MKE WA MREMA ATAJA UTAJIRI WAKE, UMRI, NI MWANASHERIA, AWAJIBU WANAOMSEMA - "SIJAFATA PESA"
Вставка
- Опубліковано 23 бер 2022
- MKE WA MREMA ATAJA UTAJIRI WAKE, UMRI, NI MWANASHERIA, AWAJIBU WANAOMSEMA - "SIJAFATA PESA"
Dorine Mrema Ambae ni Mke kwa Sasa wa Agustino Lyatonga Mrema amefunguka mbele ya waandishi wa habari juu ya Mali anazomiliki na Historia yake huku akieleza kuwa yeye hajafata Mali kwa mzee Mrema.
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
Nimekupenda Doreen,mstaarabu,unajiamini,mzuri,uko sharp,unajituma,Yani umekamilika Kila idara.....Hongera sana🤝🤝🤝
Mzee mrema oyèeeeeeeee, leo kiki za wabongo wote umezima.
🤣🤣🤣🤣wewe!
kumbe nawe umeliona
😂😅😅😅😅😅😅Kakomesha
Katrend 🤣🤣🤣
@@zainabwage4658 😂😂
Umejitoa sn Dada,Mungu atakubariki kwa kukubali kumlea Mzee.
Siku zote gari bovu huvutwa na gari zima hongera mzee Lyatonga
@Mariam Al Kah umenichekesha
Hahahahahaa kabisa yani
Malikia wa nguvu 💪❤uko vzr kimaisha
Unakuta watu wanamsema dada wa watu kumbe wanaona wivu👌👌 kila la kheri mrs mrema
Asante Dear
Wachaga wanamalengo ya mbali kweli hawa! Ckukashfu lkn wadada wa kichaga aaaaaah!
Mwaya acha ujikarie na mzee wako vijana ni mataperi wanafata ela zakina mama ,hongera sana
Hongera Dada mwenyew na karibia kuolewa namzee Tena kupita mrema
Wow kweli mke mwema atoka kwa Bwana kweli Mungu akusaidie muishi vizuri
Uko vizuri My Sister Achana nao wanaoongea ukipewa pesa chukua wewe Ni Mke
Huyu mzee mtuzee mapenz hayachaguii , daa nam nkipata kama huyu doreen ntafurah sanaa mzurii sanaa
Dada anaupendo Sana na ameamua kumtunza huyu Mzee Mrema,
Huyu dada kaamua kuturia kwa mzee kachoka kelo za vijana
Mungu atamponya mh mrema na mtainjoy ndoa yenu
Wabongo sisi bhana!! Rais wa Ufaransa ni Kijana mdogo sana lakini kaoa mke ambaye umri kama mama yake lakini life yao inaendelea na Celine Dion aliolewa na mume wa miaka sabini lakini maisha yaliendelea na bado alifurahia!! Hongera sana sana dada!!
Wivu wao tu, wengi walitaka mama zao waachane na baba zao halisi wakaolewe na "kaimu" baba
Tatizo mila taifa lina mila na desturi zake
Evidenced comment. Good
@@manilabonalumanula1014 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera my mlee Mrema wetu
Dada amekuwa star ndani ya muda mfupi. Hongera dada hicho ni kibali mungu kashakupa.
ustaa wa dunian
Ameeen my dear
Hana umri mdogo huyu dada nimuongo kwanza anasema anamiaka 39 mh tunakujua nawatt wako wote
Hebu niume sikio sweetheart 💖
Hongera kwa kunijua Gift. Big up Maa.
Pesa haitoshi shoga ila imani yako anaijua mungu pekee
Swadakta
Mlikutana wapi Ina maana ulimfuata mwenyewe dada muongo huenda mtaji alitoa mrema
Pesa ikiwepo akipewa hatakataa ndo kasema
@@laurianj.luzwela2830 hahahaaa ndilo alilokwendea
Dada hongera sana kuolewa kama umekwenda kwa dhati ila kama umeenda kwa ajili ya pesa Mungu anaona
Mpuuz wew unasikikiza anachoongea au nn duu pesa gani wakat yeanamali zake
Si kweli kuwa alikuwa hamjui
Mbona kuna picha amepiga naye wakati wa msiba wa Mke wa Mrema 😳
Kabisaa
Duuu! Nilifikiri ni mdada poa kumbe ni bonge la mdada wa akili sana. Yaani kwa kweli Mungu ambariki sana mdada huyu. Kama shule hivi.
