Huyu dgo anguko lake lipo kwa Con boi, coz con mnyamwezi sana arafu haulizwagi maswali ya kiwaki, maswali yakiwaki yanaenda kwa mawaki, Big up Cannabino
Unyama unabaki kwa wa huni runya hawez kuangushwa na huyo con coz walianza wote Ila runya now nimtu anajibebe yey Kama yey so nahisi fun wa con pia mnachuki na runya na maji mtaita muma🤪
Bro anaefanya kazi inapokelewa na wengi jua uwezo wake ni mkali young lunya Level nyingine kabisa con boi mwambieni aache kuimba ngumu siku hizi watu tunataka vitu simple simple yaani maisha magumu halafu nisikilize ngoma ngumu ili iweje!! Kujitesa hiyo veeep 😂😂🤣
Lunya hata uongee vp conboi is a pure talented guy n you can't hide that...wewe unaunga unga tu maneneo bt content ya good music upo chini bado and that's the fact.
Ukali sio kusifiana tu tunataka kuona maendeleo sawa ni mkali ana nn music unampa nn lunya mkubwa kuliko wao ote mafanikio ya lunya yanaonekana ngoma show na kila kitu
Makundi mengi huvunjika coz it's not healthy for business... Unakuta kwenye kundi ni mmoja au wawili ndio wana full package... Wengine wanakosa vitu fulani thus lazima yule aliyekuwa ni marketable atachukiwa
Jamani, ninaona watangazaji ndio wanaofanya picha hii ionekane mbaya, huyu Lunya hajaongea vibaya dhidi ya MTU huyo anayeitwa Con Boi. Hawana ugomvi wowote ila vituo hivi vinatengeneza hali ya watu isiwe salama! Nimewasikiliza wote huyu na Con Boi kama wengi mlivyowasikiliza wote hawa, hamjaipata picha mbaya kati yao kutokana na walivyojibu, ila inawezekana baadhi mmeipata picha mbaya kwasababu ya maswali ya ugombanishi kutoka kwa watangazaji tu!
Watu Ni wanafiki sana,Kuna watu walikuwa wanamkubali Sana Lunya now Kama vile wanamkataa mwana alafu wanamkubali zaidi Conboi.Tuache unafiki waTz kikubwa tuwasupport,wote Ni wakalii.Tuache ushabiki maandazii
@@liciouscharles3370 Ni WAPI ambapo Lunya ameongea vibaya bro?Con boi yeye mwenyewe ndo aliamua kujitenga na chanzo nahisi Ni Lunya ambapo alipoanza kurelease Solo projects,alafu hao wote hawafanyi hip hop they just rapping but content ya Mashairi ndio kinachomatter,hip hop inamisingi yakee broo
Sina muda wakuchek interview now yoote ,ila kama kwel umemchana iam con boi we ni mporiii aka mshambaaa sanaa cz con mnyama sanaa kuliko nyie mnamtizama yy ndo mnamuiga...
Kama unamkubari cannabinno con boi like hapa
speaking of taarabu rap listen from lunya,na anamvimbia bino. con is inspirational. like kam unakubaliana na mimi
We'r here b'coz of con
Man I swear Con boy is real and talented!
No cap
100 percent sure
He is the best am a Kenyan
Huyu dgo anguko lake lipo kwa Con boi, coz con mnyamwezi sana arafu haulizwagi maswali ya kiwaki, maswali yakiwaki yanaenda kwa mawaki, Big up Cannabino
Unyama unabaki kwa wa huni runya hawez kuangushwa na huyo con coz walianza wote Ila runya now nimtu anajibebe yey Kama yey so nahisi fun wa con pia mnachuki na runya na maji mtaita muma🤪
😂😂😂
😅
Bro anaefanya kazi inapokelewa na wengi jua uwezo wake ni mkali young lunya Level nyingine kabisa con boi mwambieni aache kuimba ngumu siku hizi watu tunataka vitu simple simple yaani maisha magumu halafu nisikilize ngoma ngumu ili iweje!! Kujitesa hiyo veeep 😂😂🤣
100 percent sure
We are here becoz of conboi
Yeah man
Fundi kabxa next level mhuni cjui n management hata sielewi # till I die *
Yeeh meeen
Hakuna namna hapa n con b tu
binolife
Conboi is super talented put some likes for Conboi
Conboi! Pure talent
Conboi📌🔥
Conboi mnyamwezi kuhusu kumfananisha na lunya ni kumshushia heshima
conboi ❤️❤️ conboi for life✊🏾✊🏾 conboi ni mnyama sana
Con boi. Ni best. Now naskiliza above average
Dudeeeh
Conboi Next level mazeee.....
