Jinsi ya kupika KAIMATI za shira ndani

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 11 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 77

  • @asyaibrahim8612
    @asyaibrahim8612 2 роки тому +10

    mashallah mazuri yameanza hayo...Allah atujaalie ni wenye kuipata ramadhan In shaa Allah

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 роки тому

      Ameen❤

    • @otesimuhidini2051
      @otesimuhidini2051 2 роки тому

      Amiiin

    • @MatronaDeodat
      @MatronaDeodat 7 місяців тому

      Naomba nijibu dear kwann nikipika Huwa zinapasuka na kuruka sana? Kiasi kwamba zinaruka na mafuta unaweza ungua,nakosra wapi???

  • @RayaMohd-lh7nz
    @RayaMohd-lh7nz 3 місяці тому

    Mashallah mie naenda wew unavo pika ninge tamani nikujue nikikuiga. Unavo pika nakupatia

  • @salmaabdul1018
    @salmaabdul1018 Рік тому +1

    Asalamu Aleikum mashallah mungu akuzidishie ujuzi zaidi nauli hii zafaran ina maana gami katika chakula naomba nijulishe plyz nakupenda sana

  • @BiubwaAljahadhmy
    @BiubwaAljahadhmy 8 місяців тому

    A alaikum shukraan sana nimejaribu kupika kama hivo zimekuja vizur sana miaka mingi nazipika kaziji shukraan wa jazaka llah lkheir

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 2 роки тому

    Mashallah tabarak Rahman thanks dear 🥰🥰🥰🇴🇲🌹

  • @staher108
    @staher108 2 роки тому

    MashaAllah. Thank you habibty for sharing. I will try these Kaimatis for Ramadhan. ❤

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 роки тому

      In sha Allah dear. Will be waiting for your feedback ❤

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 роки тому

    Mimi iyi shira nilitamani nielewe ku itengeneza nimejaribu siku nyingi nika shindwa leo nimeona nime elewa Asante dada unatafsiri nzuri sana🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @sophiakassim6784
    @sophiakassim6784 2 роки тому

    Shukran habibty receipe rahisi sanaaa I'll try this

  • @nurual-amry8599
    @nurual-amry8599 2 роки тому +1

    Thanks habibty for this recipe, av always wanted to know how to make these kaimati.. May Allah bless you abundantly

  • @biubwasalim3460
    @biubwasalim3460 Рік тому

    Shukraan sanaa nimepika kama hivo jana 👌

  • @aishaabdallah4560
    @aishaabdallah4560 2 роки тому

    MashaaAllah na kahawa ..mfano ikibaki shira waeza ihifadhi ukatumia mda mwengine

  • @piliramadan875
    @piliramadan875 Рік тому

    Mashaallah dadate upo vizuri kwa mapishi

  • @khalekichambo1131
    @khalekichambo1131 Рік тому

    I like the piping bag idea 👌

  • @roshananwarkhan7587
    @roshananwarkhan7587 Рік тому

    Assalam alaykum ❤MashaAllah

  • @jolemerci2155
    @jolemerci2155 2 роки тому

    Asante sana tena sana mungu à bariki kazi za mikono yako

  • @naylamwalimu8888
    @naylamwalimu8888 Рік тому

    Ni nzur San mashaallh

  • @coolbeibi4204
    @coolbeibi4204 2 роки тому

    Very good idea ❤👌

  • @rehemasadick2929
    @rehemasadick2929 2 роки тому

    Mashallah,! shukran Sana kwa kutufundisha..Allah akuzidishie barka . Ila nauliza hicho kipimo Cha kikombe unachotumia kupuma maji , sukari na unga ni size hiyo hiyo moja?

  • @SamiraSamira-oe4xk
    @SamiraSamira-oe4xk 2 роки тому

    Very nice mashaAlla

  • @bybytata7456
    @bybytata7456 2 роки тому

    ماشا۶الله ماشا۶الله ماشا۶الله تبارک رحمان

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 2 роки тому

    Ramadhan Mubarak

  • @alhamdulillahalhamdulillah7529

    Allah akuhifadhi habibty

  • @قناةفوتوغرافيا
    @قناةفوتوغرافيا 2 роки тому

    وعليكم السلام ورحمه الله وبركاته ♥️

  • @ashanassoro6492
    @ashanassoro6492 2 роки тому

    Masha Allah

  • @salmaalnaamani2786
    @salmaalnaamani2786 2 роки тому

    Mansha'Allah tabarak rahman

  • @maimunakhalid-rh4sw
    @maimunakhalid-rh4sw Рік тому

    mashaallah mazrui

  • @ashwaqkhalid1435
    @ashwaqkhalid1435 2 роки тому

    MashaAllah, Jazaaka Allah.

