wanaume hapa mmeniangusha yakweli hayo mliongea kwa ngoma hii au mnataka kwa kampen mpate michongo🤣kuwen waukweli kwa watanzania wote msijitengenezee mazingira kwenu2 hata ikinyesha mvua bado anaupiga mwing🤣😂 mitaaa kiukweli haikubaliani namkisemacho au ndio kwa mgongo wa chupa
Hata uyo Mama mwenyewe akisikia huo wimbo atawaona mmechanganyikiwa Maana hayo Mlioimba mlipaswa mumshauli ndo Afanye kipindi Akipata Nafasi Ya Kushinda Uraisi Ila nyie Majamaa Kweli Mlianza Kurudi Vizuri Tatizo Miadara... Ndo imewapelekea Kutoa Kazi mbovu ... Uzuri wa Huyu Mama anajua Machawa na ambao ....😅😅😂😂
@@durukibaura3456 wao ni malegend Wana mashabiki wao muda wao ulishapita wakati haupo tena na wao awawezi kurudi mjini ila wanaweza kupata hela na kuishi vzur ila sio kwa njia kma hii
Kumbe awa jamaa ni wasenge hivi!!!kumamaye na sijui ht wamepewa shilingi ngapi wamepewa had kumsifia mtu pasipo zur lolote alilolifanya huyu mama zaid ya kutupandishia bei kila kitu katika nchii hii!! DAAH HII NCHI YA HOVYO SANA!!😴😴
njaa ni mbaya sana
Ngoma kali sema mlicho imba humo ni usenge
Usiempenda kaja mama aamua #mamasamia
Mimi sijawahi kusikia kitu kama “baba Biden, oh Trump Trump, na Obama jamani”. Hivi sisi hatuna content za burudani 😃😂🤣
Idea zimeisha....hakuna ukali wwte wa ngoma ni mbaya mbaya sana
😂😂😂
hapo umesema kweli broo
Njaa ikihamia kichwani shidaa
😂😂😂🎉🎉
Nawakubari Sana ila kumbe na nyinyi NI ma'mkun........ Mnaleta ujumbe WA ki'kum..... Fara Sana
Chege Ana bamba sana❤❤
NGOMA KALI ILA MUMEIMBA USHENZI
Wanazingatia maokoto😂😂😂😂
Kuimba mmeimba lakini hakuna cha maana mlichoimba coz serikali iko busy uchwara walah
wanaume hapa mmeniangusha yakweli hayo mliongea kwa ngoma hii au mnataka kwa kampen mpate michongo🤣kuwen waukweli kwa watanzania wote msijitengenezee mazingira kwenu2 hata ikinyesha mvua bado anaupiga mwing🤣😂 mitaaa kiukweli haikubaliani namkisemacho au ndio kwa mgongo wa chupa
Inchi ya wapumbavu hii na hawa wasanii njaa 😅😅😅😅😅😅
Usenge uwo
Kumbe nanyie machawa 😮,
Ningejua mmeimba usenge huu nisingetumia MB zangu, shenzi kabisa
Hapa wazee ninaowakubar mmezingua kinoma tena sana.. mmeimba nyimbo ya kichawa.. daaaah sikuwategemea aiseee.. km hamna macho!????
Ushiziiiiiiii😂😂😂😂mtupuuuu😮😮😮
🎉🎉🦁🦁🦁🔥
Muwe mnasema ukweli achen uchwa ninyi nilikuwa nawakubali asa we cheg kumbe 0 polen amna mana token
Mavi mtupu,mnasifia hata visivyosifika ovyo!
Wamezngua wameimba vitu ambavyo hatuvijui
Wahun wamezngua
Umetisha
Mshafika vijijini mkakuta maji au manimba kupamba ujinga
Hata uyo Mama mwenyewe akisikia huo wimbo atawaona mmechanganyikiwa Maana hayo Mlioimba mlipaswa mumshauli ndo Afanye kipindi Akipata Nafasi Ya Kushinda Uraisi
Ila nyie Majamaa Kweli Mlianza Kurudi Vizuri Tatizo Miadara... Ndo imewapelekea Kutoa Kazi mbovu ... Uzuri wa Huyu Mama anajua Machawa na ambao ....😅😅😂😂
Sound Kali ujumbe NI upumbavu mtupu Bora mgeimba hata matusi Kwa sound hiyooo
Ngoma nikal ,ila ujumbe wenu hauendan na uhalisia uliopo,kwamfano mama ameongeza deni nasio kulpa den
Usenge sana huu wazee nawakubali sana skutegemea hili kutoka kwenu shenzi type wazeee
Lazima wafanye hivi ili warudi mjini
@@durukibaura3456 wao ni malegend Wana mashabiki wao muda wao ulishapita wakati haupo tena na wao awawezi kurudi mjini ila wanaweza kupata hela na kuishi vzur ila sio kwa njia kma hii
@@robinsonshoo6754🤝
Kwani lazima kuwapenda mzee pita kule kama hujakubali.
