umenikumbusha sana zile enzi,hizi ndio nyimbo zilizokuwa zinatamba,hebu ona jinsi wimbo ulivyotulia na jinsi vyombo vinavyosikika vizuri,asante sana uncle nimefurahi sana kuupata wimbo huu.mimi ni mpenzi sana wa hizi old songs.alafu natafuta wimbo uitwao halima barua yako nimeipata.uliimbwa na vijana wa tabora jazz,tafadhali uncle hebu pekuapekua huko kwenye maktaba yako.naitwa mariam fritsi,switzerland.24.12.16.
Nimepata Tafsiri ya nyimbo hii'' Mariana ukiwaona wenzako wamekaa embu nawe kaa nao chini'' uwe msikivu kwa wakubwa Mariana'' Ni nyimbo uliyokuwa inamfunda Mariana kuwa na heshima kwa wakubwa na watu wa rika zake''
Thank you Abdallah Ally for posting this song. We stayed in Mtwara when I was a small kid, and this was the best hit of all our local friends. Nice memory.
Jamani hii hatari sana, maana unaweza mumliza mtu bw Abdallah, yani umegonga nyoyo yangu sana, unanikumbusha utotoni kabisa na hii ngoma, hongera sana bw ally daaa hongera, ally naliaaaaaaa asante kaka, wamakonde wa nyumbani
+Twila Mtumbi Nadhani amekufikisha na kurudisha hisia zako nyuma na kukumbuka mengi ya kale'' embu tupe maana ya hii nyimbo anazungumzia nini?? mm naipenda sana ijapo siielewi
nimefurahi kuusikia tena wimbo huu,yaami we acha tuu,nikikumbuka enzi hizo nilipokuwa ndio naibukia usichana basi nilikuwa nikiupenda sana wimbo huu,ingawa si mmakonde,kaka abdalla asante sana umenikumbusha mbali sana natani soku zingerudi tena nikawa vilevile nilivyokuwa,na nyimbo hizi ziendelee hivihivi,ooh old is gold.kaka naomba wimbo wa tabora uitwao halima barua yako ulionitumia.naitwa mariam fritsi nipo uswis.16.02.16.
Naongea pasipo ushabiki Dada yetu Mariam Fritsi ijapo upo Uswisi lakini bado unakumbuka nyimbo za Nyumbani, hususani ulishawahi toa historia moja ya maisha yako huko Tanga pale ulipo-comment wimbo wa Amboni Jazz Band- kidomidomi'' binafsi nilipenda'' Embu tutambulishie muziki wetu huko ng'ambo na hata hawa wa kizazi kipya''
Mariana ukiwaona watu wakubwa wamekaa nawe kaa mariana''' Ni nyimbo ilinayofundisha heshima kwa Wakubwa'' ni kati ya nyimbo zinazokumbukwa kwa watu wa Mtwara na Wamakonde wote
Nyimbo ilipigwa mda mrefu, lakini upigaji wa vyombo ulipigwa katika standard ya hali ya juu'' Wanamuziki wa zamani wengi hawakufaidika sana kimaendeleo na kazi zao'' wengi walipata umaarufu wa majina tu, inasikitisha'' Nyimbo inathaminika sana na watu wa Mtwara'' ilikuwa ya maonyo na maadili kwa mabinti zetu'' Mitonga jazz band, makazi yao ni mikindani pale''
umenikumbusha sana zile enzi,hizi ndio nyimbo zilizokuwa zinatamba,hebu ona jinsi wimbo ulivyotulia na jinsi vyombo vinavyosikika vizuri,asante sana uncle nimefurahi sana kuupata wimbo huu.mimi ni mpenzi sana wa hizi old songs.alafu natafuta wimbo uitwao halima barua yako nimeipata.uliimbwa na vijana wa tabora jazz,tafadhali uncle hebu pekuapekua huko kwenye maktaba yako.naitwa mariam fritsi,switzerland.24.12.16.
asante sana kwa kutuwekea kibao hiki,ambacho kinanikumbusha sana maisha ya utotoni niliupenda tangu nikiwa mtoto ingawa lugha siielewi.16.01.17.
