Mshukiwa Collins Khalisia amedai kuwauwa watu 42

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024
  • Maafisa wa polisi wanamzuilia mshukiwa mmoja wa mauaji katika timbo la kwake eneo la Pipeline hapa Nairobi. Mshukiwa Collins Khalisia amekiri kuhusika na mauaji ya watu 42 akiwaeleza maafisa wa usalama namna alivyowauawa walengwa wake wa kike

КОМЕНТАРІ • 267

  • @dewanikaur19
    @dewanikaur19 Місяць тому +34

    Government trying to cover up ....mbona kutoka kitamboa wajawai uliwa tangu tu maandamano😢😢

  • @joycenasambu2658
    @joycenasambu2658 Місяць тому +50

    Amelipwa ngapi??

  • @ZamzamGetacho
    @ZamzamGetacho Місяць тому +38

    Hiyo ni mpango wa serikali kudaganya wanainchi

  • @RobbyMukonjero-rp5gt
    @RobbyMukonjero-rp5gt Місяць тому +26

    It is not true,police and Ruto stop laying to us.

  • @ishaanizkeah8814
    @ishaanizkeah8814 Місяць тому +41

    Mbona haraka hivi Kuna kitu hakiko sawa

  • @jameskarani8182
    @jameskarani8182 Місяць тому +14

    Trying to think out how he was good at hiding then immediately the bodies are found boom the suspect here😂😂

  • @remiomar7154
    @remiomar7154 Місяць тому +14

    Aaah mm siamini serikali ya ruto kabsa kwani alikuwa anaishi porini pekeyake hakuwana majirani ni ngumu kuamini

  • @kahindiwanje90
    @kahindiwanje90 Місяць тому +20

    Ambia ruto wakadanganye wajinga wengine sio sisi kumbavu

  • @davidwainaina1266
    @davidwainaina1266 Місяць тому +22

    Kwanini na sense tumepangwa😂😂

  • @karutyericscomedies2783
    @karutyericscomedies2783 Місяць тому +7

    This doesn't make sense
    Mambo bado
    Ruto must Go

  • @rosemarymwangi7349
    @rosemarymwangi7349 Місяць тому +8

    2 years and bodies have not decomposed???????waache uongo

  • @terriewanjiru1318
    @terriewanjiru1318 Місяць тому +16

    Story za Jaba

  • @amosbett3666
    @amosbett3666 Місяць тому +13

    😂NO ONE IS BELIEVING THE DCI HERE AND WE ARE BUSY BELIEVING THE DREAM GIRL...WATU SIO WAJINGA DREAM GIRL

    • @annyleycoyney7622
      @annyleycoyney7622 Місяць тому +3

      Kama sio dream girl hii story haingejitokeza Sametimes hata upumbavu husaidia now we won't be fooled with fake suspects

  • @user-yq2mm5gc3c
    @user-yq2mm5gc3c Місяць тому +15

    Huyu Collins is innocent,,,,, please stop playing with our intelligent

  • @queenlilian5139
    @queenlilian5139 Місяць тому +2

    GenZ sio Raila my friend kabla mtudanganye tusha jua mnapanga kutudanganya sasa jidanganyeni wenyewe Ruto must go must gooooo

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Місяць тому +16

    Hawa watu hawajauliwa 2022 urongo

  • @douglasomare147
    @douglasomare147 Місяць тому +21

    We are not fools.

    • @WillisAli
      @WillisAli Місяць тому

      Nikama unajua sana mbona usijipeleke kotini kumtetea

    • @Samuelmusyimi-zy1ts
      @Samuelmusyimi-zy1ts Місяць тому

      ..ww n mjinga ..haga

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Місяць тому +17

    Huu ni urongo huu ni urongo mnaamua kudanganywa na serikali hawa watu wameuliwa after maandamano yaani hizi wiki za maandamano tu baada ya watu wametulia ndomili zimeanza kufuata familia spirit zimeanza kufuata familia halafu hapo watu wanakuja kudanganywa eti ameua sijui baada ya miaka miwili urongo

  • @dubabaxakatv2993
    @dubabaxakatv2993 Місяць тому +10

    We are not fools mbona Quarry iwekwe moto kama mshukiwa yuko ndni???na hio place ni crime scene it was supposed to be protected?? By who???dci n police...sisi sio wajinga bana

