jinsi ya kujifunza kupiga guitar ndani ya mwezi mmoja tu
Вставка
- Опубліковано 15 жов 2024
- Ndani ya fundisho hili nakufundisha Chord 4 muhimu za kujifundisha kwanza kama unataka kujua kupiga guitar kwa uharaka ambazo ni Em, C, G na D hata kama huna mda chukua dakika 30 au ishirini kwa siku zinatosha na subscribe na bonyeza kengele ili uwe wa kwanza kupokea kila funzo jipya ntakalo kuletea. Much Love.
Ubarikiweee mnooo mkakaa kusema kwelii wewe ndoumefanya najua iki kdg nlichopata saivi naimna ntakuwa mpigaji mzuri 🎉
Barikiwa
natamani kujua kupiga gitaa lakini sasa changamoto ipo kwenye upande wa gitaa lenyewe kufuatana na hali asante sana bro kwa dalasa zur
Unamaanisha huna gitaa
Asante kwa somo kaka. Nataka kununua gitaa naomba unishauri ni gitaa gani zuri.
La aina gani
Mwalimu mzuri sana....we unaelewa wanafunzi wanataka nini...naomba uwe unatuza pia na nyimbo zinaweza kuingia kwa chords unazotufunza...asante.....utupeleke na uo utaratibu tu
Asante ndugu
Heshima yako.
Duuuh! Mda mlefu nikitamaani kujifunza chombo hicho.
Ahsanteni sana
🔥
nimekubali mafunzo yako mwalim rakin nilikuwa naomba kuuliza geta inauzwaje
Asante ndugu,, ila sijaelewa vizuri swali lako
Mungu akubarki sana mtumishi naulza gitaa inauzwa sh ngap
Wewe nikikufatilia taliweza kabisa. Unajua kufundisha mkuu🙏
Asante kaka Mwenyezi mungu akubariki na akujalie.
Asante ndugu
wow thanks bro nilinunua gita juzi nashukuru nitakufatilia nijue niko england kwa sasa
+27658918501
Aisee napenda kujua kupiga vyombo sana
Uko vizuri sana Mwalimu, mm ndio nimeingia leo (27/07/2021) darasani. Nitaendelea kukufuatilia.
Napenda sana bro kujifunza ila isina uwezo wa kununua gitaa
Dah noma
Asante sana kaka.uko vizuri ubarikiwe sana
Mungu akubariki sana. I just landed here today ❤️
Sorry I v benn offline ila nimerudi kwenye UA-cam
@@Eli_Music tuko pamoja. Kesho naichukuwa guitar yangu
Amani
Sawa
Nimelearn alot,,, thanks 🙏
Thank you too
Nashukuru. Sasa Nina Imani nitajua kucheza guitar
Tunamshukuru sana kabisa kumpata mwali tuomba vidole visiwe haraka haraka ndugu
Sawa ndugu
Yes nina shukuru nimesha jua kushika hizo kodi 4 naomba unifundishe kwa kuzitumia kuimba wimbo tafadhari
Sawa
Anafundisha vizuri saaana.wallah ntawapa mrejesho🎉
Asante ndugu
Naitaji kujifunza Gita baada ya wiki Nita nunua Gita na ntaendelea kupata maelekezo kutoka kwako .nashukulu sa ma kwaaelekezo nimekuelewa sana kwa maelekezo
Barikiwa
asante kaka nimeona video yako Leo nataka kujifunza
Nijulishe ukitaka msaada
Yesuasifiwe ubarikiwe Sana mtumishi naitwa kyando Niko dodoma naish chinangali nafasi yang j2 mchana sa7naomba nikusumbue gita nalo
Samahani ndugu kwa kujibu nimechelewa tafafhali nitumir namaba yako ya whatsapp
Nimefurahi sana brother ... kukutana kitu kama hiki.. napenda kujua guitar... nashukuru kwa mwongozo mzuri... usiishie hapo..
Asante bro
Good teacher.
ahsante kwa darasa zuri mwalimu ,, mimi natumia left sijui kama itawezekana
Ubarikwe
Nataka kuelewa guitar kabisa natamani sana David
Basi tufanye mafunzo
Nataman sana kujua kupga gitaa
Inawezekana,, anza ss hivi kujifunza
Sasa me natumia mkono was kushoto he itawezekana kwely
Wewe ni Mwl mzuri
🙏
thank you for this your the best teacher
I really appreciate
Umenisaidia . Nasubiri SoMo litakalofuata
A very nice tutorial,..like it..