Pia mzee Mrema kichwa kipo bado fit sana
Shemegi, sawa tunaelewa wewe tajiri na unajitegemea pia hujampendea pesa mzee wetu Mrema. Ila tuambie tu, UMEMPENDEA NINI mzee wetu.??¿
Hahaha.. huyu dada ni mwanasiasa ajae jina kashapata.
Ikija kwenye suala la ngono utamua huyo mzee🤣
Mwacheni bi harusi jamani muacheni apumzike.....
Nimekusikiliza Sana Mrs Lyatonga Mrema kwa tafasili za awali uko vizuri Sasa ngoma ni ktk Activity .
Sema vizuri upate Baraka
Shoga angu Doreen,🤣🤣🤣pole manake wamekusakama Wana habari paka hupati oxygen
🧑🎨🧑🎨
Bgup sana , nawaombea uzao mwema.
Wewe unayesema Mali yake haitoshi wewe unayo"acheni wivu
Hongera saaaaana dada .... Mungu akutangulie kwenye maisha ya ndoa ....
Dada amewaza mbali Sana ongera dada mm binafsi nimemuelewa
Mmmmh Mama mrema pole sn mjane mwnzng mungu atakufuta machozi.
Uko juu doreen nimekupenda
Doreen pls umebeba dhamana kubwa itunze na mungu akutangulie mzee awe salama
Unafanana na Mr.Hongera sana usijali mambo ya watu.
Hongera Mungu akubariki umtunze babu yetu
Mzee Mrema ni mchaga mjanja sana
Dada yupo smart kichwani
Kuwa na aman tu dada siye hiyo tunajua ni ndoa yani ni kitu kilichosainiwa na mungu hivyo usiyajali ya walimwengu walio vichaa
Mpingaji huyo the coming Regnard Mengi😂😂
Don't judge a book for its coverpage. I appreciate you..... 👍
Uko vzr sana, hongera umejibu sawasawa.
Mdada kasoma upepo kupitia hili la harusi na Babu itampelekea kutangaza biashara zake na kutafuta nafasi ya kupenya serikalini soon tutasikia anajiandaa kugombea ubunge awamu ijayo make kashakuwa maarufu
mama mtunze vizuri mzee lyatonga mungu akubariki
Safi mumy MUNGU akutangulie kwenye ndoa yako
Huyo mzee angekuwa Ana kitu asinge mkubali kaona miela kwaiyo tunaomba umtumzee mzee wetu
Nimekusikiliza kwa makini hongera sanaumetulia endelea hivyo ishi kwa Amani Mungu awe nanyi
Punguzeni ufilauni, jinga kabisa
@@georgemassebu2083 asante sana lakini kuniita Mjinga sidhani ninachofahamu mtu mwenye hekima na busara hatukani bali anashauri au anatoa maelezo yanayoweza kumwelimisha mtu hivyo kutukana tayari inanionyesha wewe ni mtu waaina gani pole kakayangu tupo 2022 jifunze maisha si kuishi kwingi bali nijinzi gani umeyaishi
Utaolewaje na kijana ukeshe!! Chagua mzee ule raha!! Amaah
Hapana kwel hata kama ni upendo umri umeenda sana jamaniii.
Hongera Sana Sana, umemheshimidha na wewe utaheshimika Sana dada.
Wabongo acheni basi kumbana dada wa watu. Maswali mengi mpaka mmazozana wenyewe kwa wenyewe.
