PROPHET PASSION JAVA, PROPHET LOVY ELIAS walivyotua Tanzania kwaajili ya Mkesha wa Usiku wa Maajabu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 4 гру 2023
  • PROPHET PASSION JAVA na PROPHET LOVY ELIAS walivyotua Tanzania kwaajili ya Mkesha wa Usiku wa Maajabu
  • Розваги

КОМЕНТАРІ • 108

  • @colyndelwa1738
    @colyndelwa1738 8 місяців тому +11

    Hakuna kipya, yote tunayoyaona yalishatabiriwa. Yesu yu karibu kuja tena

  • @clouartmichael7296
    @clouartmichael7296 8 місяців тому +5

    Symbol ya kujitambulisha kuwa ushoga ni haki ya Kila mtu Kwa kusuka nywele ndio maana wanaowasaport ni waabudu shetani ,Nuru na Giza hakuna ushirika 2 Wakorinto 6:14 ...Laiti watu wangefunguliwa macho wasingefika hata hapo kuwapokea lakini hayanabudi Hawa kuwepo ili maandiko yatimie Mathayo 7:15

  • @MjakaziGladys
    @MjakaziGladys 7 місяців тому +3

    Mshindwe kwa jina la Yesu

  • @constanciapeter2497
    @constanciapeter2497 8 місяців тому +2

    🎉🎉🎉 Welcome Dr Lovy❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Tianwang123
    @Tianwang123 7 місяців тому +1

    Mungu atusaidie!!!!

  • @bonnyngowo7567
    @bonnyngowo7567 8 місяців тому +4

    Njia za Mungu hazichunguziki

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog 8 місяців тому +1

    Watangazsji wa bongo hamfanyi research. Huyu ni mwimbaji mzuri sana na ana hit songs pamoja na kaka yake. Na kaproduce ngoma za Justine bieber, chris brown na wengine. Kiufupi ni tajiri na hana njaa

  • @amanamani4429
    @amanamani4429 8 місяців тому +1

    Much love papa lovy Elias

  • @dianafinnes3248
    @dianafinnes3248 8 місяців тому +4

    Love you so Much Papa Lovy ,Karibu nyumbani.🙏🏽🇬🇧

  • @brother_majesty
    @brother_majesty 8 місяців тому +4

    Mungu anaita watu wa namna mbalimbali

  • @jacquelinemosha8653
    @jacquelinemosha8653 8 місяців тому

    Karibuni.Sana

  • @sarabura8933
    @sarabura8933 8 місяців тому +2

    Mathayo 23:13 ole wao waandishi na mafarisayo wanafiki kwa kuwa mnawafungia watu ufalme wa mbinguni ninyi wenyewe hamuingi wala wanaoingia hamuache waingie MATHAYO 23:15 MATHAYO 23:14 WARUMI 1 :21 adi 32 damu za wa toto wa MUNGU mnazowadanganya kuwa ninyi ni watumishi wa MUNGU na kumbe sio mtadaiwa hata wewe unaye jiita nabii malisa mnajua kabisa mmeuza nafs zenu kwa ibilisi ili mpate umarufu na utajiri mnajua ni mungu yupi mlie naye kwa sababu utambulisho wenu wenyewe unawatambulisha kuwa mnamtumikia shetani tubuni mkareje kwa MUNGU wetu mumba mbingu na ichi YESU kirsto alimwaga damu yake kwa ajiri yetu bado mnayo nafasi MARKO 2 : 10 damu yenu na iwe juu yenu

    • @user-yr1ek9wc3c
      @user-yr1ek9wc3c 8 місяців тому

      Nini imekuonyesha kama sio watumishi wa Mungu

  • @user-vx5gl8iw5y
    @user-vx5gl8iw5y 8 місяців тому

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @sales7491
    @sales7491 8 місяців тому +5

    People are more than blind, Yesu wasaidie macho ya kuona Kilchoan nyuma ya pazia.
    Mtu mwenye njaa hajali nani anampa chakula,
    Be cautioned ⚠️

    • @johnrevocatus9955
      @johnrevocatus9955 8 місяців тому +1

      Umenena mkuu

    • @MOJAZAIDI.
      @MOJAZAIDI. 8 місяців тому

      Umeona nini ndugu?

    • @susansusanne6157
      @susansusanne6157 7 місяців тому

      It means that they will even go for dog vomit if they are hungry.
      Angalia Neno La Mungu kwenye kitabu cha
      Luka 15:16 inasema
      Akawa akitamani kujishibisha kwa maganda waliyokula nguruwe, wala hapana mtu aliyempa kitu.
      Mungu, please open the eyes of the blind in the Name of Jesus Christ, Amen.

