Allah akulinde sheikh Mazinge. Nilikutambua Tanguy nikikua kitoko kidogo nikua Nairobi Kenya kalifonia na kiwanjacha cha kamkunji (Nairobi) mihadhara ikikua sai Alhamdulillah nishakua MTU mzima lakini bado Nakurambua Sana Kwa sababu ya kzi ya daaaawa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Ukristo sio dini bali ni ukomboz!Kabla ya Yesu Kristo kuja zlkuwapo dini,kwa nn Kristo alkja dnian? N kwa ajli ya krdisha mahsiano yalokua yamepotea kat ya Mungu na mwanadam.. sote twaish kwa neema 7b ya huyo Kristo.. kla knywa ktakiri na kila jcho ltanwona kwmb yeye ndye mwana wa kwel wa Mungu!
MashAllah!! Sheikh mazinge Allah akulinde kutokana na kila Aina ya Shari hapa duniani na kesho akhera . nampenda Sana sheikh Huyu Kwa juhudi zake katika uislam.
Ustadh Professa Mazinge Allah akuhifadhi ulipo akujalie miaka mingi ya kufanya kazi zake In Shaa Allah...akupe siha kamili na akuruzuku kila la kheri akulipe Jannat al Firdausi In Shaa Allah...chapa kazi Baba..Kidume cha Allah
Dunia matamshi au lafifh huwa tofauti kutokana na maenono mengine hawayapati vizruri lakini wana ufahamu mzuri wa kutasiri na waneelewa nini quran inasema.......inawezekana kuwa wewe una soma vizuri matamshi ya quran...lakini ukawa hujui mana yake kwa kiswahili.. Unajua tuu kusoma kwa kiarab
Kwa mfano marehem shekhe imani petro hawezi kutamka quran vizuri kwa kiarab lakini amehifadhi maandiko yote kwa kiswahili..na alisilimu baada ya kuyasikoia kwa kiswahi maana kwa kiarab hajui hasa
Yesu alikuwa mwana wa Mungu kazaliwa na mwanadamu mwenye character na vigezo vyote vya kibinadamu, alisikia Maumivu, alijaribiwa, alisikia njaa, alilala yote haya yalifanywa makusudi ili amkomboe mwanadamu, na huyo mwanadamu asipate kisingizio kuwa aliyoyafanya kayafanya kwa kuwa yeye ni tofauti na sisi. Alivaa mwili wa kibinadamu ili njia aliyopita nasi tuifuate
Ostazi una mjua alakweli au unaropoka tu kutafuta pesa ushawahi onamchungaji anaesema kua Yesu kamuumba mwenyez Mungu au unatamka tu kamampumbavu unamfaham isa bin mariam huyondie mtume wamwisho kutoka kwa alla hata mtume muhamadi mwenyewe anashuhudia kwenye hadidhi yake ya sabubohari vizuri kurwaan sura ya tulli mariamu anamzungumzia isa vizurisana acha wehu ww nakutukana wa chungaji.
Khamsinan alfasanah kisimamo hicho Cha siku ya kiama kuulizwa matendo ya kila mmoja na kupimwa kwenye mizani nk 🕴️🕴️🕴️🕴️🕴️😭😭😭🙏 Mungu tumuabudu ipasavyo🙏
Watu wote ni wa Mungu acheni kampen za kushawishi wanadam wawaamini ninyi kwa neema na rehema zinatoka kwa Mungu mwenyewe hivyo acheni kujitapa na mapokeo ya dini zenu
Huyo mchungaji aliyekuambia yesu kamuumba Mungu sidhan kama anajua alichokiongea labda kama ni mchungaji muislam tatizo mazinge muongo sanaaaa aisee unapenda sifa and we know you
Kwani nyinyi si ndo mnasema kua yesu ni mungu au,na kazi ya mungu c ni kuumba au hujui halafu eti mungu wenu alikufa na alitajiriwa na alilala.duh kweli akili ni nywele
@@muksinsaidi4892 siwezi ni kabisha na muislam ajili nyinyi na dini muko mu ignorance mumesha poteya#Yesu huwezi mupimanisha na kitu cocote kiko apa duniani hakuna#ata mohamad ameleta just islam nothing special 4 him,kwa Jina la Yesu#Magonjwa yana pona#sida cancel diabète majini yanakimbia wat abt mohamad neva...najua utapinga ajili umeshapotea na yeye ndo njia yakufika mbiguni..