  • @christinaaloyce6026
    @christinaaloyce6026 2 роки тому

    Dada angu samahan naomba unijibu eti nimenunua Sona milk ya dukan na nimetumia kidogo nimebakisha inafaa au Ile ni aitakiwi kubakia itaalibika alafu chengine naitumia bila kuichemsha ni sawa pia

  • @ruqayaruqaya4283
    @ruqayaruqaya4283 2 роки тому

    Mashaallh ❤

  • @Freench20204
    @Freench20204 5 місяців тому

    ❤❤❤❤❤

  • @naylamwalimu8888
    @naylamwalimu8888 Рік тому

    Ungetoa n namb habibty 🥰

  • @samirasamira455
    @samirasamira455 2 роки тому

    MashaAllah 🥰🥰🥰

  • @zainabufaidhi4799
    @zainabufaidhi4799 2 роки тому

    Mashaallah

  • @upendoparsons2654
    @upendoparsons2654 2 роки тому

    Asante sana

  • @gabrielbaraka12
    @gabrielbaraka12 2 роки тому

    Nzuri sana

  • @nuurasaid741
    @nuurasaid741 2 роки тому

    Mashallah nzuri sana

  • @ZubeirAbdallah
    @ZubeirAbdallah 6 місяців тому

    Nzur

  • @ghaniyaebrahim1593
    @ghaniyaebrahim1593 Рік тому

    Aa sasa hizi ndio kaimati za shira mashalla kuna watu waonyesha kaimati ukiziona kama mengo (nzito sukari yake nzito ) haipikwi ina onyeshwa moto

  • @tatumhogo5742
    @tatumhogo5742 2 роки тому

    Nitajaribu

  • @NuruKhavele
    @NuruKhavele 2 місяці тому +1

    Ni nini safarini umeweka sikuelewa maana safarani ni haswa plz

  • @hajraahmed7345
    @hajraahmed7345 2 роки тому

    Maa Shaa Allah 🤤🤤🤤

  • @naseemaabbas7898
    @naseemaabbas7898 2 роки тому

    Very nice, but I don't use custard powder, if you can tell me how does it help in kalmati, the custard piwder

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 роки тому +1

      Makes it crunchy and also good taste but you can skip or use Corn flour instead

  • @rahmamohamed9663
    @rahmamohamed9663 2 роки тому

    Maji baridi au warm

  • @mariamdadar7186
    @mariamdadar7186 2 роки тому

    Y i cant gv it a like

  • @hasinarashid5059
    @hasinarashid5059 2 роки тому

    Mashallah 😍😍kma hauna castard naweza tumia nn??

  • @ummuamjad7164
    @ummuamjad7164 2 роки тому

    Kama huna zafaran waeza tia rangi ya chakula

  • @sarahdola4737
    @sarahdola4737 2 роки тому

    this is so nice....if you don't have saffron what else can you use?and is custard a must

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 роки тому

      You can skip saffron. And for the custard you can skip it too or use corn flour instead

  • @neemajosephate1106
    @neemajosephate1106 2 роки тому +1

    Dad nifudishe..chapati za kusukuma

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 роки тому

      Recipe ya chapati tayari tuko nayo hapa youtube dear

  • @ayimbanyakoduko8596
    @ayimbanyakoduko8596 2 роки тому

    Will they dry and form the white sugary crust? And what is the custard powder doing to Kaimati.. Is it optional?

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  2 роки тому +3

      No they won't dry. Custard makes it crunchy and gives it good taste. You can substitute the custard with corn flour or just leave it

    • @dydahjahadhmy4920
      @dydahjahadhmy4920 Рік тому

      ​@@Mapishirahisi
      I tried them today so yummy and cripsy. Can we have another recipe for dry kaimati please.

    • @Mapishirahisi
      @Mapishirahisi  Рік тому

      I'm actually editing the video right now😆. The video will be up tomorrow morning ❤

    • @dydahjahadhmy4920
      @dydahjahadhmy4920 Рік тому

      @@Mapishirahisi
      Thanks. Saum maqbul.

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 2 роки тому

    🤤🤤

  • @hadiaali5517
    @hadiaali5517 5 місяців тому

    MashaﹰAllah ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @shigwaishad0697
    @shigwaishad0697 Рік тому

    Kama sin

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 2 роки тому

    Mashaallah