  • @janethmwihumbo1289
    @janethmwihumbo1289 8 місяців тому +2

    Ivi Yesu anarudi kuchukua kanisa ndo hili kweli Tena Wana jiita Manabii Nabii eliya mtisbi alikuwa hivi kweli,ivi Hawa ndo watawavusha watu waingie Mbinguni,Ni mapepo kwenye umbo la kibinadamu tato kuzimu,Rasta kuzimu vipens kuzimu vipini kuzimu mna hukumu kubwa Moto unaongezewa ukari Mara Saba una wasubiri mnakokota maelfu ya watu kwenda nayo jehnm mh inatisha inatisha

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 8 місяців тому

      Endelea kujifanya unamjua MUNGU(YESU KRISTO), kuliko yy maana hujasoma maandiko njia zake hazichunguziki, na hutumia kile ambacho wengi hukikataa, ww ulitaka MUNGU(YESU KRISTO) akuletee MTUMISHI ambae unataka alivyo, hapana

    • @danielyjarome9439
      @danielyjarome9439 8 місяців тому

      imeandikwa wapi kwamba ukivaa kipenzi na kuvaa kipini na kuweka tatuuu unaenda motoni ???????

    • @janethmwihumbo1289
      @janethmwihumbo1289 8 місяців тому

      @@danielyjarome9439 yange andikwa yote bibblia isingetosha ivi Moses kulola aliye tikisa kuzimu alikuwa hivi mbingu silelemama washushe vinyago vyao vya yezeberi jehnm inawatamani ,makanisa yaliyo Shiba imani hawawezi kuita katuni Kama hizi kuhubiria Hawa waombewe Toba waokoke sio kuhubiria watahubiri vinini

  • @benjamincaks8742
    @benjamincaks8742 8 місяців тому

    .... Nao wata danganya wengi, Yamkini hata walio wakristo wata wafuata.
    Bwana Yesu nipe mwisho mwema baba yangu.

  • @FideleLisha
    @FideleLisha 8 місяців тому

    Ni wokovu gani unaogusa ndani ukashindwa kabadirisha inje, Kristo amesema kinacho ziirika inje ndicho kilicho ndani. Asomae na aelewe.

  • @marthakwoba1933
    @marthakwoba1933 8 місяців тому +3

    Na Kenya mtafika lini jameni.

  • @kateyndutu3313
    @kateyndutu3313 8 місяців тому +4

    Kwel....had nmetoa machoz....hiki ni Nini....sio Kila atakaye Taj Jin la Mungu no WA Mungu

    • @maystellakajuna5461
      @maystellakajuna5461 8 місяців тому

      Uko sahihi kulia mtumishi, huu ni ufalme wa shetani umetua Tanzania. KANISA liamkeee in Jesus name!!!

  • @MathiasKunnanga
    @MathiasKunnanga 8 місяців тому +2

    UShogaaaa😭😭😭😭😭😭

  • @hamisiomary6286
    @hamisiomary6286 8 місяців тому

    Mungu haziakiwi

  • @Solace577
    @Solace577 8 місяців тому

    Welcome in TANZANIA men of God

  • @user-uu1xj4zz5j
    @user-uu1xj4zz5j 7 місяців тому

    Njaa mbaya

  • @user-nm3bg7li9m
    @user-nm3bg7li9m 8 місяців тому +1

    Kwani hawa Wana mtangaza Mungu yupi?

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s 8 місяців тому +1

    Iv niwaulize apo kweli kna mtu WA mungu au shetani hata ujui kusoma hata picha jamani

  • @jeronboucher
    @jeronboucher 8 місяців тому +2

    What language are they speaking with the prophet?

  • @frankmpembu
    @frankmpembu 7 місяців тому

    Hakuna Manabii apo, hao wote ni Mafreemason, wote hao ni Wapinga Kristo

  • @user-ue8pu6ij5i
    @user-ue8pu6ij5i 8 місяців тому

    Duuuuu!!

  • @vurilyrics3004
    @vurilyrics3004 8 місяців тому

    Duuu!
    Aseee!
    Yesu
    Tunakuomba uje mana watu wako tunaangamia kwakukosaa maarifa?????

