Ivi jmn kwli kbs mchele umekobolewa nimweupe kabisa unauloweka usikumzm bado unauosha ili uwe mweupee kabisa unauchemsha haitoshi bado unaunika juani alf unatoa unauchoma namafuta hiyo inakua chakula au nitaka taka vitamin yot umeitupa nnje kwakuosha nakuanik juani unafundisha watu kupija jung food chakula taka wataalamu waafya wanashaur nafaka zakukoboa sio nzuri tena wanashaur mchele uliokobolewa usioshwe kabisa ww unashauri upuuzi km huu hujiskii vby ndio maana skuiz watu wanavitambi vyaajabu ajabu
Allahu akbar, yaan hii receip nlikua naitafuta, wallahi nakuombea dua Allah akupe baraka zake maana daah
Ndomaana nakupenda mwalimu wangu, nilikua sijui maandaliz yake ila kwa sasa nimejua, asante sana.
Karibu sana dear wangu,nafurahi kuskia ivo
Umenifunza kitu kizuri ahsante sana
Alhamdullillah 🙏🙏🙏🙏
Nilikuwa sijui kabisa unavyotengenezwa. Nakupenda sn.asante
Karibu sana dear..nafurahi video imekuwa ya manufaa kwako
Ahsante sanaa my dear,,God bless you
Amen..God bless you right back dear,
Daaah hapa umenielimisha asant sana
Karibu sana dear🙏🙏🙏🙏
Yaani napenda sana kupika nimependa na hii pia good job
Glad umependa..asante kwa sapoti yako
asante kipenz Mungu akubark
Mashallah My God bless u😘😘😍
Wow mambo mapya haya!!!!napenda
Wooow,asante sana for watching& kupenda😍😍😍
Mumy ko mchele wa kawaid cwez tumia mpak basmat tu au pishori
Great 🤗🌸 like 🌸
Ivi jmn kwli kbs mchele umekobolewa nimweupe kabisa unauloweka usikumzm bado unauosha ili uwe mweupee kabisa unauchemsha haitoshi bado unaunika juani alf unatoa unauchoma namafuta hiyo inakua chakula au nitaka taka vitamin yot umeitupa nnje kwakuosha nakuanik juani unafundisha watu kupija jung food chakula taka wataalamu waafya wanashaur nafaka zakukoboa sio nzuri tena wanashaur mchele uliokobolewa usioshwe kabisa ww unashauri upuuzi km huu hujiskii vby ndio maana skuiz watu wanavitambi vyaajabu ajabu
Mungu akubariki dadangu nimejifunza mengi
Very nice 👌👍
Thanks so much for watching dear
Wow I learnt something thanks
Ahsante nimeelewa barikiwa sana
Ahsante dada nimepata biashara ya vimchele
Asante kwa somo
Asante mpenzi kwa somo
Asante sana,,, naeeza chemsha mchele mingi niukaushe, niwe nikichota kidogo kidogo.
Yes,
Napenda
Wow chef 👩🍳 wewe upo creative sana. Hii nilikuwa sijui kabisa . Inakuwa kama crips ?? Hapo Kashata nimependa sana 😋😋
Yes dear,inakuwa crunchy crunchy ..just a little something to snack on
🤤🤤🤤🤤🤤
Maashaallah
🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Asantee dear nmejfunza
Karibu sana
Shukrn sana
Nimejifunza kitu hapa asante sana
Karibu.sana
My sister thnxs a lot for this cook 😋😋😋🤩my Allah bless u 🤲🏻💋
Asante sana
Ndio mwanz kuwartch channel yako ila nimependa
Wow,it looks yummy, have never tried it, bcoz of you keki plus I will,I would wish unitumie recipe ya custurd powder,many thanks dear.
InshaAllah dear,please do give it a try
@@kekiplus1andonly I will, kindly ukipata time naomba unitumie recipe ya custurd powder, measuring in grams,how to use custard powder.
Vipi kuhus kuweka rangi alafu pia ukiulowekaa c unakuwa laini sanaa
Thanks, niko stage ya kusubiri wali ukauke juani🙂
Hahaha ati wali ukauke 😅
Kama unataka kuweka rangi unaweka mda gani
Wakati unachemsha mchele wako
Ladha unaiweka wakati gani
Utaweka wakat wa kuchemsha
Unaweka rangi wakati wa kuchemshaa au
Ndio