  • @Travelwithfred
    @Travelwithfred Місяць тому +6

    Kwa NYUMBA Kwani haikunuka kwa KIJIJI ??uwongoo

  • @mokayamokaya3015
    @mokayamokaya3015 Місяць тому +22

    Kweli tuna bebwa ufala

    • @LumonyeCatherine
      @LumonyeCatherine Місяць тому

      Sijafurahia hii maneno mbona wanadanganyia mtoto wa mtu pili hawajaonyesha akionge surely huonguo kilo ngapi hii Hawa watu waende kuzimu

  • @wanzetselsalasya6369
    @wanzetselsalasya6369 Місяць тому +3

    STOP! using this man as a scapegoat.Huyu amelipwa kujitwika msalaba usiokuwa wake.

  • @violetnyaramba4110
    @violetnyaramba4110 Місяць тому +8

    Just a quick question...alikua anawaua anawakata ..anawaacha wakauke ndio awatupe?all that time harufu haikua inatoka kwa io nyumba ..coz i know one starts to smell as from three days...ama alikua na formalin pia?

  • @alicewangari7147
    @alicewangari7147 Місяць тому +3

    Nani anaweza kujiweka kwa ngori kama hii this must be a serial killer, devil agent, Lord have mercy on us

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m Місяць тому +24

    Sijai ona ujinga kenya kama huu..
    Ruto must go

    • @LumonyeCatherine
      @LumonyeCatherine Місяць тому +1

      Aki atoke mbona wazazi wa huyo bibi wake hawajatokea hata waseme kitu jamani

  • @zunirasalim7660
    @zunirasalim7660 Місяць тому +6

    Sasa uchunguzi gani ya fanywa na wamepata evidence 😢😢😢auliwe n yeye

    • @osungasamsonosunga8771
      @osungasamsonosunga8771 Місяць тому

      They are going to court tomorrow not to prosecute the killer, but to ask for more time to do investigation. Hahaaa Kenya!

  • @renmwenda8874
    @renmwenda8874 Місяць тому +4

    Yaani bado mnatuchocha....

  • @dunna1663
    @dunna1663 Місяць тому +2

    Uwongo tu wa polisi wa Ruto!!amelipwa huyu khalisa,condolences to the families of our fallen Heroes and Heroins ❤

  • @gamemaster5933
    @gamemaster5933 Місяць тому +3

    Ata ingekuwa mm nigekubali kweli , tunabebwa aje bana surely

  • @_.Queen_Aiisha_ross
    @_.Queen_Aiisha_ross Місяць тому +3

    How come reporters haven’t gone to talk to he’s neighbors and look for he’s family

  • @mouriceochieng9002
    @mouriceochieng9002 Місяць тому +8

    Uwongooo mtupu😂😂😂😂😂

  • @annyleycoyney7622
    @annyleycoyney7622 Місяць тому +3

    Citizen Khalisi Collins is dead since last year 😅😅😅Ruto should know lack of job has made us all Kenyans to be computer scientists bila kwenda shule details zinapatika zote za lies even for Rutos lies😂😂

  • @xetrahbooboo3492
    @xetrahbooboo3492 Місяць тому +3

    Justice 😢

  • @lucymwai7645
    @lucymwai7645 Місяць тому +4

    Huyo kijana apelekwee hosipitali kwanzaa b4 CID waonge wakiwa na police

  • @stephenthinguri3414
    @stephenthinguri3414 Місяць тому +3

    'Citizen' lying out of fear is still lying... Stop this foolishness people have lost loved ones....

  • @martinkithome8540
    @martinkithome8540 Місяць тому

    😂😂😂
    These people actually think we are dumb and stupid trying to cover their tracks!

  • @mainakihurusia6380
    @mainakihurusia6380 Місяць тому +1

    Hii story too kutokea Kwa wale waliona Kwa ndoto Ady haapa inakaa too script but ijachorwa poa ....how comes that 2022 aliuwa Bibi Yake na ata ajawai shikwa wala kuripotiwa mahali ...kwani anaishi dunia gani yenye unauwa then uko too free styles...Aaarg shit this nonsense away.....inakaa too script flani ijaenda shule..C muite too akina Butita na Abel Mtua waandikie script...Ubaya ya kupea Njugush awaandikie script

  • @user-wr9kt8mz1m
    @user-wr9kt8mz1m Місяць тому +4

    Huyumtu hata afya hana.
    Alishika nani akau...
    Si niumaskini Ndio wamemtoa chambo

    • @boazwambua387
      @boazwambua387 Місяць тому +3

      @@user-wr9kt8mz1m his face says it all. He is completely innocent. Kuna deal wanafanya hapa na yeye.

