TUTAONANA MAGUFULI - Peter Msechu

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 18 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 678

  • @denosizee4000
    @denosizee4000 3 роки тому +48

    Huu wimbo inaniweka machozi kweli kweli,mimi Mkenya 🇰🇪 lakini nilimpenda Magu kushinda viongozi wa kenya wafisadi

    • @gosbertmuta5421
      @gosbertmuta5421 3 роки тому +1

      Hata huku mafisadi wapo ila walikua wakimuogopa magu ila mungu yupo

  • @salhiyamuhsin331
    @salhiyamuhsin331 Рік тому +10

    Nani anaisikiliza tena leo 2023 😢😢😢

  • @kaminambeho
    @kaminambeho 3 роки тому +9

    R.I.P mwamba nakumiss leo nakusikiliza tena mwenyezi mungu akulaze mahali pemA peponi,mkombozi leo tumejua unafiki wa viongozi wetu tanzania R.I.P umefanya vitu ambavyo maraisi wa nne nyuma yako wameshindwa mwamba tangulia cc bado tupo na ww mwamba R.I.P chuma reli ya kati imejengwa na mjerumani zaidi ya miaka 100 umekuja kujenga ww dah mungu fundi kweli R.I.P MWAMBA,CHUMA KUTOKA CHATO

  • @edwinjohn6334
    @edwinjohn6334 3 роки тому +15

    Respect msechu unajua kaka hii ndio ngoma ya kusiliza like zenu wapendwa

  • @angelbenjamin7326
    @angelbenjamin7326 3 роки тому +34

    Dah! Nikisikiliza huu wimbo, mwili unasisimka na vipele vya baridi vinatoka na machozi mengi, Mungu akupe pumziko la milele. Best song

    • @shanielsimon7425
      @shanielsimon7425 2 роки тому

      Mm machinga IL magu ni binadam mwenyew heri dunian na mbinguni

    • @zzarozaro5025
      @zzarozaro5025 6 місяців тому

      Goosebumps... ndo nnavojiskia hapa 😭😭

  • @gressjohn3754
    @gressjohn3754 3 роки тому +4

    Sina hata la kusema kweli ulijitolea maisha yako kwa ajili ya watanzania wanyonge cna baya kwako

  • @MurakaZaneza
    @MurakaZaneza 3 роки тому +56

    😢💔 Rest in power Magufuli.
    Much love from Belgium.
    We stand with our Tanzanian brothers and sisters. ✊🏾

    • @nasraissa3937
      @nasraissa3937 3 роки тому +2

      Jamaa ameimba Sana nduguyangu mungu amuifazi magufuli atoweza tokea mtetezi wakweli

    • @hafidhali815
      @hafidhali815 3 роки тому +2

      Assalam Alykum warahmatullah wabarakatu

    • @aliceainnocent1736
      @aliceainnocent1736 3 роки тому +1

      Aise inauma sana ukikumbuka

  • @innocentkitundu6637
    @innocentkitundu6637 3 роки тому +34

    Dah asee Msechu umeniliza sana kwa nyimbo zako! Hakika Chuma kimelala ni ngumu kuamini kwakweli! Dah Magufuli kweli???? Dah haya bhana

  • @Elimunamalezi
    @Elimunamalezi 3 роки тому +15

    msechu peter umetufanya na sisi tuliopo mbali kujiona tupo chato kumzika mzee,bonge la wimbo hili

  • @charleslumumba1024
    @charleslumumba1024 3 роки тому +43

    Lala salama Magufuli. Ulikua kiongozi / shujaa bora tuliyemtamani toka Kenya🇰🇪...
    Pole zangu kwa majirani, Mola awafariji katika wakati huu mgumu.

  • @djbobnas7824
    @djbobnas7824 3 роки тому +202

    Wimbo pekee wa Maombolezo ulionigusa..Barikiwa kaka Msechu🙏

    • @isayamarckoamagicharo4268
      @isayamarckoamagicharo4268 3 роки тому +2

      Upo sahihi ulivyosema kaka

    • @seniorbonchance6404
      @seniorbonchance6404 3 роки тому +3

      Who sang the original song??

