Steve mweusi ongera sana kwa kazi nzuri.. Ila jaribu kuhusisha watu wa sheria pamoja na taasisi husika kwanza kabla ya kutumia jina la taasisi ktk kuigiza. Mfano hapo umetumia jina la kampuni ya TIGO kwa lengo zuri tu la kuburudisha ila sasa sio sahihi kusema "Nishajua mnataka kuniibia" Yaani ukiituhumu kampuni ya tigo ni wezi. Lengo lako ni nzuri kuburudisha ila sasa tambua kila mtu ana uelewa wake ktk kuangalia michezo yenu.. TIGO wanaweza kukushtaki kwa kuwaita wezi na ukapigwa faini ya pesa nyingi sana... Pia sio vizuri sana kutumia jina la kampuni moja kwa moja labda kuwe na makubaliano ambayo ushayafanya na iyo kampuni la sivyo usitumie utakuwa unawatangazia biashara bila wewe kujua na utakosa pesa za matangazo hivi hivi... Nawapenda nawafuatilia sana..
Hahaha yaani huyu Steve amesumbua watu mpaka wameenda kununua vocha ili wakusaidie una matatizo yako kumbe unataka kumsalimia baba Mdogo wako tu🤔duuu 🤗🤗
Haki ya nani brother stive na dogo na huyo Sister mnajua lazima ifike wakati tuseme ukweli nimewafuatilia kwa muda mref leo nimeona ni comment kabisa Mungu afkishe ata subscription nyingi mpate pesa zaidii all the way from Moshi Tanzania
Ati wataka kumwibia and that is phone company why Steve can't figure out that is service steve is funny. At wewe nae uyo nimumeo your planning to still for me too. Anthen after finishing using the there phone say is bad and come back want to know about he is money🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ugari upo sawa2 wale wachoyo ndio wanajilishaga viugari vidogo nawanakua vidodido👌afya mgogolo kula ushibe ukibaki badae unakulatena ndio zetu bwana kula kujigalagaza🤣🤣ukinywa na maji miguu juu pamkeka nikujamba2
Napenda huyu mtoto kweli me mkenya mwaongea kiswahili safi upande wa kiswahili ikifikia wakenya si huku tunamix kweli wakenya hawajui Swahili kufikia kwa namba kutaja wataanza na one two hadi teni nawapenda kutoka Qatar
Dakika Ya 16:12 Customer Care Kazingua..Kasema Mida ya saa Nne na Nusu Mchana..Hv Kweli Yupo Serious na Kazi yake..Ila Big Up Kwa Crew Nzima Maana Mnajua Nini Mnafanya Nawakubali Thanaaaaaa
Steve mweusi ongera sana kwa kazi nzuri.. Ila jaribu kuhusisha watu wa sheria pamoja na taasisi husika kwanza kabla ya kutumia jina la taasisi ktk kuigiza. Mfano hapo umetumia jina la kampuni ya TIGO kwa lengo zuri tu la kuburudisha ila sasa sio sahihi kusema "Nishajua mnataka kuniibia" Yaani ukiituhumu kampuni ya tigo ni wezi. Lengo lako ni nzuri kuburudisha ila sasa tambua kila mtu ana uelewa wake ktk kuangalia michezo yenu.. TIGO wanaweza kukushtaki kwa kuwaita wezi na ukapigwa faini ya pesa nyingi sana... Pia sio vizuri sana kutumia jina la kampuni moja kwa moja labda kuwe na makubaliano ambayo ushayafanya na iyo kampuni la sivyo usitumie utakuwa unawatangazia biashara bila wewe kujua na utakosa pesa za matangazo hivi hivi... Nawapenda nawafuatilia sana..