Ukitaka kufika nenda mwenyewe ila ukitaka kufika mbali nenda na wenzako
mj alikua na wenzake mana nduguzake but alivyo kwenda solo kafika mabali lambda wenzake wana maujinga mingi
Kauli yako inategemea na talent yako mzazi
Kazeni kamba Bros na Mungu awabariki💪🌞🙏🇰🇪.
Nomaaa conboi
Dah con boi achaneni nae hakuna young rapper mkali Kama con boi kwa sasa Tz
a tip : watch movies on Flixzone. Been using it for watching all kinds of movies recently.
@Hudson Emory yup, been watching on Flixzone} for years myself :D
Canabino represent
Conboi. Shout out. What's up
Conboi is real and talented
Con Boi bhangi nyingi... Ujuaji mwingi.. Piga kazi.. Unyamwezi sio kuvuta bhang nyingi..
Lunya +Conboi ..Solve dat Issue!!!
Sasa conboi ni mkali wa hii rap now
Mmmmh Conboi anajua kuliko hao watoto... na lunya hyo gari siyo yake a achen trend... mtangazaji kuma unamuonea huruma mwanaume mwenzio kampe basi
Chuki ztawaua fun wa con 🤪🤪🤪
Atimae mwenye gari humeongea
@@mkojani7443 Mmmh con anajua kuvutabangi na kushinda ghetto ndo hustel fanya mziki unao enda sio wavuta bangi nakusifiwa masikani kudadadeki
Mmh kwann unasema sio yake show tht proves kwamba sio yake sio kuongea upate sifa manzee
Mara sijamuona mda mrefu mara namuonaga kwa mj🤗
Lunya hata uongee vp conboi is a pure talented guy n you can't hide that...wewe unaunga unga tu maneneo bt content ya good music upo chini bado and that's the fact.
Amefika wapi na huo ukali wake kumzid Lunya?
Mtangazaji Mpumbavu huyuu yani Conboi aonewe huruma yani lunya wa kumuweka conboi kwenye Map pumbavu sanaaa huyu
Nigg huwezi leta Uswahili kweny game y Trap.. Coni yupo Juu yak.. He's Still top.. Mpe Respect
@ConBoi...Till We Die For Him....!! Cannabino No Matter What..!!
Msimfananishe CONBOI na vitu vya ajabu ajabu nyie yule ni NEXT LEVEL BINNO mtu mbd
We Kuma sana lunya ni mtu mkubwa now
Conboi🐾
Pita acha like apa 👇
Lunya umemgundua mtangazaji mgombanishi. Hip hop love umejua kumkataa mtangazaji
Wanafiki hawa wasafi sijui
Ukali sio kusifiana tu tunataka kuona maendeleo sawa ni mkali ana nn music unampa nn lunya mkubwa kuliko wao ote mafanikio ya lunya yanaonekana ngoma show na kila kitu
Kweli mzee
Hiz media ndo zinatengneza bifu kama kweli mnataka wapatane waite wote 🤣🤣🙆 sa hapa kamchana wap?
Con boy is something else
Lunya Anavimba2 lakin Con💥boi nilevo zambali2
Shida con anavimba sana maisha ayako hvyo vijana wengi awafanikiw sababu ya ego
Hiv Hamna Cha kumuhoji Younglunya na salmin swaggz bila kuulizia maswala ya con boi stakiji ijirudie
Unaakili sana dogo Lunya
Makundi mengi huvunjika coz it's not healthy for business... Unakuta kwenye kundi ni mmoja au wawili ndio wana full package... Wengine wanakosa vitu fulani thus lazima yule aliyekuwa ni marketable atachukiwa
#Achen uxhamba ane bembelezwa ni Mtt Na sio kila sku fany Yk mbuz Msela anuni..