  • @NancyNgugi-hd8yr
    @NancyNgugi-hd8yr Місяць тому +3

    Rotten government.police all are sick shindweee shindweee .kabisa

  • @dukenyaberi6968
    @dukenyaberi6968 Місяць тому +3

    Cooked stories nkt

  • @neptuneplutonium86
    @neptuneplutonium86 Місяць тому

    Serikali ni waongo sana,hizo vitu vyote sijui simu,vitambulisho n.k...ni polisi wamemuekelea tu,wakichunguza hivyo vitambulisho watapata ni zile zilizopotezwa na watu...serikali inauj7a mchezo huo na hiyo ni mbaya sanà...poor Kenyans being played kweupe mchana,so sad😢😢😢

  • @aishasaidi1784
    @aishasaidi1784 Місяць тому +9

    Namba za simu alitoa wapi safaricom pia inahusika ID hii kitu mumewekelea tu haka kajamaa lakini serikali inahusika na mauaji ya waandamanaji kama vile tulikuwa tunaona polisi anashoot live bullets watoto waliopigwa risasi nane na yule mtoto aliyepigwa raba bullets rex masai akiuliwa kwa hivyo haka kajamaa kamekelewa lakini haya ni mauaji ya polisi wale walikuwa wamecover nyuso zao

  • @anto-yh5bs
    @anto-yh5bs Місяць тому +4

    Kweli tunabebwa ufala 😅😅...

  • @williammutiso4340
    @williammutiso4340 Місяць тому +1

    😂hii kunyoa ni ya polisi tu ,hapa mnapangwa tu

  • @jamescharles3730
    @jamescharles3730 Місяць тому +1

    Ndugu zangu miili hiyo mbn ni ya wanawake je mnataka kuamini kuwa serikali ililenga kuwaua wanawake? Ndugu zetu wakenya tulieni na muishi kwa amani tunaumia sana tunapoona hakuna amani kenya

    • @kingkevin442
      @kingkevin442 Місяць тому

      Hujaelewa bro hao ni watu waliuliwa wakati wa maandmano wananchi wakapata hizo mwili Sasa serikali inajaribu kuficha ukweli Kwa kudanganya ati ilikuwa kazi ya muuaji not them.

  • @suz89ken
    @suz89ken Місяць тому +3

    Trying to prove a narrative. DCI cover-up on it's best

  • @OmondiAira
    @OmondiAira Місяць тому +5

    Governments wamepanga uwuongo

  • @joeukim2173
    @joeukim2173 Місяць тому +1

    This is likely to be true kwa nini wote ni kina mama......this isnt maandamano ..but all in all ruto must go

  • @ongedoosungawanangayo3055
    @ongedoosungawanangayo3055 Місяць тому +1

    Is it not strange that Rachel Ruto spoke on Sunday about abuse of women and the same day DCI comes up with a culprit what coincidence

  • @soniinyambu512
    @soniinyambu512 Місяць тому

    Atutaki kuchezewa msitufunge macho 😢😢mbona Rita waeni aliuliwa kasarani na mbaka Sasa hivi amjawai jua ni nanii atutaki kuchezewa 😢😢

  • @bensonmbithi5754
    @bensonmbithi5754 Місяць тому +2

    Story zingine wacheni kupigia wakenya juu tunahisi kubebwa ufala

  • @NancyMutindi
    @NancyMutindi Місяць тому +1

    Apa kuna uwongo mkubwa sana sasa kma alianza kuua watu 2022 kufikia sai watu 40 hao watu wote amewauwa aje akiwa pekeyake???? lazima kuna wenye alikua nao

  • @nicksmambo8047
    @nicksmambo8047 Місяць тому

    Huyu hata kuku hawezi kuua,Ruto you must go

  • @AntinetaOwino
    @AntinetaOwino Місяць тому

    No trick will convince us Ruto must Go

  • @dantimnjugunqnjuguna4136
    @dantimnjugunqnjuguna4136 Місяць тому +1

    yaani mnatuona wajinga io design...cant believe yaani hii government imeona ma fala...so apparently amepatikana after bodies were discovered ??kudos DCI...now tell us who murdered the innocent youths during maandamanos since you so quick in your investigations...kumbafu nyinyi..mafi ya kuku

  • @malkiawagiza1327
    @malkiawagiza1327 Місяць тому +1

    Kama ninavyoona wengi wa Wakenya hawaamini serikali hata kidogo. Niliona jana vijana wakitafuta miili katika eneo la dampo bila msaada wowote wa polisi. Very strange indeed.

