PEPO YA MWANAMKE NO: 02 ( UKUBWA WA HAKI YA MUME KWA MKEWE )
Вставка
- Опубліковано 16 жов 2024
- ENDELEA KUFUATILIA CHANNEL YETU HII UJIFUNZE MENGI KATIKA ILMU YA DINI MA SHARIA PAMOJA NA AKHLAAK YAANI TABIA
SOMO HILI LA LEO LINATUELEKEZA NAMNA GANI HAKI YA MUME KUTOKA KWA MKEWE ILIVYOKUBWA NA MUHIMU KUTUNZWA
USISAHAU KU SUBSCRIBE KU LIKE NA KU COMMENT PAMOJA NA KU SHARE
Masha Allah
شكرا لك ماشاءالله تبارك الله.
Jazakillah kheir
Maashallah hongeera ukht
Asante kwa faida
Baarakallah fikum
MashaaAllah
Allah akuwezeshe uzidi kutuzindua
Mashallah naomba mawsialino tafadhali
Walaikum salam warahmatullah wabarakatuh, shukran
Allah akuongoze
Masha Allah ukhi shuweyha
Maa shaa Allah hongera dade Allah akusimamie ktk kila hali
Shukran dada Allha akuzidishiye kheri ktk kila njia Inshaallah
Masha Allah ukti shuweyha jazakillah kheir
Jamani someni namba za huyu mama mnataka za nini huyu sio kina shilole soma pata elimu tembea 😂😂😂
Ebu tufungulie hili ustadhat
IKIWA MUME NI MWENYE KUHANGAIKA SANA NA MICHEPUKO HATA UMFANYIE NINI AMEZAMA KTK TABIIA HIO
JE LAKUFANYA NILIPI ? HAPO
Ukht mbona umevaa kitandio kidogo na Alla ametwambia tushushe shungi zetu mpk chini ya vifua vyetu,
Fuata ulicho someshwa(au. Hayo huyataki?)
Ukhty tafadhal unalingania watu wee mwenyeo hujavaa hijabu ya ask kisheria kwanza sema na nafsi yako juu ya kujistiri kwako km kwel unafuata qur an na sunna
Kama yupo bakwata na sunna haifuati afanye nn? Amedhihirisha matamanio yake wanaume mpite tu darasa la akina mama hili au Kama mwana umme sikiliza tu mada acha kuangalia matamanio yake yà uso hususwan mada inawahusu wanawake