    • @djbobnas7824
      @djbobnas7824 3 роки тому

      @@seniorbonchance6404 Prospa Ochimana - Ekwueme

    • @francisnjuguna57
      @francisnjuguna57 3 роки тому +1

      Hakika nyimbo nzuri

    • @williamngalla1068
      @williamngalla1068 3 роки тому +3

      Hata mimi nimeumia Sana ... Mungu wetu tunaomba umusamehe mazambi yake Raisi wetu jamni Roho inauma sana ... Yale ya unanijua mimi mi Nani yanarudi tena Dahaa

  • @humblegirltz116
    @humblegirltz116 3 роки тому +18

    😭salute kwakö brother Salute mno kwa nyimbo hii bora Kbsa 😭😭rest in peace sir magufuli 😭😭

  • @teachertomnzau
    @teachertomnzau 3 роки тому +47

    It's hurting guys...mazee hii nyimbo imenigusa Kati ya zote.aki barikiwa Sana na poleni Sana ndugu zetu watanzania na East Africa and entire Arica continent.aki naumia😭😭

  • @hawamazengo5807
    @hawamazengo5807 3 роки тому +43

    Wimbo umetugusa wengi Sana🙏🙏🇹🇿😭💔

  • @alphoncekagoshi941
    @alphoncekagoshi941 3 роки тому +33

    Sikuwahi waza hii siku ningeishuhudia,Mungu?
    Asante kwa yote Magufuri,Mungu asante kumuumba Magufuri, nimeliq toka juzi.

  • @researchwilson4473
    @researchwilson4473 3 роки тому +15

    Tutampata wapi Magufuli mwingine Afrika hii? Rest well sir!

  • @erickaloyce3303
    @erickaloyce3303 3 роки тому +9

    Huu ndio wimbo bora wa maombolezo kuliko zngne zote gonga like Kama umeukubali

  • @BaltazarMashama-h8q
    @BaltazarMashama-h8q 23 дні тому +2

    nani anasikiliza hii2024

  • @rashidhiba9099
    @rashidhiba9099 3 роки тому +51

    Unanzaje kudislike wimbo kama huu??? Why cant we appriciate the best like this???? This is why we cry after its gone😢😢😢😢

  • @magrethcostantine9223
    @magrethcostantine9223 Рік тому +3

    Wimbo umenigusa Sana kwa kumbukizi ya baba yetu magufuli mchapa kazi mahiri, R.I.P MAGU PIMZIKA KWA AMANI.

  • @fatumabaraka8496
    @fatumabaraka8496 3 роки тому +15

    Yaani hii nyimbo inaendana na huzuni tuliyonayo jaman sifuatiliag nyimbo ila hii imenigusa😭😭 Magufuli rais wetu wanyonge

  • @hawashaban3500
    @hawashaban3500 3 роки тому +10

    Kwakweli, mama Janeth pole yake. Ahsante Msechu kwa wimbo bora wa maimbolezo ya mpendwa wetu

  • @patrickmanirakiza9592
    @patrickmanirakiza9592 3 роки тому +30

    Wimbo huu Pia unazidi kufanya machozi yamiminike, asante sana Msechu. Daima tupo na Mama Jeanette

  • @matsonjoseph9437
    @matsonjoseph9437 3 роки тому +1

    Uyu jamaa anajua sana piter msechu apa kazi tu ameimba vizuri nyimbo za magufuli

  • @wathuthisnyarcute
    @wathuthisnyarcute 3 роки тому +64

    Can't stop crying,he was loved beyond boundaries! Kenyans we're mourning with our neighbour's Tanzanians! Rest in eternal peace his Excellency

  • @rashidhiba9099
    @rashidhiba9099 3 роки тому +25

    The most and only emotional song for our late president Hon John Pombe Magufuli sleep well now we regret loosing you😢😢😢😥😥

