Tokea niumbwe sijawahi ulizwa swali kama hili | Mazinge

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 6 жов 2024

КОМЕНТАРІ • 335

  • @ibrahimhassani6288
    @ibrahimhassani6288 Місяць тому +2

    Allah akulinde sheikh Mazinge. Nilikutambua Tanguy nikikua kitoko kidogo nikua Nairobi Kenya kalifonia na kiwanjacha cha kamkunji (Nairobi)
    mihadhara ikikua sai Alhamdulillah nishakua MTU mzima lakini bado Nakurambua Sana Kwa sababu ya kzi ya daaaawa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @kenya870
    @kenya870 Рік тому +4

    Allhmdhllh najivunia kuwa misilamu na ninaipenda ndini yangu

  • @princedonnelakimana2775
    @princedonnelakimana2775 6 місяців тому +2

    Inshallah mungu akupe Maisha marefuu usthadh mazinge

  • @barakamugiraneza7774
    @barakamugiraneza7774 6 місяців тому +3

    Tunakuombea mungu akupe maisha malefu na akupe pepo yake

  • @al-aminalihamad1431
    @al-aminalihamad1431 Рік тому +4

    Natuma Salamu Kwako Sheikh Mazinge Na Familia Yako. Namuomba Mwenyeezi Mungu Akupe kila la kheri Duniani Na Akhera.

  • @mohamedrokaz5272
    @mohamedrokaz5272 Рік тому +6

    We love you most ustad mazinge as kenyans

  • @fatmajuma2940
    @fatmajuma2940 Рік тому +5

    Allah akupe umri mrefu wenye kheri na uendeleee kuipigania dini ya Allah tuko pamoja tunakupenda pia

  • @amourmtungo623
    @amourmtungo623 2 роки тому +7

    🤔You are a joy to watch Mazinge. Unafurahisha kabisa tena kwa ushahidi sio maneno matupu. Asante 🤝

  • @kamaugitau5610
    @kamaugitau5610 Рік тому +51

    mimi ni mkristu lakini nampenda mazinge bure....natamani kuslimu kwa sababu nahisi uislamu ndio dini ya haki

    • @mahmoudabdi7162
      @mahmoudabdi7162 Рік тому +5

      Inbox me bro nikuongoze kwa hilo InshAallah

    • @godsonishengoma5378
      @godsonishengoma5378 Рік тому +4

      Ukristo sio dini bali ni ukomboz!Kabla ya Yesu Kristo kuja zlkuwapo dini,kwa nn Kristo alkja dnian? N kwa ajli ya krdisha mahsiano yalokua yamepotea kat ya Mungu na mwanadam.. sote twaish kwa neema 7b ya huyo Kristo.. kla knywa ktakiri na kila jcho ltanwona kwmb yeye ndye mwana wa kwel wa Mungu!

    • @kamaugitau5610
      @kamaugitau5610 Рік тому +1

      @@mahmoudabdi7162 nitakupata vipi

    • @jasminswedi1573
      @jasminswedi1573 Рік тому +1

      Karibu saan kweny dini ya nuru

    • @erickbruno569
      @erickbruno569 Рік тому

      msenge kweli wew

  • @alibwanaheri6493
    @alibwanaheri6493 2 роки тому +9

    MaShaAllah sheikh Mazinge,Allah akjaalie kheri na umri mrefu uzidi kuifanya kazi ya Allah In Sha Allah

  • @FrankMyenjwa-ms5fr
    @FrankMyenjwa-ms5fr 10 місяців тому +1

    Mungu akujalie

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 2 роки тому +5

    Pongezi saana Sh,Mazinge Mungu akulinde,akupe afya daima

  • @GordienNdizeye-sf3jt
    @GordienNdizeye-sf3jt 10 місяців тому +1

    Sheikh wetu nakupenda Sana natamani kukuona ishaallahu Mungu akipenda tutaonana n'a kupenda sana

  • @حبيبعيد-ح7ب
    @حبيبعيد-ح7ب 2 роки тому +6

    Inshallah Allah akupe afya njema kweli dawaa imefika mbali Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar Walillahilhamdu .Allah akuhifadhi shk mazinge unafanya kz ya manabii

    • @saidiomary9070
      @saidiomary9070 2 роки тому

      Mwenyezi mungu akupe wepesi mazinge kwakweli unafanya kazi ya mwenyezi mungu akupe ulinzi na kesho akhera akupe pepo

  • @husseinguyo4379
    @husseinguyo4379 2 роки тому +12

    Masha Allah sheikh Mazinge Allah akulipe janatul firdaus

    • @erastisamsoni3162
      @erastisamsoni3162 Рік тому

      Allah huwapa waongo Pepo? mtu muongo kama mazinge aingie peponi labda atubu ampokee Yesu.

