Inonga wa mwisho wa simba ni bora beki acheze g64 kuliko yeye, nimefurahi sana kuondoka istoshe hata chama pia naomba aondoke tu maana keshatujaza ujinga vichwani mwetu, aende tu.
Hawa mm nawaita wanafiki alafu najiuliza kisha nakuta kumbe ni machizi au sijui ndio chawa.ukweli ni huu Enonga bakka wakati wa mwisho simba hakuwa na raha kulikua na uongozi usio watosheleza wajizaji wame surfer huo ndio ukweli .Swali huo uongozi ndio bado upo semeni ukweli simba yetu hatujijui mikuma nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Sasa anaongea inonga wakati uliopita na sasa hana hata uelewa wa mpira inonga profetional player .alikosa raha ya timu .timu lenu kama timu la ndondo kina per omar jobe na bado yuko sana simba kuna kiongozi mkubwa tu anagawa nae mshahara😂😂😂😂😂😂yani 😂😂😂😂😂😂😂friji langu bovu
Inonga wa mwisho wa simba ni bora beki acheze g64 kuliko yeye, nimefurahi sana kuondoka istoshe hata chama pia naomba aondoke tu maana keshatujaza ujinga vichwani mwetu, aende tu.
Mwamnyeto ackanyage pale msimazi
Mwezi wa 8 mwaka huu 2024
Hakuna Asante iliyotuumiza walikuwa wanatuhujum nabado wengine tunashangaa bado wapo hatujui Kwann wanawachelewesha kupewa asante
Ligi itaanza mwezi wa 8
Huyu jamaa anaongeaga Sana alaf nyingi ni pumba tupu
Mboyoyo nyingi sana hamjui tu wtu tunavyo umia huku mtaa
kaondoka mbape ndiyo maisha ya mpila
@@user-md7sd3hk6lkweli kabisaa
Kwakweli yaanii
Muongo Kisugu. Brazil SI Kwa Ronaldo de Lima. Akikuwa Ni Romario. Wacha Uongo.
Ata mie kweli inonga cjaumia😅😅 kwan ligi inaanza lini jmn
Hawa mm nawaita wanafiki alafu najiuliza kisha nakuta kumbe ni machizi au sijui ndio chawa.ukweli ni huu Enonga bakka wakati wa mwisho simba hakuwa na raha kulikua na uongozi usio watosheleza wajizaji wame surfer huo ndio ukweli .Swali huo uongozi ndio bado upo semeni ukweli simba yetu hatujijui mikuma nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Wassliti dawa yao ni hiyo
🤪🫡👏
Sasa anaongea inonga wakati uliopita na sasa hana hata uelewa wa mpira inonga profetional player .alikosa raha ya timu .timu lenu kama timu la ndondo kina per omar jobe na bado yuko sana simba kuna kiongozi mkubwa tu anagawa nae mshahara😂😂😂😂😂😂yani 😂😂😂😂😂😂😂friji langu bovu