  • @josephmateru8892
    @josephmateru8892 3 роки тому +6

    Nyimbo yangu number 2 katika kipindi hichi cha maombolezo number 1 niwakwako pia umetuacha salama kazi nzuri mno kongole kwako msechu 💪💪💪💪💪👏🏿👏🏿👏🏿👏🏿

    • @emariusrush7704
      @emariusrush7704 3 роки тому

      Prospa ochimana-unaitwa ekwueme msechu kageuza maneno tu

  • @TamuzaKale
    @TamuzaKale 3 роки тому +7

    Msechu, you have a powerful voice. Very emotional! Wewe sio kiumbe wa kawaida. Wenzako wameimbaimba tu. Hii sio level yao. Ni hatari sana. Hongera sana kaka!

  • @amirihassan4974
    @amirihassan4974 3 роки тому +20

    We jamaa unajua sana, asante sana kwa nyimbo nzuri za kutufariji, kumshukuru na kumuombea mzee wetu

  • @yohanamteleke2324
    @yohanamteleke2324 3 роки тому +22

    Hongera kwa wasanii wote mlioshiriki kutunga nyimbo za maombolezo ila niwe mkweli tu huu ndio wimbo bora kutokana na Jinsi muimbaji alivyoimba kwa hisia na maneno yaliyo tamkwa.

  • @thabitiajibu4404
    @thabitiajibu4404 3 роки тому +1

    daaaahhh !!!! Inyimbo inazidi kutupa machungu zaidi maumivu makali

  • @derickcyprian1514
    @derickcyprian1514 3 роки тому +8

    Dah this song hurt me so much bt no way rest in peace our president I'll remember you all time

  • @Remedyandbeautyy
    @Remedyandbeautyy 3 роки тому +51

    Huu wimbo ni mzuri sana aiseee, unaumiza roho pia napenda kuusikia muda wote Umeimba kwa hisia sana, hongera Msechu

    • @hajihussein1515
      @hajihussein1515 3 роки тому

      Its beautiful emotional songs for alls tme.thanx Peter msechu you best vocalist..with out forget R.I.P. shujaa wetu wa Africa John Makufuli in our heart forever....

    • @emariusrush7704
      @emariusrush7704 3 роки тому

      Wimbo wa prospa ochimana -unaitwa ekwueme( msechu kageuza maneno tu!!)

    • @josephmatokeo6109
      @josephmatokeo6109 3 роки тому

      Wimbo mzr San msanii alieimba mung amzidishie maarifaaa

    • @josephmatokeo6109
      @josephmatokeo6109 3 роки тому

      @@emariusrush7704 Kwan ni kosa au

  • @dennismalima5365
    @dennismalima5365 3 роки тому +5

    Thanks bro msechu kwa this touching song... Very creative. Mungu ampokee mahala pema JPM TUTAZIDI KUMKUMBUKA DAIMA

  • @faharimbilinyi5972
    @faharimbilinyi5972 3 роки тому +15

    Kila jema lina mwisho wake tena mwisho wenye kuumiza wengi! R I P mzee wetu Magu!

  • @esterdoriye4304
    @esterdoriye4304 3 роки тому +68

    Wimbo umetulia sana ,wabongo tubadilike tupende vitu bora

    • @leonardalfred7473
      @leonardalfred7473 3 роки тому +7

      Kweli kabisa nakumbuka hata uwanja wa uhuru MC aliuomba urudiwe mara nyingi kwenye maombolezo dar uhuru nashangaa minyimbo mingine wameimba wengi lakini haina hata mashiko ya kufariji wala kuleta hisia za kumukumbuka shujaa wetu msechu ametisha sana

    • @amazingtvshow3240
      @amazingtvshow3240 3 роки тому

      Sana broo

    • @hassankiffu2706
      @hassankiffu2706 3 роки тому

      hapa msechu hajapata mpinzani kabisa

    • @reubenmsuya899
      @reubenmsuya899 3 роки тому +1

      Msechu hongere mpare mwenzangu umejua kuimba vizuri

    • @emariusrush7704
      @emariusrush7704 3 роки тому

      @@reubenmsuya899 huu wimbo ni wa prospa ochimana wa nigeria,msechu kageuza maneno tu!!

