Це відео не доступне.
Перепрошуємо.
#STESHENI
- Додати в
- Мій плейлист
- Переглянути пізніше
- Поділитися
Поділитися
Вставка
Розмір відео:
- Опубліковано 12 січ 2021
КОМЕНТАРІ • 496
Наступне
Автоматичне відтворення
Indonesia’s $33B Capital Relocation Plan Is Imploding | WSJ Breaking GroundThe Wall Street Journal
Переглядів 1,1 млн
KIPINDI CHA RELI NA MATUKIO | WALIO NYUMA YA HUDUMA ZA SGRTRC RELI TV
Переглядів 520
EXCLUSIVE: STESHENI MPYA YA TRENI DSM KWA NDANI, NI KAMA AIRPORT, MIGAHAWA NA VIPMillard Ayo
Переглядів 194 тис.
Валерий Ширяев о событиях в Курской области и их последствиях / Редакция. ИнтервьюРедакция
Переглядів 2,1 млн
MELLSTROY - первое интервью: как живет самый обсуждаемый стример годаВПИСКА
Переглядів 5 млн
бедный дед на ламборгини- меняет вейп на секретные шкатулки - выиграл айфон, но отказался от призаABRACADABRA TV
Переглядів 8 млн
TRC YAZUNGUMZA, WANAODAIWA KUTOSHUKIA VITUO VYAO SGRTRC RELI TV
Переглядів 397
MAKONDA AJIBIWA NA BOSS ALIYEMUAGIZA LEO "JENGO LIANZE KAZI, MUDA MFUPI ZAIDI"Millard Ayo
Переглядів 18 тис.
SEMAJI AHMED ALLY USO KWA MACHO NA STRAIKA JIPYA LEONEL ATEBA/"HII NI MASHINE YA MAANA SANA"Simba SC Tanzania
Переглядів 201 тис.
SGR TANZANIA-SHUHUDIA MITA ZAIDI YA 200 ZILIZOCHORONGWA NDANI YA HANDAKI HILI,NI ZAIDI YA UTALIITRC RELI TV
Переглядів 563 тис.
When A Gang Leader Confronted Muhammad AliBoxing After Dark
Переглядів 6 млн
FULL SAFARI YA SGR DAR HADI DODOMA ZAIDI YA ABIRIA 900 KUANDIKA HISTORIA KWA MARA YA KWANZATRC RELI TV
Переглядів 24 тис.
JINSI RPC NA RCO WALIVYOKUWA WAKIBISHA NDANI YA OFISI YA CHADEMA MENGI YAFICHUKAChadema Media TV
Переглядів 159 тис.
Why Starbucks Is StrugglingCNBC
Переглядів 1,1 млн
Why is anti-immigration sentiment on the rise in Canada?The Guardian
Переглядів 1,7 млн
Идеально повторил? Хотите вторую часть?⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
Переглядів 17 млн
ПЕТРО ЧЕРНИК ПОВЕРНУВСЯ! Про Курськ, реакцію Путіна та стратегічний переламСпецпроєкти Сергія Мамаєва
Переглядів 171 тис.
«Приїхали Бандеру шукали. Який Бандера? Він помер взагалі-то. Ні, от сказали, у вас тут Бандера є»Суспільне Дніпро
Переглядів 84 тис.
СТАСЯ МАКЄЄВА: СЕРДЮЧКА на гендер паті. Тато ЗРАДЖУВАВ, коли мама хворіла на РАК. Коли українською?Okay Eva
Переглядів 464 тис.
Зачем ВСУ перешли границу? Обмен заключенными - шаг к миру? Риск войны на Ближнем Востоке / ШевченкоRTVI Новости
Переглядів 2,6 млн
Удар по російській колоні в Курській області #shorts #війна #курськ #арміярфBBC News Україна
Переглядів 803 тис.
Втрачене дитинство | GOVOR TikTok #govor #shotsGOVOR
Переглядів 392 тис.
Гордон. Что Арестович пообещал русским, армия предала Путина, Лукашенко сбежал на Запад, конец РПЦВ гостях у Гордона
Переглядів 779 тис.
