@B2KMnyama since day one unawakilisha vizur kusini mwa Tanzania ila muzik wako unashindwa kupenya Tanzania nzima kwa ukubwa u naotakiwa nadhani ni wakati wa kuwekeza sana kweny promotion.... next time Wish to see U in next level........
Broo, Mpaka hapa sioni kama unahitaj promo sanaa kufanya mambo mazuriii.. Sometimes ukitembea mwenyew unafika mbali sanaaa.. watu hawalitambui hiloo, na ukiish kwa kutegemea promo sana utashindwa kufanya kazi vzurii kwa akili yako kakaa.. lazma fulan attasema kazi n yako ila ifanye hvii... Unaelewa nn namaanishaa?? With this hit song, na zile nying zilizopitaa unaweza kakaa.. #WHEN YOU HAVE SOMETHING TO ACHIEVE.. DON'T GIVE UP ON IT🔥💥
Nakuamini sana maana unaga bifu huna majivuno ila kazizako ndo zina kuteteleya style zako nazipenda sana maana huna yule ambaye anataka kuiga style zako na yule ambaye anataka kuiga Styles zako hawezi kamwe ❤❤❤❤
Since tokea ngoma ya uhakika mpaka leo kwenye hii ngoma ume maintain na kuprove watu kua una flow na unaelewa mziki unataka nini kwa mashabiki. Big up b2k mnyama 💥💥💥💥👊👊👊
Kwaniaba ya bembe kapany tv online 🤝 tuko pamoja na bembe stars Edimond inatowa comment umeuwa sana kijana ❤❤❤nimwendo wamoto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎵 mungu hakulinde kijana chapakazi tu
Kaka Na kukubali sana mimi Niko Congo DRC nikuambiyetu mimi ni shabiki wako asili miya miamoja 💯% kwasababu ume baki pekeyako Star Tanzanie ambaye unaimba nyimbo ambazo naweza kuzisikiliza ata mbele ya wazazi ❤❤❤❤❤❤
I swear I never knew this guy till last year after a friend told me about him,,and yees,,💪,,,hata Mimi nimekubali,,B2k uko sawa kaka,,Ngoma Kali quality yake,,😄😄 mob love 💗,,from 254 🇰🇪 to the 🌎
Huyu ndiye msanii pekee ambaye nyimbo zake zinapigwa na kusilizwa mtaani kuliko hao mastaa wenu. Big up sana
asantee sanaaaa
Kweli kabc ❤
Si uongo.
@@kirua21abraham93 Aminia
Hakika
Nahivyoo nyumaa umecholwaa we ndo ulimalizaa udongoo thic lineeei hoiiiiiiii❤❤❤🎉🎉🎉
Sawa bwana uchebe 😁😂
Sema kichupa kikalii mwanangu👏🏼👏🏼
asanteee sanaa
B2k nakukubali outer +254 kisumu ngoma freshi,ila luku kidogo iyo heirestyle na ndevu ni mbaya we kijana bro 🇰🇪
nakukubal piaaa
Daaaaah 🙏🔥🔥🔥❣️ hakika najivunia sana uwepo wako
asanteee
najivunia mashabik zang piaa
natokea Congo❤b2k nakupenda Sana sana, endelea mbele
Nishalipitisha hili goma hatariiiiii 🔥🔥🔥
asanteee
Sana home boy . Hii nyimbo duu sijui ulinilenga mm Yaan sisem
tuondokeee
Kuimba tunajua ila sema hatupendani
Kljana mungu akufikishe mbali kwakweli unaweza sana
@B2KMnyama since day one unawakilisha vizur kusini mwa Tanzania ila muzik wako unashindwa kupenya Tanzania nzima kwa ukubwa u naotakiwa nadhani ni wakati wa kuwekeza sana kweny promotion.... next time Wish to see U in next level........
tunaanza na hiii usjal
👌👌
walioko hapa 2090 jueni huyu babu wenu alitesa miaka 2010 kuendelea akawanyima vijina usungizi africa mtawalia biup b2k
B2k on the next world, nakubali saana
Naipendaa ii nyimbo Sana love u❤❤❤❤❤
Mambo mbayaaa 🔥 kaka❤️🔥 u never let you. Fans down bigup🤛🔌
nakubal
Daaaa huyu mnyama...b2k mapenzi tupu
How I love this man ni God tu anajua❤🔥🔥
Kazi nzuri bro Mombasa twakukubali sana 🔥💯💯
Star beat boy salute...