  • @malkiasepetu8615
    @malkiasepetu8615 3 роки тому +3

    hii nyimbo iki Trend kwenye UTV na. TBC ....inatosha .... 😩😩😩so touching

  • @lyrics_forum
    @lyrics_forum 3 роки тому +22

    Wewe ndo Umeimba wimbo wenye Hisia kuhusu msiba huu, sio wale kina Fulan wanafokafoka tu studio, huu wimbo utatumika kama Kumbukumbu Milele. Asante Peter Msechu, Ila Nakusihi pia punguza Kiwango cha Lami Mwilini.

  • @cissestationary2047
    @cissestationary2047 3 роки тому +3

    Tanzania tunalia sana kapumzike salama baba japo sikuamini kama umeenda lala baba japo bado tunakuhitaji ubarikiwe sana Msechu kwa wimbo wako

  • @severnymlowe2699
    @severnymlowe2699 3 роки тому +1

    Angalia kazi nyingine hii
    Hapa uwezo anao Sana ilaustumie
    Mtipule ukitumia Mtipule wilemwauhuwimba
    Hangi unguluviahulindage
    Vela msechu

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 3 роки тому +8

    Daaaa jamani🙆😭😭😭 yaani huu wimbo umenigusa .Pumzika kwa amani baba yetu kiukweli tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda sana.Hongera sana msechu kwa wimbo mzuri hakika umejua kutunga 🙏

    • @justarmangashini7107
      @justarmangashini7107 3 роки тому

      Kwa hari ya kawaida ya ni bora tusingemjua mtu anaeitwa magu ni machungu Sana nimesahau lakin haipiti cku mbili lazma nimkumbuke

    • @elizabethmwandu6937
      @elizabethmwandu6937 3 роки тому

      @@justarmangashini7107 pole sana mpendwa yaani hata mm nikiona Picha zake anazozungumza yaani ni kilio kwangu hakika huyu baba hatutamsahau ktk maisha yetu ya hapa duniani. Mungu amlaze mahali pema peponi🙏

  • @smartboy-cd3qn
    @smartboy-cd3qn 3 роки тому +17

    Jamaa unaimba from home kg

  • @kadirdhulfiqaar7820
    @kadirdhulfiqaar7820 3 роки тому +7

    Wow you've an incredible talent sound ya mziki huu imetoka kule kwa prosper ochimana alieimba ekuweme

  • @SalmaLuhulo
    @SalmaLuhulo 8 днів тому

    Baada ya kumpoteza dida nikaukumbuka huu wimboo😢😢😢😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏

  • @mariarwego2776
    @mariarwego2776 3 роки тому +17

    Jamani wimbo unaliza... Kifo ni siri kubwa kwetu ambayo Mungu kaiweka

    • @milkasilali9347
      @milkasilali9347 3 роки тому

      Like your the living lord, Peter msechu. Nice song. Rest in peace magufuli. Tulikupenda pia kenya

    • @rachaelkazimili4092
      @rachaelkazimili4092 3 роки тому

      Yaan we acha tu

  • @abrahammwamakulaonline600
    @abrahammwamakulaonline600 3 роки тому +4

    Msechu umetufanya tuomboleze kwa nyimbo nzuri hakika Magufuli apumzike kwa amani 🙏🙏🙏🇹🇿

  • @amandah7240
    @amandah7240 3 роки тому +28

    Tears can't stop flowing... It's painful... Pole.. RIP MR PRESIDENT

  • @kasambalive6599
    @kasambalive6599 3 роки тому +17

    This one has brought tears in my eyes. Pumzika kwa Amani Jembe La Tanzania Dr. John Pombe Magufuli 🙏

  • @christinamnyili627
    @christinamnyili627 3 роки тому +2

    Kaka Msechu umeimba Sana Mungu akubariki kwa nyimbo nzuri hii nyimbo ikipigwa lazima nilie R.i.p baba Magufuli😭😭😭

