hiv hawa ni watanzania au ni kabira gani sisi ktk uisilam wetu hatuna vitu vya hovyo kama hivinuisilaam wetu nikumtukuza mwenyezi mungu na mtume wetu lakn sio kwa njia hii hawa ni vijana wa hovyo
Sub'haana Allaahi, enyi Waislamu ndugu zetu ankeni na zindukeni jamani, Dini yetu ta Uislamu haitambuwi nawala gaija fundisha ujinga na upumbavu wa namna hii
Dunia imebadilika bila kufanya hivo kufanana na kizazi hiki, walengwa wanaweza wasihamasike kuelewa ujumbe uliokusudiwa. Hakika yataendelea kuona mengi maana utandawazi umepenyeza hadi kwa watoto wadogo
Innalillahi wainna ilayhi raajiun Allah atuongoze katika njia iliyonyooka. Iwe Maswahaba ndio wamefanya hivi?? haiwezekani kabisa hii ni laghawi na haikubaliki katka dini ya Haqqih.
Islam is about the observing the 5 pillars of islam 1 TAWHEED 2 FIVE SWALAH 3 FASTING HOLLY MONTH 4 PAYING ZAKAH 5 IF ABLE PERFORM HIJJA , that is all, so other acts are your wishful thinking or act
Wapuuzi Nyi ivo ndo mnautangazia umma km uislam wetu upo ivo kwel!!??? Kumbukeni km mtaulizwa juu ya uislam mlojitengnezea kwa matakwa ya nafs zenu kinyume na alokuja nao Mtume saw
Hey brothers this is not right because the messenger of Allah never did it or companion of messenger they never did it such think like this asking forgiveness Allah
@@saleibanmohamoud2664 neither did they have smart phones, televisions, laptops, auto mobiles, aeroplanes, space explorations, we have things they nor any one living 200 years ago could ever think and who knows, in another 50 years they may have things we could never imagine and that's called mans' creativity and technology but that's not why I commented. My comment was an irony you, however couldn't grasp it.
Abubakr,Umar,Ali na uthman,laiti wangeliusambaza uislamu na kumnadi mtume hivi tungelikuwa Bado tupo katika ujahiliyya.Barzanji imejaa shirk.Tizama Shirk katika maulid ya Sheikh Aboud Rogo,na Sheikh Muhammad Bachu ndio utanielewa
Ivi Hawa watu hawajui kuwa Holi wanalofanya halipo ktk dini yetu, au hawajui wanachokifanya!!? Au ni ubwabwa inawatia uwazimu? Mm nikitoka kwenye ukristo lkn niligundua mapema kuwa maulidi sii sahihi, Hawa mbn wanaharibu dini yetu? Mbn Mtume wetu rehma na Aman zimfikie hakiliacha Jambo Hili? Ndg zangu tumche Allah.
Pole ni sana watu wa bidaa hivi ndivyo mwamswalia mtume nyinyi na diomond hamna tofautie
Wantia kichefu chefu
Hii sio kumpenda mtume kama mnapenda mtume amani na rehma iwe juu yake nendeni msikitini mswali na mfunge na uamke usiku wa manene mwoombee mungu
Hivi HAWA WANAJIELEWA KWELI ? Hivi watoto WENU mnawafunza UJINGA huu ? Hakika siku ya hukumu kutakuwa na mambo , Alla atunusuru na mtihani huu ,
Subxanallah subxanallah... hii biashara ya mtu , sio diini Ugumbafuu toweni makansu
Mnamtaja Allah,Mtume kwenye kigodoro
Hii imezidi sasa khaaaaa!!
hiv hawa ni watanzania au ni kabira gani sisi ktk uisilam wetu hatuna vitu vya hovyo kama hivinuisilaam wetu nikumtukuza mwenyezi mungu na mtume wetu lakn sio kwa njia hii hawa ni vijana wa hovyo
This is cultural event and not required by the religion of Islam. May Allah SWT protect brothers.