Wewe kufa kwenye ukristo namimi nitakufa na uislam, huna point kwangu, mimi siko apa kwa ajili ya kushindana au kukemeana na majini, uchaWi,mapepo kama nyie, nikimwamin mungu mmoja mtume wake tu bas inatosha sitopatwa na uchaw wala mapepo,
Mbona kama vile Mazinge unawafanya wenzio watoto mimi ni mkristo na sio mchungaji ila najua Yesu ameumbwa na Mungu wewe huyo mchungaji aliekuulza kama unayo ushahidi hembu weka tuone mana mambo yote niutandawaz acha kutudanganya tena upo kwenye memba unakua muongo da!
Shehe mazinge naomba msanda wa dua kwako Kuna mama jirani ikifikia siku tukakosana. Wazee wakamua kuyatatua. Kujua amesamehewa kila mtu yuko radhi akamua kurudia hilo, hilo kosa. Mm ni msilamu anajua mtu akishakukosea haina budu kumsamehe, Nilipo sai mm nayeye siwezi msamehe bali ni kumuomba dua ya kumwadhibu. Je,Nihaki mwisilamu kumuombea dua mtu aliomiza nausi yake
Muongo hakuna mkristo yoyote anaesema Yesu kamuumba Mungu umbea kwa coment hii fungua mstari wa biblia,domo tu mizani ya dini unayo wewe au Mungu et professar.
Allah akulinde sheikh Mazinge. Nilikutambua Tanguy nikikua kitoko kidogo nikua Nairobi Kenya kalifonia na kiwanjacha cha kamkunji (Nairobi)
mihadhara ikikua sai Alhamdulillah nishakua MTU mzima lakini bado Nakurambua Sana Kwa sababu ya kzi ya daaaawa🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Allhmdhllh najivunia kuwa misilamu na ninaipenda ndini yangu
Allah akujaaly iv iv
Inshallah mungu akupe Maisha marefuu usthadh mazinge
Tunakuombea mungu akupe maisha malefu na akupe pepo yake
Natuma Salamu Kwako Sheikh Mazinge Na Familia Yako. Namuomba Mwenyeezi Mungu Akupe kila la kheri Duniani Na Akhera.
We love you most ustad mazinge as kenyans
Allah akupe umri mrefu wenye kheri na uendeleee kuipigania dini ya Allah tuko pamoja tunakupenda pia
🤔You are a joy to watch Mazinge. Unafurahisha kabisa tena kwa ushahidi sio maneno matupu. Asante 🤝
mimi ni mkristu lakini nampenda mazinge bure....natamani kuslimu kwa sababu nahisi uislamu ndio dini ya haki
Inbox me bro nikuongoze kwa hilo InshAallah
Ukristo sio dini bali ni ukomboz!Kabla ya Yesu Kristo kuja zlkuwapo dini,kwa nn Kristo alkja dnian? N kwa ajli ya krdisha mahsiano yalokua yamepotea kat ya Mungu na mwanadam.. sote twaish kwa neema 7b ya huyo Kristo.. kla knywa ktakiri na kila jcho ltanwona kwmb yeye ndye mwana wa kwel wa Mungu!
