UNAMKUMBUKA SOPHIA KANUMBA WA BIG DADY/SASA AMEKUA BINT/ATUA BONGO AKITOKEA ULAYA
Вставка
- Опубліковано 10 лют 2025
- Usisahau ku "SUBSCRIBE" Channel yetu kwa habari nyinginezo nyingi na nzuri
UNAMKUMBUKA SOPHIA KANUMBA WA BIG DADY/SASA AMEKUA BINT/ATUA BONGO AKITOKEA ULAYA
#Bonatv #Exclusive #SophiaKanumba
Kama ww unamkubali Sofia gonga lik hapa❤
Longer
Tafadhalini kwa wale watao maliza kuona hii interview ataenda kuona big daddy tunyooshw kidole ☝️ tujuane.
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂
☝🏻
❤❤❤
Sofia jaman love you more...dah nimekumbumbuka sana movie ya big daddy.
mashaallah umekuwa sophia mtukutu aisee ulinifurahisha pale ulipokuwa umeendesha gari nilibaki nashangaa sana nikasema dah'💕💞
For real the late kanumba was a legend continue resting in peace ✌️🕊️
Upo vizuli kwakuhoji muandishi bora sana
Nakupenda sana Sophia nakupenda sana umekua mrembo sana love you ❤❤❤❤❤🎉🎉🎉
Sophia anamtaka MAMA yake Jamira mpole , Kanumba kwani huri hapa😁😁😁😁😁😁👍👍👍alikuwa mdogo sana.Tunapenda aendelee na maagizo yaan.
Mansha'Allah umekua kweli Allah akuhifadhi bint kanumba.from🇧🇮
Mashaa Allah Tabaraka Allah Allah akuzidishie umri akujalie masomo mema
amin 🤲
ua-cam.com/channels/8nOnvGTBC8a2jKgy63rEgA.html
Nimekumbuka mbali sana nilipomuona Sofia, umekua mkubwa sasa hongera kwa masomo,Sijui Selengo yuko wapi na kitanda chake sijui bado kinavurugika?!!
Kalikuwa mkolofi
Daaaaa Sophia kaupiga mwingi mno aise m/mungu azidi kumpa afya njema
Ameen
Hd msasa oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html
Alieenda kuingalia tena big daddy gonga dole gumba apa 👍
Nimependa Swahili yake iko vizuri kwa matamshi
bas angekuwa kenge mmoja ambae angekaa ulaya week tu saa hizi ng'o ,ng'a ,ng'e
@@duhrurhhddhheud8575 😆😆😆🙌
She’s so normal angekua mwingne angejifanya hakumbuki swahili language
😂😂😂@@duhrurhhddhheud8575
Umekua Mdada Mashaallah 😘😘😘
MashaAllah umekuwa Sophie mungu akujaliye binti love from 🇧🇮🇧🇮
Mmmh makubwa jamani, amekua binti kwelikweli
Masha Allah Masha Allah Allah akuhifadhi chimami Sophia
J
MashaAllah tabarakallah. Allah akuhifadhi
Mashallah penda nyinyi sana from (Kenya)
safi sana, sauti ni ile ile, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Jmn jmn jamani Mashaallah nimekupenda bure mamy umri taweel wenye manufaa. 😘😘Why??
ua-cam.com/video/laB9Ha0ZU5M/v-deo.html
Merci beaucoup Sofia ,paske tu te souviens encore de kanumba
Mungu anijalie niwe mama bora kama huyu
Hogera sana... Ilipendwa sana na watoto hii mov
Daaaaaah long lashing love 💕😘 sophia nakukubali saaan
So cute Sophia ❣️💞❤️💋💖💕
🎉zawadi ya anae hoji bro nimekukubali xanaaaaaaaaaa
Mama hongera❤
Mlee mtoto ktk njia impasayoo
Mashallah sophia mstaarabu km mamaake.
Maashaallah wamekuwa
Da kweli watoto wakike awachelewi kukua
Mung akulind Sophia ludi ten kwenye sanaa
Unekua sophia ma shaa Allah ❤❤
He Sofia amekuwa 😍😍
Waw congratulations on getting this beautiful girl 👧
Mashallah,,umekuwa mschana mrembo
Munakawa sana murudi mutuburudishe❤❤
aaaah Sofia naku Miss san tunasubir move zipya zako,serengo yuko wp
Kheeee🤔🤔😲😲😲jmn tumezeeka sasa🤣🤣🤣watt wamekuwa jmn khaa
Ngoja nikaangalie hiyo move harakaharaka😯😯
Niliipenda big daddy jmn
Hongera sana binti wewe ni wa kuigwa kwa mazuri yote mungu azidi kukujaalia zaidi na zaidi 🙏🙏🙏🙏
R.l.P. kanumba mungu ailaze mahala inapo stahiki roho yako Amiin!!.
