Surah Al Anbiyaa Alhamdulillah nimeamini Quran ni Pana sana hata Kuna baazi ya movie huwa wanatolea kwenye haya za Quran Alhamdulillah hakika Allah ni mjuzi 😢 Allah Atupe mwisho mwema 🙏
Mashaa Allah ni visa vyenye kuzingatiwa kiukweli,na Allah awasamehe Mitume wote na manabii Dhambi zao na awaingize peponi wao na waumini wanao wafata walio amrisha na kujitenga na walio kataza.Shukran msomaji na mtafusiri bila kusahau waandali Allah awalipe Jazza yenu Aamiin thumma Aamiin.
Ndungu zang katika imani tutenge mda wetu kwa kusikiliza Qur'an tukufu na sio kuteng mda,wakusikiliza muzik,kuangalia mamb yakipuuzi;na mengi neyo.hakika tutaenda kuulizwa juu ya wakat tuliutumia kwa kufanyia nni? Tusidanganyike na Dunia na mapambo yalioipamba dunia.
yasikitisha kuona tafsir ya quran kiswahili ina viewa 13thousand pekee.....ilhali wanamuziki wakipost wanapata milioni kwa wiki moja tu! tutamjibu nini Allah?tafadhali tuwafikishieni wanadamu wote ujumbe huu wa quran ..
Subuhanallah kwa utukufu wa Quran molla wetu utufuisha hali yakuwa wa islam ishaallah amine
Allah atupe mema duniani na kesho akhera akatuingize peponi kwa rehema zake
Amin🤲
Ameen 🤲
Surah Al Anbiyaa Alhamdulillah nimeamini Quran ni Pana sana hata Kuna baazi ya movie huwa wanatolea kwenye haya za Quran Alhamdulillah hakika Allah ni mjuzi 😢 Allah Atupe mwisho mwema 🙏
Mashaallah tabarakaah
Shukran Sheikh wetu kwatafsiri Quran
ALLAH akuifazi
Inshaallah ❤
Mashaa Allah ni visa vyenye kuzingatiwa kiukweli,na Allah awasamehe Mitume wote na manabii Dhambi zao na awaingize peponi wao na waumini wanao wafata walio amrisha na kujitenga na walio kataza.Shukran msomaji na mtafusiri bila kusahau waandali Allah awalipe Jazza yenu Aamiin thumma Aamiin.
MashaAllah nyoyo ngumu huwa laini kwa kusikiliza Qur'an tukufu. Nakupata mazingatiwa ndani yke
Masha Allah ni raha ilioje ❤ kuisoma Quran tukufu kisha kuijua tafsir yake kwa kiswahili.. .
MaashAllah Alhamdulilah Allah atuongeze katika njia ilonyoka na atuepushe na moto 🤲 shukran
Amin yarabi
❤
Amin
Ameen yarabiii Ameen 🤲🤲🤲🤲🤲
Allah atuafikishe
..ujumbe mzito wallahi surah al anbiya
Mashallah mungu atu nusuru
Mashaallah hakika Qur'an ni nzuri
UA-cam video download unaweza kutumia nenda Google andika youtube video conventer utakopy link kisha utaweza ku download video yoyote Inshallah
MaashaaAllah Allah atujalie mwisho mwema
MASHAA ALLAH TABARAK ALLAH.
Sheikh mm nataka kudawlond mwenyezi mungu akujalie mlango ya kheri hebu tusaidie kudawlond
Mashallah mwenyezi mungu atujalie tuwe mwenye kumsujudia na tuweze kuipata pepo hapana apasae kuabudiwa isipokuwa allah pekee
Mashaallah, Allah akuzidishie kwa kazi nzuri
Qur ann yetu niraha sana Allah atuhifadhishe
mashallah...quraan ikitafsiriwa ina raha yake
Assalamualaikum kwakweli mungu atawalipa insha Allah Yani napenda San kusikiliza Kur Ani kila asubuhi katika sauti ilio tulia Masha Allah ❤❤❤
❤
Mashallah Allah akulipe kheri nyingi
Mashaallah❤❤❤❤❤❤
Shukran wajazaka llahu Heri inshallah
Mashallah tabarakallah.
subhana llah tupe mwisho mwema
Ok inshallah.Allah kher
Ndungu zang katika imani tutenge mda wetu kwa kusikiliza Qur'an tukufu na sio kuteng mda,wakusikiliza muzik,kuangalia mamb yakipuuzi;na mengi neyo.hakika tutaenda kuulizwa juu ya wakat tuliutumia kwa kufanyia nni? Tusidanganyike na Dunia na mapambo yalioipamba dunia.
Kweli kabisa Ndugu, Haji.
@@tafsiriyaqurantukufukwakis966 inshallah
Upo sahihi kabisa. .
❤
Allah hu Akbar
masha allah najiskia raha nikiskiliza qruan
Maashallah
Mashaallh
Allah atuongozee tufuate yalio ya heir kwetu😢
Mashallah
masha allah
Mwenye hikima asiwape ispokua umauti wa Raha Kutokana na kila shari
Mashaallah
mashaallah
❤
tafsir ya Quran ina comet 17 wakat music Zina mamia ya commet
Asalam alekum warahamatul llahu wabarakatu vp tu download full tafsiri the Holy quran ili nisipokua online niweze kusikiliza tafsiri hii inshaallah
Naomba kuuliza kama wazazi wako hawakuhudumii hawato ulizwa?
yasikitisha kuona tafsir ya quran kiswahili ina viewa 13thousand pekee.....ilhali wanamuziki wakipost wanapata milioni kwa wiki moja tu! tutamjibu nini Allah?tafadhali tuwafikishieni wanadamu wote ujumbe huu wa quran ..
Allah aendeleye katutiyangufu tumsujudiye
Mashaallwah
huu ndoo utukufu wa mola wetu aliye mbora kuliko kitu chochote.
Mashallah ❤
Qur ann yetu niraha sana Allah atuhifadhishe
Maashallah
Mashaallah
Mashallah
Mashallah
Mashaallah
0p😊pp😊😊0
Mashaallah
Mashaallah