#EXCLUSIVE

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 вер 2024
  • #EXCLUSIVE na AUNTY EZEKIEL -"SINA MPANGO wa NDOA na KUSAH - AKITAKA KUOA ANIAMBIE-YEYE BADO KIJANA"...
    Msanii wa bongo movie, Aunty Ezekiel amefunguka kuhusu maisha yake na kazi anazo fanya pia amefunguka kuhusu kuingia kwenye ndoa Kama Yuko tayari kuolewa na Kusah . Tayari maojihano haya yapo Global TV.
    Host @Gabbymtanzania80
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9z...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

КОМЕНТАРІ • 95

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  3 місяці тому +3

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 3 місяці тому +4

    Anazeeka sasa.Muda umeenda. Lakini mzuri sana huyu dada mimi uwa nakupendaga sana pamoja na wema na Riyama Ali❤❤❤

  • @nadyasalim7956
    @nadyasalim7956 3 місяці тому +3

    Hajazeeka ni mzuri mashallah kwa age yake hana make up mkumbuke nature beautiful 😍

  • @faridapandu7579
    @faridapandu7579 3 місяці тому +2

    ❤❤❤❤🎉🎉 kila Leo yupo vizuri huyu ENT zekinampenda

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 3 місяці тому +5

    Innalillahi wainna ilayhi rajioun
    Kuridhika na zinaa , subhanallah Allah atuongoze ktk kheri,

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 3 місяці тому

      Anti sio muislam kwake sawa tu

    • @maryammdoe5801
      @maryammdoe5801 3 місяці тому +1

      @@user-cj2kl7cd9k
      Kwa huyo kusa sasa ndo mtihani anatakiwa atoke kwenye zinaa haraka kabla mauti hayajanfika, Allah atuongoze sote ktk mema na atufishe ilhali tumetubu toba ya kweli ameen yaarab.

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 3 місяці тому

      @@maryammdoe5801 ALLAHUMMA AAMIN

    • @user-bc3lh5ss6c
      @user-bc3lh5ss6c 3 місяці тому

      Ameen

  • @fatumapilyimo8784
    @fatumapilyimo8784 3 місяці тому +5

    Big up mamii, unajitambua na ni mkweli

  • @shamixxvick380
    @shamixxvick380 3 місяці тому +1

    So beautiful without makeup 😍😘

  • @nailaomar4810
    @nailaomar4810 3 місяці тому +2

    Mashaallah mm nampenda always shis beautiful ❤

  • @shanimbaruku2071
    @shanimbaruku2071 3 місяці тому +3

    Aunt ❤🎉

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar 3 місяці тому +2

    Mnakujaga Kwa mbwembwe mwishoni linawashuka

  • @user-mz6lq3gr9l
    @user-mz6lq3gr9l 3 місяці тому +9

    Hta mimi nilikua na mwanaume nilimpenda sana nyumban wakiniuliza kuhusu ndoa nikawa najibu simtaki kumbe bwana ndo hataki kunioa😢 inaumiza

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 3 місяці тому +22

    huyu dada anamtumia kussa na kumpotezea muda wake kama kijana wa kiislam mwenye ndoto zake za maisha na Aakhera,wataishia kuzini mpaka lini na lidada lisilo na imani ya dini,ashasema hana mpango wa kuolewa"vipi ukae na kijana mdogo ambae hajatimiza ndoto zake na suna ktk imani yake!ukijua huna mpango wa kuolewa ni utafute mtu wa aina yako mnao fanana! Mtihani kweli huu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 3 місяці тому +3

      Lijimama la hovyo sana cjui kwanin hyo kusa hajielewi kama dunia ni mapito na Allah hapendi zinaa zinaa ni uchafu mbona akae na mzinifu mwanamke hana Imani anaishi bila mipaka hamjui Allah😢😢😢

