ALLY KAMWE"SITOSAHAU MSIBA WA MWANANGU/YANGA ILINIPA FURAHA TUNISIA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 26 сер 2024
  • Woow! Mwaka 2022 umekuwa na Matukio Makubwa ya kimichezo ambayo yamegusa Hisia za Mashabiki wengi wa kandanda Nchini na Nje ya Nchi.
    Mara zote Ukubwa wa Matukio hupimwa kwa Mtazamo binafsi wa mtu, lakini mengine yanagusa Jamii nzima ya Wanamichezo na huwa na Mvuto wa kipekee.
    Mpenja TV, wakati huu Mwaka 2022 unafikia ukingoni, Tunakuletea Wadau mbalimbali wa Michezo wakieleza Matukio Makubwa yaliyogonga vichwa vya Habari na watayakumbuka zaidi kwa mwaka 2022….Endelea kukaa nasi.
    Kheri ya Krismasi na Mwaka Mpya!!

КОМЕНТАРІ • 50