Hamiss swedi khagasheki, nakukumbuka Sana ulitupenda watu wenye ulemavu,enzi hizo tukiwa mugeza mseto,ukitushirikisha kwenye sherehe za wapendanao mwaka 2013 kasibante radio be blessed
mm naamini Haina haja hata kulumbana, MUNGU anajuaga kukomoa anauwezo wakuingilia kati jambo hata hizo kelele zisiwepo, tupige magoti tuombe kama MUNGU amekusudia had 2070 basi ataongoza had huko lkn kama hajakusudia hata 2025 hawezi kupita. tusigombane niwatoto wa baba mmoja MUNGU vurugu hazina tija❤
Wazee kama awa wangekuwaa wanapunzikaa taku tunakuwaa adii Leo hii vyeo awachii tumewachokaa jamani tunaombaa serikaliiwekee vijana nguvu kazi mh lukuvi kalee peshenii yk ya uzee duh
Hawa wazee akina Lukuvi niliwaheshimu sana lakini nilichokuja kujua mtu ukizeeka unapoteza focus. Hawa wazee wapumzike tu watupishe vijana tuiongoze nchi.
Mungu ndo musemaji wa kweli mungu huyu huyu ndo hakimu wa kweli yeye ndo atupa raisi tunaye mtaka wanachi tumwaminini mungu tu mungu ndo hakimu wa wkweli mungu yupo namugu hawi wala hachelewi mungu yuko pamoja na wenye haki jina la bwana ritukuzwe kote dunia na mibiguni
Kuna umri wa kusubiri tu kufa hata mbio mita kumi uwezi kukimbia Lukuvi anaitaji kula na kutunzwa umri wake ni mzeee Bora aseme hivyo ili rais amkumbuke yupo kinyume na Kila kitu
MIE CJAONA KAMA KASEMA AKAE HADI MWAKA 35 ILA KAOMBA KM ITABIDI WAMFANYIE MAAJABU, NA ALOONGEA NAO NAHISI WAPIGA KURA NA WANAUSHAWISHI UWO HATA KWENYE FAMILIA ZAO
Lukuvi ujiheshimu. Endeleeni kumkuza mkifikiri mnamsaidia. Acheni kumgombanisha na Mungu. Kumbukeni Mungu yupo, kama hamjajifunza kwa waliopita, mtajifunza sasa
Kinachonishangaza... wananchi wote hawamtaki samia yan ni Tushamchoka na kumchukia ila kuna maccm tu yalozoea wizi na machawa tu ambayo ni mafinyu ya akili yakisema aongezewe muda ili amuongoze nan sasa...???📌📌📌📌 Watanzania hatumtaki samia mbn ving'ang'aaaa????🤔🤔🤔
Si ndio hao akina lukuvi, ndugae,mwinyi n.w,, walipiga debe sana magufuli awe MUNGU, yaani atawale milele, badala ya kuongoza,,,, yuko wapi magufuri? Hii inchi siyo ya mfalme au malkia, wasituletee ujinga wa 1961-1984. Mbona yeye samia alisha sema ni raisi kamili! Na aka-apishwa! Sio kaim wa magufuli tena, amalizie hiyo 6 ilio baki.
Lukuviiii huyu bab amezeeeka apumzikeee ale tu pensheniiii na wajukuuuu zake kama akujenga vi appartments nyumba za kukodisha akistaafu vimuongezeee kipato akistaafu aje mimi ni dalali aje nimuuzie viwanjaaaa goba huku na mbezi na makongo
Huyu Kagasheki aliacha madudu Geneva alipokuwa akifanya kazi WIPO (World Intellectual Property Organisation) halafu akarudi Tanzania na kupewa nyadhifa muhimu serikalini. Alibebwa na swaiba wake kwa kushauriwa ajiuzulu kwa hiari baada ya kupokea CHF 300,000 kwenye account yake ambayo ilisemekana ilikuwa ni hongo. Mwaka jana 2023 aliteuliwa na Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa bodi ya parole. Kwa tuhuma mbaya aliyoacha Geneva ya kukubali hongo na nafasi aliyopewa hayo ni majanga kwa Taifa!
Uchawa unatafuna hadi wazee jamani toeni hawa wazee wawekeni vijana waliokosa hajira waliosoma na wanauchungunnataifa lao wapo wanasjili laini uku mtaani hawana pakwenda walewakipewa nafasi kama hizi wanakuwa nauchungu nazo sio hawa wazee wameshachoka na wameshajizolea mali kibao hawana tena uchungu na taifa uchawa ndio umekuwa kipaumbele
Sifia ule. Tragedy of African leadership. Uchawa utaliangamiza taifa. Ccm mnatakiwa kujua hamna hati miliki ya nchi hii. Jifunzeni mageuzi ya kitawala yanayoendelea nchi za magharibi, Tanzania siyo kisiwa.
