R.I.P mwamba nakumiss leo nakusikiliza tena mwenyezi mungu akulaze mahali pemA peponi,mkombozi leo tumejua unafiki wa viongozi wetu tanzania R.I.P umefanya vitu ambavyo maraisi wa nne nyuma yako wameshindwa mwamba tangulia cc bado tupo na ww mwamba R.I.P chuma reli ya kati imejengwa na mjerumani zaidi ya miaka 100 umekuja kujenga ww dah mungu fundi kweli R.I.P MWAMBA,CHUMA KUTOKA CHATO
Hata mimi nimeumia Sana ... Mungu wetu tunaomba umusamehe mazambi yake Raisi wetu jamni Roho inauma sana ... Yale ya unanijua mimi mi Nani yanarudi tena Dahaa
It's hurting guys...mazee hii nyimbo imenigusa Kati ya zote.aki barikiwa Sana na poleni Sana ndugu zetu watanzania na East Africa and entire Arica continent.aki naumia😭😭
Msechu, you have a powerful voice. Very emotional! Wewe sio kiumbe wa kawaida. Wenzako wameimbaimba tu. Hii sio level yao. Ni hatari sana. Hongera sana kaka!
Hongera kwa wasanii wote mlioshiriki kutunga nyimbo za maombolezo ila niwe mkweli tu huu ndio wimbo bora kutokana na Jinsi muimbaji alivyoimba kwa hisia na maneno yaliyo tamkwa.
Its beautiful emotional songs for alls tme.thanx Peter msechu you best vocalist..with out forget R.I.P. shujaa wetu wa Africa John Makufuli in our heart forever....
Kweli kabisa nakumbuka hata uwanja wa uhuru MC aliuomba urudiwe mara nyingi kwenye maombolezo dar uhuru nashangaa minyimbo mingine wameimba wengi lakini haina hata mashiko ya kufariji wala kuleta hisia za kumukumbuka shujaa wetu msechu ametisha sana
Wewe ndo Umeimba wimbo wenye Hisia kuhusu msiba huu, sio wale kina Fulan wanafokafoka tu studio, huu wimbo utatumika kama Kumbukumbu Milele. Asante Peter Msechu, Ila Nakusihi pia punguza Kiwango cha Lami Mwilini.
Daaaa jamani🙆😭😭😭 yaani huu wimbo umenigusa .Pumzika kwa amani baba yetu kiukweli tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda sana.Hongera sana msechu kwa wimbo mzuri hakika umejua kutunga 🙏
@@justarmangashini7107 pole sana mpendwa yaani hata mm nikiona Picha zake anazozungumza yaani ni kilio kwangu hakika huyu baba hatutamsahau ktk maisha yetu ya hapa duniani. Mungu amlaze mahali pema peponi🙏
bro peter hii nyimbo umeimba kila nikisikiliza huzuni na mkumbuka JPM we are rost a true son of Africa panafricalist leader 😭😭😭 rest in Paradise our beloved president
Kiukweri Wewe msechu unitafute nikuulize kitu mungu akupe uwezo zaidi unajua Sana king najua umeokoka Mwamba mungu akupe uwezo zaidi uspendi kujitangaza Kama wenzako wakitoa kawimbo wanakatangaza ingekuwa wanauwezo Kama huu bongo tungekoma Sasa mungu naye sio mtoto amewanyima
Shukrani Peter Msechu, wimbo wako huu mzuri wa maombelezo umenifanya niupate wimbo niliokuwa nautafuta muda mrefu bila mafanikio mpaka nikakata tamaa, unaitwa Ekwueme, umeimbwa na Prospa Ochimana.
Yaani NYIMBO Bora za maomboloze hatuzipi airtime kubwa kwenye hizi platform, halafu zisizo na touch yeyote ndio tunazipa airtime jamaniii. Tunakwama wapi wapendwa. Good msechu. 100% ya watanzania msiba huu umetuliza sana.ukimuona mtu Hana majonzi ujue anamatatizo.