  • @BrightonMbukile
    @BrightonMbukile 8 місяців тому

    Dah sikuelewa yale mabango niliyokuwa nayaona mungu ww ndounajua kipinikip tulehemu

  • @ibrahimelisha6842
    @ibrahimelisha6842 8 місяців тому

    Ndio mana ka malisa kana sumbua na ma hela
    Kumbe ya bwelelee
    Watu kanisa hawachunguzwi na hawakaguliwi so lets see final

  • @NaisonMkwananzi-cy2fc
    @NaisonMkwananzi-cy2fc 8 місяців тому

    Ushogaaaa

  • @user-nf9nw7xd6y
    @user-nf9nw7xd6y 7 місяців тому

    America kipini

  • @barakarobert1029
    @barakarobert1029 8 місяців тому +2

    Nabii katoboa pua na kavaa kipini😊

  • @NicodemusGasore-xk9kd
    @NicodemusGasore-xk9kd 8 місяців тому +1

    Macho ya kiroho sawa hamna je ya mwilin?

  • @stevenkipara9310
    @stevenkipara9310 8 місяців тому +4

    Watu wa Mungu kuweni makini sana na hawa watu naongea kwa unyenyekevu kabisa

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 8 місяців тому

      Tulia na kipara chako hujui unachokiongea

    • @Mzena4343
      @Mzena4343 8 місяців тому

      ​@@Churchofecclesiaupo Kama shoga wewe

    • @fpcttz
      @fpcttz 8 місяців тому

      Unyenyekevu wako tulia na kwenu kama hujui unachoongea

  • @user-pt4ft7ow1s
    @user-pt4ft7ow1s 8 місяців тому +2

    Strong English 😂😂😂

  • @janenandi4095
    @janenandi4095 8 місяців тому

    PROPHETIC Word FEARLESS Preacher UK 🇬🇧 KARIBU HOME 🏠 MY PAPA LOVY FOR THE MOUTH 👄 OF THE LORD HAS SPOKEN NO OTHERWISE ; 🙏🏼♥️❤️🩸

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 8 місяців тому

    Nampenda nabii Lovy Elias

  • @Churchofecclesia
    @Churchofecclesia 8 місяців тому

    Nimependa lovy alivyoongea

  • @shadraachshadinho
    @shadraachshadinho 2 місяці тому

    Ewee bwana tuokoe

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 8 місяців тому

    Bila Shaka kuna biashara iliyo nyuma ya Kanisa!!??

  • @ashtivkenya
    @ashtivkenya 8 місяців тому

    Manahii😂

  • @user-ks2xm5yb4p
    @user-ks2xm5yb4p 7 місяців тому

    Polee 😂😂😂😂😂 mtaabudu miungu hata msiyoijua kwa kukosa kujua neno la MUNGU

  • @simonibonifasi3131
    @simonibonifasi3131 7 місяців тому

    Nyie nimashetani2

  • @simonlomayani5743
    @simonlomayani5743 8 місяців тому +19

    Hawa ni wapinga KRISTO haitaji ata kuwa na Roho mtakatifu ili kuwatambua yani wako live ni mashoga hao

    • @veeJesus
      @veeJesus 8 місяців тому +2

      Mungu akusamehe

    • @natupe123
      @natupe123 8 місяців тому +1

      Eb sema kwañn ni MASHOGA????

    • @handenitakuru6696
      @handenitakuru6696 8 місяців тому +4

      Nimashoga kwani huwaoni wewe maandiko yamekwambia watatokea manabii wa uwongo, sasa hao niwakina nani kama sio hao manabii wa uwongo Nabii wamevaa vipi puani😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @happynessdavid7921
      @happynessdavid7921 8 місяців тому

      ​@@handenitakuru6696Bwana akamjibu Samweli mimi sitazami kama Wanadam watamazavyo bali mm natizama MOYO.

    • @simonlomayani5743
      @simonlomayani5743 8 місяців тому +3

      @@natupe123 mwanaume mwenye rasta na kutoboa pua ni zaidi ya mwanamke kahaba

  • @ismailmasoud6001
    @ismailmasoud6001 8 місяців тому +2

    Mapadiri wanaonekana kama mashoga..inabidi Kwa makini sana

    • @Churchofecclesia
      @Churchofecclesia 8 місяців тому

      Shoga mashekhe wako

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 місяців тому +3

      @@Churchofecclesia ...Sheikh hawezi kusuka Rasta kutoboa Pua na masikio na kuvaa vichupi hivyo...🤣🤣🤣