Yupo Mungu mtetezi wa wanyonge na msemaji wa mwisho
Kwakua kapewa cheo 😂😂😂
Hivi ni nini kinaendelea nchi hii??
Njaa mbaya
Lukuvi chawa tuu
Hamiss swedi khagasheki, nakukumbuka Sana ulitupenda watu wenye ulemavu,enzi hizo tukiwa mugeza mseto,ukitushirikisha kwenye sherehe za wapendanao mwaka 2013 kasibante radio be blessed
mm naamini Haina haja hata kulumbana, MUNGU anajuaga kukomoa anauwezo wakuingilia kati jambo hata hizo kelele zisiwepo, tupige magoti tuombe kama MUNGU amekusudia had 2070 basi ataongoza had huko lkn kama hajakusudia hata 2025 hawezi kupita. tusigombane niwatoto wa baba mmoja MUNGU vurugu hazina tija❤
🙏🙏🙏🙏
AMINA
Hakika mungu ndiye mwamuzi WA yote
Amiin yarab mi ni mzanzibar na ni ccm nawaonea huruma sana huko mwishoe tutabaki sisi watazanzar yeye na mapolisi wake mtihani wallah
Hatakiwi kabsa
yaani au basiii , matumbo haya mmmm
Hatumtaki, hatumtaki sisi
Wewe ndio humtaki
@@RBMBAKARI-bv6wn co atashinda ila wataiba kenge ww
Tunamtaka tunamtaka sie
Humtaki wewe usiejielewa. Si uhame nchi njia nyeupee
Mwenyewe simtaki ata kwa kumuona
Lukuvi nlijua una Akili kumbe....😂
Umenena mh wazir wa zamani wa maliasili,tulifikir ukubwa wa pua ndio uwingi wa kamasi kumbe matopee
Serikali ya dictators nothing much
Wazee kama awa wangekuwaa wanapunzikaa taku tunakuwaa adii Leo hii vyeo awachii tumewachokaa jamani tunaombaa serikaliiwekee vijana nguvu kazi mh lukuvi kalee peshenii yk ya uzee duh
Ila Mungu fundi hata Ndugai na genge lake walitaka wabadili katiba kwa ajili ya mwendazake ...Ila Mungu akaingilia..Ndugai yuko wapi na mwendazake?
njaa yke imehamia kichwani ndo mana anaongea utumbo tu
Samia must gooo
Sasa aliyesema si inajulikana kama anasema kwasababu ya teuzi aliyopewa mbona hajasema kipindi yupo nje ya baraza
Badaa ya kuteuliwa lukuvi ameanza kuota mkia
Umri ulio nawo c wakusema unayo yasema. Unafahamu kesho yako. Ww unae sema 2035. Hata jpm mlimwita mungu. Yakatokea yaliyotokea. Mungu hafananishwi chochote.Asante lukufi
Hatumtakiiiii😢😢😢😢😢
Kufaaaaaaaaaa😊
@@salehesalehe2967kufa ww atu mtakii na ata Toka 2
Sema humtaki wewe choko
@@isamony58 peke yako usihusishe. Wengine tunamtaka sana tu.
Safi sana kagasheki
Labda Kwa wiz lkn Kwa haki 2025 hatoboi hta robo ya kura za watanzania shwain
Atatoboa baba ako na mama ako shenzi kabisa wewe
Kwan uwongo huyu bibi hatoboi acha kutukana watu ovyo mbwa ww
@@huyu1993 Kuma la mama Ako,,,nyie ndo wale mnaenjoy watu kuuawa na kutekwa,kuteswa govi la baba Ako na kisimi na mama Ako kirefu km mto naili
Na atashinda sanaa
Ulanzi umejaa tumboni
Hawa wazee akina Lukuvi niliwaheshimu sana lakini nilichokuja kujua mtu ukizeeka unapoteza focus. Hawa wazee wapumzike tu watupishe vijana tuiongoze nchi.
😊😊au sio 35
Akae miaka mia itakuwa vizur
2025 Mwisho,Ashindane ndani ya chama
Mungu ndo musemaji wa kweli mungu huyu huyu ndo hakimu wa kweli yeye ndo atupa raisi tunaye mtaka wanachi tumwaminini mungu tu mungu ndo hakimu wa wkweli mungu yupo namugu hawi wala hachelewi mungu yuko pamoja na wenye haki jina la bwana ritukuzwe kote dunia na mibiguni
Lukuvi nimchonganishi.Musisahau ile kauli yake huko kanisani kuhusu Zanzibar
Allah amuhifadh rais wetu ametutendea mema sana hasa kwenye ajira na maslah kwa watumish madaraja tunapanda sanaaaa
Ooooooo chawa jamani maajabu kwako
Kuwe na uchaguzi huru na haki tusianzishe vioja kama hivyo
Huwa wanaanza hivihivi kupima upepo wa wananchi kuwa watasemaje .