Waandishi useless
Mungu awabariki sana
Kazi ipo, njaaa na tamaa ya pesa inatesa wanawake wengi
Asante wewe usie na njaa. Barikiwa sana
Wewe unaye Mali yake haitoshi"wewe unayo?acheni wivu
Mama mrema unaupiga mwingi Sana. Au ulikuwa mchepu, Leo ndio umepata usajili rasmi nini 😀😁
Global TV, mtutafutie story ya Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron na Mke wake Brigitte Macron. Mke wa Macron ana umri sawa na Mamake ! Brigitte alianza mapenzi kisiri siri na Macron wakati huyu Kijana alikuwa na umri wa miaka 16 tu, na alikuwa mwanafunzi wake... Wakati huo, Brigitte alikuwa na umri wa miaka 40... Alikuwa ameolewa na kuishi na Mume wake na watoto... Mwisho wa siku, Brigitte alivunja ndoa yake na kuolewa na Macron (Macron ni mdogo kuliko Watoto wa Mkewe)!
@@j.c.maxima816 Sasa akutftie habari gani kama unajua story yake 😡😡
Itakuwa tu mwendelezo wa Wanandoa hawa wa ajabu! 😆😆 Na itapata "views" nyingi! Watu watafurahia!🤣🤣
🇹🇿🇹🇿🇹🇿Kuwa na furaha Doreen maisha ni mafupi, ndoa ni ya watu wawili tu.Anyway huko maarufu sasa hiyo ni fursa 😂👌👍Congratulations to Lyatonga Mlema na Doreen 🎉🎊🎈💐
nampenda huyu dada hajafata pesa anaongea toka moyoni watu lazima waonggee angalia mbele
Hii nchi sio ya kuhama kabisa
Hahahaha 😂😂😂😂 nimecheka
Wewe umemaliza kazi. Haaaa haaaaa Wabarikiwe tu
Hata tukisema uhame nauli unayo??😂😂😂
Hahahahaaà!!!!!!!!!tamu nchi hiiiiii!!!!!
TRUE, HATA AJE PUTIN HAKUNA KUHAMA 🤣🤣
Huenda biashara zote kawekeza mzee mwnywe ..
Umeona eeee 😀
Wachaga nyie nmewapgia salut huyu mwanamke kaenda kutangeneza pesa make anajua huyu mzee hana muda mref
Usijetangulia
Uwiii hapana jaman 39-77 ndoa ni ngumu watyu wanazitafuta ...na kaolewa bado anamwita mzee mrema
Kumwita mzee ni heshima, hata wanandoa wenye umri miaka 25/27 bado mme ataitwa mzee
Mapenzi mapya unamwita mzee tayari, duuu kitu pesa hamna kingne hapo
Yes Rose. Neno Mzee ni Heshima dear
Imeisha iyo hautaki andamana .👨❤️💋👨👨❤️💋👨👫👫👫👫👫..
Safi dada wanyoooshe
Hapo Kwa umri nikama amedanganya 39 ? anakaa mzee kunishinda na tunatoshana umri 😆
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 bongo raha sana 🤣🤣🤣
Mungu awalinde
Good say, Mrema's wife
Dada hao ni wanadamu tu simamia utashi wako ulio pewa na Mungu iyo ni ndoa halali kabisa na kibari cha mungu
Hamna mapenzi ,ni umaarufu na pesa basi zingine siasa
Good job. That’s diversity in Tanzania. Always they will be negative but now is being accepted in Tz. Good job Mrema
Wow mwanamke wa shoka
Kwani Mrema ana hela? Mnamsumbua Dada wa watu.
Huyu Dada anajielewa kbs, hongera Sana Doreen
Akuna aise kumbuka furaha ya ndoa ni .............. Unahis Doreen na mze wata.....................
Safii sana ndyo inavyotakiwa mzee kachagua binti coz anajua atamtuza angechagua mzee mwezake je ni nan angemsaidia ikifika kipindi cha kushindwa kwake,so dada mtunze mzee wetu uwe faraja kwake achana na hao maneno mengi wanakuonea wivu
Mrema siopoa, kawakalisha mastaa woote bongo..apo unapiga pesa UA-cam na Instagram.