asanteee sanaaa
Umenona B2k mashallah😘😘😘
favourite musician outta TZ 🎉🎉👏👏🤝
asantee sanaaaa
Huna kazi mbaya kaka na wew ndo 7bu yamm kuanza kupambania mzki so niite ZP nakuja na ngoma yangu soon ya kwanza B2k ndo mfalme
nakubal sanaa
Good job homeboy keep it up 💪💪🇹🇿🇹🇿
asanteee boss
Inshallah nami nitakua kama b2k naimba saan
all da best
Broo, Mpaka hapa sioni kama unahitaj promo sanaa kufanya mambo mazuriii.. Sometimes ukitembea mwenyew unafika mbali sanaaa.. watu hawalitambui hiloo, na ukiish kwa kutegemea promo sana utashindwa kufanya kazi vzurii kwa akili yako kakaa.. lazma fulan attasema kazi n yako ila ifanye hvii... Unaelewa nn namaanishaa??
With this hit song, na zile nying zilizopitaa unaweza kakaa..
#WHEN YOU HAVE SOMETHING TO ACHIEVE.. DON'T GIVE UP ON IT🔥💥
asanteee sanaaa
Noma Sana
Umetisha kaka kazi nzuri mapambano yaendelee
King of southern Highlands
Never disappoint 🙌
asantee
Brother you kill it respect to B2K
asanteee
Great job
Nakubal Kaka kazi nzr
B2K myama Sana.
By dekayo Adrinizer from songea tz 🇹🇿
we gooo
king on the beat
🙌🙌🙌🙌
asantee
kweli unabahati mpaka kitumbo kaka😁🙌🙌🙌7
😂😂😂
We are waiting 👩🦼👩🦼 brother b2k
hiii tayar
Nakubali sana b2k Huna kazi mbaya ngoma zako karibia zote nazielewa sana
B2k never disappoint 🙌🇰🇪
thanks
Njombe boy piga kaz kaka
tuondoke
I love this
❤❤❤❤
Naipenda jamani I keep on repeating the song like every hour ❤❤❤❤❤
So talented
asanteee
Kweli kutoboa sioo mpaka dar tu unatufunza sana mwanetu mamba wa #MAKAMBAKO
Likes za wa Tanzania 🇹🇿 weka hapa
asanteeee
Love you b2k God bless you
Nasisi congo tu msikia b2k
Sema tu ndiyo hivyo lakn b2k mi nilikua namuamini tokea enzi nasoma🤝
Likes za Kenya weka hapa 🇰🇪🇰🇪
Ppp
B2k noma Sana utafika mbar kinyama nakuombea endelea kutuwakilisha wakukaye salute sana
mentor wangu huyoo penda sna mziki wakoo❤❤
Hongela mdog wangu
B2K to the world
❤ ilove you b2k mmwaaaaah❤❤❤❤❤
the beat is wow
Dah! B2K mwamba fundi sana wa uandish sijui kwann hachezwi sana kwenye media zao au kwasabab sio msanii wao
Semah Asaivi Jamaaa ana Kitambiii Fezaa Ipooo @b2kmnyama 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🤗🤗
Unatisha sana kk we noma sana ❤️❤️🔥🔥🔥🔥❤️❤️❤️❤️❤️
nakubal boss
Mnyama B2K uwezowako Unakua kilasiku
Hujawahiniangusha mimi Nipo upandewako sikuzote
Nakuamini sana maana unaga bifu huna majivuno ila kazizako ndo zina kuteteleya style zako nazipenda sana maana huna yule ambaye anataka kuiga style zako na yule ambaye anataka kuiga Styles zako hawezi kamwe ❤❤❤❤
Naweza kosa nyimbo zote lakin sy za wewe mk boy mnyama sikupingi Kaz zako dam yetu✊✊✊
Nakubali mnyama ujawai kosea🙌🙌🙌
nakubal
@@starbea7742 🙏🙏🙏🙏🇹🇿
Ww ni Star, napenda sana nyimbo zako nkiwa Kenya, much lov B2
Since tokea ngoma ya uhakika mpaka leo kwenye hii ngoma ume maintain na kuprove watu kua una flow na unaelewa mziki unataka nini kwa mashabiki. Big up b2k mnyama 💥💥💥💥👊👊👊
Mnyamaaaa
Congrats 👏 B2K..Ngoma ni kali sana.