Ajakusea kitu waziri lukuvi.ira uyo wazir wazamani ndio mwenje shida
Serekali ya walipa fadhila
Uchawa unaivuruga nchi, huyu lukuvi nidhani ni mheshimiwa kwelikweli, kumbe ni kama wale wengine
Mbona hakuna shida hata afike 2100 ni sawatu
Sikuhz hakuna agenda za kutokomeza umaskini ni kupigiana kampeni tu
Kauli hii ni ya kuondoa watu kwenye reli waache kuzungumza mambo ya msingi kwa sasa
Makunguni wa mama hao
Mungu msaidie Mama mpe nguvu aiongoze nchi mpka 2035
atakuongoza ww hatumtaki sisi
Mikopo .mpaka mwisho acha utani na nchj
Ipo siku chawa watalibu nchi nakuleta matatizo makubwa
Kweli nchii waizi sana haya umepigia kura wap mpaunasema Samia had 2035 acheni uwizi bana jaman
Acha ujinga lukuvi
Mimi sindi kupinga kula
SIKUHIZI HADI MAJITU MAZEE YANAKUA MACHAWA, YANI MAJITU HAYANA AIBU SIKUHIZI JAMANIIIII KHEEEEEE😢😢😢😢😢😢😢 NAJISKIA KUTAPIKAAAAAAA
Naona mnakereka sana watanganyika mbona kelele
Kagasheki unafanyvema
Hatoboi
Lukuvi kumbe na wewe ni chawa!? Kaombe toba. Magufuli yuko wapi!? Mungu hadhiakiwi.
Nchi ya WADANGANYIKA
NI kuvimbiwa Tu kwa viongozibaadhi Yao NI kawaida Tu kuvimbiwa Tu huyu tunamjua
Lukuvi Kawa chawaa
Njaa mbaya
Kwa kuwa ye mwanamke
Kwa maslah yao wanafaidika nakulindana
Kuna umri wa kusubiri tu kufa hata mbio mita kumi uwezi kukimbia Lukuvi anaitaji kula na kutunzwa umri wake ni mzeee Bora aseme hivyo ili rais amkumbuke yupo kinyume na Kila kitu
Ohoo na ninyi mnaanza kulinda kura
Hv kwann baaziyawaheshimiwa hujivua heshimazao kwakauli zisizomaana? Yaani mtuanaheshimikaa halafu anajishusha mwenyewe nakufanyamambo kanakwamba mpgadebe wastendi za vjijini
Mh Lukuvi Safi sana hiyo . Tz itakuwa Nchi iliyoendelea Kwa kasi hii ya ujenzi wa Miundombinu.
Haipo nani atakubari maisha yameharibika ,ss sio wale mlio wazoe
Haya mazee mengine yanafirwa
Kwanza miaka aliompokea Hayati Magufuli hatuhesabii, alipokea kijiti tu, yake 2025-2030 na 2030-2035. katiba tumeandika wenyewe isitushughulishe, maoni binafsi tu, ukiona pazito omba passport kaombe ukimbizi
Asingebadilisha awamu
naona bdo hayajakukuta ndo mana unaandika utopolo
😂😂😂😂😂😂😂kichwa maji ee
Rip magu
Makalio ww ..... Yaan ww ni matako kabisa mh,... Wahaina Gani...?!. Ifikie muda viongozi kama Hawa hawaitajiki
Kunamasisiem yaliitaka mh Mungu !!? Sasa yameibuka mengine tena angalieni maneno yenu
Mwisho ni 2030 tu hatutaki tena aendelee
Utataka tu kumamamayo
Mpe wewe akuongozwe bila kusahau ndugu zako pia machawa bwana
MIE CJAONA KAMA KASEMA AKAE HADI MWAKA 35 ILA KAOMBA KM ITABIDI WAMFANYIE MAAJABU, NA ALOONGEA NAO NAHISI WAPIGA KURA NA WANAUSHAWISHI UWO HATA KWENYE FAMILIA ZAO
Mmh MUNGU NDIE AJUAE
Akili ixhaexpaya
nyie zamani niliwafm kama mnakuwa amuna upendeleo mbona amjatwambia mwenyekitiwenu anaongoza miyaka salasini mnaongeleya samiya
Lukuvi ujiheshimu. Endeleeni kumkuza mkifikiri mnamsaidia. Acheni kumgombanisha na Mungu. Kumbukeni Mungu yupo, kama hamjajifunza kwa waliopita, mtajifunza sasa
ktachimbika raundii hii
Kinachonishangaza... wananchi wote hawamtaki samia yan ni Tushamchoka na kumchukia ila kuna maccm tu yalozoea wizi na machawa tu ambayo ni mafinyu ya akili yakisema aongezewe muda ili amuongoze nan sasa...???📌📌📌📌 Watanzania hatumtaki samia mbn ving'ang'aaaa????🤔🤔🤔
Si ndio hao akina lukuvi, ndugae,mwinyi n.w,, walipiga debe sana magufuli awe MUNGU, yaani atawale milele, badala ya kuongoza,,,, yuko wapi magufuri? Hii inchi siyo ya mfalme au malkia, wasituletee ujinga wa 1961-1984. Mbona yeye samia alisha sema ni raisi kamili! Na aka-apishwa! Sio kaim wa magufuli tena, amalizie hiyo 6 ilio baki.