  • @cleo4782
    @cleo4782 Місяць тому

    The way it usually takes DCI long to carry investigations ...howcome this one has happened so fast...everything so organised...kutucheza ufala😂😂😂😂

  • @soniinyambu512
    @soniinyambu512 Місяць тому

    Akuna uyu ni mtu wa ugandatu ametafutwa 😢😢ndio tusijue ukweli ata izo majina wakaaji wa uko wazijui na wajawai skia izo majina

  • @Kipkemboi-vd9nf
    @Kipkemboi-vd9nf Місяць тому

    Haiwezekani police officers ndio wali uwa hao watu DCI isitu bebe ufala

  • @markmbirithi4155
    @markmbirithi4155 Місяць тому

    You could have shown us a video of him confessing to crimes..??

  • @marrymakoi1588
    @marrymakoi1588 Місяць тому

    How does it come everything kina happen mnasema Raisi ndiye kafanya true mna dhambi kubwa mtaangamia wote.

  • @oulasyano3855
    @oulasyano3855 Місяць тому

    Feeling fooled with 50M others😂😂💔

  • @edwinsafi7016
    @edwinsafi7016 Місяць тому

    It's very shameful for the media and police officers to give to the nation such report

  • @raphaeloloo9641
    @raphaeloloo9641 Місяць тому +2

    Si yy waache story za danganya toto amelipwa tayari na mushatia moto apo mufute ushaidi kware

  • @moseslaizar843
    @moseslaizar843 Місяць тому

    hapo mimi sisemi kitu inacho shangaza kabisa sawa alianza na mke wake kwani mke wake akua na familia kabisa amutafute😢

  • @duncanmusyoki5920
    @duncanmusyoki5920 Місяць тому +3

    Ata huyu jamaa awezi uwa kuku 😂😂

    • @brettamulei
      @brettamulei Місяць тому

      Walai kumbe umeona😂 serekari bana

  • @joycenyakundi3605
    @joycenyakundi3605 Місяць тому +1

    PATHOLOGICAL LIES. RUTO MUST GO

  • @orianagaiko8971
    @orianagaiko8971 Місяць тому

    😢😢😢😢can he talk for himself juu weeeeh ata mgondi hawajatoa maji lakini mshukiwa ameshikwa😂😂

  • @mikeyoung5847
    @mikeyoung5847 Місяць тому +2

    Not making sense

  • @Ankaramaina95
    @Ankaramaina95 Місяць тому +1

    Hakuna..huyu janguu amelipwa..Mimi sijai daganywa..hao washukiwa wanashikangwa tu baada ama..kadanganye wengine

  • @martoo539
    @martoo539 Місяць тому

    Kjanaaaa😆😆😆hi serikali inadaganya kila kitu😂😂😂

  • @bonnymatheka352
    @bonnymatheka352 Місяць тому +1

    Huo ni uongo,collo namjua hawezi ua hata kombamwiko.alafu kuna hizo chandarua zimetumika kufungia miili,collins atakuwa alizitoa wapi

  • @IbrahimAli-b4e
    @IbrahimAli-b4e Місяць тому

    Government of Kenya trying to cover up,kwani huyu mtu mmoja atauwa watu almost 50 pekee yake,really? Are we kids? just come out clean

  • @luckyluchano1
    @luckyluchano1 Місяць тому

    You mean nobody has ever seen him carrying the bodies from 2022 upto date? It doesn't add up😡

  • @Jane-vh1ep
    @Jane-vh1ep Місяць тому

    Hawa wanaongea na kina nani...wana adress kina nani sasa juu haiezi kuwa ni Sisi jameni🚮

