MZEE AMEHAMA KIJIJI '' HAWANIPENDI NIMEAMUA KUHAMIA HUKU''

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 20 сер 2024

КОМЕНТАРІ • 42

  • @khaliylmohd4931
    @khaliylmohd4931 4 роки тому +7

    Kijana mzuri mwenye tabasam na watu wake,mkuu wa mkoa mheshimiwa ALLAY HAPPY fanya kazi kwa kutarajia malipo kwa mungu,upo vizuri

  • @jejetoyobo1254
    @jejetoyobo1254 4 роки тому +5

    Hongera Mkuu Kwa kupokea hekma za mzeee hawanipendi

  • @ilovejesus9303
    @ilovejesus9303 4 роки тому +5

    Jamani mzee anapenda maendeleo LoL mpaka wanamchukia 🤔😁😁😁😁😁😁😁

  • @fatemaligalawa4151
    @fatemaligalawa4151 4 роки тому +3

    Inaonekana mzee alikuwa msema. Ukweri ndiomaana awampendi ccm wanapenda kupindisha mambo

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 4 роки тому +1

    Mmmm Mzee ubarikiwe Sana ,kibaya kuiba

  • @babasamiah4011
    @babasamiah4011 4 роки тому +1

    Mimi nimempenda huyo mzee hana mteru (woga )yaani anaongea kama anaongea na kajukuu kake kanyumbani 😂😂😂😂

  • @ramadhanisuru1822
    @ramadhanisuru1822 4 роки тому +3

    Wallah ally hapi allah yuko pamoja nawewe

  • @djmeza411a58
    @djmeza411a58 4 роки тому +1

    Hahaha😂🤣👊👊👋👏👏 uyu mzee noma

  • @kyambarungwe6960
    @kyambarungwe6960 Рік тому

    Hawa ndyo viongozi bola sio viongozi wanatuteulia viongozi ambao awaeleweki

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 роки тому

    Napenda kuona wazee kama hivi jmn😃😃😃

  • @chudabad6539
    @chudabad6539 4 роки тому +2

    Mzzee katasha

  • @gidomathew8154
    @gidomathew8154 4 роки тому +3

    No one 2 view

  • @trumpkikoti3272
    @trumpkikoti3272 4 роки тому +1

    Ali uko sawa pambana

  • @davidnicholaus5304
    @davidnicholaus5304 4 роки тому +1

    Jamani natamani kukukutana na huyu mkuu wa mkoa yani nimsalimie tu nisaidien nafanyaje

    • @halimamusa2797
      @halimamusa2797 4 роки тому

      David Nicholaus Nenda ofisini kwake uombe kuonana nae

  • @africa7479
    @africa7479 4 роки тому +2

    Hahaha mpka uwepo wwe ndo watanipenda

  • @josephatodimary3633
    @josephatodimary3633 4 роки тому +1

    Wanaomchukia huyu mzee watakuwa cdm mana ndo wachawi wa maendeleo😁😁😁

    • @emmapaul1766
      @emmapaul1766 4 роки тому

      Mchawi ni mamako na maku lake punga wewe.

    • @janekikoti2179
      @janekikoti2179 4 роки тому

      Kabsa hao ni Chadema wachawi sana 😂😂😂😂

  • @tgeofrey
    @tgeofrey 4 роки тому +1

    Ukiwa na macho mekundu basi

  • @naamohamed9964
    @naamohamed9964 4 роки тому

    Babu anataka hera kijanja😃😃😃😃

  • @Basagamp4
    @Basagamp4 4 роки тому +1

    Hahhaahha Hawanipendiiiii

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 4 роки тому +1

    Pama..

  • @faizebrahim338
    @faizebrahim338 4 роки тому

    🤣🤣🤣 nimecheka

  • @gucijeshii1794
    @gucijeshii1794 4 роки тому +3

    Dingilay

  • @momepeter9161
    @momepeter9161 4 роки тому +1

    😀😀😀hawani pendi

  • @joseojuang6402
    @joseojuang6402 4 роки тому +1

    Hawanipendi

  • @gidomathew8154
    @gidomathew8154 4 роки тому +3

    Hahahahahaha

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 4 роки тому +1

    Sijaelewa

  • @mustafatibalila4706
    @mustafatibalila4706 4 роки тому +5

    Mzee acha usanii unatumika hadi sasa uzeeni unafaida gani sasa?Unafikiri nani hawajui awamu hii ndo mko kazini.

  • @adamrenatus4235
    @adamrenatus4235 4 роки тому

    mpigaji huyo mzee anapalilia njia

  • @swaggerizedninjagoseprocom8523
    @swaggerizedninjagoseprocom8523 4 роки тому +1

    Hahhahahahahaha

  • @lungusii
    @lungusii 4 роки тому +1

    Hahahah

  • @kelvinmbena5796
    @kelvinmbena5796 4 роки тому +1

    Hizi kiki ni shida sana ukweli upo pale pale

    • @manbanshaban9253
      @manbanshaban9253 4 роки тому +1

      Huo ni uchawi mwanangu,, jirekebishe.

    • @kamanzicrouch3881
      @kamanzicrouch3881 4 роки тому

      Kelvin ni mjinga sana

    • @kpatrick8468
      @kpatrick8468 4 роки тому

      Hizi siyo kiki hivi Technology imekuwa kwa watu wengine wapo bize na maendeleo kwa hiyo wanapata taarifa kupitia mitandao ,nchi zilizoendelea wanafanya hivyo kwa sababu watu wapo bize na hakuna muda wa kwenda kwenye mkutano, wewe mtanzania endelea kutoa elimu badala ya kuona kama ni kiki.

  • @33-synchronized
    @33-synchronized 4 роки тому

    Schizophrenia