Mkipenda madaraka basi muwe tayar kusikiliza wananchi
Kwani Tanzania ni falme? Hawa machawa wanaopayuka wanatumwa na Samia vinginevyo angewakemea hata kuwakataza. The buck stops here on her door.
Lukuvi niwazee waliochoka
Hakuna anayemtaka
Lukuviiii huyu bab amezeeeka apumzikeee ale tu pensheniiii na wajukuuuu zake kama akujenga vi appartments nyumba za kukodisha akistaafu vimuongezeee kipato akistaafu aje mimi ni dalali aje nimuuzie viwanjaaaa goba huku na mbezi na makongo
Huyu Kagasheki aliacha madudu Geneva alipokuwa akifanya kazi WIPO (World Intellectual Property Organisation) halafu akarudi Tanzania na kupewa nyadhifa muhimu serikalini. Alibebwa na swaiba wake kwa kushauriwa ajiuzulu kwa hiari baada ya kupokea CHF 300,000 kwenye account yake ambayo ilisemekana ilikuwa ni hongo. Mwaka jana 2023 aliteuliwa na Rais Samia kuwa Mwenyekiti wa bodi ya parole. Kwa tuhuma mbaya aliyoacha Geneva ya kukubali hongo na nafasi aliyopewa hayo ni majanga kwa Taifa!
Viva mama
Umezeeka vibaya we mzee
Huyu muhehe kaishiwa sela kabaki chawa tu vyeo hivi
ndyo mana nkiona kjana yupo ccm nacheka 😂😂😂😂😂 sana aaa
Rip
Kwavile mimi sijafikia umli wa kugombea sina cha kulaumu aukupongeza maana wote ni walewale ila watofauti ni mimi tu😂😂
Wazee nchi hii sasa ni wa hovyoo sn
Lukuvi sidhani kama kauli hii ni yako kutoka akilini mwako akae mpaka muda huo wakati kauli ya bavicha tu imemuogopesha Samia must go
(?)unazamila yaukweli au😢😢😢
Mpeni milele maana mlango wa kuzika marais wakiwa madarakani umesha funguliwa twendee kazi
Uchawa unatafuna hadi wazee jamani toeni hawa wazee wawekeni vijana waliokosa hajira waliosoma na wanauchungunnataifa lao wapo wanasjili laini uku mtaani hawana pakwenda walewakipewa nafasi kama hizi wanakuwa nauchungu nazo sio hawa wazee wameshachoka na wameshajizolea mali kibao hawana tena uchungu na taifa uchawa ndio umekuwa kipaumbele
Mzee kibao pamoja na wengine waliopotezwa wanamwita huko alipo. Msimchezee Mungu nyie.
Mnamdanganya huyo mtu went kisa nyie mnateuliwa teuliwa shame upon you na huyo
Chawa aliepevuka atakufa juu ya kiti
No😊😊
alivyotumbuliwa mwanzo tulizani kaonewa kumbe bogac kbs
Sifia ule. Tragedy of African leadership. Uchawa utaliangamiza taifa. Ccm mnatakiwa kujua hamna hati miliki ya nchi hii. Jifunzeni mageuzi ya kitawala yanayoendelea nchi za magharibi, Tanzania siyo kisiwa.
MPENI HATA 100. NCHI SI YENU PEKE YENU. TUMECHOKA SANA NYIE HAMJUI TU😏😏
Nch inaviongozi mashog sana mtu unaongea pumba