Unazani Nakufikiri Kila Anaetoa Mawaidhwa Basi Anatoa Mawaidhwa. Kihakika Wengine Wanapiga Makelele Watu Kila Wanachokikusua Kukifanya Kwaajili Ya MOLÀ Wao Wewe Hautaki Kana Kwamba Wewe Ndio Unaohukumia Nakutoa Thawabu Nadhambi Kwa Watu. Basi Umekosa Maneno Mengine Yoyote Mazuri Yakusema Mpaka Watu uwazuie Kufanya Kheri Katika Mwezi Kama Huu Mtukufu. AFANAA ALAIQ.
Kila anae sema kiarabu akavaa kilemba akasimama mbele ya msikiti ni shekhe tayari Kila kitu ni bidaa kufunga mwezi wa rajab pia ni bidaa hii sasa ni hatari mwalekeza watu kwenye uovu sasa mawabi imekuwa kufunga pia ni balaa sasa mmechoka kusema kuazimisha mazazi ya mtume haifai sàsa mwapambana na saum
Uislam sio kama dini nyengine kwamba kila aliie na uchafuzi wake wa ibada za kutunga tunga aingize Uislam ni kitabu na sunna (maelekezo ya mtume) ibada yoyote ile tuna ikaguwa kwa kutumia quran na.hadithi sahihi ...ikiwa imesihi basi hiyo ni IBADA na ikiwa haiko ktk kitabu na sunna huo ni UCHAFU na sio ibada wala haina malipo Sahaba ibnu masoud anasema االتابعو ولاتبتدعو فقد كفيتم Fuateni wala msizuwe mumetoshelezwa MUSIKASIRIKE MUKATUKANA WATU .EIDHA HAMUJUI KITU AU HAMUTAKI DINI
Na hii miezi mitukufu, kwa ibrahim twaha ndg, mungu mwenyewe katuambia tuzidishe kufanya khairati ktk miezi migukufu, kwa maana unauambia umma wasifanye khayrati? na ukifanya maassia ktk miezi hii unalipwa mabaya zaidi mbn mwapotosha umma
Baada waangalia yakukatazwa wakataza watu kufanya mema huu nimmoja ktk ash'hurul hurum matendo mema Ni Bora ndani yake Na miongoni mwa mema Ni kufunga wewasema bidaa haifai kilemba na juba 😂
@@AllyAhmad-zg2yp ww una soma dini yako hata spika bida fani bida wakati wa mtume s a w hazikuwa sasa ww soma wacha kuropokwa zuzu ila bida njema kwa sababu zinatumika kwa ajili ya Allah hata taa bida wakati wamtu hakukua na tenesco sijui waelewa
jazaakallaahu khayra allaah akuhifadhi sheikh twaha
Unazani Nakufikiri Kila Anaetoa Mawaidhwa Basi Anatoa Mawaidhwa. Kihakika Wengine Wanapiga Makelele Watu Kila Wanachokikusua Kukifanya Kwaajili Ya MOLÀ Wao Wewe Hautaki Kana Kwamba Wewe Ndio Unaohukumia Nakutoa Thawabu Nadhambi Kwa Watu. Basi Umekosa Maneno Mengine Yoyote Mazuri Yakusema Mpaka Watu uwazuie Kufanya Kheri Katika Mwezi Kama Huu Mtukufu. AFANAA ALAIQ.
Hatufungi Watu Hawafungi Kwaajili Yako Sheikh Letu Kwaajili Kilemva Nakanzu Najoho Tuache Tuchinje Natufunge Natufanye Zikri Mbalimbali Hatukufanyii Wewe Nawala Wewe Simlipaji Aamali Zetu Tafadhwali Tuache.
Mtume Amesema funga miezi mitukufu na uache. Acha kudanganya watu. Wewe sio mlipaji. Mwache Allah Amlipe mfungaji. Innamal-a'malu binniyyaat.