Huu si uislamu subhana Allah
Waislamu wa mombasa kenya wanamchezea Muhammad wao, wanasema amefufuka
Malemale ❤jmn nimemic sn
Alla awaongoze mthibit katika hakk maana mmemkhalifu mtume
Acha roho mbaya hutaki mtume akisifiwa
Subhaanallah my Allah forgive us
Nyinyi muna chombeza moto acheni Mila zenu na tamaduni mbaya izo mtume hakufundisha hivyoooo
Hii kazi kweli kawaida zamiaka hii du
Subuhanallah mungu na mtume Muhammad SWS mwawafanya sijui kama nn
Sub'haana Allaahi, enyi Waislamu ndugu zetu ankeni na zindukeni jamani, Dini yetu ta Uislamu haitambuwi nawala gaija fundisha ujinga na upumbavu wa namna hii
Dunia imebadilika bila kufanya hivo kufanana na kizazi hiki, walengwa wanaweza wasihamasike kuelewa ujumbe uliokusudiwa. Hakika yataendelea kuona mengi maana utandawazi umepenyeza hadi kwa watoto wadogo
alikufundisha kutumia mitandao ya kijamii
Dah
Acheni uzushi kuna siku mtaulizwa mtakua na majibu gani mbele ya rasulillah
Hongereni sana mashekhe wakubwa sawa
Kumamamazenu
Mungu wangu dunia imekwisha kabisa
Mimi sikubali hii mnatuaibisha Sana ki ukweli
Innaa lillah wa innaa ilyh rajiun
Inawezekana hawajui wanachokifanya kwaza waelekezeni ndio muwatie motoni Allah atuongoze katika njia ilionyooka .
وإنما الأعمال بالخواتيم.
Nyinyi mmepotea mbali kabisa
INNALILLAH wainnalillah rajuun
Kwani, ndivyo kunaenda.
mihemko ya pilau duh. ahlulpilau wa birr
Astagfirullah astagfirullah astagfirullah inna lillah
سفهاء
...wainnailayhi rajeun
Wainna ileheimrajjiun
@@fatmasherallysherally537 ❤ I love
Mnapatia mawahabi nafasi ya kututukana.maulidi ni taratibu jamani si densi!
Subhana allah
bidci bidci
Sawa wacheza kwaya.
Innalillahi wainna ilayhi raajiun
Allah atuongoze katika njia iliyonyooka.
Iwe Maswahaba ndio wamefanya hivi?? haiwezekani kabisa hii ni laghawi na haikubaliki katka dini ya Haqqih.
Kila nafsi itahukumiwa kutokana na matendo yake, tusichoke kukumbushana kwani kila mtu atabeba mzigo wake
Msiifananishe hii na dini hii ni ngoma ndiyo maana wako kwenye viwanja wanaruka majoka.
Mujriminti
Kweli usufi ni upumbavu
Jamani lo nyinyi ni wa
Karne gani mko tu katika mambo hayana maana
Mtume hawasifiwi ngoma
huu ni ukafiri dhahiri
Kabissa
Hao wanasherekea masufuria ya wali mtume answaliwa hivo
Mtume hanadiwi ivo eti migoma 😂😂😂😂😂😂😂 apo msikiti haujulikani migoma na ubwabwa tuu
Subxaanallaah 🙄
Alhamndulillah
Subhana Allah ati hii ndio dining!!??
Maulid ni Ngoma kama Ngoma zingine SI dini
Inalillahi wainailahi rajuun. Mtume ndiyo alifanya hivi kweri. Badilikeni. Kidukutu mafifaida
من اين لك أن تدعي ان الرسول صلى الله عليه وسلم رقص مثل ما ترقصون. راجع تاريخ السنة النبوية، لم يكن فيها رقص أفريقي.
@@Abdulkarim_1991ما فهمت قصده ..هو ضد هذا الرقص
Amiina
Innalilah wa inalilah
Innalillah wa inailah rajiun haina tafaut n'a daimond
Kweli njaa ni tabu
Malaika na majini wa kishetani wanadance ivi Tu kuzimu😜
Allah awahid
Huu ni puuzi,
Masufi hawo katika dance sijui uislamu wa wapi huuu!! Hapo hata uumpe Aya wala hadithi akuelewi wakaidi hawa
Islam is about the observing the 5 pillars of islam 1 TAWHEED 2 FIVE SWALAH 3 FASTING HOLLY MONTH 4 PAYING ZAKAH 5 IF ABLE PERFORM HIJJA , that is all, so other acts are your wishful thinking or act
HII DINI SIO YA MADUFU
ILA YA DA’WAH
Hapo lazima wakatishe viuno, maana ubavuni naona kwa fuka moshi
Mbona mwazisha ndipo?
Sub haan Allaahi😭😭😭😭😭😭😭😭🤭🤭🤭🤭
Majanga tupu
Tatizo Njaa Hapa sio dini bali Njaa
What country is it?
Hawa vijana
Whats this?
Sollaallau aleyhin wasalsm
Barakalau fiku
Lahaulah
Walakuwatta illa billah
Sisi ni waislamu sio galatiya mna katika kiuno wallahi sio nzuri hivyo someni maulidi sifia mtume sio namna hii
C'est dans quel pays ça ?
