AZAM TV - TAZAMA KILIMO CHA MBOGA KISICHOTUMIA UDONGO

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 8 вер 2024

КОМЕНТАРІ • 59

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 4 роки тому

    Ongera dd yaan uko vizur m.mungu akupe afya siku zote unaelekeza vizur sana,tatizo mtaji

  • @japhetshirima8697
    @japhetshirima8697 3 роки тому +1

    Mama kasema hawezi sema kila kitu cuz anataka return on investment 😂😂😂😂....Nimewaza saaana mama hataki competition ? 😂

  • @zaifathussein8195
    @zaifathussein8195 6 років тому +8

    obvious haya mambo ya kisasa lazima yawe na madhara tu kiafya, mungu mwenyewe alitengeneza udongo kwa ajili ya matumizi ya kilimo nk wazungu wanafanya vice veser
    I wish kuwe kuna utofauti SOKONI wa kuweza kuztofautisha ili kumuwezesha mnunuzi kuchukua ile aipendayo.

    • @twahashengovi1027
      @twahashengovi1027 6 років тому

      Zaifat Hussein

    • @japhetmombia
      @japhetmombia 6 років тому +5

      Watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa. hivi unajua kuna maeneo ambayo hawana udongo na maji kwaajili yakilimo?? je wafanyeje?? Mungu amekupa akili na utashi. na ndio maana hatuendelei, je ni wapi wameandka kufanya hivyo ni Dhambi???

    • @alivuai3286
      @alivuai3286 5 років тому

      zaifat hata magari tunayotumia pia ni mambo ya sisasa usipande kutakua na madhara

    • @atkinsoriko6862
      @atkinsoriko6862 5 років тому

      Mwenyezi Mungu kapeana akili pia.

  • @richardkobero6988
    @richardkobero6988 7 років тому +2

    Safi sana Mwamvua

  • @josephkatato3092
    @josephkatato3092 4 роки тому

    Kazi njema dada yani itawezekana kufundisha kupitiya You tube na kama ndiyo kwa gharama ngapi. Mr Joseph.

  • @glorykessy6942
    @glorykessy6942 6 років тому

    Dada mwamvua hongera sana ..naomb no

  • @walkwithusafrica8515
    @walkwithusafrica8515 4 роки тому

    Hello Jamal Hashim...nimependa icho kilimo cha hydroponics.....je unaweza nipatia contains za wahusika Waweze kutufundisha na sisi

  • @johnjm3858
    @johnjm3858 3 роки тому

    Hongera sana ndugu, vipi mnatoa mafunzo??

  • @rizikihamza8479
    @rizikihamza8479 4 роки тому

    Hongera nasisini wakulima tunaomba namba mpendwa

  • @stevemsomi413
    @stevemsomi413 6 років тому

    My dream Tanzania mtanielewa!

  • @yongomacawangwe911
    @yongomacawangwe911 4 роки тому

    Hongera sana,
    Dear mwamvua.
    Ni somo nzuri na inashawishi kabisa nimependa inavyofanywa na pia uko vizuri hii ni changamoto nyingine nchini.
    Ningeomba kupata detail zako moja kwa moja please na kujifunza idea mpya kutoka kwako please ningeomba kupata mawasiliano yako direct either kupitia email or telephon.
    @yongomacawangwe@gmail.cm
    Regard
    Owisse Yongo.

  • @ashaomary347
    @ashaomary347 4 роки тому

    Mwamvua nitakupataje ni jifunze hicho kilimo pls

  • @nyanzalakaporo2504
    @nyanzalakaporo2504 7 років тому +1

    YANI NAJIFUNZA KILA SIKU KITU KIMYA , HONGERA SAMA DADA MWAMVUA VYA KUWEZA KUJIAJIRI MWENYEWE.

  • @bizozasaidi307
    @bizozasaidi307 4 роки тому

    What if i need to be trained in that farming system is it possible? Can i get e-mail adress

  • @josephkisembe6663
    @josephkisembe6663 6 років тому

    Hicho kilimo kinahitaji mtaji. watanzania weng wana maisha ya kawaida.hata huyo Dada mwenyew anakuambia amewekeza hela nyingi.

  • @johkuzaga1804
    @johkuzaga1804 6 років тому

    hongera kwa hatua ulioifanya iwe

  • @shosemakule2443
    @shosemakule2443 4 роки тому

    Mpo wapi? Kelvin mnapokea wanafunzi?

  • @edlumala9428
    @edlumala9428 6 років тому

    Hongera, ila dada israel wanafanya kilimo hiki kwa kuwa hawana ardhi! Sisi mapori tele vipi? Lakini chengine nna mashaka kuna chemical involvement ktk uzalishaji wa mboga hizi.