Eere.. dada umefanya kazi mzuri sana Asante
Mungu ailaze roho yake mahali pema Pepon kanumba
Maisha kbs 🎉🎉🎉🎉amekuwa uyo 😮😮😮🎉🎉🎉❤❤❤
Nampenda Mama Sophie anajibu kisomi saana
Diamond platnumz 💥🥰
mweee hadi rafudhi yake haibadiliki😅😅😅
Ulikua mtundu aki dadangu I love u gays from Kenya
Kakua mama jamani ❤❤
Masha Allah amekuwa sofiya
Kakuwa jamani Sofia kanumba ❤❤❤
You've grown up,
Loving you. RIP Steven Kanumba
Safia nikiangalia ukimwita serengoo njo nacheka mie. We serengoo ntakupiga kwenzi wewe sofia mtu wenyewe kikojozi jmnani hii movi ilichezwa vizuri. Sofia km akiongea anatafuta maneno hhh
Hd msasa oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html
Selengo mama yangu Yuko wapi Kiroporopo unataka nikwambie ili ukaropoke huko ukaniharibie ugali wangu 🤣🤣🤣🤣😅😅 selengo na Sophia lkn umekuwa sana jaman
Haa jamani 😂😂
Manshallah umekuwa kwel
Nc Sophia penda wewe🥰
Jmn nmeshaazeeka huyu mtoto kakua ivi Allah Mkubwa jmn
he jmn amekuwa mdada hongera sana
Tafadhalini kwa wale watao maliza kuona hii interview ataenda kuona big daddy tunyooshe kidole ☝️ tujuane.
☝️
☝️
Mama upo vizuri na watoto wako
Rip Steven kanumba we love it movies
Yaani sauti yake haijabadilika kabisa Sophia Na serengo 😂😂waliniacha hoi
Gud people always have short life
R I P Kanumba
MashaAllah bado sauti yake haija charge😄😄😄😄
Nimekukubali sn mama Sophy
Hd msasa oficial KITANZI gusa maandish ya blue ukasikie nilivyomkalisha MBOSO KHAN ua-cam.com/video/Cdyxj5ymOR4/v-deo.html
Jmn kakuwaaa hatar
Umekuwa maashallah mtoto wakanumba
Sofi...umekuwa mamaa Ma Shaa llah tabbaraka llah
Where about in Australia 🇦🇺 because i also live in Australia 🇦🇺
Jamaa ana jua kuuliza sana
Sofia amikuwa mkubwa mashallah
Me nimelia Kwa kumkumbuka tu kanumba japo sio ndugu yangu
Nimependa majibu ya mama ana hekima sana
Nawapenda Sana Sophia na Jamila
Maa shaa Allah Allah amrehem kakaetu kanumba❤🙏🏿😭
Sofia sauti ijabadilika🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbn umepotea sana
Masha allah wamekuwa mashaa allah
wowww😮 Sofia?
wow umekuwa.kweli
Amekuwa manshallah
Mashallah 😘 jamani kakuwa mdg wangu Hadi raha, mashallah 😘 mama kijana Jamani Hadi Raha kama MTU na wadgo zake
Halafu kuna vibinti vina miaka 17 vinatoa mimba kila leo,vikifikisha miaka 25 au 30 vinaanza kulilia ndoa,subiri tu moto unakuja!!!
😂😂😂sauti yake haijabadilika😅❤
Sofia Mke wangu Mtarajiwa na kukubali sana Mama watoto wangu Sofia
😂😂😂
@@hildamasonda6528 😁😁nicheke na Mimi kdg kwanza
Makubwa haya tena!!
Make ncheke mm
Mhanga huyu mwamba kabisa huyu kajitoa
Waschana wanakua haraka duh 🤔
Hio movie ya big daddy nilisumbua mamangu mbaka akanibuyia CD yake Ju ya "why why why"
I love my 🇹🇿
Jamila barikiwa mamy. Tunakuitaji Sana🙏💓💓
Hatokuja kutokea mtu kama kanumba alikuwa anapenda watu
Nakupenda Bure tu Sofia
Amesha kua binti❤
Interview imetulia haikeri
Kwa sabab wapo real
Mashaallh 😘 your so cute sofi 💕💕💕
Nimempenda mtoto ulaya haijamfanya kuwa vibaya❤
Nakupenda Sophia
Namukubali
Wow beautiful
Hongera mama una watoto wazuri sana
Good amekuwa alhamndulillah amependeza saana