  • @mengishabani8061
    @mengishabani8061 Рік тому +3

    Mungu akuzidishie maisha malefu

  • @saidgawawa8519
    @saidgawawa8519 2 роки тому +7

    MashAllah!! Sheikh mazinge Allah akulinde kutokana na kila Aina ya Shari hapa duniani na kesho akhera . nampenda Sana sheikh Huyu Kwa juhudi zake katika uislam.

    • @malikshafii8431
      @malikshafii8431 Рік тому

      Mzee huna la kuongea nyamaza kimya kuma mamako

    • @ashrafsharif8699
      @ashrafsharif8699 Рік тому

      Aaaamin

    • @sghdrdhidf7603
      @sghdrdhidf7603 Рік тому

      @@malikshafii8431 kwann unamtujana nn kakukosea ivi wajua mandiko au unasoma kweri unamuongopa mungu wewe

  • @nathanichemelako7983
    @nathanichemelako7983 2 роки тому +1

    Mazinge na hao wachungaji wote ni wapotoshaji yesu siyo Mungu na Mazinge kuhusu yesu anawapotosha

  • @ambakachogo598
    @ambakachogo598 2 роки тому +4

    In Sha Allah sote twakuombea Dua kutoka kwa Allah.

  • @kuruthumabubakar3951
    @kuruthumabubakar3951 2 роки тому +2

    Shekh mazinge mungu akupe umri mref uzidi kussidia wasiokuw na din naitwa kulthum abbakari Toka cngida

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 2 роки тому +4

    MashaAllah mashaAllah Allah barik. Shekh mazinge Allah akuhifadhi nakupenda sana wallahi kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤👌👌👌👌

  • @hustlershuffler978
    @hustlershuffler978 2 роки тому +3

    Ustadh Professa Mazinge Allah akuhifadhi ulipo akujalie miaka mingi ya kufanya kazi zake In Shaa Allah...akupe siha kamili na akuruzuku kila la kheri akulipe Jannat al Firdausi In Shaa Allah...chapa kazi Baba..Kidume cha Allah

    • @iptisamshaher6849
      @iptisamshaher6849 2 роки тому

      Mashaallah tabaarakallah, Allah sw akupe umri wenye kheir,akulipe kwa Kila khatuwa unayopitiya, kwa kweli tunajivuniya mazinge Allah akuhifadhi

  • @bicheatijafaqui6817
    @bicheatijafaqui6817 8 місяців тому +1

    Sheik Professor Massingue god blessyou

  • @AllyGrefier-ee2yq
    @AllyGrefier-ee2yq 11 місяців тому +1

    Pole sana muzazi wangu pigania dini ya mwenzimungu utalipwa mbinguni

  • @hassanmpwepwe3826
    @hassanmpwepwe3826 2 роки тому +3

    Allah akupe mri mlefu sheikh wangu mazinge

  • @Musasaidi-ts1eo
    @Musasaidi-ts1eo Рік тому +1

    Mwenyezi mungu akupe maisha marefu sheikh

  • @amirikhamisi9295
    @amirikhamisi9295 2 роки тому +3

    Allah akulipe jannah Shekh mazinge

  • @abuibra
    @abuibra 2 роки тому +3

    Masheikh wetu tafadhalini sana mjichunge sana Mnavyo zisoma Aya za quran, wengi huwasikia kukosea bila ya kujijua.

    • @abdulmalikpandu1989
      @abdulmalikpandu1989 2 роки тому +1

      Ni binaadamu nae, anasifa ya kukosea n kusahau...