  • @subrynerysegerow1323
    @subrynerysegerow1323 3 роки тому +2

    Why this song OMG 😭😭ee mungu wewee mkaliii umechukuua shujaaa bas mpokee magu alale pema babaa...... oh God I caaan't 😭😭

  • @patrickmbogo7805
    @patrickmbogo7805 3 роки тому +3

    Msechu sauti nzuri wimbo mzuri.RIP JPM

  • @elishajohnson3585
    @elishajohnson3585 3 роки тому +3

    R.I.p jembe Mungu mpumzishe kwa amani Rais wetu mpendwa

  • @meshackmadema781
    @meshackmadema781 3 роки тому +4

    JPM lala baba umefanya kazi kubwa sana, Asante kwa kuyatoa maisha yako kwaajiri ya Tanzania wewe ni shujaa wa Africa.

  • @goshoevents9131
    @goshoevents9131 3 роки тому +3

    Umelia kwa niaba ya wote. Maombolezo ulionishika na kuniguza kila kona...

  • @neemachiza6900
    @neemachiza6900 3 роки тому

    Wallah nimemis maguful hii nyimbo hainitokagi kichwan nalia to Mimi

  • @kyusaboy4759
    @kyusaboy4759 3 роки тому +6

    bro peter hii nyimbo umeimba kila nikisikiliza huzuni na mkumbuka JPM we are rost a true son of Africa panafricalist leader 😭😭😭 rest in Paradise our beloved president

  • @mkonongo_og
    @mkonongo_og 3 роки тому +14

    Ni wimbo pekee unaogusa kila nafsi ingali Hai, R.I.P baba Magufuli mwanga wa milele umuangazie..Ameen

  • @felixmbewa1909
    @felixmbewa1909 3 роки тому +24

    Forever in our hearts Magufuli😥😥

  • @severnymlowe2699
    @severnymlowe2699 3 роки тому

    Kiukweri Wewe msechu unitafute nikuulize kitu mungu akupe uwezo zaidi unajua Sana king najua umeokoka
    Mwamba mungu akupe uwezo zaidi uspendi kujitangaza Kama wenzako wakitoa kawimbo wanakatangaza ingekuwa wanauwezo Kama huu bongo tungekoma Sasa mungu naye sio mtoto amewanyima

  • @pakajizi8127
    @pakajizi8127 3 роки тому +9

    Shukrani Peter Msechu, wimbo wako huu mzuri wa maombelezo umenifanya niupate wimbo niliokuwa nautafuta muda mrefu bila mafanikio mpaka nikakata tamaa, unaitwa Ekwueme, umeimbwa na Prospa Ochimana.

  • @nammanjeanafi9002
    @nammanjeanafi9002 3 роки тому +2

    Yaani NYIMBO Bora za maomboloze hatuzipi airtime kubwa kwenye hizi platform, halafu zisizo na touch yeyote ndio tunazipa airtime jamaniii. Tunakwama wapi wapendwa. Good msechu. 100% ya watanzania msiba huu umetuliza sana.ukimuona mtu Hana majonzi ujue anamatatizo.

  • @leylaally5707
    @leylaally5707 2 роки тому

    Maumivu ayaishi mwenyez mungu akuepushie adhabu ya kaburi baba etu kipenz changu wanyonge mtetez wetu mpenda khaki 😭😭😭🙏🏿🙏🏿

  • @erickhaule8680
    @erickhaule8680 3 роки тому +1

    Peter umejua kuomboleza hakika we Ni fundi

  • @neemanyasulu2603
    @neemanyasulu2603 3 роки тому +16

    Resp in Peace Mr President Magufuli,this song is very emotional 😢

  • @faudhiamallata3074
    @faudhiamallata3074 3 роки тому +2

    😭😭😷😷 msechu huu wimbo ni bora sanaa apumzike salama baba etu nimelia hadi naumwa jmn

  • @OverdozClassic
    @OverdozClassic 3 роки тому +4

    Bro ulitupa moyo na ya kwanza na saii unatuliza😭😭😭 Inna lillahi wa Inna ilaihi raaj un 😭😭😭...

