SIMBA MKONGWE ] [FULL MOVIE ] [ BEST ACTION MOVIE IN TANZANIA ] [ FULL HD ]

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 3 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 95

  • @abubakariali9848
    @abubakariali9848 Рік тому +6

    Movie kali hongereni sema Mwamba umetisha san movie inaanz mpk inaisha hujabadilisha Cap 🧢
    Chengine jaribuni kufany vitu kweny uhalisia siamini fight zote sijaona hata shati kuchanika wala kuchafuka
    Cha mwisho actors wavae uhalisia wao 🎉
    Big up one step more

  • @yasmeenaal4191
    @yasmeenaal4191 Рік тому +17

    Tunaoangalia na kuikubali move hii weka like yako tujuane 22. 11. 2022

  • @aminahussain3058
    @aminahussain3058 Рік тому +12

    Tamu sanaa nataka nyingine❤❤❤❤💯💯

  • @Hillary_Daudi_Mrema
    @Hillary_Daudi_Mrema Рік тому +4

    Kaza Pambana. Bongo Movies to the World

  • @Amina-xc8tl
    @Amina-xc8tl Рік тому +5

    Waaah jmn,mumetisha ckwa action hio,mpk nahepa mm naona kama mateke namangumu yatanifikia, thnx I have enjoyed ur movie

  • @HusseinJuma-wz3md
    @HusseinJuma-wz3md Рік тому +1

    Iko pow brother nimeikubali sana💪💪💪💪💪

  • @mwasimwajambo4686
    @mwasimwajambo4686 Рік тому +2

    Congratulations guys so much love from kenya

  • @JanetRiziki-ut2is
    @JanetRiziki-ut2is Рік тому +1

    Wow kaz nzuri sana hongera ❤❤❤

  • @yusuphmahimbo5659
    @yusuphmahimbo5659 Рік тому +3

    Nimeipenda Sanaa na Sanaa 👍👍👍💯💯💯🔥🔥💪💪

  • @yusuphshedafa7406
    @yusuphshedafa7406 Рік тому +3

    Oya mumetisha Sana movie kali sana

  • @bahatiomar5297
    @bahatiomar5297 5 місяців тому +1

    Kazi nzur nawapenda nyote

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Рік тому +4

    Movie nzuri sana wadau 👌💪

  • @BongoclipsTrailerstz
    @BongoclipsTrailerstz Рік тому +2

    nice bro nakukubali kazi mzuri

  • @geoffrey9833
    @geoffrey9833 Рік тому +3

    Wow unapendesa

  • @davidandrew-yy1bx
    @davidandrew-yy1bx 3 місяці тому

    Respect sana kaz nzur

  • @MicahWasilwa-iz2yl
    @MicahWasilwa-iz2yl 6 місяців тому +1

    Good job bro

  • @AbuswahbuMjuwa
    @AbuswahbuMjuwa Місяць тому

    Kali movie my brother

  • @njkayembeyoutube7331
    @njkayembeyoutube7331 Рік тому +3

    📢umupe yesu kristo maisha yako,muisho umefika Yesu ekonakuja,tutubu na tujitayarishe kumupokea matayo 24:42

  • @wamzimedia
    @wamzimedia Рік тому +1

    Movie iko vizuri tatzo rangi tu😢😢😢😢

  • @mduduthegreat558
    @mduduthegreat558 Рік тому

    Naitwa jastine or mdudu ,,,, Naweza action na najiamian ,,naweza kufight ,,,kuigiza pya hivyoo kama utamind nichek tutengeneze ktu ,,,napenda bongo movie broo,,,

  • @MwambamizabanUzaban
    @MwambamizabanUzaban 24 дні тому

    Hiii chaneli nimeikubali

  • @SalimAlhusaini
    @SalimAlhusaini 2 місяці тому

    Nani jina lake acter

  • @IgnatiusIgnatius-f5o
    @IgnatiusIgnatius-f5o 7 місяців тому

    Nice work

  • @WilleMsamba
    @WilleMsamba 3 місяці тому

    Imekaa poa😢😢😢

  • @mose6138
    @mose6138 3 місяці тому

    Very fantastic.

