusema eti mapenzi yanahitaji kiunganishi cha biashara au watoto hapo sijamuunga mkono kwasababu mapenzi ya dhati hayaitaji kiunganishi chochote ndipo yadumu ikiwa mnashindwa kuachana kwa ajili ya watoto au biashara basi huo utakua ni uvumilivu tu na sio mapenzi tena
    Mapenzi ya dhati ni nyinyi wawili pekee muelewane na mkubaliane kwa kila hali bila watoto au chochote kile muwe kitu kimoja bila uvumilivu wowote kuna kitu kinaitwa "emotional bond" ndio mambo yote .mkiwa na emotional bond ndipo mapenzi yatadumu najua watu wengi sana wanaishi bila kiunganisho chochote na wamedumu kwenye ndoa na furaha tele

  • @sabrynaibrahim7094
    @sabrynaibrahim7094 2 роки тому +1

    Mashaallah allaah akubariki kak na akupe hekima daima

  • @user-vt4vd5rh8u
    @user-vt4vd5rh8u 7 місяців тому

    Maximam tv globa tiki tv nawapenda hamtangazi umbea habar zenu ni za kweli

  • @zuhurakhasimu969
    @zuhurakhasimu969 2 роки тому +1

    Pole sana mchina boy,leo ndo mara ya Kwanza kkuona unahojiwa 😂😂

  • @sylvieDRCONGO243
    @sylvieDRCONGO243 2 роки тому +2

    Point d'avance merci beaucoup mon frère que dieu te benisse🇧🇮🇧🇮🇧🇮

  • @manasadunia3458
    @manasadunia3458 2 роки тому +4

    Huyu kaka umuhoji mara kwa mara yupo vizuri kwa kujibu maswali

  • @emmanyahubah2074
    @emmanyahubah2074 2 роки тому +3

    True

  • @nelimajoy5412
    @nelimajoy5412 2 роки тому +1

    Wise one🙌

  • @munamuna4621
    @munamuna4621 2 роки тому +4

    Heee kumbe huyo kaka yuko tz nilikua najua anaishi oman

    • @maximumtvonline
      @maximumtvonline  2 роки тому +1

      Bongo dsm..

    • @Rahmah-dr9xd
      @Rahmah-dr9xd 2 роки тому

      African beautiful Oman mabella😂😂😂 niliona akitangaza huenda anakujaga kibiashara ata asili yake naona kama inafanana

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 2 роки тому

      @@Rahmah-dr9xd sana

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      @@Rahmah-dr9xd nilidhani msomali

  • @scollantandu6278
    @scollantandu6278 2 роки тому

    Asante sana amri amri ubarikiwe

  • @yousramutwale2463
    @yousramutwale2463 2 роки тому +1

    Asante sana

  • @meselemanikitambi6716
    @meselemanikitambi6716 2 роки тому +3

    Kweli

  • @zoab2699
    @zoab2699 2 роки тому +1

    Karibu amri wa african beauty oman ukirudi plz ni letee zawadi ya kitenge au kanga from tz 😊🇴🇲🇴🇲🇴🇲

    • @sifatiiman
      @sifatiiman 2 роки тому +1

      mmmhsi uende african beauti oman we nae 🤓🤓🙄

    • @tatotato506
      @tatotato506 2 роки тому

      @@sifatiiman mie nilikuanasema uyu siyukekaka anaeuzakanga oman kumbendoyeye

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 2 роки тому +1

    Kaka asante kwa hili funzo

  • @reginamichael3791
    @reginamichael3791 2 роки тому +1

    Hongera kak👍

  • @ummukhaullah3007
    @ummukhaullah3007 2 роки тому +1

    Huyu kaka ni mfasaha sana.

  • @user-le9lb8oc8d
    @user-le9lb8oc8d 2 роки тому

    True soma kea wote ila me huw nawaza pesa kwann nilikosa kuzipata mapema 😂

  • @sophiamirambo9656
    @sophiamirambo9656 2 роки тому +1

    Yaani wee acha tu nilifosi sanaaaa mwisho wa siku aliniongopea nikatoa pesa akazichukua milioni nne kwamba tukafungue biashara ya kuziba pancha. Kumbe anaenda kupanga nyumba na fenicha akanunua baadae niliambulia kashfa kashfaaaa mitandaoni nilikoma

    • @theresaelizabethelijah117
      @theresaelizabethelijah117 2 роки тому +1

      Daaah pole sana Sophia mimi mwanaume wangu pia alinitapeli hela niliopanga kufungua biashara na yeye alijua lakini alitumia bila ruhusa yangu nilimuacha na nikamblock hadi leo yote haya ni mafunzo tumshkuru tu mwenyezi mungu kwa kutuepushia na mabaya zaidi 🙏

  • @espoirlukeka4001
    @espoirlukeka4001 2 роки тому +1

    Good job

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma1459 2 роки тому +1

    Nakupa asilmia💯umeongea kweli👌👌👌

  • @rilesysanzika3365
    @rilesysanzika3365 2 роки тому

    Dah nikwer kabisa dear nimekwelewa

  • @janethkomba4485
    @janethkomba4485 Рік тому

    🙏

  • @binamubinamu1151
    @binamubinamu1151 2 роки тому +3

    Mashallah muogeaji mboo ubarikiwe u aufundi wa kutosha

    • @queenhuu2852
      @queenhuu2852 2 роки тому

      Mmmh,, mboo tena

    • @binamubinamu1151
      @binamubinamu1151 2 роки тому

      Hii ilikuwa ni mbora si unajuwa TECNO hizi

    • @queenhuu2852
      @queenhuu2852 2 роки тому

      Ok pole Sana

    • @mouwanahamisi8216
      @mouwanahamisi8216 2 роки тому

      @@queenhuu2852 😂😂

    • @mouwanahamisi8216
      @mouwanahamisi8216 2 роки тому

      @@binamubinamu1151 mm juz uncle angu cjui alijisikiaje pale alipokosea kuniandikia neno KUNA msiba home mpk Leo nikikumbuk Ile mesej huwa najichekea Tu😂😂

  • @Sharifarajabudebe
    @Sharifarajabudebe 2 роки тому +1

    Unajua kuuliza maswali mazuri

  • @mwana4599
    @mwana4599 Рік тому

    Safi sana.