    • @user-mz6lq3gr9l
      @user-mz6lq3gr9l 3 місяці тому +11

      Achani kumshambulia ant mtu hawezi kusema kila kitu huwenda kusa ndio hana nia ya kumuoa , ant hawez kuomba ndoa mtandaoni anajiskia vbya me ni mwanamke najua

    • @sophiakimaro5174
      @sophiakimaro5174 3 місяці тому +3

      Kusa ndio anamtumia sio yy anamtumia kusa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 3 місяці тому +3

      Kusa kijana anayependa kitonga

    • @Annalisejg2ur
      @Annalisejg2ur 3 місяці тому

      ​@@josephlorri431kitonga ndiyo nini

  • @RachelMwamini-wt4tq
    @RachelMwamini-wt4tq 3 місяці тому +1

    Nakupenda bure❤❤dada

  • @issazalala4907
    @issazalala4907 3 місяці тому

    Mama kuki uko poa thana unazeeka na utam wako nakupenda thana 🎉

  • @GraceSamson-kk7qx
    @GraceSamson-kk7qx 3 місяці тому +1

    🎉❤

  • @rehemayona2223
    @rehemayona2223 3 місяці тому +4

    i watoto wawili au watatu🤔🤔

  • @AshaMwamba-g3l
    @AshaMwamba-g3l Місяць тому

    Umezeeka uso imekuwa ovyoo

  • @wingracemosha860
    @wingracemosha860 3 місяці тому +1

    Kuna watz wa hovyo sana et wako bize anazeeka anazeeka kwahiyo mlitaka abaki kijana mnachekesha nyie viumbeeee... .. Haya watz msiotaka kuzeeka sijui mnataka kufa vijana(18-45)

  • @rahmashomari1048
    @rahmashomari1048 3 місяці тому

    Umri unavyoeanda ndio kifo kinakaribia mara leo pap umeondoka utaenda kujibu nn na maisha hayo unayoishi ya kuzini kussah oa umstir mwezio na kesho yake kaburin na akhera

  • @nancychesang9567
    @nancychesang9567 3 місяці тому +2

    Kwa uzee gani nyie Aunt bado mbich sana

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 3 місяці тому

    KWAIYO KUSSA KAGOMA KABISA😊😊,,MPAKA IMEKUWA LIWALO NA LIWE..

  • @rashiduchongole1333
    @rashiduchongole1333 3 місяці тому

    Uko na mpango wa kuzizi

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 3 місяці тому +3

    Sssa ww mtangazaji unamuuliza aunt Ezekiel suala la ndoa.?..kishamaliza mwendo na anajua kabisa ndoa kwake ishamtupa mkono..!

    • @millycentgati2541
      @millycentgati2541 3 місяці тому

      Wewe ni Mungu? Wewe ndio huwapa watu ndoa?

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 3 місяці тому

      @@millycentgati2541 ...kwanza neno MUNGU ungeandika Kwa herufi kubwa, halafu ndio u comment

  • @alsam4881
    @alsam4881 3 місяці тому

    Je watu tunaoishi nje ya nchi tutaona wapi hiyo tamthilia ya Jiya?

  • @rahmashomari1048
    @rahmashomari1048 3 місяці тому

    Aunty nakupenda lkn ndoa unaitak kama anampenda kussah kwann ndoa asitake jmn , bas aachane nae au amuache kaka wa watu 😂