Safiii sana ushauri umeshiba mnoo ongerai
Dogo nakupenda bureee kwambali namuona mzee majuto😂😂😂
Steve mweusi mbavu zangu mm dah 😀😀😀Hongera comedy yenu iko vinzur Mungu awape maono zaid na zaid mfike mbali Amen
Egress
@@jaxmoon2060 Kitalemove
GAM
Mbosso
Dahhongerensana
Steve mweusi nawakubali sana na kazi yenu, Mungu awabariki mwendelee kupiga hatua
Mnajitaid
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤗🤗🤗🤗Steve bn kama linji vile jamani unasaidiwaa unahakikisha unakimalizaa
The dfgg he go grcft for jditrodh
Sema Steve unajua Sana mungu akuongoze kwenye kazi yako
🤣🤣😁😁😁😁😁Jameni Steve sasa nilazima uongee nayulewakwanzakulikokusema shida usahidiwe mbavuzangu huo dada na sele wakalapesa nzulikilahisi 🤦🤣😍❤️
Madeng
Kazi nzuri sana steve na sele congratulations 😊
.mk
😢🎉🎉🎉😢😂😢😢😅🎉
We steve ukiambiwa mwehu unakasirika kumbe mwehu kweli sister bora ulipoondosha ugali wako huyo ni kidowezi pia🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Jaman Huyu Mdada namkubali Sana Siku nikipata Namba Yake Aise nitauza ndizi Zote 😂🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️🏃🏼♂️
🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@@shuubinty1447 Nipe Basi Kama Hiyo Namba 🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️🤦🏼♂️
@@nurafedrick378 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Shida Sana
Hhhhhh
Mmhhh sele ww moto😂😂nakupenda bure kutoka 🇰🇪🇰🇪
Bb vipi 🇦🇹🇦🇩🏳️🌈🏳️🌈🇦🇴🏴☠️🇦🇪
duu😂😂
Steeeeeveee...Men you are fireee 🤣🤣🤣🤣🤣..napenda sana your skits
..januari
Akaaa 😨😨😨😨😨😨😨😨 sim yauombaa tena unafokea wenye sim?? uliharibu utajua hujui🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣siku Xote usirushie mamba jiwe naihali hujavuka mtu🤣🤣🤣🤣🤣
G
"Sipandagi mtu ananisaidia kwa masimangu." 😂😂😂
Hahaha
Aki nmecheka Hadi nimejikojolea😂😂😂Aki Steve Nawapenda Sana mungu awaonekanie
Siuseme tu shida yako we vipi
@@mwanalikhamis9875 Mimi hata Sina shida, infact raha najipa mwenyewe nausiniletee za ovio😠
😂😂😂Steve &sele mko vizuri
Steve Dogo sele anakuzidi akili hahaha swaga zako nazikubali balaa
Poa
Steve ndio kwanza leo nikuhurumie,
Ila la opereta hata mimi limenikuta,
Ushaongea shida yote anakuja mwengine uanze mwanzoni
Mbona ww mnyonge mnyonge hvyo🤣🤣🤣🤣
Txt h r
Use ldlm xnbcdnlrilu
Aaaaaaaaa mnakitafuta kifo?????akaaaaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Steve bn wajielezeaaa wazungukaaaa mara juu maraa chinii🤣🤣🤣🤣🤣mbona vocha nb nyingi mno🚶♀️🚶♀️🚶♀️🤣🤣
Nime chelewa kweli mimi, nzuri sana
Unamwambia Nan mwehu unamsaidia mtu kwa masimango masimango 🤣🤣🤣🤣🤣
Vp
Km upo Deutschland gonga like 💪
Hahaha yaani huyu Steve amesumbua watu mpaka wameenda kununua vocha ili wakusaidie una matatizo yako kumbe unataka kumsalimia baba Mdogo wako tu🤔duuu 🤗🤗
VP
Safi sana vjana 🙏😆😆💪🏻🤙dogo sele&steveeee
lpl
Mamaee! Bwana atakubariki Steve wonder
Nakupenda sana nacheka sana navyo angalia daaaaah
Haki ya nani brother stive na dogo na huyo Sister mnajua lazima ifike wakati tuseme ukweli nimewafuatilia kwa muda mref leo nimeona ni comment kabisa Mungu afkishe ata subscription nyingi mpate pesa zaidii all the way from Moshi Tanzania
Hatari🔥🔥
M
Steve nakupenda Wallah.....🇧🇮🇧🇮🇧🇮
😂
Bimeze bite mwana
Heee steve napenda skits zako ❤❤❤❤❤
Steve bn 😀😀mm nilijua unashida ya Maana kumbe mawenge tuu😂😂😂😂penda Sana dogo sele
😅😅😅Aaahh Steve we umenifanya nicheke kwa saut, kweny kuongea na muhudum wa tigo
Leo nime jianda kabisa USA 🇺🇸 tujuwane🥰🥰🤞
Upo sehemu gan
Pigeni kura kwanza
Mie naitwa A,samu k24
Wewe ni nani
@@Wak1li 🤣 tunapiga mzee
Haswa stivu Yuko vizuri kwel
Hahahaha Leo idea ilikua nzuri mungu awaongezee ujuzi
H
Wewe Steve uko na ujinga sana
Ati wataka kumwibia and that is phone company why Steve can't figure out that is service steve is funny. At wewe nae uyo nimumeo your planning to still for me too. Anthen after finishing using the there phone say is bad and come back want to know about he is money🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Ugari upo sawa2 wale wachoyo ndio wanajilishaga viugari vidogo nawanakua vidodido👌afya mgogolo kula ushibe ukibaki badae unakulatena ndio zetu bwana kula kujigalagaza🤣🤣ukinywa na maji miguu juu pamkeka nikujamba2
Great work. Great show. Great entertainment. Kazi nzuri sanaaa ! 🌟🌟🌟🌟🌟 #PamojaSana
Oyoooo
@@charlesmaritin1315
.
Mko vzr nampenda sele mjomba wake wako vzr
Hahaha kubwahilo bwege kbsa
Stev staili yako ya unyonge nzuri sana inakupendeza sana
It's.
Big up sana stive ,nakukubali kinoma noma.
Ahsante
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nakupenda steve ukiongea na hio sauti ya kilio
Dogo nakupenda sana na lundi lako lote Ila mimi ni mgeni kwako .