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 роки тому

      Dunia matamshi au lafifh huwa tofauti kutokana na maenono mengine hawayapati vizruri lakini wana ufahamu mzuri wa kutasiri na waneelewa nini quran inasema.......inawezekana kuwa wewe una soma vizuri matamshi ya quran...lakini ukawa hujui mana yake kwa kiswahili..
      Unajua tuu kusoma kwa kiarab

    • @hassanmohammed3421
      @hassanmohammed3421 2 роки тому

      Kwa mfano marehem shekhe imani petro hawezi kutamka quran vizuri kwa kiarab lakini amehifadhi maandiko yote kwa kiswahili..na alisilimu baada ya kuyasikoia kwa kiswahi maana kwa kiarab hajui hasa

    • @abuibra
      @abuibra 2 роки тому

      @@hassanmohammed3421 :ndugu yangu sivyo unavyo fikiri,hebu chukua Msahafu alafu fungua katika Ayat'Kursy msikilize alivyo isoma shaikh kunamahali kakosea,kama huta paona alipo kosea nijibu nikufahamishe.

  • @rhiophiri6857
    @rhiophiri6857 2 роки тому +10

    professor Mazinge we love you for the sake of Allah swt.love from Lusaka zambia

  • @godblessmasiganijohn
    @godblessmasiganijohn 10 місяців тому +2

    Yesu alikuwa mwana wa Mungu kazaliwa na mwanadamu mwenye character na vigezo vyote vya kibinadamu, alisikia
    Maumivu, alijaribiwa, alisikia njaa, alilala yote haya yalifanywa makusudi ili amkomboe mwanadamu, na huyo mwanadamu asipate kisingizio kuwa aliyoyafanya kayafanya kwa kuwa yeye ni tofauti na sisi. Alivaa mwili wa kibinadamu ili njia aliyopita nasi tuifuate

    • @Omrankasiga
      @Omrankasiga 3 місяці тому

      Wacha uongo mungu habadilisha nafisiki yake

  • @isakwisamwaipopo6860
    @isakwisamwaipopo6860 2 роки тому +4

    Yeye yesu alikuwa akipima Iman yao

    • @mandinezawakoabayo9569
      @mandinezawakoabayo9569 2 роки тому

      Umesoma eapi nasi tukasome

    • @simonkinunda5591
      @simonkinunda5591 2 роки тому

      Ostazi una mjua alakweli au unaropoka tu kutafuta pesa ushawahi onamchungaji anaesema kua Yesu kamuumba mwenyez Mungu au unatamka tu kamampumbavu unamfaham isa bin mariam huyondie mtume wamwisho kutoka kwa alla hata mtume muhamadi mwenyewe anashuhudia kwenye hadidhi yake ya sabubohari vizuri kurwaan sura ya tulli mariamu anamzungumzia isa vizurisana acha wehu ww nakutukana wa chungaji.

  • @khadijasaid5065
    @khadijasaid5065 2 роки тому +2

    Mashaallah Mungu akuhifadhi yaraabbi akupe umri mwema akujazi kheri inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya

  • @maimunaally8092
    @maimunaally8092 Рік тому +2

    Allah akujaliye umri mrefu wenye mafanikio na baraka tele aamiinaaa

  • @issafaquedalaura8279
    @issafaquedalaura8279 2 роки тому +4

    Masha Allah , Na Mungu Akubarik Mazinge , Masha Allah Lakuta Illa Billa

  • @AbubakariDenis-zj2mg
    @AbubakariDenis-zj2mg 11 місяців тому

    Allah azidi kukulinda kukupa afya njema sheik Wetu mazinge

  • @amourkarenzo9713
    @amourkarenzo9713 2 роки тому +1

    Safi sana allah amjilie professa mazinge mwisho mwema.

  • @waytvtz2549
    @waytvtz2549 2 роки тому +1

    Masai gan hao,ni watu ambao wamepigwa na maisha ukimwonga tu anakubali

  • @fatimafff3065
    @fatimafff3065 Рік тому +2

    Lailaha illallaahu Muhammed rasulullah

  • @zahorabdisafisanangedere2521
    @zahorabdisafisanangedere2521 Рік тому +1

    Mungu akubarik shekhe

  • @nurdinibrahimu7312
    @nurdinibrahimu7312 10 місяців тому +1

    Khamsinan alfasanah kisimamo hicho Cha siku ya kiama kuulizwa matendo ya kila mmoja na kupimwa kwenye mizani nk 🕴️🕴️🕴️🕴️🕴️😭😭😭🙏 Mungu tumuabudu ipasavyo🙏