Mungu wew n mkalimu umechukua shujaa wetu, mlaze pema baba, amefanya mengi kwa watu wa Rika zote, Hali zote na rangi zote, uongozi wako baba umetvsha toka hatua moja kwenda nyingne🙏🙏🙏,nina kilio kikuu moyoni mwangu baba magufuli ctachoka kkuombea na kukuenz jembe letu la Tanzania ,kazi yako Mungu Haina makosa, why watu wema hawadumu😭😭😭😭😭
Katika uongozi WA Africa sijawahi ona rais mwenye utu Kama magufuli sijawahi ona rais mwenye roho ya utu Kama Baba magufuli laiti mungu angekurejesha pumzika Kwa amani Baba magufuli
Ulisema tutakukumbuka nikweli mzee kila kitu bei juu watu wanyonge tunaumia sana mungu akulaze mahali pema peponi mungu ndio ajue yote yanayo endelea hapa nchin tanzania
Very painful and this loss is a tough one to take, especially when listening to powerful tribute songs by you.. May our lovely president rest in heaven Amen..
For my opinion.. This Song deserves to be the best JPM's mourning Song.. it's content and sound are very sensitive 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Goodbye our Hero Go our Really Patriot.
Huu wimbo inaniweka machozi kweli kweli,mimi Mkenya 🇰🇪 lakini nilimpenda Magu kushinda viongozi wa kenya wafisadi
Hata huku mafisadi wapo ila walikua wakimuogopa magu ila mungu yupo
Nani anaisikiliza tena leo 2023 😢😢😢
R.I.P mwamba nakumiss leo nakusikiliza tena mwenyezi mungu akulaze mahali pemA peponi,mkombozi leo tumejua unafiki wa viongozi wetu tanzania R.I.P umefanya vitu ambavyo maraisi wa nne nyuma yako wameshindwa mwamba tangulia cc bado tupo na ww mwamba R.I.P chuma reli ya kati imejengwa na mjerumani zaidi ya miaka 100 umekuja kujenga ww dah mungu fundi kweli R.I.P MWAMBA,CHUMA KUTOKA CHATO
Respect msechu unajua kaka hii ndio ngoma ya kusiliza like zenu wapendwa
Umeusifia ili uombe like😭
Dah! Nikisikiliza huu wimbo, mwili unasisimka na vipele vya baridi vinatoka na machozi mengi, Mungu akupe pumziko la milele. Best song
Mm machinga IL magu ni binadam mwenyew heri dunian na mbinguni
Goosebumps... ndo nnavojiskia hapa 😭😭
Sina hata la kusema kweli ulijitolea maisha yako kwa ajili ya watanzania wanyonge cna baya kwako
😢💔 Rest in power Magufuli.
Much love from Belgium.
We stand with our Tanzanian brothers and sisters. ✊🏾
Jamaa ameimba Sana nduguyangu mungu amuifazi magufuli atoweza tokea mtetezi wakweli
Assalam Alykum warahmatullah wabarakatu
Aise inauma sana ukikumbuka
Dah asee Msechu umeniliza sana kwa nyimbo zako! Hakika Chuma kimelala ni ngumu kuamini kwakweli! Dah Magufuli kweli???? Dah haya bhana
Mimi ndguu ynguu numelia sanaa yanii
Atamie nimeukubali sana
msechu peter umetufanya na sisi tuliopo mbali kujiona tupo chato kumzika mzee,bonge la wimbo hili
Lala salama Magufuli. Ulikua kiongozi / shujaa bora tuliyemtamani toka Kenya🇰🇪...
Pole zangu kwa majirani, Mola awafariji katika wakati huu mgumu.
asante bro lumumba
Ahsante 🙏🏾
@@johnkimune8348 Karibu sana kaka..
@@natasha7969 🙏 Karibu sana
Asante sana kaka na ndugu yetu Lumumba
Wimbo pekee wa Maombolezo ulionigusa..Barikiwa kaka Msechu🙏
Upo sahihi ulivyosema kaka
Who sang the original song??