Kila anae sema kiarabu akavaa kilemba akasimama mbele ya msikiti ni shekhe tayari Kila kitu ni bidaa kufunga mwezi wa rajab pia ni bidaa hii sasa ni hatari mwalekeza watu kwenye uovu sasa mawabi imekuwa kufunga pia ni balaa sasa mmechoka kusema kuazimisha mazazi ya mtume haifai sàsa mwapambana na saum
😂
mwezi huu unafungwa kwaajili yakujikaribisha kwa mweneezi mungu
Uislam sio kama dini nyengine kwamba kila aliie na uchafuzi wake wa ibada za kutunga tunga aingize
Uislam ni kitabu na sunna (maelekezo ya mtume) ibada yoyote ile tuna ikaguwa kwa kutumia quran na.hadithi sahihi ...ikiwa imesihi basi hiyo ni IBADA na ikiwa haiko ktk kitabu na sunna huo ni UCHAFU na sio ibada wala haina malipo
Sahaba ibnu masoud anasema
االتابعو ولاتبتدعو فقد كفيتم
Fuateni wala msizuwe mumetoshelezwa
MUSIKASIRIKE MUKATUKANA WATU .EIDHA HAMUJUI KITU AU HAMUTAKI DINI
Na hii miezi mitukufu, kwa ibrahim twaha ndg, mungu mwenyewe katuambia tuzidishe kufanya khairati ktk miezi migukufu, kwa maana unauambia umma wasifanye khayrati?
na ukifanya maassia ktk miezi hii unalipwa mabaya zaidi
mbn mwapotosha umma
Baada waangalia yakukatazwa wakataza watu kufanya mema huu nimmoja ktk ash'hurul hurum matendo mema Ni Bora ndani yake Na miongoni mwa mema Ni kufunga wewasema bidaa haifai kilemba na juba 😂
Sio kila ukisikiacho lazma ukifuate akili unayo hujalazimishwa fanya unachokiamini wapo wanaomuelewa wee baki na unachokiamini. Acha kubeza usichokielewa.
Ww pia miwani yako bida hiyo mtume s a w hakuvaa miwani hawa mawahabi wapotoshaji
@@saba-gv3mjkwaiyo miwani ni ibada? Mh ujinga umejaa watu hawasomi dini yao
@@AllyAhmad-zg2yp ww una soma dini yako hata spika bida fani bida wakati wa mtume s a w hazikuwa sasa ww soma wacha kuropokwa zuzu ila bida njema kwa sababu zinatumika kwa ajili ya Allah hata taa bida wakati wamtu hakukua na tenesco sijui waelewa
Dini ya uislaam imevamiwa.
Mashekh wengine bange kweli shenz kweli umeshasema Rajab ni mwezi mtukufu sasa utukufu wake uko wapi
Kwani Hadith ikiwa dhwaif haifai kufuatwa... Ustadh rudi usome...
Haifai na kama ikifaa basi dini itakuwa na uzito sana
@@mgazamhina840 Acha kuropokwa
@@Abuusaad-uy5cx sasa nimeropokwa na nini
Uislaam umevamiwa jamani. Tuwe makini sana. Msikie makini utagundua udhaifu mkubwa kabisa.
Mijitu ya hawaa kazi yao ni matusi tu kwa ujaahili wao
Hivi hawa wanaousemea uislaam wanatoka wapi siku hizi? Tuko hatari.
Na km ikhtilafu mbn hamuizungumzi mwanachuoni hugu azungumza hivi na huyu azungumza hivi
mbn hamui wakweli ktk dini
Puuuz la sheikh àibu kwelikwel kasoma wapi huyuu .... Upumbavu wa mwisho
Kama ni sunna kufunga mwezi mzima nani kafunga mwezi mzima ?
Dalili sahihi tupe
Ukiwaskia watu bidaa, bidaa, bidaa, niwapuuzi, huyo na kelele zake zote na kipaza sauti chake je mtumi s.a.w alitumia?
Kuwa na akili kipaza sauti sio ibada ndugu, tusomeni tuache ubishi ndugu
Muongo ww hujui chochote muongo ww
fuqaha wote wanne nisunna kfunga mwez mzima acheni upuuz wenu
Nyiny watu mbona waharibifu hiv
Taja hicho kitabu chenye hayo
Kukusikiliza ww ni ujinga kasomeni kwanza
Hivi kama hajasoma wewe si ukatafute ukweli ili uufuate
Watu wanawaza bid'a tu ndio dini yao
kwa utuambie ndg funga zetu watulipa wewe au allah
ndo utuambie, hii miezi mitukufu, mi siwaelewi nyie mijibwa tu