Duh! Kushinda sehemu nyingi sana za ulaya nilikofika na kuishi kama London, Ufaransa na hata ujerumani hapa hazifui dafu. Nalinganisha huo muundombinu na nchi kama Ujapan na Uchina. Nchi za Magharibi naona hapo ziko nyuma kwa hili. Magufuli amejifunga mkanda sawa sawa anatupigania. Huyo nwanaume kweli kwani anawapenda watanzania watoke kwenye matope. Hongera jembe letu Magufuli Mungu akupulizie upepo wa amani na maisha marefu kwako.
Amen
10 tena
Kweli kabisa ndugu
Amina
Ni pazuri lakini ya kwamba tumewashinda london au ufaransa kwa hilo jitathimini ndugu
Allah Akbar... Tutafika kwenye Nchi 🇹🇿 yetu ya ahadi Inshaallah 🙏 Mwenyezi Mungu atubariki sote tuseme Amini
Aminaaaaa 🙏
Amina
Amen
Amin
Amen
Congrats TZ from 🇰🇪.I hope in our lifetime we get to see a Dar-Mombasa or Nairobi-Arusha SGR line
Arusha-Nairobi would make a lot of sense. The Arusha-Moshi-Dar.
I pray so too. It’ll be ideal. I can’t wait to visit Kenya from Dar by train. Long live Kenya 🇰🇪 and Tanzania 🇹🇿.
The purpose of SGR is to connect countries. It will happen.
Wowow I'm proud of Kenya started Build it they open us Tanzania to know it's possible
@@empoweredentrepreneurworld7446 we mpumbavu kweli, plan ya SGR ilikua toka enzi ya Kikwete tena wachina ndio walikua wajenge Magufuli akakataa, wakenya wenyewe wamejenga kituko cha diesel na sio pesa yao
JPM 🙌🏻. Unatupa heshima watanzania🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Jamani, haya yote yanayofanyika, bado mtu anasema haoni alichokifanya JPM. Kweli???
Hahahaha watajijua wenyewe...😃
Anaishi ulaya awezi kuona kituu labda anayo makengezaa
Maashaallah safi sanaa,sasa hivi watanzania tunatembea kifua mbele hata majirani zetu hawana viwango hivi tupoo jujuu,the best sgr in east and central Africa. Tuombe mungu Rais wetu apate pesa za kuunganisha kipande cha makutopora isaka, na kipande cha isaka Kigali,ohhhhh Tanzania inakwenda kupendeza.
Amen
Amina
Isaka kigali ni uamuzi wa ovyo kabisa bora iishie isaka au mwanza... kiuchumi haitakiwi kupeleka rwanda itapunguza ajira na mapato bandari itakuwa rwanda offloding na uploding works zitapungua...waje wachukue mzigo hapa...kuipeleka rwanda ni sawa na kuihamishia bandari kigali
Kenya ndo superpower east Africa sgr yetu kwa kiwango kikubwa imepita juu kwenye mnara hiyo yenu mtengeneze mitaro gari la moshi lisikwame watanzania kiwango chenu ni burundi randa na somalia .
@@africaneyetv467 Choko wewe hiyo sgr yenu ya diesel ndio unaweza linganisha na hii?
Kazi nzuri sana! Hakuna tofauti na stesheni nchini hapa Belgium, the Capital of Europe:-) Ulaya yote imejengwa na Afrika,,, Sasa mambo yamebadilika ! Ni wakati wa kujiheshimu na kuzijenga nchi zetu sisi wenyewe! Mungu ibariki Tanzania !