@@seniorbonchance6404 Prospa Ochimana - Ekwueme
Hakika nyimbo nzuri
Hata mimi nimeumia Sana ... Mungu wetu tunaomba umusamehe mazambi yake Raisi wetu jamni Roho inauma sana ... Yale ya unanijua mimi mi Nani yanarudi tena Dahaa
😭salute kwakö brother Salute mno kwa nyimbo hii bora Kbsa 😭😭rest in peace sir magufuli 😭😭
It's hurting guys...mazee hii nyimbo imenigusa Kati ya zote.aki barikiwa Sana na poleni Sana ndugu zetu watanzania na East Africa and entire Arica continent.aki naumia😭😭
Wimbo umetugusa wengi Sana🙏🙏🇹🇿😭💔
Mambooo
Sikuwahi waza hii siku ningeishuhudia,Mungu?
Asante kwa yote Magufuri,Mungu asante kumuumba Magufuri, nimeliq toka juzi.
Tutampata wapi Magufuli mwingine Afrika hii? Rest well sir!
Huu ndio wimbo bora wa maombolezo kuliko zngne zote gonga like Kama umeukubali
Umeanza unaaaa....
nani anasikiliza hii2024
Unanzaje kudislike wimbo kama huu??? Why cant we appriciate the best like this???? This is why we cry after its gone😢😢😢😢
For sure
Aki jamn
Wengine hiyo button hata hawaelewi ina maana gan wanabonyeza tuu😟
Wimbo umenigusa Sana kwa kumbukizi ya baba yetu magufuli mchapa kazi mahiri, R.I.P MAGU PIMZIKA KWA AMANI.
Yaani hii nyimbo inaendana na huzuni tuliyonayo jaman sifuatiliag nyimbo ila hii imenigusa😭😭 Magufuli rais wetu wanyonge
Huu wimbo wa msechu umenigusa sana
Kwakweli, mama Janeth pole yake. Ahsante Msechu kwa wimbo bora wa maimbolezo ya mpendwa wetu
Wimbo huu Pia unazidi kufanya machozi yamiminike, asante sana Msechu. Daima tupo na Mama Jeanette
Kwel
Uyu jamaa anajua sana piter msechu apa kazi tu ameimba vizuri nyimbo za magufuli
Can't stop crying,he was loved beyond boundaries! Kenyans we're mourning with our neighbour's Tanzanians! Rest in eternal peace his Excellency
Thank you
Thank you very much
I'm a Kenyan and anytime I watch or listen to this song, tears run down my chick as a helpless baby
@@denosizee4000 very touching 😢
I don't know why but I always cry whenever this song is on air,even my wife and kids don't know why
The most and only emotional song for our late president Hon John Pombe Magufuli sleep well now we regret loosing you😢😢😢😥😥
Nyimbo yangu number 2 katika kipindi hichi cha maombolezo number 1 niwakwako pia umetuacha salama kazi nzuri mno kongole kwako msechu 💪💪💪💪💪👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿
Prospa ochimana-unaitwa ekwueme msechu kageuza maneno tu
Msechu, you have a powerful voice. Very emotional! Wewe sio kiumbe wa kawaida. Wenzako wameimbaimba tu. Hii sio level yao. Ni hatari sana. Hongera sana kaka!
We jamaa unajua sana, asante sana kwa nyimbo nzuri za kutufariji, kumshukuru na kumuombea mzee wetu
Mwenye wimbo huyu hapa prospa ochimana+++Wimbo ekwueme!!!
uko vzr san kij
Hongera kwa wasanii wote mlioshiriki kutunga nyimbo za maombolezo ila niwe mkweli tu huu ndio wimbo bora kutokana na Jinsi muimbaji alivyoimba kwa hisia na maneno yaliyo tamkwa.
Sahh kabisa
Anaweza
daaaahhh !!!! Inyimbo inazidi kutupa machungu zaidi maumivu makali
Dah this song hurt me so much bt no way rest in peace our president I'll remember you all time
Huu wimbo ni mzuri sana aiseee, unaumiza roho pia napenda kuusikia muda wote Umeimba kwa hisia sana, hongera Msechu
Its beautiful emotional songs for alls tme.thanx Peter msechu you best vocalist..with out forget R.I.P. shujaa wetu wa Africa John Makufuli in our heart forever....