الله مستعان
من مات في هذه الطريق دخل النار
Je, iwapo Khalifa Abubakar, Umar, Uthman na Ali wangefanya upumbavu huu, dini ingetufikia??
Wa pumbavu.
Muwache kutaja jina ya Allah na Mtume wake hali Muna fanya na kinyume cha maagizo ya Allah
Mtume anatangazwa kwa matendo sio kwa ushenzi na ufirauni huo
I could not understand the language but very good voice and dance. May Allah bless u all.
Lovely ❤ 😍, ....
Wapuuzi Nyi ivo ndo mnautangazia umma km uislam wetu upo ivo kwel!!???
Kumbukeni km mtaulizwa juu ya uislam mlojitengnezea kwa matakwa ya nafs zenu kinyume na alokuja nao Mtume saw
Subhanallaah, what kind of actions came to in islam?
Mwisho wa dunia mumeitoa wapi hi bidaa
Na BAKWATA wanaona huu upuuzi na bado wamekimia
Bakwata are just puppets with no vision
Ha ha ha KWAYA IMEUPIGA MWINGI
Wanastahiki Grammy award
The companion of messenger of God Muhammad sallallahu alaihe wasallam and His companion they never did it this is Bida'!!!!
Hey brothers this is not right because the messenger of Allah never did it or companion of messenger they never did it such think like this asking forgiveness Allah
@@saleibanmohamoud2664 neither did they have smart phones, televisions, laptops, auto mobiles, aeroplanes, space explorations, we have things they nor any one living 200 years ago could ever think and who knows, in another 50 years they may have things we could never imagine and that's called mans' creativity and technology but that's not why I commented. My comment was an irony you, however couldn't grasp it.
😭😭😭👈☝️
Hatari kubwa ni ni kwamba mnaona kuwa huo nidio uislamu au hayo ni ktk uislamu..
Naamini watu wakiacha mambo ya msingi lzm watafanya upuuzi tu
Upuzi nothing like this in our religion.
Safi sana
Abubakr,Umar,Ali na uthman,laiti wangeliusambaza uislamu na kumnadi mtume hivi tungelikuwa Bado tupo katika ujahiliyya.Barzanji imejaa shirk.Tizama Shirk katika maulid ya Sheikh Aboud Rogo,na Sheikh Muhammad Bachu ndio utanielewa
Acha ujinga kasome
@@amunikibiriti the way you react to comments it's a clear prove that you are illiterate
Kwani mtu e yupo Mara ngapi? Ama maulidi hii
naishi ichin rwanda hawa.nimapumbafu hi mutume alkataza.ni.bida
Where is it ? I wanna go there
Niwaislamu wanasema wanamfurahikia mtume wao lakini wanafanya mambo kunyume na mafundisho ya yule wanamsherehekea
@@matendupiterngoge8707hmm. You meant this way is not correct ?
Shukran nimekufahamu ukht
@@matendupiterngoge8707 ooh l wish l can speak african language but l can't ..sorry can you pls write english
Oo l see you said şukran
🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣
Ivi Hawa watu hawajui kuwa Holi wanalofanya halipo ktk dini yetu, au hawajui wanachokifanya!!? Au ni ubwabwa inawatia uwazimu? Mm nikitoka kwenye ukristo lkn niligundua mapema kuwa maulidi sii sahihi, Hawa mbn wanaharibu dini yetu? Mbn Mtume wetu rehma na Aman zimfikie hakiliacha Jambo Hili? Ndg zangu tumche Allah.
Kiac mukate mauno kumbe kunasufuria nne hazijapakuliwa endeleeni kuserebuka ila MTUME SW hakufundisha hivo
Mtihani hawawatu wa maulidi
Wakibeana hawa
Au vipi?
Hawana adabu
Good
HII ni QASWIDA ??? 😂
Brelwi firka yaha bhi pahunch gaya
Toruk moruk tribe
Dance dance
Y dance?
SI HAKI😭😭😭😭😭😭😭😱
إن لله وإن إليه راجعون
Hataree
هههههههه ههههههههه هههههههه ههههههههه هههههههه ههههههههه هههههههه أهلي بدعة الصوفية
Shaqada iibadatay maradeyda cadestay boqolshego waa markoda waa markena hada sorawaxdan hori usoqata bug sheko qosaskin halawadagina sheko
Bidaa
Bidaaghaa kwako weyeeeeeeh
Akheru zaman.siku za mwisho hizi anaye taka ibada ya kweli afanye,zingine ni ngoma tu
Hii ni mambo daimond na reveny sio dini wala karibu yake
😂😂😂😂🤣