Amen
Amen
Wow! Bravo JPM!💪🏾 Bravo my TZ!🇹🇿💪🏾 Bravo wajenzi💪🏾 Bravo Ben!💪🏾 Naomba Mungu anipe uzima ili nii-enjoy hii treni mpya. I can't wait to board it. Naona inachelewa...😂🤪😜
Amen
@@johnmlay4759 aminaaaaaa
Amin
Wengi tunaisubiri kwa hamuuu
😭😭😭😭 K2 ambacho siwezi kusahau n kifo cha Rais Jonh Pombe Maguful nenda baba meng umefanya🙏
Yaaani inauma Sana
Mimi Nipo South Africa to be Honest Kifo cha JPMNi pigo Kwa Wazalendo wote Tanzania, lnauma sana Yaan
Daaah kama kungekua na VOICE NOTE comments ningemuimbia magufuli wimbo mzuuuuuuri Sana kumsifia kwa kazi nzuri alioifanya hapa SGR dar es salaam.... Maana hili jengo limepiku uzuri was vituo vingi vya train DUNIANI nasema teena DUNIAAANI🌏🌍🌏 .. ama kweli sisi Tanzania ni NAMBA MOJAAAAAAAAA
Kwelii kabisaaa
Oooo watanzania hawawezi hiki nini kilakitu ni uwongozi tu hatimae tumempata Raisi wetu Mh John Pombe Magufuli mungu akujaali afya ♥️♥️♥️
Allah anijalie uzime inshaAllah namimi nije nijionee kazi nzuri Rais wetu Magufuli aliyoifanya hapo Dar especially ubungo Interchange, Tazara flyover, Tanzanite bridge na kikubwa zaidi SGR inshaAllah na kuipanda kabisa hiyo treni. Ombi langu naomba mtuletee treni zakisasa kbsa kama zile za china zenye pua kama ya Dreamliner kwasababu ujenzi niwakisasa zaidi station nizakisasa zaidi kama za France kwahiyo na treni ziwe zakisasa zaidi😂😂😂 Mungu ibariki Tanzania Mungu mbariki Rais wetu na wasaidizi wake wote inshaAllah tutafika mbele zaidi
Amen...
Muweke picha za vivutio na mali asili zetu ndani ya jengo kwa kushirikiana na wizara ya maliasili na utalii,pia kuonyesha utamaduni wetu
Yani hapa ndio umeongea la maana kabisaaaaaa
Yap, hapo umeongea, maana makampuni ya pombe na watu wa burudani za miziki na wengineo hawakawii kuichangamkia fursa hiyo kwa kuiwahi na kuweka matangazo yao.
Good
Hongereni sana
J.p.m kazi tu na kazi tunaiona stesheni yetu ni nzuri hats Gautrain Pretoria cha mtoto magufuli juu ccm juu
Yaani Magufuri juu zaidi, CCM tumeipenda sababu ya Magufuri, Baba wa Vitendo asiye Mfisadi, Mwana harisi wa Kitanzania na kiafrica kiujumla, Mwenye upendo wa kweli na watu wake na Taifa lake, wala hawazi kuuza wenzake au kuwanyonya au kuwanyanyasa wenzake kwa madaraka yake tuliyompa au kujijazia au kujipendelea mwenyewe kwa kipato kinachopatikana Mungu Ambariki huyu Ni Mwana wa Africa,
Kweli Mzee Baba
Mambo ya bro Magu hayo tumpe mitano tena 2030
Kazi nzuri
Great job Tanzania,Kenya and Tanzania raising standards in East Africa 💕❣️❣️...Uganda continue sleeping,that old man is wasting you
🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongereni Watanzania mpo juu mawinginu
Ajira hizo jamani mimi siyo msomi ila watanzania wenzangu watanufaika
Wewe ni mtu wa tofauti sana, Mungu akubariki.
Una apply wapi hizi ajira
Tanzania Kwanzaa Mengine Baadae JPM Nambari 1
Safiiiii👍 JPM na Tz
Congratulations to Tanzania for this beautiful infrastructure which will come soon in operation, I appreciate the video even though I do not (unfortunately) understand Swahili. It is new and I wish the users will keep it clean and it will be maintained well as it is a huge investment for the people of Tanzania.
Thanks brother, which country you belong
Thanks brother welcome to our country.
Bernardo Leonard to our country nn ww...to TANZANIA 🇹🇿💪🏿🇹🇿
@@mnzavachris5423 sawa mkuu
HAKIKA MAGUFULI BABA LAO.
Ebhaaaana eeeeeeh😋😋 well done, mi🖐 tena💪💪
God is great 🙏 Jesus akulinde my prezzz dar
Great
ASANTE RAIS WETU JPM
Ni balaa kazi nzuri Hakuna tofauti na stesheni za uko ulaya
Sioni kitu hapo ni yumba tu ya kawaida
@@africaneyetv467 naami nyumba hiyo wewe unayo
Kwani mimi ninaishi kichakani?
@@africaneyetv467 nenda ulaya kwenye nyumba tuachie nchi yetu
@@africaneyetv467 Sasa kama hiyo ni nyumba tu kwani hizo za Ulaya ni nini???