@@robert4g189 wapuuzi kama nyie ndo mnasababisha nchi maendeleo hatupati
nawakubali cna toka zaman lkn kwa hii.mmeimba umbuzi tu
ira kweli kwsha kupo
ivi hawa wanaimba nin sasaivi mbona kazi zakufanya ninyingi kwani razma wote tyuimbe jamani 🤣🤣🤣
Ngoma kali
Vijiji gan mnaongelea hvyo vyenye maji na umeme au kijiji nilichopo mimi hakimo ndani ya tanzania
Machawa wa Raisi mnaupiga mwingi
Ngoma mbovu mnoo melod za kitaaaambo mno
huo niuchawa 😂😂 kaka zangu mitaan Kuna watu Wana teseka sana
Nimefurahi kuwaona tena pamoja
Wape tunzo mama samia hao ndo wenye mziki sio watoboa pua mipasho tu
Hii ni kwaajili ya uchaguzi
nyimbo nzuri😅
Ngoma kali ila ilo jina ma samia tusingelisikia kabisa,
Hzi njaa ndo zinafnya hayo yote😢😢
Kujipendekeza tu kwa mama ni ujinga
Nyinbo za kujipendekeza😀😀
Wasanii wa bongo bana kwani lazima wote muwe machawa wa serikali mbona hamuimbi kero za wananchi 😳😳😳😳😳😳
Dah ndio nn hii
Yaan mmezingua sana ,kama hamna vya kuimba ni muache tu
Beat na melody Kali ila ujumbe wachumia tumbo... Kwa 2025
Sasa ndio nn hiki 😳😳
Mmeimba ujinga
Ney wa mitego,
Wasenge imbeni mziki acheni mambo ya siasa
😢😢😢😢
Maswali ya serikali tuachie Roma msema kweli nyie mnasifia serikali isiyofanya kazi kabisa!!
Wakongwe hamna baya kazi nzuri
Mnajua deni la taifa limefikia kiasi gani hilo mnasema limelipwa ni lipi
Sikutegemea kama nanyie niwanafki kiasi hiki shenz kabsa
Nawaeshim sana ila mlicho imba niusenge mkubwa kudadeki
Wazee pumzikeni muda wenu ulishaisha, naona mnaanza kuwa machawa sasa
Karibuni Natena,tulikuwa tuna kosa sauti Hizi bros Bigups Munoooo...
Nyimbo za machawa
Hii melody na beat ungetumia kuimba vitu vingine ingekaa poa zaid
Nyimbo Kali sana sema uyo mlo msifia c kwel kabisa ukawa gonga like hapa
Wakongwe ❤❤❤❤❤❤
TEAMWORK PAMOJA SANA
Had Chege ,Nature nao ni kinamwijaku duuh
Upuuzi mtupi
Mnazingua acheni uchawa babulai mmeimba usenge wazeee kwani hamjui kitaa ni kugumu nyie mabrother wakuda
Mshachukua chenu mapema na sisi chetu kikwap
Hapo mmefeli kuimba hayo mapambio wazee, tunawakubali ila hapo dah😂😂😂😂
Hapo wakubwa mngeirudia tu Ile nyimbo ya anafaaa ya TMK INGEKUA NI NOMA SANA
Muda wa kutafuta maokoto kwa mama uchawa dili sana siku hizi
Chege apo ndo kaimba
Wagwan🤙
🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦🇿🇦
Kumbe mmeungana kuja kupiga ela za mama😂😂😂😂
Kweli ni uxenge walichoimba
Ngoma kari ila sijakielewa mlichoimba
Iko wapi hiphope tbts
Hapa nayo mmechemsha vibaya.
Wasanii wamekua machawa wa Rais😅
Mh acha tu nikae kimya mana kila mbuzi anakula alipofagia
mme Anza Tena ushamba wenu
Wanamuimbia ili wapte shoow za kampeni 25
Nimemiss sauti zao tu ila mashahiri kama mavi ya bata
Piga nyimbo nyingi ila tupe ngoma zetu
Mmmm!! Saw
Mmeamua kuwa machawa sasa
Safi
Ngoma kali ila kwenye madeni uyo mnae muita mamaenu kaongeza deni
Kumbe awa jamaa ni wasenge hivi!!!kumamaye na sijui ht wamepewa shilingi ngapi wamepewa had kumsifia mtu pasipo zur lolote alilolifanya huyu mama zaid ya kutupandishia bei kila kitu katika nchii hii!! DAAH HII NCHI YA HOVYO SANA!!😴😴
Mme iba nyimbo ya ukawa
Munaimba ccm ili iweje sasa
Acheni Upuuzi
Usenge sana
Wanao mkubali chege gonga .like twend sawa❤🎉
Chigunda hkisei
Nature hua hapotei kbsa...kafinika kimpango wake😅
Kila mtu anajua jinsi ya kupata tonge
Ngoma kali Sana ✌.
Respect kwa Pfunk kuumiza kichwa.
Nyimbo nzuri ila mekua machawa
Ngoma mbovuuuuu sana 0%😢
Dah bado mnamsifia uyu
Kweli uchawa kazi
Beat hamjaifanyia haki hata kidogo