Wimbo wa prospa ochimana -unaitwa ekwueme( msechu kageuza maneno tu!!)
Wimbo mzr San msanii alieimba mung amzidishie maarifaaa
@@emariusrush7704 Kwan ni kosa au
Thanks bro msechu kwa this touching song... Very creative. Mungu ampokee mahala pema JPM TUTAZIDI KUMKUMBUKA DAIMA
Kila jema lina mwisho wake tena mwisho wenye kuumiza wengi! R I P mzee wetu Magu!
Wimbo umetulia sana ,wabongo tubadilike tupende vitu bora
Kweli kabisa nakumbuka hata uwanja wa uhuru MC aliuomba urudiwe mara nyingi kwenye maombolezo dar uhuru nashangaa minyimbo mingine wameimba wengi lakini haina hata mashiko ya kufariji wala kuleta hisia za kumukumbuka shujaa wetu msechu ametisha sana
Sana broo
hapa msechu hajapata mpinzani kabisa
Msechu hongere mpare mwenzangu umejua kuimba vizuri
@@reubenmsuya899 huu wimbo ni wa prospa ochimana wa nigeria,msechu kageuza maneno tu!!
hii nyimbo iki Trend kwenye UTV na. TBC ....inatosha .... 😩😩😩so touching
Wewe ndo Umeimba wimbo wenye Hisia kuhusu msiba huu, sio wale kina Fulan wanafokafoka tu studio, huu wimbo utatumika kama Kumbukumbu Milele. Asante Peter Msechu, Ila Nakusihi pia punguza Kiwango cha Lami Mwilini.
Tanzania tunalia sana kapumzike salama baba japo sikuamini kama umeenda lala baba japo bado tunakuhitaji ubarikiwe sana Msechu kwa wimbo wako
Angalia kazi nyingine hii
Hapa uwezo anao Sana ilaustumie
Mtipule ukitumia Mtipule wilemwauhuwimba
Hangi unguluviahulindage
Vela msechu
Daaaa jamani🙆😭😭😭 yaani huu wimbo umenigusa .Pumzika kwa amani baba yetu kiukweli tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda sana.Hongera sana msechu kwa wimbo mzuri hakika umejua kutunga 🙏
Kwa hari ya kawaida ya ni bora tusingemjua mtu anaeitwa magu ni machungu Sana nimesahau lakin haipiti cku mbili lazma nimkumbuke
@@justarmangashini7107 pole sana mpendwa yaani hata mm nikiona Picha zake anazozungumza yaani ni kilio kwangu hakika huyu baba hatutamsahau ktk maisha yetu ya hapa duniani. Mungu amlaze mahali pema peponi🙏
Jamaa unaimba from home kg
Wow you've an incredible talent sound ya mziki huu imetoka kule kwa prosper ochimana alieimba ekuweme
Baada ya kumpoteza dida nikaukumbuka huu wimboo😢😢😢😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏
Jamani wimbo unaliza... Kifo ni siri kubwa kwetu ambayo Mungu kaiweka
Like your the living lord, Peter msechu. Nice song. Rest in peace magufuli. Tulikupenda pia kenya
Yaan we acha tu
Msechu umetufanya tuomboleze kwa nyimbo nzuri hakika Magufuli apumzike kwa amani 🙏🙏🙏🇹🇿
Tears can't stop flowing... It's painful... Pole.. RIP MR PRESIDENT
This one has brought tears in my eyes. Pumzika kwa Amani Jembe La Tanzania Dr. John Pombe Magufuli 🙏
Kaka Msechu umeimba Sana Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri hii nyimbo ikipigwa lazima nilie R.i.p baba Magufuli😭😭😭
Why this song OMG 😭😭ee mungu wewee mkaliii umechukuua shujaaa bas mpokee magu alale pema babaa...... oh God I caaan't 😭😭
Prospa ochimana---song ekwueme
Msechu sauti nzuri wimbo mzuri.RIP JPM
R.I.p jembe Mungu mpumzishe kwa amani Rais wetu mpendwa
JPM lala baba umefanya kazi kubwa sana, Asante kwa kuyatoa maisha yako kwaajiri ya Tanzania wewe ni shujaa wa Africa.