@@mahmoudabdi7162 nitakupata vipi
Karibu saan kweny dini ya nuru
msenge kweli wew
MaShaAllah sheikh Mazinge,Allah akjaalie kheri na umri mrefu uzidi kuifanya kazi ya Allah In Sha Allah
Mungu akujalie
Pongezi saana Sh,Mazinge Mungu akulinde,akupe afya daima
Sheikh wetu nakupenda Sana natamani kukuona ishaallahu Mungu akipenda tutaonana n'a kupenda sana
Inshallah Allah akupe afya njema kweli dawaa imefika mbali Allahuakbar Allahuakbar Allahuakbar Walillahilhamdu .Allah akuhifadhi shk mazinge unafanya kz ya manabii
Mwenyezi mungu akupe wepesi mazinge kwakweli unafanya kazi ya mwenyezi mungu akupe ulinzi na kesho akhera akupe pepo
Masha Allah sheikh Mazinge Allah akulipe janatul firdaus
Allah huwapa waongo Pepo? mtu muongo kama mazinge aingie peponi labda atubu ampokee Yesu.
Mungu akuzidishie maisha malefu
MashAllah!! Sheikh mazinge Allah akulinde kutokana na kila Aina ya Shari hapa duniani na kesho akhera . nampenda Sana sheikh Huyu Kwa juhudi zake katika uislam.
Mzee huna la kuongea nyamaza kimya kuma mamako
Aaaamin
@@malikshafii8431 kwann unamtujana nn kakukosea ivi wajua mandiko au unasoma kweri unamuongopa mungu wewe
Mazinge na hao wachungaji wote ni wapotoshaji yesu siyo Mungu na Mazinge kuhusu yesu anawapotosha
Nathan unasemaje??
In Sha Allah sote twakuombea Dua kutoka kwa Allah.
Shekh mazinge mungu akupe umri mref uzidi kussidia wasiokuw na din naitwa kulthum abbakari Toka cngida
MashaAllah mashaAllah Allah barik. Shekh mazinge Allah akuhifadhi nakupenda sana wallahi kwa ajili ya Allah ❤❤❤❤👌👌👌👌
Aamin nami nakupenda pia
Ustadh Professa Mazinge Allah akuhifadhi ulipo akujalie miaka mingi ya kufanya kazi zake In Shaa Allah...akupe siha kamili na akuruzuku kila la kheri akulipe Jannat al Firdausi In Shaa Allah...chapa kazi Baba..Kidume cha Allah
Mashaallah tabaarakallah, Allah sw akupe umri wenye kheir,akulipe kwa Kila khatuwa unayopitiya, kwa kweli tunajivuniya mazinge Allah akuhifadhi
Sheik Professor Massingue god blessyou
Pole sana muzazi wangu pigania dini ya mwenzimungu utalipwa mbinguni
Allah akupe mri mlefu sheikh wangu mazinge
Mwenyezi mungu akupe maisha marefu sheikh
Allah akulipe jannah Shekh mazinge
Masheikh wetu tafadhalini sana mjichunge sana Mnavyo zisoma Aya za quran, wengi huwasikia kukosea bila ya kujijua.
Ni binaadamu nae, anasifa ya kukosea n kusahau...
Dunia matamshi au lafifh huwa tofauti kutokana na maenono mengine hawayapati vizruri lakini wana ufahamu mzuri wa kutasiri na waneelewa nini quran inasema.......inawezekana kuwa wewe una soma vizuri matamshi ya quran...lakini ukawa hujui mana yake kwa kiswahili..
Unajua tuu kusoma kwa kiarab
Kwa mfano marehem shekhe imani petro hawezi kutamka quran vizuri kwa kiarab lakini amehifadhi maandiko yote kwa kiswahili..na alisilimu baada ya kuyasikoia kwa kiswahi maana kwa kiarab hajui hasa
@@hassanmohammed3421 :ndugu yangu sivyo unavyo fikiri,hebu chukua Msahafu alafu fungua katika Ayat'Kursy msikilize alivyo isoma shaikh kunamahali kakosea,kama huta paona alipo kosea nijibu nikufahamishe.