  • @milakauli
    @milakauli 11 місяців тому +1

    Allah akupe maisha marefu

  • @aishaayoub305
    @aishaayoub305 2 роки тому +2

    Mashaallah shekhe mazinge Allah akupe umli mrefu uzidi kuelimisha jamii. Allah akupe mwisho mwema shekhe

  • @muhunzijunior5153
    @muhunzijunior5153 2 роки тому +1

    Maa Shaa Allah, Allah akuhifadhi shekh na kazi ya dawa iendelee

  • @felixnkanda9064
    @felixnkanda9064 2 роки тому +1

    Mwenyezi mungu akulinde sheikh wangu

  • @FatmaJuma-h3i
    @FatmaJuma-h3i 2 місяці тому +1

    Allah akuhifadhi

  • @AishaUyoga
    @AishaUyoga 8 місяців тому

    Inshallah mungu hakupe umri mlefu mwalim

  • @danyanthony3582
    @danyanthony3582 2 роки тому +2

    Huyu jamaa anajivuna sana sana..hii kitu ndiyo itampeleka jehannam

  • @mollyzyad778
    @mollyzyad778 Рік тому

    Mwenyezi Mungu akuzidishie

  • @AnnaKishaluli-ux7wj
    @AnnaKishaluli-ux7wj Рік тому +1

    Watu wote ni wa Mungu acheni kampen za kushawishi wanadam wawaamini ninyi kwa neema na rehema zinatoka kwa Mungu mwenyewe hivyo acheni kujitapa na mapokeo ya dini zenu

  • @seifsuleiman3979
    @seifsuleiman3979 2 роки тому +1

    Maasha Allah. Allah atuajalie mwisho mwema Insha Allah

  • @husseinfunga3272
    @husseinfunga3272 2 роки тому +3

    Allah akupe umri mrefu wenye manufaa KWA dunia yako na akhera pia

  • @adreanokasim7134
    @adreanokasim7134 7 місяців тому

    Nakubali sana🎉🎉🎉🎉🎉

  • @fearless......2651
    @fearless......2651 2 роки тому +7

    Allâhu lâ ilâha illâ huwal Hayyul-Qayyum, lâ ta'khuzuhû sinatun walâ nawm.
    Hakuna lata'budu sinatun ......umekosea.

    • @omarysaidy5524
      @omarysaidy5524 2 роки тому +1

      Kukosea ni kawaida

    • @Cambarada
      @Cambarada 2 роки тому +2

      Pia amekosea amesema ni Aya ya 252 badala aseme Aya ya 255

    • @uqairsande7320
      @uqairsande7320 2 роки тому +1

      Mazinge ujui kusoma quraan kaachini usome kwanza maana ukisoma tu ndo utata unaanza apo

    • @mohamedathuman4646
      @mohamedathuman4646 Рік тому +1

      Ni 1 moja kati 99 aliopata.... pongeza kwa aliopata...kwani sote siwakamilifu

    • @fearless......2651
      @fearless......2651 Рік тому

      Alhamdullillah ALLAH atuongoze sote..hakuna alie mkamilifu na makosa ni kawaida..wabillahi towfiq..

  • @BintAlly-k5r
    @BintAlly-k5r 11 місяців тому +1

    Allah akupe nguvu na uzima ushinde kil khatuwa

  • @IbrahimLuqman-sc8cw
    @IbrahimLuqman-sc8cw 10 місяців тому +1

    Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,shk wewe ni kiboko aunampinganizi

  • @shamimibrahim1089
    @shamimibrahim1089 2 роки тому +3

    UKWELI Tanzania mmepata mtu insha'Allah Allah atoe mmoja katika kizazi chake kaa yeye mazinge

  • @abuukhairat7738
    @abuukhairat7738 Рік тому +1

    Mazinge kwanz jifunze kusoma qur an
    Ayatul kursiyyu yasomwa hivo

  • @salumuhamza3920
    @salumuhamza3920 2 роки тому +3

    والله وبالله بارك الله فيك يا حبيبي عثمان

  • @jilanimartin1620
    @jilanimartin1620 6 місяців тому +1

    Hapo umepatia sukari bure.haukujibu kitu.bado sanaa wapotosha watu

  • @johnsonkibadeni5053
    @johnsonkibadeni5053 2 роки тому +1

    Huyo mchungaji aliyekuambia yesu kamuumba Mungu sidhan kama anajua alichokiongea labda kama ni mchungaji muislam tatizo mazinge muongo sanaaaa aisee unapenda sifa and we know you