  • @RealChui
    @RealChui 9 місяців тому

    noumaaaaa sanaaaaaa

  • @COMEDIANBABAMAPICHA
    @COMEDIANBABAMAPICHA 9 місяців тому

    Wowo❤❤❤❤hi movie 🎥🎥🎥 iko moto

  • @aminashuruty126
    @aminashuruty126 Рік тому +2

    So nice😍❤️❤️

  • @JOBNYABUTO-ox7do
    @JOBNYABUTO-ox7do 6 місяців тому

    Ikon sawa

  • @BOSSLADY3656
    @BOSSLADY3656 Рік тому +2

    Jamani mwendelezo 😋🤣🤣🤣🤣

    • @jahuromary8950
      @jahuromary8950 Рік тому +1

      Usjal jamilla soon tunawaleteaa muv kalii zaid ya hii

  • @MozesGalus
    @MozesGalus 7 місяців тому

    Yeah move kali hila 2ongeze juudi zaidi hili 2fike mbali.

  • @harunaabrahaman1679
    @harunaabrahaman1679 Рік тому

    Bongo kwa action sasa hivi tuko vizuri ubora umeongezeka

  • @OmondiDavid-vy3li
    @OmondiDavid-vy3li Рік тому +1

    Ninaipenda sana

  • @ZuberOmar-z4z
    @ZuberOmar-z4z Рік тому

    no sio watu kochin sema vifa au vitendea kazi Tanzania hatuna waigizaj wanajitoa Sana tu sema wako vzr

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Рік тому +1

    Mwanzo Ili Movie Sijalipenda Ila Palipo anza Mkono Nimependa

  • @zepheniamnubi736
    @zepheniamnubi736 Рік тому +1

    Broo umetisha san

  • @Nashondaniel
    @Nashondaniel Рік тому +1

    Mko vizur sana

  • @Sinkoi-cn1fm
    @Sinkoi-cn1fm Рік тому

    Ipo freshi barida kaka

  • @evanssauti8965
    @evanssauti8965 Рік тому +1

    Move siombaya ila watu wenyewe ndio bado wako chini hawana confidence

  • @jesussavesus2210
    @jesussavesus2210 Рік тому +1

    Yohana 14:5-6 Tomaso akamwambia, Bwana, hatujui uendako; na jinsi gani tunaweza kujua njia? Yesu akamwambia, Mimi ndimi njia, na kweli na uzima; mtu haji kwa Baba, ila kwa njia ya mimi.
    Kwa yeyote anayefikiri kwamba Biblia haiwezi kuwa ya kweli na kwamba Yesu Kristo si Mungu. Sodoma na Gomora, kuvuka kwa Bahari Nyekundu na Safina ya Nuhu zote zimepatikana, mahali ambapo Biblia inasema ziko, na kila unabii uliowahi kuandikwa umetimia, kutia ndani sasa katika siku zetu. Ulimwengu wetu wote unategemea maisha ya Yesu Kristo, BC na AD, kwa sababu, kwa sababu Mungu alitoa ushuhuda wa yeye ni nani. Usiache zawadi ya bure ya uzima wa milele bila kumtafuta Mungu kwa moyo wako wote kwanza na kumuuliza ukweli ni upi, maana Yesu Kristo ndiye njia pekee ya kwenda mbinguni kama alivyotuambia, anakupenda sana na anataka ufanye hivyo. uwe na uzima wa milele. Mungu akubariki.❤🙏🕊

  • @humphreyzofundia1892
    @humphreyzofundia1892 Рік тому +1

    Tamu Sana nyingne

  • @DavidJames-rv6hj
    @DavidJames-rv6hj Рік тому

    Omulimu omulunge

  • @MwalimuTandiko
    @MwalimuTandiko Рік тому

    Ntak part nyungind

  • @zabulonikwigizeyusufyusufu8269

    Kali kwelii

  • @achantyyahya4290
    @achantyyahya4290 Рік тому +2

    Jama Wamanywele Anapiga Mkono Kama Kweli Vile

  • @BahatiLyimo
    @BahatiLyimo Рік тому

    Ipo fresh sana😂😂😂

  • @karimnguvumali1594
    @karimnguvumali1594 Рік тому

    nice vtu vdogo san kulekbsh mtu anpgwa mpk kofia inavuk akisi mam ipo kchwan mtu

  • @IreneMwarusha-ux2sc
    @IreneMwarusha-ux2sc Рік тому

    Mmetisha kwakweli😊😊😊

  • @cityhuntermkali2468
    @cityhuntermkali2468 Рік тому

    Movie nzuri,action nzuri ila camera jaribuni kuituliza ischeze saana ili tuone izo actions clearly,,,,,good job

