Mshukiwa Collins Khalisia amedai kuwauwa watu 42
Вставка
- Опубліковано 20 сер 2024
- Maafisa wa polisi wanamzuilia mshukiwa mmoja wa mauaji katika timbo la kwake eneo la Pipeline hapa Nairobi. Mshukiwa Collins Khalisia amekiri kuhusika na mauaji ya watu 42 akiwaeleza maafisa wa usalama namna alivyowauawa walengwa wake wa kike
Government trying to cover up ....mbona kutoka kitamboa wajawai uliwa tangu tu maandamano😢😢
Amelipwa ngapi??
@@joycenasambu2658 kabisa 💔
Hiyo ni mpango wa serikali kudaganya wanainchi
It is not true,police and Ruto stop laying to us.
Mbona haraka hivi Kuna kitu hakiko sawa
Exactly
Duh haraka sana
I feel the same SI ukweli
Àta venye huyu anaelezea haibambi😂😂
Trying to think out how he was good at hiding then immediately the bodies are found boom the suspect here😂😂
Aaah mm siamini serikali ya ruto kabsa kwani alikuwa anaishi porini pekeyake hakuwana majirani ni ngumu kuamini
Ambia ruto wakadanganye wajinga wengine sio sisi kumbavu
Kwanini na sense tumepangwa😂😂
Bro hii ni uogo mtupuuu.
This doesn't make sense
Mambo bado
Ruto must Go
2 years and bodies have not decomposed???????waache uongo
Story za Jaba
😂NO ONE IS BELIEVING THE DCI HERE AND WE ARE BUSY BELIEVING THE DREAM GIRL...WATU SIO WAJINGA DREAM GIRL
Kama sio dream girl hii story haingejitokeza Sametimes hata upumbavu husaidia now we won't be fooled with fake suspects
Huyu Collins is innocent,,,,, please stop playing with our intelligent
GenZ sio Raila my friend kabla mtudanganye tusha jua mnapanga kutudanganya sasa jidanganyeni wenyewe Ruto must go must gooooo
Hawa watu hawajauliwa 2022 urongo
We are not fools.
Nikama unajua sana mbona usijipeleke kotini kumtetea
..ww n mjinga ..haga
Huu ni urongo huu ni urongo mnaamua kudanganywa na serikali hawa watu wameuliwa after maandamano yaani hizi wiki za maandamano tu baada ya watu wametulia ndomili zimeanza kufuata familia spirit zimeanza kufuata familia halafu hapo watu wanakuja kudanganywa eti ameua sijui baada ya miaka miwili urongo
We are not fools mbona Quarry iwekwe moto kama mshukiwa yuko ndni???na hio place ni crime scene it was supposed to be protected?? By who???dci n police...sisi sio wajinga bana
Kwa NYUMBA Kwani haikunuka kwa KIJIJI ??uwongoo
Kweli tuna bebwa ufala
Sijafurahia hii maneno mbona wanadanganyia mtoto wa mtu pili hawajaonyesha akionge surely huonguo kilo ngapi hii Hawa watu waende kuzimu
STOP! using this man as a scapegoat.Huyu amelipwa kujitwika msalaba usiokuwa wake.
Just a quick question...alikua anawaua anawakata ..anawaacha wakauke ndio awatupe?all that time harufu haikua inatoka kwa io nyumba ..coz i know one starts to smell as from three days...ama alikua na formalin pia?
Hapo sasa
Nani anaweza kujiweka kwa ngori kama hii this must be a serial killer, devil agent, Lord have mercy on us
Sijai ona ujinga kenya kama huu..
Ruto must go
Aki atoke mbona wazazi wa huyo bibi wake hawajatokea hata waseme kitu jamani
Sasa uchunguzi gani ya fanywa na wamepata evidence 😢😢😢auliwe n yeye
They are going to court tomorrow not to prosecute the killer, but to ask for more time to do investigation. Hahaaa Kenya!
Yaani bado mnatuchocha....
