Cend cend na sania ni 🔥🔥🔥 maisha wameyapati Kwa muda lakn sio milele Hila 🔥🔥🔥utawakiya muda sio mrefu cend unajidagaj my dear ?? Kiramba mchuzi Leo kachagamka masikin mpumbavu mwezetu Hila batuli batuli au somoy supir fumbo kutoka Kwa mpumbavu mwezetu
Zuri huwezi mzuru kiupande wa sumu au nguvu za giza....juu amezungukwa na nguvu za giza za Bibi.... alafu candy umezengua....utamtumia batuli location kupitia mulika mwizi au😅😅😅
Utakayesoma hii coment mungu akuhamshe salama wachaw 😂wakija usiku wasikuone😂🤲🤝🙏🤲🤝🤝🙏🙏🙏
Amina
Aminaaaaa
❤❤❤❤❤
Amina 😂😂😂😂😂ila hapo kwa kuonwa na wachawi 😂😂
Kwa Nini
Àsalam aleykum kila atakae soma comet hi Allah amuashe akiwa na frah tele yenye ijumaa njema
Walaykum salam warahmaturah wabarakatuh Ammiiiin
InshaAllah
Aminaaa
Kiramba umenichekesha leo ety batuli anataka mikwaju😂😂😂😂weka like kwa kiramba 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂hata mm nilikua sijaelewa hapo kumbe anamaanisha mikwaju😅😅😅
🤣🤣🤣🤣kiramba
Mikwaju ya penati 😂😂😂
😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
Kama unaamini kendi atarudi Kwa mamake akilia na Sania atamruka naomba tu salamu 😂😂🙏alfu niko single 😂🤭
😂😂😂😂😂😂😂
😂😂😂🤭@@HusnaX-u6q
Kuja hapa kenya pia mm niko single😢🎉🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@@DengzongbarDennis 😂😂🙌
@@HusnaX-u6q 😂😂😂🙌
Kendi ni mzuri sana wa sura na umbo, tabisasa mmmmh! Gonga like kupinga tabia za watu km kendi
Batuli utajua haujui , Wa kwanza kutoka kenya🇰🇪🇰🇪
Nafula omubukusu 😂😂😂
Niwai ila watu wachoyo wa like,tokea kipindi kianze mpaka kilipofikia watu zii
Nampenda candy, the way anaspeek
Nimejikaza Leo.......naombeni like jamani alafu kandy na sania mnaboo❤😂😂😂❤
Anaesoma coment hii allah amlaze xalama na amuashe salama akiwa na nguvu tele ya kuswal swal ya jumaa
Jamn house girl nowdays mnatoa episode fupofupi sana 😊😊❤one lov kama unakubaliana na mm gonga like tukisonga
Jamn move inaendelea candy na shoga ake hela zinaisha mtazingukumbuka 😢😢😢😢😢😢😢 sisi yetu macho
KAZi nzuri sana 🎉🎉🎉🎉🎉
Yaani huyu chiko ukimuona kwa baba Karobo akiwa pastor,huwezi sema ako na roho ya hivi😅 😊😢😅
Huu ni uigizaj tu sio alivyo any part anaigiza
Sania na candy wanaboo sana kwa ii movie Kila sasa mganga mganga aaaaahhh
Jamani chiko usimwiite mwenzako kipochi manyoya😂😂
😂😂kilamba. Etii Mbadilishane Mawazo Na Somoe
Candy wala raha na pesa ya nyumba 😂😂😂acha iishe utulie juu ndo umemnunua batuli akamue zuu acha kiwarambe mpka mshangae
Kilamba una Mungu ww, ungekufa leo
😂😂 kweli
Kavurugwaa uyooo
kudakia dakia vtu 😂😂😂