Nimepata Tafsiri ya nyimbo hii'' Mariana ukiwaona wenzako wamekaa embu nawe kaa nao chini'' uwe msikivu kwa wakubwa Mariana'' Ni nyimbo uliyokuwa inamfunda Mariana kuwa na heshima kwa wakubwa na watu wa rika zake''
yusuphu dali chiul
nakumbuka enzi ya ujana nipo kwetu nauza duka mshahala kula nikisikia naumia moyo wangu keli kulumuka mnavyona
Thank you Abdallah Ally for posting this song. We stayed in Mtwara when I was a small kid, and this was the best hit of all our local friends. Nice memory.
Naomba mashairi ya wimbo huu. Nitashukuru sana kuyapata.
Duh inanikumbusha mbali enzi hizo mtwara ni mtwara, kabla ya Ujio wa watu wanakuja kuchukua utajiri wa mtwara na kuiacha mtwara bila kitu
mitonga ni band iliyokuwa pale Lindi
Bado nipo hapa 2020.
Jamani hii hatari sana, maana unaweza mumliza mtu bw Abdallah, yani umegonga nyoyo yangu sana, unanikumbusha utotoni kabisa na hii ngoma, hongera sana bw ally daaa hongera, ally naliaaaaaaa asante kaka, wamakonde wa nyumbani
+Twila Mtumbi Nadhani amekufikisha na kurudisha hisia zako nyuma na kukumbuka mengi ya kale'' embu tupe maana ya hii nyimbo anazungumzia nini?? mm naipenda sana ijapo siielewi
nimefurahi kuusikia tena wimbo huu,yaami we acha tuu,nikikumbuka enzi hizo nilipokuwa ndio naibukia usichana basi nilikuwa nikiupenda sana wimbo huu,ingawa si mmakonde,kaka abdalla asante sana umenikumbusha mbali sana natani soku zingerudi tena nikawa vilevile nilivyokuwa,na nyimbo hizi ziendelee hivihivi,ooh old is gold.kaka naomba wimbo wa tabora uitwao halima barua yako ulionitumia.naitwa mariam fritsi nipo uswis.16.02.16.
Naongea pasipo ushabiki Dada yetu Mariam Fritsi ijapo upo Uswisi lakini bado unakumbuka nyimbo za Nyumbani, hususani ulishawahi toa historia moja ya maisha yako huko Tanga pale ulipo-comment wimbo wa Amboni Jazz Band- kidomidomi'' binafsi nilipenda'' Embu tutambulishie muziki wetu huko ng'ambo na hata hawa wa kizazi kipya''
Mwaka gani jimbo hii ilitika hata terehe na siku itasaidia sana
Nimewakumbuka sana bendi yetu ya Lindi
Hao watu hakuingia studio,wimbo huu umerekodiwa na OB Van ya RTR wakishirikiana na mafundi wa shirika la posta na simu!
Mariana ukiwaona watu wakubwa wamekaa nawe kaa mariana''' Ni nyimbo ilinayofundisha heshima kwa Wakubwa'' ni kati ya nyimbo zinazokumbukwa kwa watu wa Mtwara na Wamakonde wote
mitonga jazz karibu vibao vyote ni shida vinagusa maisha yangu
Ni kati ya Nyimbo zilizoipa heshima kubwa Mtwara'' Ni nyimbo ya malezi na ya kumfundisha Binti kuwa na heshima na Adabu mbele ya wakubwa zake'''
mariana ni hatari jamani ,udongo umebeba watu
inanikumbusha mbali
Charity began at home
Io
Nyimbo ilipigwa mda mrefu, lakini upigaji wa vyombo ulipigwa katika standard ya hali ya juu'' Wanamuziki wa zamani wengi hawakufaidika sana kimaendeleo na kazi zao'' wengi walipata umaarufu wa majina tu, inasikitisha'' Nyimbo inathaminika sana na watu wa Mtwara'' ilikuwa ya maonyo na maadili kwa mabinti zetu'' Mitonga jazz band, makazi yao ni mikindani pale''