Uwongo tu wa polisi wa Ruto!!amelipwa huyu khalisa,condolences to the families of our fallen Heroes and Heroins ❤
Ata ingekuwa mm nigekubali kweli , tunabebwa aje bana surely
How come reporters haven’t gone to talk to he’s neighbors and look for he’s family
Uwongooo mtupu😂😂😂😂😂
Citizen Khalisi Collins is dead since last year 😅😅😅Ruto should know lack of job has made us all Kenyans to be computer scientists bila kwenda shule details zinapatika zote za lies even for Rutos lies😂😂
Justice 😢
Huyo kijana apelekwee hosipitali kwanzaa b4 CID waonge wakiwa na police
'Citizen' lying out of fear is still lying... Stop this foolishness people have lost loved ones....
😂😂😂
These people actually think we are dumb and stupid trying to cover their tracks!
Hii story too kutokea Kwa wale waliona Kwa ndoto Ady haapa inakaa too script but ijachorwa poa ....how comes that 2022 aliuwa Bibi Yake na ata ajawai shikwa wala kuripotiwa mahali ...kwani anaishi dunia gani yenye unauwa then uko too free styles...Aaarg shit this nonsense away.....inakaa too script flani ijaenda shule..C muite too akina Butita na Abel Mtua waandikie script...Ubaya ya kupea Njugush awaandikie script
Huyumtu hata afya hana.
Alishika nani akau...
Si niumaskini Ndio wamemtoa chambo
@@user-wr9kt8mz1m his face says it all. He is completely innocent. Kuna deal wanafanya hapa na yeye.
Rotten government.police all are sick shindweee shindweee .kabisa
Cooked stories nkt
Serikali ni waongo sana,hizo vitu vyote sijui simu,vitambulisho n.k...ni polisi wamemuekelea tu,wakichunguza hivyo vitambulisho watapata ni zile zilizopotezwa na watu...serikali inauj7a mchezo huo na hiyo ni mbaya sanà...poor Kenyans being played kweupe mchana,so sad😢😢😢
Namba za simu alitoa wapi safaricom pia inahusika ID hii kitu mumewekelea tu haka kajamaa lakini serikali inahusika na mauaji ya waandamanaji kama vile tulikuwa tunaona polisi anashoot live bullets watoto waliopigwa risasi nane na yule mtoto aliyepigwa raba bullets rex masai akiuliwa kwa hivyo haka kajamaa kamekelewa lakini haya ni mauaji ya polisi wale walikuwa wamecover nyuso zao
Kweli tunabebwa ufala 😅😅...
😂hii kunyoa ni ya polisi tu ,hapa mnapangwa tu
Ndugu zangu miili hiyo mbn ni ya wanawake je mnataka kuamini kuwa serikali ililenga kuwaua wanawake? Ndugu zetu wakenya tulieni na muishi kwa amani tunaumia sana tunapoona hakuna amani kenya
Hujaelewa bro hao ni watu waliuliwa wakati wa maandmano wananchi wakapata hizo mwili Sasa serikali inajaribu kuficha ukweli Kwa kudanganya ati ilikuwa kazi ya muuaji not them.
Trying to prove a narrative. DCI cover-up on it's best
Governments wamepanga uwuongo
Heti ndiyo tusiandamane kesho😂😅😅
This is likely to be true kwa nini wote ni kina mama......this isnt maandamano ..but all in all ruto must go
Is it not strange that Rachel Ruto spoke on Sunday about abuse of women and the same day DCI comes up with a culprit what coincidence
Atutaki kuchezewa msitufunge macho 😢😢mbona Rita waeni aliuliwa kasarani na mbaka Sasa hivi amjawai jua ni nanii atutaki kuchezewa 😢😢
Story zingine wacheni kupigia wakenya juu tunahisi kubebwa ufala
Apa kuna uwongo mkubwa sana sasa kma alianza kuua watu 2022 kufikia sai watu 40 hao watu wote amewauwa aje akiwa pekeyake???? lazima kuna wenye alikua nao
Huyu hata kuku hawezi kuua,Ruto you must go
No trick will convince us Ruto must Go
yaani mnatuona wajinga io design...cant believe yaani hii government imeona ma fala...so apparently amepatikana after bodies were discovered ??kudos DCI...now tell us who murdered the innocent youths during maandamanos since you so quick in your investigations...kumbafu nyinyi..mafi ya kuku
Kama ninavyoona wengi wa Wakenya hawaamini serikali hata kidogo. Niliona jana vijana wakitafuta miili katika eneo la dampo bila msaada wowote wa polisi. Very strange indeed.