Cend cend na sania ni 🔥🔥🔥 maisha wameyapati Kwa muda lakn sio milele Hila 🔥🔥🔥utawakiya muda sio mrefu cend unajidagaj my dear ?? Kiramba mchuzi Leo kachagamka masikin mpumbavu mwezetu Hila batuli batuli au somoy supir fumbo kutoka Kwa mpumbavu mwezetu
Nilikuwa naomba 🙏🙏🙏ongezeni dakika
Jaman na mm Leo nmewah like tano tu
Sas candy somoyee unamtumia location kwenye cm gan😂😂😂jmn enewey guys nawapenda
We kai na tasha mbon munatak kwenda wote, wata watega awo wapumbafu
Sania kweli alienjoy ile kitu ya ng'onde ako tayari kumpea tena 😂😂😂
Haki ya Mungu 😂
😅😅😅😅😅😅anataka tena
😂😂😂😂
@@JamillaWesonga yy ako tayari labda mganga mwenyewe akatae
Lili una akili kweli wew 😂😂😂😂
Nafurahi kuona kiramba karudi kwa Hali yke Sasa ❤❤❤..ila somoe ww umeingia cha kike hpo hutoboi uliangukia mikono mbaya bibi zuu atakuonyesha
Kendy na sania wake😂😂😂😂😂😂 hawajui dunia inaelekea wapi😂😂😂😂😂 hadi huruma jamen
Tusubiri liwatokee puani 😅😅😅😅😅😅😅😅😅😅
Mimi ndio Wa Kwanza 🎉 from Kenya
Inazidi kuwa hatari sanaa haijapoa ata mala moja kama unaikubali basi naomba like.
Mmmm..much love❤❤❤leo top 10🎉😊
batuli myiramba mwenzangu kumbuka fathila za zuu lekite danda yanso mau weee😂😂😂😂
Mwele nwasho waleke nkolo na mbee
Waleke nkolo na mbee uyu
@@MaryMkoma kumbe wanyiramba moo na hamsemi😂🤣
Tumoooo Sanaa TU 😂 😂 😂 😂 @@majumamusa8972
Kazi nzuri Sana nawakubali nyute ❤❤❤❤
Nice ❤❤❤
Wa kwanza leo jmn🎉
Jamani Sania na candy bwanaaa mnajua😊
Mwachiko jamani hilo jina kipochi manyoa la kufaa wewe sio mr tasha 😂😂😂😂😂😂 Vile unavyo litamka
Kabisa yy ndio limemfity sana sio Tasha
Wana BUSATI TV na washabiki wenzangu Ninawapenda saan, Amani ya Mungu iwe juu yetu sisi ote tunaofuatiliya hii movies ❤❤❤❤
Oyoooooo me wakwanza leo
Sania nakendi munanipag furah😅😅
Kai 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 Kwa kumfikia tash mapem
Nice one
Hila Sania tuka aliwe na ngonde ndoge imekuwa ishima na adabu nyege zote zimemuisha chezea wanganga ww na kazi zao 😂😂
😂😂😂😂 kilamba kikwanzo si kuraisi leo umesahau muchijiga mwesangu
Kilamba bnaa, siku chache hizo alizotekwa mpumbavu mwenzio unatka kugawa urojo😂😂😂😂
Batul umenoa 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 mungu yupo bi zuu fanya kazi
Mashaallah movie nzuri sana😂😂😂😂😂😂😂
Zuri huwezi mzuru kiupande wa sumu au nguvu za giza....juu amezungukwa na nguvu za giza za Bibi.... alafu candy umezengua....utamtumia batuli location kupitia mulika mwizi au😅😅😅
Ila candy na Sania 🤣🤣😂🤣😂🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂😂
🙏🙏🙏🙏🙏
Mpumbavu wehhhhh umenimlzaa😂😂😂
❤❤❤❤❤❤❤❤❤kazi nzuri sana nawapenda bure ❤❤❤❤❤
Wanaijoy cady na sania hawajui vihela vitaisha ivyo warudi kwa kina kibendo 😂😂😂😂😂😂😂😂