Umelia kwa niaba ya wote. Maombolezo ulionishika na kuniguza kila kona...
Wallah nimemis maguful hii nyimbo hainitokagi kichwan nalia to Mimi
bro peter hii nyimbo umeimba kila nikisikiliza huzuni na mkumbuka JPM we are rost a true son of Africa panafricalist leader 😭😭😭 rest in Paradise our beloved president
Duh😭😭😭😭😭
Ni wimbo pekee unaogusa kila nafsi ingali Hai, R.I.P baba Magufuli mwanga wa milele umuangazie..Ameen
Forever in our hearts Magufuli😥😥
Kiukweri Wewe msechu unitafute nikuulize kitu mungu akupe uwezo zaidi unajua Sana king najua umeokoka
Mwamba mungu akupe uwezo zaidi uspendi kujitangaza Kama wenzako wakitoa kawimbo wanakatangaza ingekuwa wanauwezo Kama huu bongo tungekoma Sasa mungu naye sio mtoto amewanyima
Shukrani Peter Msechu, wimbo wako huu mzuri wa maombelezo umenifanya niupate wimbo niliokuwa nautafuta muda mrefu bila mafanikio mpaka nikakata tamaa, unaitwa Ekwueme, umeimbwa na Prospa Ochimana.
Na ukisikilza huu wimbo lazma utalia kwa magu ulikuja half ukatuacha
Polen sana
Yaani NYIMBO Bora za maomboloze hatuzipi airtime kubwa kwenye hizi platform, halafu zisizo na touch yeyote ndio tunazipa airtime jamaniii. Tunakwama wapi wapendwa. Good msechu. 100% ya watanzania msiba huu umetuliza sana.ukimuona mtu Hana majonzi ujue anamatatizo.
Maumivu ayaishi mwenyez mungu akuepushie adhabu ya kaburi baba etu kipenz changu wanyonge mtetez wetu mpenda khaki 😭😭😭🙏🏿🙏🏿
Peter umejua kuomboleza hakika we Ni fundi
Resp in Peace Mr President Magufuli,this song is very emotional 😢
😭😭😷😷 msechu huu wimbo ni bora sanaa apumzike salama baba etu nimelia hadi naumwa jmn
Bro ulitupa moyo na ya kwanza na saii unatuliza😭😭😭 Inna lillahi wa Inna ilaihi raaj un 😭😭😭...
Magufuli tunakulilia Sana 😭😭😭 pia ,Kaka una sana kipaji Kama bado kuokoka Uokoke tuu na Yesu akutumie Sana. Una kipaji kizuri nimeogopa.
Daah huu wimbo unataka kuniliza asee pumzika kwa amani jpm zawadi yetu tuliyo pewa na mungu
Jamani magufuli mbona mi sijawaza kama kuna siku nitaumia hivi umetuumiza magufuli tunalia tunaumia kwaheri baba😭💔💔🇹🇿🙏🏻
R I P magufuri huku Tanzania tunateseka Sana kuhu chanjo ulizo kuwa unazipinga wenzio wamezileta fufuka baba urudi ikuluuu jaman uuuuwiiiii8
Daa nyimbo inaniliza Pumzika kwa amani bb daima TUTAKUKUMBUKA hongera Msechu kwa nyimbo nzuli
Mungu wew n mkalimu umechukua shujaa wetu, mlaze pema baba, amefanya mengi kwa watu wa Rika zote, Hali zote na rangi zote, uongozi wako baba umetvsha toka hatua moja kwenda nyingne🙏🙏🙏,nina kilio kikuu moyoni mwangu baba magufuli ctachoka kkuombea na kukuenz jembe letu la Tanzania ,kazi yako Mungu Haina makosa, why watu wema hawadumu😭😭😭😭😭
Barikiwa Msechu kwa wimbo bora wa kumuomboleza Rais wetu, Rest In Eternal Peace Mr President
Daah, yani katka wasanii wote nchi nzima hakika ww ni the best katika nyimbo za maombolezo, 😭😭😭🙏
Hongera kk umejua kuimba sana
Ni kwabwaaaaaaaa kuliko zoteeeeeeeeeeeeéeeeeeeéer
lost the Hero and Patriotic son of our Country. Baba Babs pumzika upeponi na uendelee kutubariki kwa neema zako. Ameen.