    • @medimisi6930
      @medimisi6930 2 роки тому

      Kwani nyinyi si ndo mnasema kua yesu ni mungu au,na kazi ya mungu c ni kuumba au hujui halafu eti mungu wenu alikufa na alitajiriwa na alilala.duh kweli akili ni nywele

  • @RahmySansibar
    @RahmySansibar Місяць тому +1

    Masha Allah

  • @zayyatiyussuf9566
    @zayyatiyussuf9566 2 роки тому +1

    Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh mazinge

  • @twahamdaki7508
    @twahamdaki7508 2 роки тому +2

    Salute to ue sheikh

  • @enockkibona7522
    @enockkibona7522 Рік тому +1

    Sema unajiinua sana,hunishawishi,jishushe basi MUNGU atakwinua

  • @bostonic
    @bostonic Рік тому +2

    Huyu Shee anashangaza. Badala kupatia Mungu utukufu anajipatia yeye mwenyewe. Kiburi.

  • @AziaraYusufu
    @AziaraYusufu 7 місяців тому +1

    Sawa mazinge tangaza dini ya allah

  • @senathakizimana8231
    @senathakizimana8231 2 роки тому +2

    Aacha uongo wew,nani mu christo kasema#Yesu kaumba#Mungu eeh

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 2 роки тому

      Kwaio ni yesu ni mutu?

    • @senathakizimana8231
      @senathakizimana8231 2 роки тому +1

      @@muksinsaidi4892 siwezi ni kabisha na muislam ajili nyinyi na dini muko mu ignorance mumesha poteya#Yesu huwezi mupimanisha na kitu cocote kiko apa duniani hakuna#ata mohamad ameleta just islam nothing special 4 him,kwa Jina la Yesu#Magonjwa yana pona#sida cancel diabète majini yanakimbia wat abt mohamad neva...najua utapinga ajili umeshapotea na yeye ndo njia yakufika mbiguni..

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 2 роки тому

      Ni hayo tu kumuhusu yesu wa wakristo au kuna mengine?

    • @muksinsaidi4892
      @muksinsaidi4892 2 роки тому

      Wewe kufa kwenye ukristo namimi nitakufa na uislam, huna point kwangu, mimi siko apa kwa ajili ya kushindana au kukemeana na majini, uchaWi,mapepo kama nyie, nikimwamin mungu mmoja mtume wake tu bas inatosha sitopatwa na uchaw wala mapepo,

  • @massoudsuleiman-xv7hy
    @massoudsuleiman-xv7hy Рік тому +1

    Asalamu aleykumu waislamu wenzangu na shee wangu nina shida na wewe nakupataje

  • @hassanussein1817
    @hassanussein1817 11 місяців тому +1

    Allah Ummah ameen

  • @DastanBeda-mz9em
    @DastanBeda-mz9em Рік тому

    Mbona kama vile Mazinge unawafanya wenzio watoto mimi ni mkristo na sio mchungaji ila najua Yesu ameumbwa na Mungu wewe huyo mchungaji aliekuulza kama unayo ushahidi hembu weka tuone mana mambo yote niutandawaz acha kutudanganya tena upo kwenye memba unakua muongo da!

  • @AbubakarMaamun-pj9bm
    @AbubakarMaamun-pj9bm 4 місяці тому +1

    Mashallah

  • @dancun217
    @dancun217 2 роки тому +1

    HuyU Jamaa mnayakyusa🤣🤣🤣

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 2 роки тому +2

    Mazinge utawapata waisio na akili, Kwa sifa zako hizi, Mungu siyo wa hivyo

  • @mhgpatientfeedback7037
    @mhgpatientfeedback7037 10 місяців тому +1

    Bado bado...mtaelewa tu Q72

  • @AminamustafaMustafaathuman
    @AminamustafaMustafaathuman 10 місяців тому +1

    ❤❤❤amiiin ❤❤

  • @fadhilhimid2776
    @fadhilhimid2776 Рік тому +1

    Marshallah

  • @ZINDUKAMUISILAMU30
    @ZINDUKAMUISILAMU30 10 місяців тому +1

    Dah, hilo jibu la hakuna mtume alorogwa km Mohammad ndio jibu dume

  • @charlesjanuary1798
    @charlesjanuary1798 2 роки тому +3

    Mazinge hamna kitu Anajinadi akiwa kwenye misikiti

  • @mwinyimkuu9589
    @mwinyimkuu9589 2 роки тому +2

    mazinge we acha uongo, tatatizo shule ndogo......... kasome tena, kwani uliishia la ngapi.........