  • @glorycharles3599
    @glorycharles3599 3 роки тому +2

    Magufuli tunakulilia Sana 😭😭😭 pia ,Kaka una sana kipaji Kama bado kuokoka Uokoke tuu na Yesu akutumie Sana. Una kipaji kizuri nimeogopa.

  • @yasinndalu53
    @yasinndalu53 3 роки тому +2

    Daah huu wimbo unataka kuniliza asee pumzika kwa amani jpm zawadi yetu tuliyo pewa na mungu

  • @vickieeddie2230
    @vickieeddie2230 3 роки тому +4

    Jamani magufuli mbona mi sijawaza kama kuna siku nitaumia hivi umetuumiza magufuli tunalia tunaumia kwaheri baba😭💔💔🇹🇿🙏🏻

  • @magrethstanl5891
    @magrethstanl5891 3 роки тому

    R I P magufuri huku Tanzania tunateseka Sana kuhu chanjo ulizo kuwa unazipinga wenzio wamezileta fufuka baba urudi ikuluuu jaman uuuuwiiiii8

  • @azizamohamed7692
    @azizamohamed7692 3 роки тому +2

    Daa nyimbo inaniliza Pumzika kwa amani bb daima TUTAKUKUMBUKA hongera Msechu kwa nyimbo nzuli

  • @agnessmtawa8489
    @agnessmtawa8489 2 роки тому

    Mungu wew n mkalimu umechukua shujaa wetu, mlaze pema baba, amefanya mengi kwa watu wa Rika zote, Hali zote na rangi zote, uongozi wako baba umetvsha toka hatua moja kwenda nyingne🙏🙏🙏,nina kilio kikuu moyoni mwangu baba magufuli ctachoka kkuombea na kukuenz jembe letu la Tanzania ,kazi yako Mungu Haina makosa, why watu wema hawadumu😭😭😭😭😭

  • @emmanuelmelchior1802
    @emmanuelmelchior1802 3 роки тому +4

    Barikiwa Msechu kwa wimbo bora wa kumuomboleza Rais wetu, Rest In Eternal Peace Mr President

  • @iddikazimoto2247
    @iddikazimoto2247 3 роки тому +1

    Daah, yani katka wasanii wote nchi nzima hakika ww ni the best katika nyimbo za maombolezo, 😭😭😭🙏

  • @saumupallango1782
    @saumupallango1782 3 роки тому +2

    Ni kwabwaaaaaaaa kuliko zoteeeeeeeeeeeeéeeeeeeéer

  • @ajaysomani2577
    @ajaysomani2577 3 роки тому +5

    lost the Hero and Patriotic son of our Country. Baba Babs pumzika upeponi na uendelee kutubariki kwa neema zako. Ameen.

  • @anastaziamoses4100
    @anastaziamoses4100 2 роки тому

    Jamani uwiiiiiiii kiukweli sijawahi kuzoea Magufuli 😭 😭 😭😭😭

  • @williamnyongesa2049
    @williamnyongesa2049 2 роки тому

    Katika uongozi WA Africa sijawahi ona rais mwenye utu Kama magufuli sijawahi ona rais mwenye roho ya utu Kama Baba magufuli laiti mungu angekurejesha pumzika Kwa amani Baba magufuli

  • @martinlumba482
    @martinlumba482 3 роки тому +2

    Dah, , msechu huu wimbo ulitulia, , unagusa sana moyo, , nenda chuma, , nenda rais wangu

  • @mamahusein4476
    @mamahusein4476 3 роки тому +4

    Ktk wasani walioimba nyimbo zenye huzuni ni wewe tu wengine sijawaelewa

  • @franciswima8334
    @franciswima8334 2 роки тому

    Ulisema tutakukumbuka nikweli mzee kila kitu bei juu watu wanyonge tunaumia sana mungu akulaze mahali pema peponi mungu ndio ajue yote yanayo endelea hapa nchin tanzania

