VIDEO : HAJI MANARA , NANDY NA DOTTO MAGARI WAKIWA STUDIO WAKITENGENEZA NYIMBO YA ZAIYLISSA WA BUGA
Вставка
- Опубліковано 15 вер 2024
- TAZAMA MWANZO MWISHO HAJI MANARA , NANDY NA DOTTO MAGARI WAKIWA STUDIO WAKITENGENEZA NYIMBO YA ZAIYLISSA WA BUGA ITAKAYOCHEZWA TAREHE 18 MWEZI HUU
#manaratv #hajimanara #zaiylissa #nandy #dottomagari #babalevo - Розваги
Nandy hiinyimbo kwakweli umeweza dadangu🎉🎉❤
NANDY KAPIGA ELA APA KIULANII. NANDY MCHAGAAA KWEL.....❤❤❤❤.... YUKO JOBU ANAVOMPA SIFA SASA ❤❤❤
Mpare yule,sio mchanga😮
Nandy nampendaga anapiga kazi kwa kweli ❤
Kwenye mambo ya COPY RIGHT ni kwamba MANARA ameshiriki moja kwa moja kwenye kuandaa wimbo,kwa maana hiyo atafaidika na mapato ya wimbo husika😊
Nice nandy the African princess❤
Hii ndo nyimbo tamu zaid yazote kwakweli❤❤❤
Angemuita Mboso tu
Haahahah wakiachn bugatti hachelew kusem alikuw hampend alikuw anamuumiz mtu😅
Dah hiyo nyimbo tamu Sana but apo future angekuwepo Mr blue ingetisha kinomma Sana
😅😅😅Hiii nchii ukihama umejitakia mwenyewe
Very indeed brother manara coz you know how to care and handling your beloved angel 😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Mandy uko vizuli sana unasaut aseee❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤🇹🇿
Wanani tumerudiliya mara 10 hier vidéo mpaka nasisimka jamaniiiii❤
Sisi maskini hizi raha tunaishia kuona insta na bando lenyewe la mawazo😢😢
Mungu akubariki uweze kufanikiwa na kuwa na mafanikio makubwa ktk hii dunia, ukapate kuwasaidia wazazi na familia yako. Nakuombea Fatuma ❤
Tulia Labda Haujaujua Raha Khaswa Huo Ni Upuuzi Namapito Yakipuuzi Usio mpwnzi wakupenda Upuuzi. Ukamilifu niwa Mola.
Unajuaje km wanapitia raha km kunaraha mbona huyo bugat wanaachana na wanawake ote hiyo ni. Zinaa km wanajiamini waoane uone
Ipo siku dada angu Mola atakujalia kuwa na subra
binti njoo kwangu apo hamna kitu apo❤❤
Nandy nakubali, daah! Good & better song ❤
Daaah, Ngoja niendelee Kutafuta Pesa Kwa Nguvu Baadae nimchukuwe nandy hata Akiwa mzee nitambeba hivyo hivyo tu 😢😢😅😅❤❤❤ manara anaenjoy mno uzeeni sasa
Mmmmmm haaaaahaaa aya sawa
Huyu Mzee Bado anawapenda walio muacha Ndo Maana anavituko ivi
Ana mambo km ya kike tena wale wasichana wadogo kuanzia 18yrs-28 mana ukipindukia 30 na kuendelea hunaga muda wa kufanya mambo ya kijinga km hyo
Waouh félicitations my Nandy ❤❤❤
Zinaa inanguvu kuliko ndoa daah ao ote wazinifu ndoa zao zimewashinda wanasherehekea uzinifu eemungu nipe mwisho mwema
Mungu atupe mwisho mwema umenena
Sis Maskini Hizi Raha Tunahishiy Kuona Kwa Insta Tu Na Bando Lenyew La Jelo😅😅
❤❤nandy haloo my love 💕 💕 💕
Nandy on 🔥
Nandy tupe kitu ❤❤❤❤ nakupunda tu
Wimbo ni mzuri ila sasa nahisi umeingia mwenye uzalilishaji wanawake na iyo zai SIKU sii nyingi utamuacha na hio misifa yako
Zailisa ujapendeza umekua kama kahaba wa vingunguti😲😲😲
Khaaaa😂😂😂😂
Nandy ❤❤❤🎉 Tarehe 18 mbali jomonyiii 😊
Aki nandy umetish san my princess ❤❤ nakpnd pak bas
Ndandandinda ndanda😂😂😂 mamaee
Ila dotto nampendaga mimi 😊
Tunaosubiria tukio tuko wapi
wiki kwenye kaburi lenu 😂😂😂 dotto magari
upo vizuri sana
Had raha jaman wanaoponda sio vzr haj pia binadamu kiufup komeni
❤❤❤❤❤ nandy my god bless you 🤲🤲♥️ mashallah 👌🎉
Dunia Namambo Yake. Hakika Inadanganya.