asanteee sanaaa boss
Tisha sana mzee by.young mst❤❤❤❤
nakubalii sana
Huyu bwana mdogo anajua sana kuimba....naamini maisha kuna wakati lazm uwe na bahati,
Tisha sana broo
🎉🎉🎉🎉
Huwa nakukubar sanaaaaaaa sanaaaaaa kaka. Haiwezekan
Kila siku lazima niskie hii ngoma❤️
Nakubal bro napenda namimi niwe Kama wewe b2k mnyama
Kwaniaba ya bembe kapany tv online 🤝 tuko pamoja na bembe stars Edimond inatowa comment umeuwa sana kijana ❤❤❤nimwendo wamoto 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🎵 mungu hakulinde kijana chapakazi tu
we gooooo
Kaka Na kukubali sana mimi Niko Congo DRC nikuambiyetu mimi ni shabiki wako asili miya miamoja 💯% kwasababu ume baki pekeyako Star Tanzanie ambaye unaimba nyimbo ambazo naweza kuzisikiliza ata mbele ya wazazi ❤❤❤❤❤❤
I swear I never knew this guy till last year after a friend told me about him,,and yees,,💪,,,hata Mimi nimekubali,,B2k uko sawa kaka,,Ngoma Kali quality yake,,😄😄 mob love 💗,,from 254 🇰🇪 to the 🌎
Nakubar mazima bonge la goma b2k mungu akutie nguvu unaweza kinyamaaaaaaaaa
Namkubali san
Noma sana mwamba umetisha kama kawaida yako
Unajua sana jomba
saport
Hakuna siku ulishawahi kutuangusha Wana nyanda za juu kusini 🙏👊👊
anajua sana sema wanambania sana na wanamtiapini sana huyu b2k sio wakuwa ivyo anajua sana huyumtoto
Uñyma mwingi b2k🤩
nakubal sanaaa
Mwamba wa Makambakoiii🔥🔥🔥🔥💯
Hujawai kuniangusha hata siku moja in South 🇿🇦
Wimbo ambao toka mwanzo hadi mwisho mkali
Tegemeo la ilinga tunakuomba sana bro usije ukapowa mbele kwa mbele hiyo
Huyu jamaa ni noma nakubal kjana
Napenda sana kazi zako hongera sana
I think diamond platnumz should sign this boy please he is a good singer
Huyo mshika kiooo ameaharibu bhana...video mzuri ila kioo kuna mazingira mmekifosi
nakupenda sana msanii mwenzangu
Gogoooooo kijana 🙌🙌🙌🙌
Huhu wimbo umenihingia kabisa b2k ww ninamba moja wawatu hambao nawahamini saaaan❤
Wewe jamaa unajua adi sio poa sijui kwann ngoma zingine hazitoboi kama tunaendana ebu fanya ata rmx ya tunendana mshilikishe star mkubwa
sawaaa nmekuskiaa
Nakukubali sana kaka
Video safiii kazi mzurii saan
Malavidavi tu🥳🥳🥳🥳
Namimi leo nime mpata ni ❤❤ sana 0:51
Unaimb vizur sana B2K
Ngoma kari 💥💥🔥🔥
safi sana kaka chapa kazi
Hahahhaa kasheshe kasheshe b2k naskia kwamashoga zako ukiongea mi mme wa ndoa yako nmepotea hahahahah unaweza unaweza npo zambia ngoma inapigwa kitaa changu ni bara
Mzigoo umetuliaaa
Nakupenda sana b2k
Wazi B2K 👍👍👍👍👍👍👍👍👍
🙌🙌🙌nyimbo yangu pendwaaaa 🙏
B2k namkubali kinoma yanii
Much love from zambia❤
HAIWEZEKANI FT HARMONIZE REMIX HIT 🔥🔥🔥