  • @user-mb3ww7wx5m
    @user-mb3ww7wx5m Місяць тому

    Colling hapo amesain mkataba aseme yeye ndio muhusika kisha iishe hvyo
    Na afungwe miaka kadhaa akuje kutoka akakule mshahara wake au hata ataftiwe visa aende ulaya akaishi huko but sahy make mkijua jamaa alifungwa maisha yake yote

  • @kaibungarose
    @kaibungarose Місяць тому

    We Gen Z are DCI graduate stop this stage managing

  • @pamelaopiyo5590
    @pamelaopiyo5590 Місяць тому

    These people ain't tired of lying?💔😏

  • @paulmuasya6261
    @paulmuasya6261 Місяць тому +1

    Huyo bibi yake ana jamaa nzake?

  • @AfriKan-Nazi
    @AfriKan-Nazi Місяць тому +5

    Mnalipa ngapi mniekelee pia @butcherofsugoi

  • @TradeIQ_Profits
    @TradeIQ_Profits Місяць тому

    Headquarters of UNEP is NAIROBI...Maajabu

  • @dafinesmailo1984
    @dafinesmailo1984 Місяць тому

    Huyu amejitoa mwanga kulipwa ili akubali mambo ya uwongo sijui amelipwa ngapi🤔🤔🤔

  • @steveogwenyo5615
    @steveogwenyo5615 Місяць тому +6

    Uongo mtupu

  • @bonnymatheka352
    @bonnymatheka352 Місяць тому

    Hapa ni kupakwa tunapakwa rangi jamaa,itabidi tumetii😂😂

  • @Middlechld_ke
    @Middlechld_ke Місяць тому

    RUTO MUST BE PLOTTING THIS

  • @brayoist
    @brayoist Місяць тому +2

    Pure lies

  • @lucywanja-ft2fx
    @lucywanja-ft2fx Місяць тому +2

    Huyu amelipwa pesa ngapi

  • @halimaadan3412
    @halimaadan3412 Місяць тому

    subhanallah huyu mnyama walai😢

  • @tpsybartender158
    @tpsybartender158 Місяць тому

    Anyone from that area that knows this man?

  • @nancyhunja915
    @nancyhunja915 Місяць тому

    There is God in heaven who knows all but I like the idea of Kenya having the freedom that you can take one to court if you know the truth of a crime against you. There is a lot of bitterness in this case with people claiming it is not true and all are lies. If they know the truth they should have taken the case to court to avoid being cheated. God is not happy with false witnesses so avoid too much noise and pray for God's judgement.

  • @lostboy2608
    @lostboy2608 Місяць тому

    New mandamano is needed. Yani wanamushika one day after bodies zimepatikana? Why hajashikwa since 2022? Means some police officers wako na yeye. And i think this is not the killer. Yahi hiyo police station hapo iko na kazi gani?
    Kenyans stand up for your lives.

  • @user-mv9ql7yg5b
    @user-mv9ql7yg5b Місяць тому

    Ruto na serikari Yako Mungu anawaona😮

  • @MohammedMohammed-uo5sk
    @MohammedMohammed-uo5sk Місяць тому

    Mbona hii DCI wamepata ushahidi ama suspect mapema but Shakahola massacre not yet 😅😅😅😅

  • @OmondiAira
    @OmondiAira Місяць тому +6

    Uwuongo uwuongo

  • @musangige5
    @musangige5 Місяць тому

    Hapo kwa ndoto ata kama nimeishi kupata E maths 😂 hapo apana

  • @MM-gh8wb
    @MM-gh8wb Місяць тому

    How long does a body take to decompose ?. Dead body from 2022

  • @almasiactivateprinceofpeac6737
    @almasiactivateprinceofpeac6737 Місяць тому

    Kwanza hio tong haijavaliwa😅😅 uongo hio tutaanguka na nyingi😢

  • @PatriciaMwinambo
    @PatriciaMwinambo Місяць тому

    Stop misleading us, is it Khalisia or Khalusha, these are two different people

  • @juwatv1789
    @juwatv1789 Місяць тому +2

    Kesho tunaanguka nayeye

  • @johnnderi4324
    @johnnderi4324 Місяць тому

    Can someone start by telling us the who was present during the confession? Or is it only the dci thugs,was he forced or did he confess willingly? I am not asking this because i support that heinous act,but we need yo get to the root of it,i dont trust dci with any investigation