Great video,asante bruh.
Barikiwa
Thanks bro sai Niko poa
Great bro
🔥
Asante nauliza hivi gita shingap brother nataman san niwenayo home🙏 please
Inategemeana na bei yako ila kuanzia laki mbili unapata
ahsante kk
Nimekuelewa teacher
Mafunzo mema shukran
Tunashukulu kwa kushare na sisi ila Apo kwa izo corode ulitufunda nyimbo gan yawez kuingia Apo Alf nilikuwa naomba mshiko wa corde F
Kazi mzuri bro
It's an awesome training 😋
Thanks,, any thing would you like me to cover?
naitaji kujuwa jinsi ya kupiga warship and praise songs
Nitumie link ya nyimbo ungependa kujifunza
Uko vizuri
Nimepiga lesson 1 nko allitle poa strumming bado vzur lkn vipi hiyo lesson 2
Nmependezwa na unavo fundisha. Nmambo nlilikuwa naitaji kwa sana.
Asante ndugu,, somo gani ungependa nifundishe
@@Eli_Music sasa ndugu yangu. kama nlivo kuomba hapo juu, naitaji kujifunza ginsi ya kupiga waship na praise songs. na naitaji hii iwe special class. bado tafuta links za nyimbo amabazo nitaanza nazo.
Kaka nimependezwa na matundisho yako yamenihamasisha Sana kujifunza Ninaomba kupata namba yako ya WhatsApp
@@Chamwinoonline +27658918501
@@isaacasumani8267 tafadhali tafuta hizo nyimbo na nitumie
Hongera brother upo vizur...,vp muendelezo wa masomo mengine
Asante ndugu we ungependelea nitoe somo gani?
Mie nimeona hilo somo moja tu na ndilo limenisaidia angalau nimekua na mwanga lakn cjajua kama kuna mwendelezo wake mwingine sababu nahitaji kujifunza zaidi na unafundisha vzur mnoo kiasi kwamba unaeleweka kwa haraka
Nataka kujua kupiga kupiga gitaa la bes
Mwalim pamoja sana
Sounds awesome
😮
Napenda sana bro mm ninalogitaa ,
Amani tuanze ss mazoezi
kaka naomba upige nyimbo ya Sina chakukurudishia ee Bwana By Zoravo🙏
Iko poa ila camera unayo rekodia ingekua juu ili nione mahari vidole vimekaa
Asante 🎉😊
Sawa
Unajua kufundisha saana
Asante
Unafundisha vizuri nimeanza kukufatilia,Ila nauliza Kwan gitaa linauzwa bei kuanzia shingapi ?
Nice
Thanks
asante sana
Na wewe pia
napenda sana piga gitaa uncle ila tatizo mitaa ya kwetu hakuna hata mwenye gitaa la mafunzo naweza pata gitaa la kununua na lina uzwa shilingi ngapi mm nimsanii ila bado naona ndoto zangu hazija timia bila gitaaa nisaidie kwahilo uncle
asante sana kaka
Vzr sana
Asante
Nataman Sana kuja South Africa but Sina mwenyeji ukiweza nisaidie gharama za kuja ni zangu na mahali pakulala ni wewe tu kuwa mwenyeji wangu
Tutalizungumzia private swala
@@Eli_Music naomba namba zako za cm kiongozi
@@waytvtz2549 +27658918501 izo hapo
Nimekupata vizuri sana mtaalamu wa gitaa mimi napenda sana kujifunza kupiga solo je unanisaidiaje kupitia ukurasa wako huu au kwa njia yoyote nyingine?
vyote vinawezekana ntaweka video za kupig solo mda si mrefu pia ukitaka one on one funzo +27658918501 whatspp tunaweza vilevile tumia zoom app
@@Eli_Music Nashukuru mwalimu,Mimi nina magitaa na baadhi ya vyombo lakini sijapata mwalimu was kunifundisha funguo japo kuwa napiga piga gitataa kidogo
Samahan kaka naomba kuuliaza kwa kawaida waga zina bei gani gitaa napenda sana kupiga gitaa na ninataman kujua
Sina uhakika kwa bongo maana kwa ss naishi south africa ila huku unapata kuanzia R3500 dukani,, ukinunua kwa mtu labda R2000
I like it ngoja nianze na hii
Safi sana we ungependa nitoe somo la aina gani tena? Na plz subcribe and bonyeza kengele ntashukuru sana,, n if will subscribe on urs to
Asanteee
Okay 👌
Bless
Vizur brother nampango wa kununua gitaa naimani nikikufatia vizrur nitajua2
We ukilipata tu nijulishe
Kumbe jumaa wee kama mimi nilisema nitanunuwa jitaa
Ticha, namba zako jaman jitaa na kinanda napenda
Mimi nilijuwa mekapu kuchonga uso Kwa video tu umu
Hila napenda nije jifunza live
Your a good teacher,God bless you!
