Karibu katika darasa letu la mafunzo ya kulima vitunguu tunalotarajia kuanza tar 4/5/2024 Ili ubobe ktk kujua kuandaa vitalu, shamba,aina za sumu za kupiga,jinsi ya kupanda ili upate mavuno mengi,misimu sahihi na kujua masoko yetu makubwa.ada ya darasa ni 20,000 tu Kwa maelezo zaidi piga 0759273784
Hongera sana dada yangu
Masomo mazuri sana. Hongera.
I love agriculture even though there are many challenges
@@rogasianshayo3740 challenges are always there to keep you strong.even gold must be burnt to find it's purity.
Npo Iringa n sehem ya mvua nying sana je naweza kulima muda gan maana mvua inapungua mwezi wa nne
Uko vizuri kaka
Asante Sana kwamaelezo haya.
Kaka mwenye roho yake ya dhahabu,💪
Aksante kwa Elimu nzuri.
Ahsante sana Saul
Nzurii
Asante nashukuru Kwa ushauri mnapatikana wapi Kwa Arusha
Naomba namba yàko mkuu.
Broo naomba namba yako ili online kitunguu
Nimekukubali mzee wangu
Naweza pata number yako kwamawasiliano please
Tupee namba ya simu
Asante kwa maelezo mazuri sana napenda kulima kitunguu ila Sina uzoefu naomba no yako
0759273784
Nin mzg wa vutunguu Boss nataft soko
Safiii
Ni kiasi Gani cha mavuno unaweza pata endapo utafata taratibu zote za utunzaji?
Gunia 50-70
Kaka asante sana.Natamani nianze hiki kilimo.Acha niendelee kuchukua notes
Karibu sana dada...Kwa madarasa ya kilimo au kulima chini ya mashamba yetu unaweza kutupigia 0759273784
Natamn san kulima hili zao ila ngoja niendelee kupata elimu
Karibu sana dada Sarah
Asante kwa semina
Karibu sana
Shukran kwa elimu uliyotupatia ni mbolea zip zinafaa kwenye vituguu?
@@AngelaHendry hili ni darasa kubwa kidogo itabidi uje Whatsapp ulipie mafunzo waliyopata wenzako ili upande ujuzi wa kutosha wa mbolea na mengineyo.
Weka namba nije wasapu@@saulichannel5053
Tutumie namba yako
@@annastaziarenatus8046 0759273784
Naomba mawasilano Kiongozi
Karibu kaka 0759273784
Ni kipindi gani inafaa kupanda kitunguu?
Ninataka nijuwe, vitunguu vinahifadhika hadi mda gani? Vinahifadhika aje?
Namba za cm
nahitaji mawasiliano yenu
Nataka kulima naomba nisaidie
Karibu katika darasa letu la mafunzo ya kulima vitunguu tunalotarajia kuanza tar 4/5/2024 Ili ubobe ktk kujua kuandaa vitalu, shamba,aina za sumu za kupiga,jinsi ya kupanda ili upate mavuno mengi,misimu sahihi na kujua masoko yetu makubwa.ada ya darasa ni 20,000 tu Kwa maelezo zaidi piga 0759273784
vp bro uko mkoa gan
@@mohammedramadhan5547 Singida kaka
Samahani bro naweza pata mawasiliano ili kujifunza zaidi
Je ukiivish mwez wa Saba sok lake likoje
Eka tatu itakumia kilo ngapi
Samahani hivi vitunguu vinasitawi udongo wa Aina gani?
Udongo wowote tu ila maelekezo ya kina ni muhimu
Toa namba kaka maelezo yako ni mazuri
Ni mwezi gani unafaa kupanda kitunguu
Mawasiliano mm nahitaji mbegu
Naomba nisaidie namba yako yasimu
0759273784
Naomba namba yako kaka
0759273784
Naweza kupata namba yako kaka
Tupe namba
0759273784
Apo kwenye heka nilikuwa sijui vina zaa namna hii
Vinazaa hata zaidi ya hapo ukihudumia vizuri dear!
No zako
Toa namba kaka
0759273784
Brother naomba namba yako
0759273784
Je unagrouonla watsup??
Hapana.labda mawasiliano ya WhatsApp tu.
@@saulichannel5053 naomba unisaidie namna ya kukupata, naitaji mwongozo wako kaka angu
Ninaombaniulize nawezakupatanambayako
0759273784
Tunaomba namba yako ya simu