Mama zari limekujia kajizolee utajiri mzee hana muda mrefu sana ila anahitaji joto lako
mama uko vizuri
Hongera sana,,,
Nakubali sana Mtanga mtangalile kakitu kazuri nimekawona bana
Very good bro Mrema
Kwani tatizonini mtu anakichagua anacho kipenda ndo moyo wake ataukonga
Safi sana mahojiano na majibu yametosheleza kiu waliyotaka watu kuelewa. Nimefurahishwa sana. Hongera na Mungu akuzidishia raha za ndoa na azipunguze au afute kabisa karaha za ndoa.
Asante sana dear
Huyu Dada ana takiwa ahojiwe na wana habari kama salm Kikeke ndio zaizi yake nyie wengine hamna kitu yani kama ni mpira mmesha pigwa tano bila na ndio kwanza kipindi cha kwanza na kiungo kime katika!
😁😁😁😁
Huyu mama ametaka mali zaidi.Huwezi kuolewa Na MTU miakar Karibu ya 80 Wakati hujawahi kuolewa hata siku moja.Wewe NI hela Tu ei zaidi.Hela hela hela.Usitudanganye wala kujidanganya wifi yetu.Wajinga ndio waliwao.Mzee anakuhitaji.. Lakini isijekutokea Kesi ya Mengi na Jacqueline.Hongera Sana
Mwanasheria huyo... Tena ana biashara zake, sio mtu masikini ... Ila akili yake labda imepata matatizo kidogo...
Dear sio kila mwanamke anafata pesa? Me nina mtu kanizidi miaka 30 mbele me nikidogo kwake hana hata kuku ila niupendo tu
Nikweri hapo nipesa tu
Uyu asitudanganye huna pesa kama ya mrema na pesa aijai unataka kuongeza utajiri,usome sheria Dada hayo ni matokeo ya darasani apo lazima kuna mkataba unaokuweka hapo,komaa utakua billonare baadaye
Inawezekana lakini hilo haliwezi kuwa jibu sahhihi, Ila Umesikiliza alicho nacho, wewe ukiwa na mali kama alizotaja hapo utakuwa masikini.
safi sana ndugu yangu hongera sana.naninakupenda sana mwanamke anayejiamini safi sana
AKILA PESA ZA MUME WAKE SI MBAYA. KUKESHA NA ZINAA NA MALAYA WA BAR AU MAKASINO
Wee Rashid sijui Rashida..kwani kakuambia nani wanawake wanaofanya kazi bar ni Malaya? Huo ni ufinyu wa mawazo..
@@annajustin1945 💕
Kikubwa dada umempenda mwenyew chaguo lako mwenyew hakuna shida mtunze mumeo mchangamshe ili asikusahau wacha wapiga debe humu wapigi cha muhimu mmependana bac mambo ya umri waachie wambea
Hongera Dada umtunze mzee wetu na Wala akuna msichana au mdada anayependa kuolewa na mzee labda huyo mzee awe na hela Ila tyu Dada umtumzee mzee wetu
HALAFU KUMUULIZA MWANAMKE UMRI NI FEDHEHA KUBWA ACHENI TABIA HIZO.
Nyie waandishi mnasema haijawahi kutokea kwa umri wa dorini kuolewa na mume mwenye umri mkubwa njooni kwangu mie nimeilewa na mwanaume ana miaka 89 na mie Nina miaka 47 mapenzi hatachagui alafu hana Mali ni masikini
*Tajiri uwaga hatosheki*
Waw
anatamani apate mtt mwandishi suali bovu kabisa..sasa ukiolewa watamani upate kuku au
Nice mama
Uko sawa mapenzi hisia
Dada anatangaza biasharazake jamani hii haina tofauti na ile ya stive nyerere
Mi love you Dorin ufuate pesa usifuate pesa we endelea na mumeo huyo.apatae mume apata kitu chema.ila muokoke mumzime shetani
Huyo mama afaa kabisa kuolewa na mrema ni mtu mzm huyo mama
God bless you mama
Watangazaji hawajatulia eti watu mmemjalia kila mtu anamuuliza alafu eti angalia kamera sa mnataka aangalie sehem moja kama robot
Tuliyasema kwa mengi nayakatokea ,saiv tunakuja kwa mrema naamin yatajirudia kudai mirath imeisha hiyo