Sania ana aza kumuelewa mganga ngonde...😂😂😂
Kilamba kashamsahau mkewe anataka atemneze mikwaju jamani😂😂😂😂😂🙌🙌🙌nimecheka sana
Chiko 😅😅😅😅mpilikene
Waaaaa this movie keeps me on toes ... Big love from 🇰🇪
Kai na tasha mnaurafiki wa ❤
Batuli chunga😂😂😂the days are numbered,,,kwa zuu huwezi
wanao sema kend na sania wanachekeana kinafki lake hapa
Nice movie ❤❤❤🎉
House girl firee aijawaikupoa wala kuboaa👏👏👏
Jamani sjachelewa wadauu😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
From Saudi Arabia,, Riyadh ❤❤
Chiko jameni😂😂😂😂😂mkitaka kumwona chiko akiwa pastor watch baba yangu kipofu😂😂😂
Sania anajiona kama yupo Korea 😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂kilamba kilamba kilamba 😂
Kiramba bhana😂😂😂 duuu umenivunja mbavu
Waah Leo top 50 Mashallah Alf nyieeeh kwn Candy alutapeliwa ayiii 😀😀🫣
Ni wangapi wanao amini mpingo ya sania kumteka mr tasha haitafaulu gonga like hapa tujuane 😂😂😂😂😂
❤❤❤❤
Ni moto kweli ❤
Kendi hujakoma kwa mganga ni mizimu ya bibi ngoja ukatimuliwe mbio 😂😂😂😂😂
Kilamba so kwailo kwaju😂😂😂😂😂
We kilamba wew ety au chumvi au ngonja kwanz 😂😂😂😂
Yani chiko unamuita Mr Tasha kipochi manyoya 😂😂😂mbona mwatuvunja mbavu ww na Candy 😂😂😂 nyie mkubalieni tuu kuwa mmeachwa safy sana Kai kumlinda rafiki yako Tasha asiejuwa kinachenderea tunaeomba Zuu asipatwe na tatizo lolote like plz🙏
kilamba usiywe huo uji 😂😂😂😂😂😂😅😅
Ila kilambaa😅😅😅anamatatizo ila watayamaliza na batuli
Jmn wenye D2 tujuwane😂😂😂😂😂😂😂😂
Sania wew ulikula kitu Cha Ng,onde wew 😂😂😂
Kiramba 😂😂😂 Jamani ana ngea kweli
Next plz 😂😂😂😂😂😂
Samahani utowe ingine❤❤❤❤
Jaman ndo kipochi manyoya😂😂❤
Tasha wewe ni mwanaume acha kuwa muoga bana 😂😂😂umenichekesha kweli 😂😂😂😂
Kazi nzuri sna kwa kwel
Much love from Kenya ❤❤❤❤❤❤❤😮😮😮
Chiko anamtaka kipochi manyoya 😂😂😂😂😂😂😂
Huyo Kai hajui kabisa kaboronga
Tunao penda Tacha ndoa yake ipite na zatiti tujuane🎉🎉🎉
Mtu mwenyewe kashaaza kukutana na sania acha atekwe tu
@@ndogolofadhila6203 🤣🤣🤣muombea achifanikiwe
Mimi hapa
Yani kiramb wew kibok unamtaman batuli mawazo ya mkeo yameisha kisa batul😂😂😂😂😂😂😂😂🎉
Sania na kendy mwadanganyana lakini nawapenda ❤❤❤❤ Kwa maigizo yenu🎉🎉🎉
yan kend na sania simpendi wacio mpenda kendi na sania gonga like😀😀😀
Kiramba na kwanju😂😂😂😂😂😂jamaanii😂😂😂
kendi unasaka mume utazani unadeni kwenye vikoba mtakuja kuumbuka vibaya nye na somoe wenu huyo lohh
❤❤❤
Batuli naona kitakuramba tu 😂😂😂😂
😂😂huyu mkumbaff jamani
Bwana kiramba 😂😂😂😂😂😂San hapo umeipigaje ety😂😂😂😂😂😂
Sania Ako na nguvu ya kumpa mganga 😅😅😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Yote tisa kumi kendy ni commedy 🤣🤣