The way it usually takes DCI long to carry investigations ...howcome this one has happened so fast...everything so organised...kutucheza ufala😂😂😂😂
Akuna uyu ni mtu wa ugandatu ametafutwa 😢😢ndio tusijue ukweli ata izo majina wakaaji wa uko wazijui na wajawai skia izo majina
Haiwezekani police officers ndio wali uwa hao watu DCI isitu bebe ufala
You could have shown us a video of him confessing to crimes..??
How does it come everything kina happen mnasema Raisi ndiye kafanya true mna dhambi kubwa mtaangamia wote.
Feeling fooled with 50M others😂😂💔
It's very shameful for the media and police officers to give to the nation such report
Si yy waache story za danganya toto amelipwa tayari na mushatia moto apo mufute ushaidi kware
hapo mimi sisemi kitu inacho shangaza kabisa sawa alianza na mke wake kwani mke wake akua na familia kabisa amutafute😢
Ata huyu jamaa awezi uwa kuku 😂😂
Walai kumbe umeona😂 serekari bana
PATHOLOGICAL LIES. RUTO MUST GO
😢😢😢😢can he talk for himself juu weeeeh ata mgondi hawajatoa maji lakini mshukiwa ameshikwa😂😂
Not making sense
Hakuna..huyu janguu amelipwa..Mimi sijai daganywa..hao washukiwa wanashikangwa tu baada ama..kadanganye wengine
Kjanaaaa😆😆😆hi serikali inadaganya kila kitu😂😂😂
Huo ni uongo,collo namjua hawezi ua hata kombamwiko.alafu kuna hizo chandarua zimetumika kufungia miili,collins atakuwa alizitoa wapi
Government of Kenya trying to cover up,kwani huyu mtu mmoja atauwa watu almost 50 pekee yake,really? Are we kids? just come out clean
You mean nobody has ever seen him carrying the bodies from 2022 upto date? It doesn't add up😡
Hawa wanaongea na kina nani...wana adress kina nani sasa juu haiezi kuwa ni Sisi jameni🚮
Colling hapo amesain mkataba aseme yeye ndio muhusika kisha iishe hvyo
Na afungwe miaka kadhaa akuje kutoka akakule mshahara wake au hata ataftiwe visa aende ulaya akaishi huko but sahy make mkijua jamaa alifungwa maisha yake yote
We Gen Z are DCI graduate stop this stage managing
These people ain't tired of lying?💔😏
Huyo bibi yake ana jamaa nzake?
Mnalipa ngapi mniekelee pia @butcherofsugoi
Headquarters of UNEP is NAIROBI...Maajabu
Huyu amejitoa mwanga kulipwa ili akubali mambo ya uwongo sijui amelipwa ngapi🤔🤔🤔
Uongo mtupu
Hapa ni kupakwa tunapakwa rangi jamaa,itabidi tumetii😂😂
RUTO MUST BE PLOTTING THIS
Pure lies
Huyu amelipwa pesa ngapi
subhanallah huyu mnyama walai😢
Anyone from that area that knows this man?
There is God in heaven who knows all but I like the idea of Kenya having the freedom that you can take one to court if you know the truth of a crime against you. There is a lot of bitterness in this case with people claiming it is not true and all are lies. If they know the truth they should have taken the case to court to avoid being cheated. God is not happy with false witnesses so avoid too much noise and pray for God's judgement.
New mandamano is needed. Yani wanamushika one day after bodies zimepatikana? Why hajashikwa since 2022? Means some police officers wako na yeye. And i think this is not the killer. Yahi hiyo police station hapo iko na kazi gani?
Kenyans stand up for your lives.
Ruto na serikari Yako Mungu anawaona😮
Mbona hii DCI wamepata ushahidi ama suspect mapema but Shakahola massacre not yet 😅😅😅😅
Uwuongo uwuongo
Hapo kwa ndoto ata kama nimeishi kupata E maths 😂 hapo apana
How long does a body take to decompose ?. Dead body from 2022
Kwanza hio tong haijavaliwa😅😅 uongo hio tutaanguka na nyingi😢
Stop misleading us, is it Khalisia or Khalusha, these are two different people
Kesho tunaanguka nayeye
Can someone start by telling us the who was present during the confession? Or is it only the dci thugs,was he forced or did he confess willingly? I am not asking this because i support that heinous act,but we need yo get to the root of it,i dont trust dci with any investigation