Tanzania nchi tajiri sana kama alivokuwa anasema JPM tumeshamkumbuka JPM wetu
Sisiote tutakuja Tanzania kabisa mimi naona ya kwaba Tanzania ni kama ulaya kabisa Mugufuli kuja Congo tunakulia kabisa
Greatyfull 🙌🙌🙌🙌🙌🙌 nlichikipenda ni kwamba kile cha kwenye Raman ndo kimetokea hicho hicho............ Rai yangu ni kwa TRC iwekwe kitengo maalum cha kuilinda miundo mbinu, kwa maana Usafi na Ulinzi na uchakavu..... Coz nmeona vituo vya mwendokasi havina matunzo kabisa, pachafu, pia miundo mbinu inaharibika bt Hakuna anaejari... Hii mnatutia hasara wananchi
tena hasa walipa kodi!
Kaka Ben asante kwa kutujuza
professional work,,, hongera sana mtangazaji,,, keep going!!!
Ongera Sana mkandarasi kuto uturuki kwa kazi zenye ufanisi mkubwa natumai Mh.RAISI MAGUFULI atawapatia Maeneo yaliyo Baki muyamalizie mpaka mwanza,kigoma pamoja na mpanda asanteni Sana kwa kazi nzuri YAPI MERKEZI
Haya bhna mii naamini ipo cku moja tanzania itapata heshima inayostahili tuna kila kilichopo duniani kwa nin tushindwe
Mola yupo nasi na yanatimia ndugu
Chamuhimu ni kulinda Amani yetu tusivulungwe na bara la ulaya na mitandao ya kijamii
😭😭😭😭rest in peace our president jpm
Nimefurahia Sana. Me Kama mzalendo mpenda nchi yangu. Hadi natamani kufika dare, salaam maana me mtanzani but sijawahi fika dar, esaalamu. But Bado nipo nje ya nchi yetu. Kidogo kikazi nikirudi nitafika dar
Tusipomwongeza JPM MIAKA MITANO tutakuwa zaidi ya wehu! JPM 5TENA
Pesa ya Serikali hiyo yeye nimuakirishi wetu tupongenzwe wote kwa sababu ni kodi zetu hizo
@@wazirituppa6739 sawa tunakubali lakin JPM ni msimamiz mzur wa kodi zetu
Tumwache Tu Kama Mugabe au museven
Pumzika kwa amani mzee baba kwa hili kwangu kama Alikiba tu salute
Hongera Dr Magufuli na Watanzania kwa jumla... 🙏🙏🙏
Naomba tungelikuwa na kiongozi kama wenu kwetu Kenya...
Congratulations guys...
Wishing all the Best kwa Tanzania. Nawapenda sana.....🥰🥰🥰
Kila kitu chato,,,,🤓🤓 maana watasema hapo sio dsm
Chato ya dsm hii 😃😃😃
Walemavu wa akili hao wanaofikiri maendeleo yako chato tu. Achana nao wanatupotezea muda.
Isaac umeona e
@@ellyisidoli2192 atcl imetangaza safar za dar Arusha ,,,,,, sijasikia kelele , ikatangaza dar Zanzibar, sikusikia kelele 🤣🤣🤣 ila chato sasa na hivi chato iko washington
Isaac Bhudoma wamaanisha nini ?
Achievements of the ages for our northern land for This to project.We Equally congratulate turkey Engineers.long live Turkish people and Engineer
Bravo bravo!! TRC mpya ya kesho
Wale wa kulalama watasema na hapa ni chato
Uaituzibe midomo. CHATO CHATO BORES US. SITEGEMEI CHATO IWE HIGH KUIPITA MWANZA
Utadhani Chato ni Burundi labda
Magu noma sana
tumefika hatua nzuri sana swali linakuja kwenye utunzaji hapo nina wasiwasi kidogo
Ahsante baba Magufuri
Daaah aise kama huyu mzee angendelea kdg tu bongo ingekuwaa kama ulaya duuuuh ameeenda 😭😭😭
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI
Magu safi sana TZ kama mtoni vile, mandereo ni hayo mandereo mengine chakarika mwenyewe upate hela ya kula same as everywhere.
Naisikia raha kuwa m Tanzania muzarendo
Mweshimiwa Rais...Mungu aendelee kukupa maisha marefu....hii kazi nzuri Sana.