  • @user-is9vl2dr7p
    @user-is9vl2dr7p 3 місяці тому +1

    Wewe ni mbibi mwache kusah achukue kijana mwenzake we ni bi mkubwa

    • @maryamathman8917
      @maryamathman8917 3 місяці тому

      Sasa kwani ameshikwa lazima jamani😂😂😂, umenifurahisha kweli😂😂😂

    • @HazinaElisha
      @HazinaElisha 3 місяці тому

      Kwani alimfata haoni kama ni mzeee alimpendaaaa 2

  • @MaryamAlly-yk7zh
    @MaryamAlly-yk7zh 3 місяці тому

    Oregano sas wee umekuwa mkubwa umri umeenda sana kwako

  • @user-eq2wg9hx6o
    @user-eq2wg9hx6o 3 місяці тому

    Sasa utaki ndoa unataka nini,usituchanganye bwana, uyo kijana aoe basi

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 3 місяці тому +8

    Mbona anaonekana kuzeeka mnajidai tu achen kukremu

    • @hanifa9153
      @hanifa9153 3 місяці тому +1

      Uasherati

    • @Zainab-qg6xv
      @Zainab-qg6xv 3 місяці тому +1

      Filter

    • @user-ru6ct4rh3t
      @user-ru6ct4rh3t 3 місяці тому +1

      Ni kweli kabisa kazeeka

    • @HazinaElisha
      @HazinaElisha 3 місяці тому

      Kwani anti ni mzee kuliko wenginee mfano zari mbona ndo mzeeee lakini hasemwi

  • @sarahsesa8851
    @sarahsesa8851 3 місяці тому +1

    🤣🤣 kwel ndoa hapana maana watu wanaishi njoo tukae vizur tu tena kwa mda ila wakifunga ndoa tu bas hata mwaka hauishi wameacha

  • @AsiaAsia-sv6ok
    @AsiaAsia-sv6ok 3 місяці тому

    Eti ndoa apana,loooh hana hata hofu ya MUNGU,uzinifu tu

  • @sabrinaaron4212
    @sabrinaaron4212 3 місяці тому +3

    Kajitunza na nn akat kashazeeka we mtangazaj kiongo unamjaza😂😂😂😂

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 3 місяці тому

    Mashavu yameteremuka

  • @aamaasm2141
    @aamaasm2141 3 місяці тому +1

    🎉mbona sura imezeeka hata kucheke uso una kunjaa

    • @user-cj2kl7cd9k
      @user-cj2kl7cd9k 3 місяці тому

      Maamuzi yake hayahusiani na vipi muonekano wake upo sasa kazi kwenu ashasema kweli yake dada wa watu

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому

      ​@@user-cj2kl7cd9khawajitafakari wao wakiwa na umri wake wataonekanaje

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 3 місяці тому

    Nani nasikiya kama miye 😂😂😂😂😂Iyi indis

  • @lucywille-sm6lp
    @lucywille-sm6lp 3 місяці тому

    Kwan vijana wakristo hawna ndoto na alimwita.

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k 3 місяці тому +1

    Umezeekaa Sasa dada

    • @mwitaagness455
      @mwitaagness455 3 місяці тому +2

      Hata wewe utazeeka dooooh au wewe ni jiwe utabaki km ulivyo😮😮😮

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому

      ​@@mwitaagness455nawashangaa wanaosema unadhani wao hawatazeeka

  • @kessynurutajiri4940
    @kessynurutajiri4940 3 місяці тому

    Auntie Ezekiel sasa umeezeka, mikunjo inaongezeka usoni. Tulia na ubibi wako unampotezaa muda Kusah bure. Tabia zako za hovyo zinajulikana. Nawe Kusah acha kupenda mtemko, ishi maisha yampendezayo Mwenyezi Mungu, ww ni Kijana wa Kiislam huyo Shangazi au Mwalim Mkuu wa nini? Anakupotezea muda bure.

    • @MiriamAbdallah
      @MiriamAbdallah 3 місяці тому

      Kwani kafungwa kamba na si alimuona ni Mzee alimfuta wa Nini, likija la ohivyoo kweli

  • @GeorgeChitemo-kt8sw
    @GeorgeChitemo-kt8sw 3 місяці тому

    Mbona mzee

  • @johanjoha5262
    @johanjoha5262 3 місяці тому +1

    Umezeeka make up inawatowaga

    • @Josephineexsuper
      @Josephineexsuper 3 місяці тому

      Nimegundua huyu ni over 40, mwangalie shingoni

  • @Zainab-qg6xv
    @Zainab-qg6xv 3 місяці тому

    No filter 😂uzee huo