  • @sylvesterjohn1493
    @sylvesterjohn1493 2 роки тому

    Sitasahau ktk maisha yangu hadi Leo siamini km kweli baba magu haupo

  • @kbking9002
    @kbking9002 3 роки тому +2

    Nyimbo imetulia sana japo ni ya msiba ila sichoki kuisikiliza

  • @jumaamohamed5800
    @jumaamohamed5800 3 роки тому +11

    R.I.P Nyimbo Moja Bora kabisa ya maombolezo katika kipindi Hiki Hongera The Best vocalist Pierr Msechu"

  • @deusdeditphilipo4298
    @deusdeditphilipo4298 3 роки тому +1

    Msechu umejua kuimba nyimbo imegusa mioyo ya watanzania

  • @saadak922
    @saadak922 3 роки тому +2

    Msechu umetupa wimbo bora wa kuomboleza huu wimbo utadumu siku zote hongera kaka

    • @emariusrush7704
      @emariusrush7704 3 роки тому

      Wimbo original ni huu hapa prospa ochimana+++ Wimbo ekwueme

    • @jumachambega9396
      @jumachambega9396 3 роки тому

      Kama Kuna nyimbo bola ya maombolezi hii n nambooja

  • @shukurujuma-t8k
    @shukurujuma-t8k 7 місяців тому

    Kaka msechu wimbo wako umeweka kumbukumbu tosha katka nchi yetu daima tutamkumbuka sana rais wetu kupitia wimbo wako kaka msechu

  • @wakahama3814
    @wakahama3814 3 роки тому +2

    Hakuna nyimbo yeyote itayoifikia hii kwa maombolezo ya mzee magu ..msefu goood music hakuna Cha all star Wala Nani hii ndo nyimbo ya maombolezo

  • @yasminemuhihi9164
    @yasminemuhihi9164 3 роки тому +2

    Hongera sana Msechu kwa utunzi wako yaaani nyimbo zako zote ziko💪 yaani zinafariji mno

  • @thatweirdo0815
    @thatweirdo0815 3 роки тому +28

    Very painful and this loss is a tough one to take, especially when listening to powerful tribute songs by you..
    May our lovely president rest in heaven Amen..

  • @livingantonyassenga9017
    @livingantonyassenga9017 3 роки тому +1

    Huu wimbo humenigusa Sana dah Magufuli Hutaishi moyoni mwangu daima

  • @nayoomisweya6890
    @nayoomisweya6890 3 роки тому +5

    BEST SONG SO FAR MSECHU CONGRATULATIONS..... R. I. P OUR GREAT PRESIDENT

  • @ElishaKagozi
    @ElishaKagozi 3 місяці тому

    Hakika huu wimbo Nitazid KUUPENDA huu kwangu mimi ULINIGUSA HASA

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 роки тому +2

    Aisee kazi nzuri sana. Dah inauma sana RIP THE SON OF AFRIKA JPM

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 роки тому +4

    Mbele Yake nyuma yetu MW/MUNGU amlaze mahali pema peponi 🙏😭🇹🇿💔

  • @bridgettjohn8233
    @bridgettjohn8233 3 роки тому +2

    😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿jaman Mimi nalia mpaka mda huuu😭😭😭😭uwiiii maumivu moyo unataka kupasuka jaman😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @winfridapeter969
    @winfridapeter969 3 роки тому +2

    Uwanjani nyimbo ilonifanya nimlilie magu ni huu😭😭😭,pole msechu kwa kuomboleza ,pigo halielezeki🙏🙏🙏🙏

  • @mateosiwale1897
    @mateosiwale1897 3 роки тому +1

    Kila nikiwaza na kutafakali nahisi Kama nadanganywa kua et magufuli amefariki duuu!!! R.i.p mjomba magufuli hatuta kuona Tena.

  • @rajabukhalfan3026
    @rajabukhalfan3026 3 роки тому +6

    For my opinion.. This Song deserves to be the best JPM's mourning Song.. it's content and sound are very sensitive 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Goodbye our Hero Go our Really Patriot.

  • @rukkysayid6613
    @rukkysayid6613 Рік тому

    Nalia mpaka leo na kila nikiona mambo yanavyokwenda TZ😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