Jpm namba moja duniani Tanzania
Mashallaah kazi nzuli kila la kheli
Halafu eti mbelgiji alikua anataka kuwa rais😆😆😆😆
Mwehu yule anaropoka tuu
Nasikia mjanzito sasa
Wangemchukua hata yule mchoraji wa tinga tinga akatuchorea picha nzurii za wanayama jamani🇹🇿🇫🇮
Mbona kama naona mataruma yana kutu tayari ama itapuliziwa vitu ikae sawa?
Hakika kumekucha
Heshima kwa Mheshimiwa Raisi wetu mpendwa Dakta John Joseph Pombe Magufuli
Viva Tanzania
Tanzania namba moja
Tanzania kwanza
Kwajina la YESU KRISTO kazi iende mbele.
Dah hongera mzee wetu magu hii ni amazing in Tanzania kweli maendeleo makubwa sana
Duh!
Yaani kwa Mali za wananchi Tanzania inafanya makubwa hivi
Na hii ipo chato upande wa chini
Watu wanachuki binafsi.
Watu wanachuki sana tena za kipumbavu
Dr John Pombe Magufuli apewe sifa na apewe kuiongoza TZ miaka 20. Kinacho nifurahisha ni kuona ma engineers wakubwa wa ma projects nao pia watanzania. Mungu aibariki Tanzania na east africa kwa ujumla. Viongozi wa inchi za east Africa ombeni ushahuri kwa mzee JPM.
Nawapata vizuri kutoka south africa watanzania tufanyeni mahamuzi magufuli abaki madalakani milele ilitufaidi matundayake
Kazi nzuri sana. Hongereni sana. Msisahau wasafisha vyoo wawepo kila wakati na sehemu za kutupia Taka taka. Ndani na nje pamoja na wafanyakazi wa kutunza mazingira. Maintenance muhimu sana.
Tunamtakia Afya Njema Rais wetu John Pombe Makufuli
aweze kuwa Imara yeye na Familiya yake
Pia awe kutuhudumia wa Tanzania
Amiin Amiin
Beautiful station
Mhhhh harari sanaa
*HABARI YAKO, .*
*-JE umekuwa ni mtu wa kukosa kabisa hamu ya tendo la ndoa?*
*-JE umekuwa ni mtu unaye wahi sana kufika kileleni?*
*-JE umekuwa ukishindwa kabisa kurudia tendo baada ya kumaliza round ya kwanza?*
*-JE umekuwa ukitoa kiwango kidogo sana cha mbegu kiasi kwamba huna uwezo wa kusababisha ujauzito kwa mwenzi wako n.k?*
SASA SULUHISHO LA MATATIZO YOOTE YANAYO HUSIANA NA MASUALA YA UZAZI NA NGUVU ZA KIUME NI ARGIPLUS
KARIBU TUKUHUDUMIE
BIDHAA ZETU NI SALAMA KABISA KWA MTUMIAJI.
CALL 0629395655
Kisha kuna wapumbavu wachache wanamtukana magu !!!!r.i.p my only president
MUNGU atubarik na Mr jpm🙏🇹🇿
Napenda wasomi wanaaongea Kiswahili sanifu bila kuchanganya na Kiingereza.Kazi nzuri Injinia
Miaka miwili sasa bado wanamalizia asilimia 2% JPM alizowaachia 😅😂😂 hii inchi kazi ipo ,endelea kupumzika kwa amani Jembe JPM.
Asipogombea 25-30 tutaandamana wazalendo wote tujiandae
Ebwanaeee hii ni hatar sana
Hv kwel hii ni tanzania au Ni ulaya eeeh mungu mtunze maguful
Tunasonga mbele
Wapiga dili hapa kinawauma kinoma noma. Tanzania hoyeeeee.....mimi kwa mtazamo wangu huyu mzee JPM angeongezewa muda hata 10 yrs tena.
Uko vizur bro Ben
Kweli wananchi tuzidi kulipa kodi ,,maendeleo ni yetu sote viva #JPM
Kweli
Emmanuel Chaplingi kwa mtindo huu wengi kodi watalipa
Mheshimiwa magu hongera sanaaaaaa mungu akupe miaka mingi nasis chuga tunaona treni sasa nilkua nimeona morogoro na iringa tu hongera
Kenya, Tanzania, Uganda, Rwanda and Burundi should unite to form one nation.
