KISUGU ASEMA UKWELI KILICHOWAONDOA CHAMA NA INONGA

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 24 чер 2024
  • KWA HABARI NA MATANGAZO
    TUPIGIE SASA
    0753393036 CALL
    0625466848 WHATSAPP

КОМЕНТАРІ • 16

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm Місяць тому +1

    Inonga wa mwisho wa simba ni bora beki acheze g64 kuliko yeye, nimefurahi sana kuondoka istoshe hata chama pia naomba aondoke tu maana keshatujaza ujinga vichwani mwetu, aende tu.

  • @Sanjey-vp1fm
    @Sanjey-vp1fm Місяць тому

    Mwamnyeto ackanyage pale msimazi

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws Місяць тому

    Mwezi wa 8 mwaka huu 2024

  • @user-yh3dv2bl7u
    @user-yh3dv2bl7u Місяць тому

    Hakuna Asante iliyotuumiza walikuwa wanatuhujum nabado wengine tunashangaa bado wapo hatujui Kwann wanawachelewesha kupewa asante

  • @AndrewLikiti-yb2ws
    @AndrewLikiti-yb2ws Місяць тому

    Ligi itaanza mwezi wa 8

  • @user-qe6xc4nm8u
    @user-qe6xc4nm8u Місяць тому

    Huyu jamaa anaongeaga Sana alaf nyingi ni pumba tupu

  • @FrankLeonard-wh5jm
    @FrankLeonard-wh5jm Місяць тому +1

    Mboyoyo nyingi sana hamjui tu wtu tunavyo umia huku mtaa

  • @amourhaji1333
    @amourhaji1333 Місяць тому

    Muongo Kisugu. Brazil SI Kwa Ronaldo de Lima. Akikuwa Ni Romario. Wacha Uongo.

  • @UmayyaNkya-ze3ri
    @UmayyaNkya-ze3ri Місяць тому

    Ata mie kweli inonga cjaumia😅😅 kwan ligi inaanza lini jmn

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Місяць тому

    Hawa mm nawaita wanafiki alafu najiuliza kisha nakuta kumbe ni machizi au sijui ndio chawa.ukweli ni huu Enonga bakka wakati wa mwisho simba hakuwa na raha kulikua na uongozi usio watosheleza wajizaji wame surfer huo ndio ukweli .Swali huo uongozi ndio bado upo semeni ukweli simba yetu hatujijui mikuma nyie😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @sevelintino6181
    @sevelintino6181 Місяць тому

    Wassliti dawa yao ni hiyo

  • @DavidMnanka
    @DavidMnanka Місяць тому

    🤪🫡👏

  • @BADAWY575
    @BADAWY575 Місяць тому

    Sasa anaongea inonga wakati uliopita na sasa hana hata uelewa wa mpira inonga profetional player .alikosa raha ya timu .timu lenu kama timu la ndondo kina per omar jobe na bado yuko sana simba kuna kiongozi mkubwa tu anagawa nae mshahara😂😂😂😂😂😂yani 😂😂😂😂😂😂😂friji langu bovu