Jamani
Dah Dotto😁😂😂😂😂😂🙌 !!
hahahah tumempata aliyetuharibia verse ya pili.... manaraaaa
Bugatti the Don
Mambo ni fireeeeeh❤❤❤❤❤
Hapo Dotto amejua kusherehesha hii nyimbo
Hongera Dotoo karibu timu Bugati
Manara muogope mungu Hayo sio maadili yako
Kwakweli
Bonge song daaah NANDY umetsha hongera BUGAT uyo dem atake nn ss wallahi
Nandy ni mama kija safiii
Kizuri hustiriwa zaylisa jielewe
Sikuhizi nikama kapagawa nahilo penzi yani atembea uchi
Man best of the best unbelievably
M pia ntapata wangu inshallah ❤❤❤😢😢
uchawa shida sana,, Mziki umenyamaza, yeye anaendelea kucheza,, acha Mwijaku awakomeshe
Nandy umeuwa vby
Wangapi tumerudia mara mbili mbili mkono juu ✋ nyimbo tsamuu ajab God bless you more dada❤
Kwan hii nyimbo katumgiwa spesho zailisa au mi sijaelewa??
😂😂😂😂cjui nacheka nn jmn ila huyu dotto😂kucheza wanacheza wao furaha nahic mm nyieee kupendwa rahaaaa😅😅mungu awafanyie wepec kwenye hilo jambo lenu inshallah
Kwahamu twangoja umeua🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥💖
Umetish xana Africa princess ❤❤
Huyo mwanamke anaonekana Hana ht furaha huyo haji manara tu ndo sifa anafuraha peke yk na huyo dotto bc lkn zeylisa ht Hana masham sham kuonyesha furaha km anajilazimisha hv
Nandy ame lipwa pesa ngapi ? This song its nice vile naskia 🔥🔥❤❤
Ml 50
Vaa viatu vya dula makabila utaona mapenz ni adhabu sometimes
Show sana
Zai kanenepaa jamanii adi rahaa
Kweli
The guy got a vibes chawa😂😂❤
Daaah aiseee wallah huyu zeruzeru ana matatizo ukimuliza atakwambia nilimba kaswida Abasiah.
Mirungi sigara na pombe kali ni vitu vinavyotakiwa kuendelea kupigwa vita maisha yote hasa kwa vijana wetu tusije tukapata wazee wa hovyo
African princess
Doto 😂😂😂❤
Nandy hana mashara kwenye helaa
Manara ushakua mtu mzima mambo hayo waachie watoto jaman😂😂😂😂
Inabidi uwe na akili nyingi sana kumuelewa Manara. Hapa anazidi kujiongezea umaarufu na atakuwa midomoni na mawazoni mwa watu kwa muda mrefu. We zubaa tu mwenzio anajiongezea nafasi ya kuwa relevant hata uzeeni. Hapo hatujaongelea uwezekano wa kupiga hela kibao.😊🎉
hakika wakaombe pesa zao kwa muganga
Ila jamani tutafute hela ase siyo kwa rahaa hizooo
Jina la wimbo plz
Yan ni utoto utoto wabongo bwana
Sana
Kabisa yan
zai mzuri eee
Inasikitisha Kuona Mtu Wamjini Anakuwa Kama Mbwinde. MOLA Atuhifadhi Ushantumbwi Kama Huu Kwakweli.
Nzur hatar nandi noma san
Zaylisa jistiri bc hata kidogo mtoto wa kiislam
best TZ female vocalist ,, Bill Nas tuna wivu na wewe
Noma nandy umewa
Huu ndo wimbo siyo yale makelele ya wengine
Mwijaku na mwenzie hawamuwezi huyu "NA HAPA IPO"
Zaylisa mzuri sana..alafu tall mzuri kwenye fasion
Manara usikaribie zinaa uislamu unakataza wewe si mtoto tena!
Bughaa Ma X Wanakuumiza Dadiii Hata Huyo Bado utakuja kuliza Kama Jina Lake tu😂😂😂
huyu haji manara upo sawa kweli????😂😂😂
😊😊
❤❤❤
Na hapa ipo😅
mapenzi mazuri kweli manara anajuwa kupenda
Kama anajua kupenda mbona hatulii na mwanamk ummja
Doto magari
Jina na wimbo
Ila Nandy, napenda sana usikivu wake... the way anakubal8 kupokea ushauri cos sio rahisi kwa mwanamuziki kupokea naelekezo kutoka kwa mtu ambaye si mwanamuziki.
Point💯📌
Kumbe ufupi tunajitakia 😂😂😂… ngoja nitafute pesa buaana
Zai jamani
Mze wetu anakwenda lea mwana Wa ....
🙌🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Chawa unanguvu
demu mwenyewe sasa kama kuku amenyeshewa na mvua 😢😂
Zai mbona leo namuona ana kitumbo,nandy❤❤❤❤
Jina na nyimbo plzz
Doto got a vibes😂😂😂😂
Mbn anaeimbiwa kanuna
Nandy weeee
😂😂😂😂Ila magari
demu mwenywe kitumbo ka kwashiorkor 😂😂😂