    • @wadantz123
      @wadantz123 8 місяців тому

      @@Churchofecclesia acha kutetea mashoga wenzio choko ww

  • @JacksonJohn.
    @JacksonJohn. 7 місяців тому

    😂😂😂 cna neno na kipin puan. 😢😢jiran yangu kapoteza chungu la supu anadai mm nimeiba mm mm niwakuiba supu. isiyo na chumvi

  • @user-uu1xj4zz5j
    @user-uu1xj4zz5j 7 місяців тому

    Kumbe manabii wanatoboa pua heee😂😂😂😂😂

  • @shabanikitula645
    @shabanikitula645 7 місяців тому

    Matapeli wamekutana

  • @amostv1864
    @amostv1864 8 місяців тому

    Yaliyotabiriwa sasa yanatimia

  • @selemankishema5780
    @selemankishema5780 8 місяців тому +1

    Nyie ndio mmatuletea malaana ya maporomoko ya mafuriko wala sijingine eti mitume 😂😂😂

    • @maystellakajuna5461
      @maystellakajuna5461 8 місяців тому

      Usicheke! Unadema sahihi, hayo sio mafuriko tu! Yanamaana.

  • @salehmohammedsalum2054
    @salehmohammedsalum2054 8 місяців тому

    Kwa hali ilivyo naona kila mkoa utakuja kuwa na Nabii wake 😂

  • @user-cs7sv6os4p
    @user-cs7sv6os4p 7 місяців тому

    NABII ANAKIPINI PUANI

  • @gideonleonceelias5423
    @gideonleonceelias5423 8 місяців тому

    😤😤😤😤😤

  • @user-mv4vb3ch7w
    @user-mv4vb3ch7w 7 місяців тому

    Na kipini,na rasi! Eee! Mapya!

  • @revocatusbahatibussiah5201
    @revocatusbahatibussiah5201 8 місяців тому

    Wapigaji hawana jipya hao

    • @dianamdaku9802
      @dianamdaku9802 8 місяців тому

      😂😂😂watapiga nin kwa watanzania jaman😂 Huyo lovy ana pesa chafu, passion nae yuko vizur sana. sema watanzania vieleele vyetu na kutaka miujiza ndyo vinatuponza. Hapo utakuta wanajaa kuombewaa😂😂

    • @ismailmasoud6001
      @ismailmasoud6001 8 місяців тому

      ​@@dianamdaku9802...Nyuma ya pazia wamekuja na ajenda zao za kutangaza ushoga, padiri ametoga masikio na Pua, halafu kavaa kipensi na skin tight ...duh..🤣🤣🤣

  • @AbuYasser-lx5gi
    @AbuYasser-lx5gi 8 місяців тому +1

    nhinhi wakristo amuna akili,, sababu awo wenhewe awagielewi

    • @godfreymarco629
      @godfreymarco629 8 місяців тому

      Jifunze kuandika kwanza, sawa kichwa maji

  • @haridimpelengana1246
    @haridimpelengana1246 8 місяців тому +3

    LGBT iko nyuma yao.

  • @user-wj9cy9bg8u
    @user-wj9cy9bg8u 7 місяців тому

    Hahahahaaaaa mpumbavu hafundishwi kudanganya

  • @emmanueltemplar
    @emmanueltemplar 7 місяців тому

    Mkora Lovy amekuja Tanzania kuwatapeli. Ashindwe false prophet

  • @annastaziakimaro3042
    @annastaziakimaro3042 7 місяців тому

    Mambo mengine hayaitaji macho ya rohoni, macho ya mwilini tu yanakupa tafsiri, wapendwa muwe macho hizi ni nyakati za mwisho

  • @wadantz123
    @wadantz123 8 місяців тому

    Hivi nyie mnaotetea huu ujinga ni wakristo wa dhehebu gan, yan unalikuta jinga eti linamuita uyu nabii duuuuh mkristo anaeijua dini awez tetea upumbavu huo

    • @johnsonntanguye9843
      @johnsonntanguye9843 7 місяців тому

      Uko sahihi hawa ni watúmishi wa yule adui ni mbinu za shetani kuwachangànya Wàtu Wasione njia ya Uzima hawa ñdio wale Baadae Utasikia malà kabàdili dini au Ameacha lengo huwa nkupoteza watu wasio na úfaham sahihi wa Neno la Mungu

  • @user-xt4mi5zs2s
    @user-xt4mi5zs2s 8 місяців тому

    Iv mtalishwa matango pori Hadi lini mbn dini ya wenzetu mauzauza ni mengi Kila kukicha manabii wanaongezeka ivi hata amfunuki akili wenzenu wanatajirika kupitia nyie