Safi sana sasa zingatieni usafi kuwa na dustbin zakutosha
Safi sana Rais wangu uzalendo kwanza mengine baadae JPM Forever
ASANTE RAIS WETU MPENDWA DR.JPM, MUNGU AKUBARIKI SANAA
Pia vipi kuhusu waiting lounge mbona haujatuonesha..?
Ndugu kuwa mpole bado asilimia 4 zikikamilika ndo tutaona system yote ikiwa na installation ya vifaa vyote ikiwemo viti
Beni niepitiaituo vyote vya mabasi ya mwendo kasi pamoja na kupanda mabasi. Mifumo yote ya kuhudumia abiria kielektroniki imekufa na haina tumaini ya kufufuliwa. Tena hata uongoxi wa mabasi hayo hawastuki au kutuomba radhi. Swali kwa SGR: Wanajifunza nini kutoka DART?
Kwa kweli inakera sana! Nafikiri kuna shida kubwa sana ya kiuongozi kwetu Watanzania linapokuja swala la utunzwaji miundombinu ya miradi mbalimbali. Mfano, vituo vya mwendo kasi baadhi mabati yanang'oka, ventilation bars zinang'oka ,milango inaharibika, mabasi hayaoshwi, mitaro barabarani imejaa mchanga mpaka maji yanakosa pa kwenda, hakuna anayejali. Tujifunze kuwa na bajeti maalum ktk mapato inayohudumia hii miundombinu. Inakera kwa kweli!!!
Mashalah
Msukuma kaitamata nchi kwa mkono wake mmoja tuu na kaikeuza yote . Inafurahisha sana
Safi sana, hongera jpm
Woow beautiful
Kuna haja kuuliza hawa watangulizi walikwama wapi na huyu kaweza na ni inchi hiyo hiyo waliyo tawala,
Na pia Kuna haja watakaofuata pia kujitathimin ni jinsi gani wafanye vizuli zaidi
Isaya Unauliza jibu 30 yrs tulipigwa sana wasomi wetu ndo wametufirisi wameficha pesa zote ulaya ni ajabu sana unakufa pesa yote unamwachia mzungu sasa sijui maana yake nn? Mfano mzuri Mobutu na wengine uwajuao
Ulaya yote imejengwa na AFRICA
Walikuwa wezi na malofa.
Yaani hata mi najiuliza swali hilo hilo mpaka naogopa sometimes nafikiria labda raisi kachukua mkopo mkubwa kwa hawa watu weupe hlf akiondoka aache mzigo wa deni kubwa. Lkn tena najikosoa na kusema nidhamu yake ya hapa kazi Tu na kujituma ndo imeleta matukio makubwa kama haya. Na siku alisema kuwa Tanzania ni nchi tajiri Sana niliichukua hii kauli yake serious Sana na niliamini. Kinachotakiwa ni uzalendo naamini katika hilo. Mungu ibariki Tanzania, watu wake,viongozi wote waadilifu na watenda Haki na Raisi J. Magufuli katika kila hatua ya kuikomboa nchi na umasikini. God bless Tanzania.💪🏾💪🏾💪🏾
Jamani ajira hizo,ajira hizo,kwa watanzania,kwenye hiyo control room.Barikiwa nchi yangu.
Mash Allah Allah atufanyie wepes
😍😍😍
God's Hand be upon you President Magufuli. Continue to lift the country to its original shape it was supposed to be. It was not because few and selfish men sold our resources to other countries for their selfish end. Shame upon them! We could be very far. All in all God is Great has raised a Prophet, a Seer, a Visionary, and a great man of Actions and Planning. Magufuli Hoyeeeeeeeeeeeeeeeew!!!!!!
Amazing!!! 😀
Mabeberu watakosa kuchukia kwa hili maana walikuwa wanazila tu pesa zetu kaja mwamba kakanyaga miaka mitano magufuli lazima wakuchukue rais wangu ila mungu yupo.pamoja na ww na watanzania tunaekupenda 🇹🇿🇹🇿🇹🇿💪
ASANTE SANA MZALENDO NAMBA MOJA WA TANZANIA DR JOHN POMBE MAGUFULI
hilo ghorofa nyuma ya steshen mbona alipo mahali usika