Jamani uwiiiiiiii kiukweli sijawahi kuzoea Magufuli 😭 😭 😭😭😭
Katika uongozi WA Africa sijawahi ona rais mwenye utu Kama magufuli sijawahi ona rais mwenye roho ya utu Kama Baba magufuli laiti mungu angekurejesha pumzika Kwa amani Baba magufuli
Dah, , msechu huu wimbo ulitulia, , unagusa sana moyo, , nenda chuma, , nenda rais wangu
Ktk wasani walioimba nyimbo zenye huzuni ni wewe tu wengine sijawaelewa
Ulisema tutakukumbuka nikweli mzee kila kitu bei juu watu wanyonge tunaumia sana mungu akulaze mahali pema peponi mungu ndio ajue yote yanayo endelea hapa nchin tanzania
Sitasahau ktk maisha yangu hadi Leo siamini km kweli baba magu haupo
Nyimbo imetulia sana japo ni ya msiba ila sichoki kuisikiliza
R.I.P Nyimbo Moja Bora kabisa ya maombolezo katika kipindi Hiki Hongera The Best vocalist Pierr Msechu"
Msechu umejua kuimba nyimbo imegusa mioyo ya watanzania
Msechu umetupa wimbo bora wa kuomboleza huu wimbo utadumu siku zote hongera kaka
Wimbo original ni huu hapa prospa ochimana+++ Wimbo ekwueme
Kama Kuna nyimbo bola ya maombolezi hii n nambooja
Kaka msechu wimbo wako umeweka kumbukumbu tosha katka nchi yetu daima tutamkumbuka sana rais wetu kupitia wimbo wako kaka msechu
Hakuna nyimbo yeyote itayoifikia hii kwa maombolezo ya mzee magu ..msefu goood music hakuna Cha all star Wala Nani hii ndo nyimbo ya maombolezo
Hongera sana Msechu kwa utunzi wako yaaani nyimbo zako zote ziko💪 yaani zinafariji mno
Very painful and this loss is a tough one to take, especially when listening to powerful tribute songs by you..
May our lovely president rest in heaven Amen..
Huu wimbo humenigusa Sana dah Magufuli Hutaishi moyoni mwangu daima
BEST SONG SO FAR MSECHU CONGRATULATIONS..... R. I. P OUR GREAT PRESIDENT
Hakika huu wimbo Nitazid KUUPENDA huu kwangu mimi ULINIGUSA HASA
Aisee kazi nzuri sana. Dah inauma sana RIP THE SON OF AFRIKA JPM
Mbele Yake nyuma yetu MW/MUNGU amlaze mahali pema peponi 🙏😭🇹🇿💔
😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿jaman Mimi nalia mpaka mda huuu😭😭😭😭uwiiii maumivu moyo unataka kupasuka jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Uwanjani nyimbo ilonifanya nimlilie magu ni huu😭😭😭,pole msechu kwa kuomboleza ,pigo halielezeki🙏🙏🙏🙏
Kila nikiwaza na kutafakali nahisi Kama nadanganywa kua et magufuli amefariki duuu!!! R.i.p mjomba magufuli hatuta kuona Tena.
For my opinion.. This Song deserves to be the best JPM's mourning Song.. it's content and sound are very sensitive 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Goodbye our Hero Go our Really Patriot.
Nalia mpaka leo na kila nikiona mambo yanavyokwenda TZ😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