I wish siku moja muwe kama mark Angel comedy mungu awasaidie
Nani amekudanganya bro ssi ni waswahili si akina nigeria😂😂😂 pole snaa wao ni wao na hao hao na usitofutishe na wao umesikia john😂
Namupenda sele❤❤
Dah mnajua saan mungu asaidie mfike mbal
Kapewa lift kapiga na honi🤣🤣🤣🤣🤣
Nakupenda sana sele komendi yako yote ina ni furahisha 💪💪💪
From oman . Mbavu zangu mie Steven
Mwehu ni nani. Nani mwehu. Haha
Stive na Dogo ni wa bingwa namikubali tokeya Congo kinshasa
Aky watu kaa hawa wa kuomba simu walimaliza 9 months kweli anyway dogo siele nakupenda bure
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kamauko kenya waangalia 🎉umekubali vichesho😅😅😅😅
Daah stev kichaa kwel Yani watu wamenunua vocha ili we usalimiane na bamdogo wako
Stive unaweka aloo👌
😂😂😂 kuwafinya shingo baada ya kutumia akibayawo Jameni da
Ndugu zao hao steve wamekula njama😂😂😂😂
Dahh😂😂 steeve nomaa unajua
Napenda huyu mtoto kweli me mkenya mwaongea kiswahili safi upande wa kiswahili ikifikia wakenya si huku tunamix kweli wakenya hawajui Swahili kufikia kwa namba kutaja wataanza na one two hadi teni nawapenda kutoka Qatar
Tafauti ktk lugha ni moja ya neema za Muumba na uwezo wake, be confident, inapendeza pia.
Jaman nawapenda san huw mnanifulahishaga steve sele anakuzid akili 🙆♀️🙆♀️🙆♀️
😁😁😁
Yaan Steve n kwereeeeeeee
mashaAllah.
Kazi nzurii Sanaa Kaka Steve Na Mwanangu select.
Mimi Ni Hamisi kutoka Kenya.
Naomba usubscribe katika channel yangu baada ya Mimi kufanyiwa hivyo kwako shukran.
Mambo vip the first place
Nshajua ni ndugu zenu ahahaha Steve
Hili li steve lina kipaji sana😂😂
tulio kua dubai tunamchk Steve na na dgo sele tujuane hpa
Ninoma
Dele we mmm siokula uko
Dakika Ya 16:12 Customer Care Kazingua..Kasema Mida ya saa Nne na Nusu Mchana..Hv Kweli Yupo Serious na Kazi yake..Ila Big Up Kwa Crew Nzima Maana Mnajua Nini Mnafanya Nawakubali Thanaaaaaa
Nakubali sana
Dogo sele talented boy😘😘
Happy with you guys,keep it burning🔥🔥🔥🔥
Agape kwaya kichangan
@@majaliwanassoronassorokisa1886 hajj outside fogged unit jilted pact the a daàaqqdww31wljkefwwffhu
@@joramjoshua3928 jokolakikiji
Jokalakijiji
@@majaliwanassoronassorokisa1886 l
Namkubali Sana dogo sele.
Jaman hongera mdg wang
Talented Fogo sele
Da we noma stvu da
Wako vizuri sana
Sijaipemda Umezidisha Sana Man
Kaz nzuri sana
Dogo sele kama na darasani upo ivo, kweli wewe ni noma
Steve acha mshenee credoo ya wenyewe hio😃😃😃😃
Hapo Stiven umetisha nakusumbua watu niliamini bonge la shida ona sasa ujui imetumwa wap hela
Hahaaaaaa steve Hera zako zimepotea hivyo😱😱😱😁😁😁😁😁😁😁😁
Kwakweli mnatisha Sana mko kikaz
😂😂😂😂😂😂😂😂 mjinga anaongea kinyonge sana lazima umuhurumie tu harafu anatema pumba 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
hongelen San jmn dogo sele aah unatixh san
😃😃😃Ugali kama wa wasukuma
Eeeh 😁😁😁
"Hivi tunaongea na nani? Si wewe?" 😂😂😂
Ggugçno
Ulituma kweli hahaha
Steve unavituko sana🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Eeh mungu wangu
Movie za kiindy
Dah hapo alipo cheka akiwa ana maliza kuongea na simu na amewa zarau na pesa imetumwa huko🤣🤣🤣🤣🤣
Kuazma nabado uwe mkari
From Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🏖️🏖️🏖️🏖️☑️ we love you guys!!!!!!
Akuna MTU anweza iba stevi 😂😂😂😂😂
Dogo seme wachekesha sana unamaswali 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Pamoja sana kaka pambana
Very good Steve and sele 😃😃
Jamani mtoto ana maneno😃😃😂
Munabijuwaka vraiment shukrani sana.
Nakukubali steve zuzu 😀😀😀
Huyu jamaa fara kweli
🤣🤣🤣Steve kiboko
Aise nimecheka Kama umecheka Kama Mimi gonga laik yako
Wow nzr hiyo nimeipenda
Hua nawapendaga sana mpo vizuri sana
Hahahaha