  • @sifatiiman
    @sifatiiman 2 роки тому +1

    afu kwa nini mkatumia harmonize 🤔🤔

  • @fatmaabdul2712
    @fatmaabdul2712 2 роки тому

    Namjua huyu kaka si yupo oma. Muscat maabela nesto alikuwa analelewa masikini kashakuja hadi kwangu milinunua nguo kwao akaniletea

    • @lesusi7872
      @lesusi7872 2 роки тому

      Una uhakika kama analelewa

  • @hasnajumahassan8329
    @hasnajumahassan8329 2 роки тому +1

    Upo sahihi

  • @bahatikigimbi425
    @bahatikigimbi425 2 роки тому +1

    Nmekuelewa dogo unajua kuelezea .

  • @laymashabani832
    @laymashabani832 2 роки тому +1

    Umeshafika uku mchina wetu😳😳 sasa TIK TOK umemuacha na nani

  • @lenatawinchilaus7688
    @lenatawinchilaus7688 2 роки тому

    Kitu alichosema naona kanipatia yaani haya ndo mambo yangu uwa sipendagi mchezo kwenye mausiano safi kaka kwa somo zur .. yaani umesema kweli kabisa mwanaume anaumiza sanaaa hila mwanamke akipe anapenda kweli

  • @fugakisasapouletlayerscage
    @fugakisasapouletlayerscage 2 роки тому

    Mr fabio

  • @mwanaishamande8880
    @mwanaishamande8880 2 роки тому +1

    Watatu Leo

  • @munakhamis982
    @munakhamis982 2 роки тому +3

    Hapa niseme shukran kwa ili somo mahusiano yangu nimeyagundua sio sahihi 😃😃😃nachomoka jmn🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌😥

  • @lenatawinchilaus7688
    @lenatawinchilaus7688 2 роки тому

    Kweli mazoea ujenga tabia

  • @credo7837
    @credo7837 2 роки тому +3

    Wakwanza leo ajabu

    • @mouwanahamisi8216
      @mouwanahamisi8216 2 роки тому

      Hongera😂

    • @credo7837
      @credo7837 2 роки тому

      @@mouwanahamisi8216 Asantee🤣🤣

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      Honger mr dj 💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽💃🏽❤❤❤❤❤

    • @credo7837
      @credo7837 2 роки тому +1

      @@pilimusa3217 asantee😍😍😍

  • @hasnajumahassan8329
    @hasnajumahassan8329 2 роки тому

    Nzur

  • @husnamadai7052
    @husnamadai7052 2 роки тому

    Wewe unaechungulia hapo nyuma ya kiti unaboa

  • @hanihaadamuhanifaadamu4125
    @hanihaadamuhanifaadamu4125 2 роки тому +1

    Kaka funguwa kiliniki nimependa sana ushauliwako

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 2 роки тому

    Mapenzi ni nn kayaleta nani mbona yanasumbua

  • @Mazoea
    @Mazoea 2 роки тому

    Wacelebrite wa Kibongo Awana ata stardand ata kidogo wapi so cheap

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g 2 роки тому +1

    😰😓Mimi nimeumizwa jamani na mahusiano ni muhanga,nahitaji m anaume kma wewe jamani unajielewa Sana nimekupenda Kwa maana Mimi napenda mwanaume atulie Ila huwa sina bahati 😓

    • @credo7837
      @credo7837 2 роки тому +1

      🤣🤣🤣unamkumbuka yule dada aliye fanyiwa mahojiano hapa akasema alimpenda jamaa kwa crip zake

    • @ladyt1471
      @ladyt1471 2 роки тому +2

      Wanaume hawatulii wanatulia wakizeeka

    • @credo7837
      @credo7837 2 роки тому +1

      @@ladyt1471 mbn mim nimetulia jamni

    • @malak-lz6kx
      @malak-lz6kx 2 роки тому +1

      Tafuta mwanaume ambae ameshakua kiakili labda pia unapenda sna kupitilia mwanaume akishaona uzaifu huo na wa kwetu Africa anajiona yeye ndio yeye

    • @ladyt1471
      @ladyt1471 2 роки тому

      @@credo7837 hamna hamtulii nyie hùeñďa una watoto na wanawake kibao nje

  • @sabrynaibrahim7094
    @sabrynaibrahim7094 2 роки тому

    Mbalikiwe nyie wote jamn

  • @tausilifestyle795
    @tausilifestyle795 2 роки тому

    Mchina boy

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      Huyu ni star au

    • @frorenceetoile3016
      @frorenceetoile3016 2 роки тому

      @@pilimusa3217 nenda youtube andika @Amri Amri utamutambuwa vizuri

    • @pilimusa3217
      @pilimusa3217 2 роки тому

      @@frorenceetoile3016 anha sawa. Asante

  • @swabrahswabrah636
    @swabrahswabrah636 2 роки тому

    nilivyoskia tu wewe mtu wa tanga ham imeisha tena kusikiliza