Hivi ndivyo Juma Duni alivyomuachia kijiti Othman Masoud kabla ya uchaguzi wa mwenyekiti mpya
Вставка
- Опубліковано 17 жов 2024
- Mwenyekiti wa sasa wa ACT Wazalendo Mhe. Juma DUNI Haji akitoa tamko la kuondoa jina lake katika orodha ya wagombea wa nafasi ya mwenyekiti wa taiga wa chama hicho.
Huyu mzee talent sana na hawa,, ndio watu wenye akili ,wanazengo wa ccm walishapata neno but imeenda kombo
Yaani Juma Duni una hekma unajua na unafahamu vyema sanna mazingira ya kisiasa.ww ni zaidi ya mwanasiasa.
Nilijua siasa nlipenda siasa nikashiriki siasa kwa sababu ya hitba yake ya mwaka 2004 pale welezo jimbo la welezo.Daima ntakupenda hata nje ya siasa na misimamo ulonayo.
Respect Babu Duni . Uko moyoni mwetu daima
Naam tunampenda saana ❤
Siasa bwana sema ameshawazindua watu fulani kuwa mambo ndo yapo hivi mwenye akili ndie atakae fahamu
Wewe utabakia kuwa juma duni mwenye heshima kubwa historia iliyotukuka msimamo wako na mchanqo wako katika kupiqania haki vitadumu vizazi na vizazi vyetu munqu akusimamie akulipe malipo mema duniani na akhra twendako babu duni honqera wewe ni simba
Mbeto upoo jee unaweza ukaongea ujinga mwengine zaidi ule ulioongea mwanzo,? Mbeto wewe mtoto mdogo sana kwenye siasa, kafute maneno mengine ya kumwambia babu Duni tena ujipange kwelikweli na sio uingie kichwakichwa
Hahahaha,,,,,kumbuka kuwa ameng'atuliwa
Nakuomba usikuhame Wala usikiache chama. Endelea kuwa na Subra Allah atakutunuku cheo maalymu kwa ajili yako na WA Zanzibar kwa ujumla.
Mashallah....M.Mungu akubariki Babu Duni...Ameen...🤲🤲
Babu Duni hawezi kabisa kuwa CCM huyu ni Muungwana hataki kunyanyaswa sababu ni mpinzani wacheni uongo ufisadi uuwaji Wewe Mbeto si Fisadi Kaa na Mafisadi wenzio Mjinga Wewe mwenyewe hujielewi
Siasa mchezo hautaki hasira maana kwa mizengwe hii hatar
Excellent Babu Duni
Uwo ndio ugwana japo kuwa inauma Sana kuwachia kiti
Dah Inatia uchungu kwa kweli
Sababu zote sio za uhiari yake
Babu vip anaewaonesha ustaarabu mkubwa
Hahahaha,,,Babu ameng'atuliwa!!!
Tokeni wanafki nyie
Asante kwa kuafatlia