Commercial break 🎶
Conboi ni mkali kuliko hao jamaa..sema jamaa kakosa support ya kutosha na na bado hajapata audience toka kwa watu..ila ni mkali sana
MBUZI #younglunya 🇹🇿
Con anaimbga reality,nymbo zke n relevance kwa jamii,xma lunya anaandka ujinga2,kujisifiaaa,
Conboi ni moto mkali
Kwamba Lunya amuonee Huruma Conboe Kvp
mm conboi ndomnyamaaaa
Conboi hatakag shobo,ma jiniaz ndo huw wko hvyo,power of silence,con n mkimya xna,ila n materialised
Coniboi z real than Lunya, he knows too much, period.
sio he's my dog ni he's my dawg
Jamani, ninaona watangazaji ndio wanaofanya picha hii ionekane mbaya, huyu Lunya hajaongea vibaya dhidi ya MTU huyo anayeitwa Con Boi. Hawana ugomvi wowote ila vituo hivi vinatengeneza hali ya watu isiwe salama! Nimewasikiliza wote huyu na Con Boi kama wengi mlivyowasikiliza wote hawa, hamjaipata picha mbaya kati yao kutokana na walivyojibu, ila inawezekana baadhi mmeipata picha mbaya kwasababu ya maswali ya ugombanishi kutoka kwa watangazaji tu!
Respect cannabino hustler make life easy
Wa kwaza
He's my Dawg sio Dog
Dah walau umeelewa.. ila najua con boy anaelewa jamaa ni mzungu sana
Natamani uende ig ukaelekeze walikua wanakimbia umande
Acheni utoto hapo mazee
On my side yng lunya aja ongea Vibaya
We dada acha usenge zile so freestyle
Yaani watangazaji wa bongo ni kichefuchefu....Hivi huyu mtangazaji anaijua mitindo huru kweli?.
CONBOI4LIFE CANNABINO
Cannabino
Hakuna mtu ana-fit level ya Canabino dèep down
nice watch in chinese
Binooo noma sana
Acha wivu tafuta hela
Af ku hit,sio kuw na hela,MRA humuonag,MRA tena ulimuona omg,we n mnafiki nyau ww,con sio dog,kauli yko mbay xnaa,
Daaah wanafki hawa.
..kasem dawg cio dog
Watu Ni wanafiki sana,Kuna watu walikuwa wanamkubali Sana Lunya now Kama vile wanamkataa mwana alafu wanamkubali zaidi Conboi.Tuache unafiki waTz kikubwa tuwasupport,wote Ni wakalii.Tuache ushabiki maandazii
kbs
Ttz ni yeye kuwa anaongea vby...conboi hajawah ongea chcht kuhus lunya....watu tunaangalia hip hop
Usimfananishe conboi na lunya...bino mkali sana
@@liciouscharles3370 Ni WAPI ambapo Lunya ameongea vibaya bro?Con boi yeye mwenyewe ndo aliamua kujitenga na chanzo nahisi Ni Lunya ambapo alipoanza kurelease Solo projects,alafu hao wote hawafanyi hip hop they just rapping but content ya Mashairi ndio kinachomatter,hip hop inamisingi yakee broo
@@gospelvibestv3914 mara aseme anamuendea kwa mganga usnich tu
conboi is real G media zinataka kutuaminisha lunyan mkali,,, uyu mtangazaj K nini,, huruma gani matako yako mtangazaji
Conboi is real&talented than those guys.
Mtangazaji hana akili.. wasafi you are too big for this..
Con boi mnyamwezi
Wa 3🔥
con boi all the way
Sio 'dog' ni 'dawg'
cannabino iz best
Cannbino
usimfananishe lunya na conboi
#KujiaminiIshakuaLifeStyle
@conBoy
Dah pesa kudigo tu Lunya anaongea kwa nyodo🤣🤣🤣
😀😀😀
Sio Dog ni Dawg
Yo give the guy a break man😂😂
@@victorrweyendela5345 😂✌
Conboi ndio mnyamwezi hana pang'ang'a
Coin anajua sana
Wa 2
Lunya the goat
Watangazaji Nyie ndo wanafik mnaforce Bifu
Guuuuuuuud
Dawg au Dog mbona mnatuvurga
Cannabinno never talk
Kwa is my dog 😂😂
Not dog brooooo dawg
Mtangazaji ni choko. Kweli.
Conboi is underrated
Mnafki huyo Lunya ila Tunaishi nao wanafki kama hao.
Unafiki gani nyoosha maelezo?
Just matter of time⌚, afuu ifike kpnd ujue utabak peke ako
Sina muda wakuchek interview now yoote ,ila kama kwel umemchana iam con boi we ni mporiii aka mshambaaa sanaa cz con mnyama sanaa kuliko nyie mnamtizama yy ndo mnamuiga...
Wa 4
Gali yenyewe yakishamba
Wewe unayo?
He meant Dawg....! Not Dog period
Conboi.