Mashaalah mungu awazidishiye, hiyo jiwe hiko kwa alkaaba zaidi inatumika tu na alama ya hesabu ukizunguka mara saba una hesabu mara saba kila ukipita kwa jiwe ni kama tu hesabu, wengine hubusu kwa maana mtume alibusu lakini sio lazima kuibusu haisadi chochote ila ni jiwe ilitoka peponi na ikabakia kwa hile jiwe la nguzo ya al kaaba aliye itumia nabii ibrahim alipo amrishwa na mwenyezi mungu,(02 Suratul Al baqara cahpter 127. Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi)
Baadhi ya Wakristo, huwa hawapendi kuelimika ktk kitabu chao cha Biblia. Hata wakisomewa yaliyomo wao hubishi tu. Na kukasirika. *Kweli ujinga ni mzigo wa kubebwa na Treni ya mizigo, Meli haiwezi😂😂😂😂*
Huyo jamaa anaongea pumba nyingi sana . Anaforce eti muhammad ndio kaleta uislam ..... Muhammad alileta quran tu ambayo inamaelezo kuhusu uislam kama vitabu vilivyotangulia kueleza kuhusu uislam kama torati na injili .
Watu wasome Quran wajua ukweli .Quran ni maneno kutoka muumba mwenyezi Mungu akuna mwanadamu mwenye elimu hiyo y science biology n geography ilivo kw Quran
Mungu Ampe shifaa na afya, Sheikh Hassan
Aameen ameen ameen
Ameen ameen ameen
Mashaalah mungu awazidishiye, hiyo jiwe hiko kwa alkaaba zaidi inatumika tu na alama ya hesabu ukizunguka mara saba una hesabu mara saba kila ukipita kwa jiwe ni kama tu hesabu, wengine hubusu kwa maana mtume alibusu lakini sio lazima kuibusu haisadi chochote ila ni jiwe ilitoka peponi na ikabakia kwa hile jiwe la nguzo ya al kaaba aliye itumia nabii ibrahim alipo amrishwa na mwenyezi mungu,(02 Suratul Al baqara cahpter 127. Na kumbukeni Ibrahim na Ismail walipo inyanyua misingi ya ile Nyumba wakaomba: Ewe Mola Mlezi wetu! Tutakabalie! Hakika Wewe ndiye Msikizi Mjuzi)
Namiss walimu wetu sana sana Ali MSomaji wetu mzuri
Inn shaa Allah Ali yupo shuguli za ki family
First today. Thumb up👍👍👍
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
Allahamdhulla kwa neema ya uislamu barikiweni sana sana kwa mafundisho bora
Aameen ameen ameen sote
Sauti imekaa vizur mashallah
Maasha Allah...Tabaraka Rahman
MashaAllah tabarkallah.
Mungu atafanyia wepesi maana maradhi ibada
Allah awazidishie umri na awahifadhi kutokana na kila aina yashari na pia awajaze na Ari io io ya kuelimisha umma
Aameen ameen ameen sote
Msh Allah.❤
مشأ الله تبارك الرحمن
Allhamdullilah ❤
Walaikum salam warhmatillah wabarakat
mashaallah
Baadhi ya Wakristo, huwa hawapendi kuelimika ktk kitabu chao cha Biblia. Hata wakisomewa yaliyomo wao hubishi tu. Na kukasirika. *Kweli ujinga ni mzigo wa kubebwa na Treni ya mizigo, Meli haiwezi😂😂😂😂*
Wachristo mwambiye huyo anafanya ashame.
Kaisome Biblia yako kwa makini, kila aelezayo yatoa ktk kitabu chenu. Ukweli utabaki kuwa ukweli tu.
Assalam Alaykum Warahmatullahi Wabarakatuhu.. mazbut Allah awahifadhi nawapenda sana tena awalipe Jannatul Firdaus
Walykum msalam warahmatullah wabarakatuh aameen ameen ameen tunakupenda sana kwa ajili ya Allah
Alikaba ndio katikati ya dunia
Mkristo akitia neno lakini ujue ashaelewa ila kukiri ndio anaona ngumu.
Kabisa wataelewa tu inn shaa Allah
Wwa
Isaya 50:1 talaka.
Yeremia 3:8 talaka
Wasomaji warudi shule , wapo slow kufikia maandiko.
Inn shaa Allah watazoea
😅😅watatu walai
Masha Allah tunakupenda kwa ajili ya Allah
Wachristo nitihani hata Bible ekisoma hakubali. Basi walete Bible nyengine.
Huyo jamaa anaongea pumba nyingi sana . Anaforce eti muhammad ndio kaleta uislam ..... Muhammad alileta quran tu ambayo inamaelezo kuhusu uislam kama vitabu vilivyotangulia kueleza kuhusu uislam kama torati na injili .
Yeah wataelewa tu inn shaa Allah
Huyu Kila cku ndio swali lake
Watu wasome Quran wajua ukweli .Quran ni maneno kutoka muumba mwenyezi Mungu akuna mwanadamu mwenye elimu hiyo y science biology n geography ilivo kw Quran
Ukweli kabisa
Huyu Mike pia ni time waster. Jaribu kumpa limit pia.
Inn shaa Allah
Shekhe Hassan anaendeleaje na hali
Anaendelea na matibabu alhamdulillah