  • @MuhammadRamadhani-to7gk
    @MuhammadRamadhani-to7gk 4 місяці тому +1

    AllahuAkibar

  • @gabrielwendeline8464
    @gabrielwendeline8464 Рік тому +1

    Mazinge ww hujielewi ..utaelewa je ukristo..hata huo uislamu wenyewe huuelewii..coz unazani unajua kumbe ni mjinga tu..

  • @adammasunga5363
    @adammasunga5363 2 роки тому +2

    Wewe ni Muongo sana

    • @Tawazone
      @Tawazone 6 місяців тому

      Mungu atakufungua tu kijana nakuombea huko uliko siko

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Рік тому +1

    Huyo sio Masai acha uongo

  • @AminamustafaMustafaathuman
    @AminamustafaMustafaathuman 10 місяців тому +1

    Mung akulipe kila la her

  • @kanakamama4496
    @kanakamama4496 Рік тому +2

    Shehe mazinge naomba msanda wa dua kwako Kuna mama jirani ikifikia siku tukakosana. Wazee wakamua kuyatatua. Kujua amesamehewa kila mtu yuko radhi akamua kurudia hilo, hilo kosa. Mm ni msilamu anajua mtu akishakukosea haina budu kumsamehe, Nilipo sai mm nayeye siwezi msamehe bali ni kumuomba dua ya kumwadhibu. Je,Nihaki mwisilamu kumuombea dua mtu aliomiza nausi yake

  • @jacksonkilonzo1439
    @jacksonkilonzo1439 Рік тому +1

    UNAULIZA SWALI KISHA UNANZA KUJIGANGAMBA YAN MAZINGE NI WA MBWE MBWE TU NDO MANA AKIPATANA NA NDACHA ANANYOROSHWA

  • @sudaissaid8428
    @sudaissaid8428 2 роки тому +1

    Quran Mazinge bado sana..hujui

  • @Philippe3Lukole
    @Philippe3Lukole 2 місяці тому +1

    Tunashukuru kwa majifunzo

  • @abdullaabdullahmpakanjia2336
    @abdullaabdullahmpakanjia2336 2 роки тому +1

    Mashallah jazakallah kheyr

  • @munirashughuli618
    @munirashughuli618 2 роки тому +2

    Allahu Akbr

  • @HusseinNuru-zd3bf
    @HusseinNuru-zd3bf Місяць тому +1

    Allah akulipe jannatul firdous

  • @Iddi-i7d
    @Iddi-i7d Рік тому +1

    Sheikh unapatikana wapi

  • @josephnkwamino6509
    @josephnkwamino6509 Рік тому +1

    Yesu yupo karbu kukuokoa mazinge watu hawataamini siku hiyo

  • @GordienNdizeye-sf3jt
    @GordienNdizeye-sf3jt 10 місяців тому +1

    Sheikh wambie !

  • @siahmwendwa9070
    @siahmwendwa9070 2 роки тому +1

    Kwenda zako wewe hubiri huo upuuzi wako lakin msema kweli ni ile sikuku akayorudi Yesu

  • @nassorsuleima1877
    @nassorsuleima1877 Рік тому +1

    Endeleash mazinge

  • @BakariMbega
    @BakariMbega 4 місяці тому

    Mashall

  • @charlskallaghe6607
    @charlskallaghe6607 Рік тому +1

    Itakuwa jambo la kher ukisilimu utapata fazila na mwezi huu mtukufu

  • @AthumanLipaty
    @AthumanLipaty 3 місяці тому

    Good.

  • @adamumwantende7073
    @adamumwantende7073 2 роки тому +1

    Muongo hakuna mkristo yoyote anaesema Yesu kamuumba Mungu umbea kwa coment hii fungua mstari wa biblia,domo tu mizani ya dini unayo wewe au Mungu et professar.