  • @eliudsancheztz4003
    @eliudsancheztz4003 Рік тому

    Jamani muvie nzuli sana ila saut hampangilii jitahidin jaman saut iwe nzuli

  • @mohdissa9224
    @mohdissa9224 Рік тому +2

    🔥🔥

  • @tigerman83
    @tigerman83 Рік тому +1

    Kumbe saivi bongo kuna movie kali hivi na hamsemi watu mnasiri

  • @khalidkassm1054
    @khalidkassm1054 Рік тому

    Sikubali Inawezekn vp mtu unamkimbiza half amekuacha unajuwa yuko sehem fulani

  • @MRPMAWENGEMAWENGE
    @MRPMAWENGEMAWENGE 2 місяці тому

    nyie jama muko vizul

  • @eddyclassic8996
    @eddyclassic8996 Рік тому +1

    Mbele pamoja

  • @IbrahimMagaza
    @IbrahimMagaza 10 місяців тому

    Kaz ya kiume

  • @SirajiKhalidi
    @SirajiKhalidi 10 місяців тому

    Asa mbn haumtafuti mtoto Kwanza alf nd uje kwa binti sikuelewen mtoto kafa au

  • @wamzimedia
    @wamzimedia Рік тому

    Mara msogelee, mara mng'ate
    Nadhini Editer anatakiwa ajitahid kuwa makin

  • @bakarikhamis2803
    @bakarikhamis2803 10 місяців тому

    Bhana huyu jamaa alochukuliwa mtoto bado hawez kusimama kwenye uhalisia wake wa kuwa yeye ni staring na amechukuliwa mtoto wake na yule mwanamke anatoa nafas ya kupigwa sana kizembe

  • @KalvinJoseph-k9e
    @KalvinJoseph-k9e Рік тому

    Kelvin Joseph

  • @naomikaema1841
    @naomikaema1841 Рік тому +1

    Hapo kwa mwalimu wamechemsha hawapo makini kabisa

  • @AbuuHaydarimsuya
    @AbuuHaydarimsuya Рік тому

    ipo good

  • @HAMISIMajuju-d9v
    @HAMISIMajuju-d9v Рік тому

    Iko poa move

  • @mkacibeiib7278
    @mkacibeiib7278 Рік тому +1

    waah

  • @qassimmzungu143
    @qassimmzungu143 Рік тому

    Hii kali kaka pull up

  • @barakarobert9516
    @barakarobert9516 Рік тому +1

    🥰

  • @zehe449
    @zehe449 Рік тому

    Werr

  • @HAMISIMajuju-d9v
    @HAMISIMajuju-d9v Рік тому

    2:45

  • @nellyofficial2225
    @nellyofficial2225 Рік тому

    Sasa mtoto ulikyokuwa unatafuta yupo wap

  • @HajiKhamis-ez9vk
    @HajiKhamis-ez9vk Рік тому

    dhh

  • @khadijabakari-q5w
    @khadijabakari-q5w Рік тому

    Omulimu omulunge

  • @MwanaidiSembe-cz8mr
    @MwanaidiSembe-cz8mr Рік тому

    Omulimu omulunge

  • @athanasianyumayo1706
    @athanasianyumayo1706 Рік тому

    Omulimu omulunge

  • @AliomondiAliomondi-kx3jv
    @AliomondiAliomondi-kx3jv Рік тому

    Omulimu omulunge

  • @HaeishiChuma
    @HaeishiChuma Рік тому

    Omulimu omulunge

  • @mudhihirimzomoka7753
    @mudhihirimzomoka7753 Рік тому

    Omulimu omulunge

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 місяців тому

      Huyu simba wenyew bado hajakamilika anatia huruma sana

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 місяців тому

      Hawez kusimama kwenye uhalisia wake na jinsi alivyo mwili mzuri wa mazoez ila bado anakubali kupigwa hovyo hovyo kama yeye siyo staring wa mchezo

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 місяців тому

      Ajikaze sana na afanye mazoez yakutosha halafu asitiye huruma wakati anapambania hak yake

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 місяців тому

      Maana sisi tunajifunza kitu na pia anatoa elimu kwa watu wenye tabia kama ya hao maadui zake lakin kawapata watu wake kiubabaishaj sana kama vile wanampa sehemu ya kupiga

    • @bakarikhamis2803
      @bakarikhamis2803 10 місяців тому

      Eti yeye anamshika kibi adui nyuma wakati yuko na kisu na huyoyo adui mikono yake iko huru ya kufanya chochote si alimchoma kisu cha paja hule uzembe kwanza