Wewe ndiyo mwenye matatizo tena makubwa. Kwani wewe ni msemaji wa Simba? Mfuate bwana wako huko. Mbona huyu mpumbavu anazungumza upumbavu uliopitiliza. Ati kuna watu watakufa kwa chama kuhama? Sijawahi kuona mtu taahira kama huyu. Alihama Zamoyoni Mogella aliyekuwa anafunga kila mechi na hatukutetereka sembuse huyu aliyechoka?
Wewe ndiyo mwenye matatizo tena makubwa. Kwani wewe ni msemaji wa Simba? Mfuate bwana wako huko. Mbona huyu mpumbavu anazungumza upumbavu uliopitiliza. Ati kuna watu watakufa kwa chama kuhama? Sijawahi kuona mtu taahira kama huyu. Alihama Zamoyoni Mogella aliyekuwa anafunga kila mechi na hatukutetereka sembuse huyu aliyechoka?
Mwambiee.kaka kama.kaumia kaumia mwenyewe
Mchungaji wewe ndio mchanganyikiwa alaf Simba ndio wavurugu
Awezi kucheza milele Simba ungetoa PESA yako umsajiri
Majonzi umepata wewe,, nani apate majonzi kisa chama ,,,,kwani yeye nani? Sijaumia , ata kidogo ,,,
Wewe kweli nawe Ni mjinga kweli mfuate huyo baba yako Chama pumbavu.
Mchungaji nimekuelewa unaongea kweli kimpira
Sasa wewe kama hata wachezaji wazuri huwajui ao wachezaji wako unaowaleta simba watafiti kweli
chama anastahili aondoke na km kweli mchungaji anajua mpira chama alistahili aende, simba ipo ktk project hivyo inahitajika kuwepo na maamuzi magum
Wewe ndio una matatizo wewe hamia alipo enda sio kweli wewe ndio umeumia
Mchungaji na mpira wapi na wapi wew ni mhuni tu kama wahuni wengine shenzi class A na d 2
Wewe mjinga achakujaza watu upuuzi
Acha hajakwenda yanga amekwenda kwa mkeo kolo wewe
Kichaa tu ndo anaweza kuhama timu chama kwa sasa umri utaona kama timu ya taifa ya zambia kama watamwita tena
Wewe mzee inashinda pole
Mtu mzima hovyo sana😏
Wewe pekeyako umeuumiaa
Huyu nae mgonjwaa wa chama
Na wewe hamia uko
Wewe unamatatizo makubwa ,kamuulize bwana ako alie kuambia kasaini mala mbili
Kaka kila siku nilikuwa nakuona unafaham mpira kumbe zero
Wewe mchngaji hatukuelewi
Bora chama kaondoka
Wewe ujui mpira
😂😂
👍