    • @twariatiomary486
      @twariatiomary486 4 роки тому

      Kilimo cha kwenye mitandao wengi wai awasemi ukweli bali wanapotosha tuu nishawafatilia sana

    • @rosemarysulle9288
      @rosemarysulle9288 2 роки тому

      Mboga ya mwendo kasi kama wale wale.kuku wa kizungu tuuu

  • @athanaelalexchuma7700
    @athanaelalexchuma7700 7 років тому

    Dada hongera sana kwa u juzi wako

  • @athanaelalexchuma7700
    @athanaelalexchuma7700 7 років тому

    Dada tunaomba number za simu

  • @dimaaddarabu5295
    @dimaaddarabu5295 7 років тому

    DA HONGERA DADA MWANVUA NAOMBA NO ZAKO

  • @chesiretsiret2638
    @chesiretsiret2638 7 років тому

    nitampata wapi

  • @jemakhalifa6807
    @jemakhalifa6807 6 років тому

    nazipendaga

  • @amarathkaboyo8920
    @amarathkaboyo8920 5 років тому

    Mtangazaji mtu akiwa anaonyesha mbegu za siku 3 na zasiku 15 tuzione basi usimfiche

  • @isaacvtv547
    @isaacvtv547 7 років тому

    Wote tungalikuwa kama yeye basi hakuna chakupiganiya ajira.
    Sasa kama maji hayo yana chumvi nyingi,si shida kwa binadamu anayetumiya maji hayo kwa mana ya pressure?
    Raisi umuunge mkono mama huyo maana anayo mengi yakutufunza.

  • @kazikazini1042
    @kazikazini1042 5 років тому

    Cameraman unaoneshwa hapa hata huelekezi kamera umemng'ang'ania mwongeaji usoni

  • @mcluciana4554
    @mcluciana4554 4 роки тому

    Hongera mnoooo nahitaji nijifunze Namba Yangu 0655408252

  • @hafidhamgunya8417
    @hafidhamgunya8417 6 років тому

    moja bei gani unauza

  • @beatricefelicianrutahigwao2918
    @beatricefelicianrutahigwao2918 6 років тому

    no yako ya WhatsApp nipate mawilivmatatu kwako 0783404754 iyo yang

  • @fahadfahmy
    @fahadfahmy 7 років тому

    Udongo lazima utumike,huo ni udongo wakiulaya

    • @mhogomchungu7168
      @mhogomchungu7168 7 років тому

      makumbi ya nazi ni udongo wa ulaya ?

    • @jamesassanga9220
      @jamesassanga9220 7 років тому

      Nipo arusha nahitaji kujifunza,weka tution fee

    • @prosperdeogratius4888
      @prosperdeogratius4888 7 років тому

      Udongo unatumika kupata seedling(ule mmea mdogo baada ya mbegu kuota) siku 15 tu AF ndo unahamishwa ili ukue pasipo maji

    • @catherinemarcel695
      @catherinemarcel695 7 років тому +1

      naomba namba zako Dada jamaan

    • @adambasenya6862
      @adambasenya6862 6 років тому

      @@prosperdeogratius4888
      Elimu hii inapatikana wapi Jamani mi napenda Kilimo

  • @jamuhuraly1238
    @jamuhuraly1238 4 роки тому

    DD nimependa Sana nitajifunzaje kwako Apo Nipo Mozambique watsap yangu ni ii +258842282948

  • @bajunirama9850
    @bajunirama9850 6 років тому

    Huyu dada ana mamazo mazuri lakini tatizo ni kwamba analima kilimo ambacho sio kizuri kwa afya yetu, zao lolote ambalo siyo natural ni acid na mwili wako unahitaji alkaline based plant...70% ya makonjwa yana sababishwa na vyakula

    • @johnsimon771
      @johnsimon771 3 роки тому

      Sasa hapo acid gani imetumika kwani wakati ni maji yenye virutubisho (hydroponic farming ) maji yana changanywa na mbolea skiliza vizuri

  • @paulmlumbilwaaluba3556
    @paulmlumbilwaaluba3556 5 років тому

    Onngerasana mma naomba nitafute kwa namba +262639075969

  • @florentinesenya649
    @florentinesenya649 6 років тому

    Hongera sana Kwa kujiajiri ninaomba no yako yangu ni 0744169894 Na 0712733961 asante

    • @NANCYWARD488
      @NANCYWARD488 5 років тому +1

      Akikupa namba una bahati. Mi nilipata namba yake nikaongea nae, nimemuliza aliye m setia nataka nifanye, akasema hawezi niambia mpaka arudishe pesa yake akani ni block,. Sio wote wenye mioyo safi

    • @aidankazoba6699
      @aidankazoba6699 5 років тому

      @@NANCYWARD488 sasa kwa nini ana roho hiyo?

    • @dianaiipinge119
      @dianaiipinge119 5 років тому

      Florentine Senya is this from Kenya?

    • @maryammaram2612
      @maryammaram2612 5 років тому

      @@NANCYWARD488 wapo wengi wenye tabia hizo za roho ya kutokuwasaidia wenzao hapo akihojiwa anaonekana mwema lkn private ni tofaut mi nilimtafuta jaamaa mmoja analima strawberry nikaomba anifundishe naye akanijibu hivyo hivyo na mawasiliano yakakata kuanzia hapo

    • @NANCYWARD488
      @NANCYWARD488 5 років тому

      @@maryammaram2612 unalima wapi ??