I appreciate my bro,, same goes for you
Samahani nadhani ungetuwekea na micholo pamoja na alamacod mana ukishika hatuoni vizuri
ok ndugu ntalifanyia kazi hilo
Samahan ukishika hatuon vzuli
gitaa sh. ngap
i have a few days but with your instruction since i started following you l know all the code you taught but the problem is that l'm having trouble moving from one code another i would like you to help me here my brother please help me
Good job broo actually I have a created video for that welcome
@VIVEMUSIC2024 share the link of yr video plz
@@Eli_Music ua-cam.com/video/Snl8n8jL9Ys/v-deo.htmlsi=Gy_yivvOuD67w3Yu
Mwalimu ninatatizo ya kukunja vidole I vigumu kabisa, na magumu nyingine ni namna yakutofautisha zile ma fret
Nakuja we mzee wa mabonege 😅
Njoo hahaha
Sooon inshallah
Asante san
Naelewa uko vzr
Asante ndugu kama kuna somo lolote ungependa nikuletee plz nambie
Broo ni gitaa IPI nzuri ya kuanza kutumia kujifunza kupiga
Lolote lile unaweza anzia ila mara nyingi acoustic wengi wanaliita garaton
Anko nice job
Asante ndugu
Asante
Dah hii iko poa sana
Ticha nakukubari sana unafundosha pwa sana naomba ujaribu kutufundsha kuhusu namba za chord kwamfano c namamoja yake ni c yenyewa je 2......7 nizipi
Poa ntafundisha hilo
@@Eli_Music sawa ticha nakuelewa sana ticha
Vizur
helpful
Safi broo ,mi Nina garaton dogo ya hilo ila nasumbuka kujifunza sana so naimani utatusaidia kwa njia hii
Nafurahi kusikia kwamba umeamua kijufunza popote pale unaweza kuanza, plz angalia videos zangu zingine na kama kuna kitu huelewi basi nitumie msg yako ili nijue ni wapi umekwama
nimekuelewa
Asante
Vidole vinauma haaaaaa yani kazi ipo
nakupata rafiki yangu
asante ndugu
Asante brother
You are welcome
Naita nijifuze
Naitwa mr mndeme Natamani sana Nijue kupiga solo Nianzeje ?? Ili Nijue
Safi sana ndugu,, ebu ingia kwenye profile yangu na kwenye playlist zangu kuna mfululizo wa video za jinsi ya kupiga solo kuanzia mwanzo adi mwisho
Hii hapa link ya video hizo zifwatilia zote zitasaidia sana
Nataka nijue
Utajua ndugu ni mazoezi tu
Unafunza.muzuri
Asante ndugu
Kaka Ninawazo unaonaje ukifungua group la WhatsApp na utuunge vijana wako kisha utufundishe
Sawa ntalifanyia utaratibu
Asante Sana
Ubarikiwe
I have learned so much Kiswahili in this video.😁
Hahaha am happy to hear that i would like us to learn more from each other teach you , anything in mind?
Asante Sana
Naomba unafundisha kupiga gutar pleas
Sawa ss umefikia wapi?
Asante Sana mwalimu
Na we pia ndugu
Mimi nimekuelewa Sana naitwa SIMION BRANDY KATWIGA naomba namba yako
±27658918501
nisadiheee namba zako za wasapu mkuuuu naitaji kujifunza zaidiiii iliniwe mpigaji nzury ukiwa kama mwalimu wangu
Safi sana ndugu +27658918501
+27682912657
nakubali kaka tupo pa1
Amani ndugu
I really appreciate you Brother, Sasa nahitaji kununua gitaa je gitaa la aina Gani litanifaa namaanisha lenye ubora.. pia kama una namba ya WhatsApp ingekuwa poa sanaaaaa
+27658918501 tuongee kwenye whatsap
Nimekusoma mzee shukran
ubalikiwe
Kwel kaka nimekupata
Bless
Lesson 2 vipi
bro mm mahitaji kujua mzk zaid na pia uandish bro ili niwe mwandish mzuri n nm nifanye kabla ua yote bro
Nitumie whatsapp +27658918501