professor Mazinge we love you for the sake of Allah swt.love from Lusaka zambia
Yesu alikuwa mwana wa Mungu kazaliwa na mwanadamu mwenye character na vigezo vyote vya kibinadamu, alisikia
Maumivu, alijaribiwa, alisikia njaa, alilala yote haya yalifanywa makusudi ili amkomboe mwanadamu, na huyo mwanadamu asipate kisingizio kuwa aliyoyafanya kayafanya kwa kuwa yeye ni tofauti na sisi. Alivaa mwili wa kibinadamu ili njia aliyopita nasi tuifuate
Wacha uongo mungu habadilisha nafisiki yake
Yeye yesu alikuwa akipima Iman yao
Umesoma eapi nasi tukasome
Ostazi una mjua alakweli au unaropoka tu kutafuta pesa ushawahi onamchungaji anaesema kua Yesu kamuumba mwenyez Mungu au unatamka tu kamampumbavu unamfaham isa bin mariam huyondie mtume wamwisho kutoka kwa alla hata mtume muhamadi mwenyewe anashuhudia kwenye hadidhi yake ya sabubohari vizuri kurwaan sura ya tulli mariamu anamzungumzia isa vizurisana acha wehu ww nakutukana wa chungaji.
Mashaallah Mungu akuhifadhi yaraabbi akupe umri mwema akujazi kheri inshaallah..khadija said Nahdi mld kenya
t
Unasubiri Nini
Allah akujaliye umri mrefu wenye mafanikio na baraka tele aamiinaaa
Masha Allah , Na Mungu Akubarik Mazinge , Masha Allah Lakuta Illa Billa
Allah azidi kukulinda kukupa afya njema sheik Wetu mazinge
Safi sana allah amjilie professa mazinge mwisho mwema.
Amiin amiin ya Rabiialamin
Masai gan hao,ni watu ambao wamepigwa na maisha ukimwonga tu anakubali
Lailaha illallaahu Muhammed rasulullah
Mungu akubarik shekhe
Khamsinan alfasanah kisimamo hicho Cha siku ya kiama kuulizwa matendo ya kila mmoja na kupimwa kwenye mizani nk 🕴️🕴️🕴️🕴️🕴️😭😭😭🙏 Mungu tumuabudu ipasavyo🙏
Allah akupe maisha marefu
Mashaallah shekhe mazinge Allah akupe umli mrefu uzidi kuelimisha jamii. Allah akupe mwisho mwema shekhe
Maa Shaa Allah, Allah akuhifadhi shekh na kazi ya dawa iendelee
Aamin
Mwenyezi mungu akulinde sheikh wangu
Aamin
Allah akuhifadhi
Inshallah mungu hakupe umri mlefu mwalim
Huyu jamaa anajivuna sana sana..hii kitu ndiyo itampeleka jehannam
Mwenyezi Mungu akuzidishie
Watu wote ni wa Mungu acheni kampen za kushawishi wanadam wawaamini ninyi kwa neema na rehema zinatoka kwa Mungu mwenyewe hivyo acheni kujitapa na mapokeo ya dini zenu
Maasha Allah. Allah atuajalie mwisho mwema Insha Allah
Aamen
Allah akupe umri mrefu wenye manufaa KWA dunia yako na akhera pia
Aamin
Amina yaarabbina llah aminaa
Nakubali sana🎉🎉🎉🎉🎉
Allâhu lâ ilâha illâ huwal Hayyul-Qayyum, lâ ta'khuzuhû sinatun walâ nawm.
Hakuna lata'budu sinatun ......umekosea.
Kukosea ni kawaida
Pia amekosea amesema ni Aya ya 252 badala aseme Aya ya 255
Mazinge ujui kusoma quraan kaachini usome kwanza maana ukisoma tu ndo utata unaanza apo
Ni 1 moja kati 99 aliopata.... pongeza kwa aliopata...kwani sote siwakamilifu
Alhamdullillah ALLAH atuongoze sote..hakuna alie mkamilifu na makosa ni kawaida..wabillahi towfiq..
Allah akupe nguvu na uzima ushinde kil khatuwa
Assalam alaykum warahmatullahi wabarakatuh,shk wewe ni kiboko aunampinganizi
UKWELI Tanzania mmepata mtu insha'Allah Allah atoe mmoja katika kizazi chake kaa yeye mazinge
hakika dear
Ameen Ameen thuma Ameen,Allah ampe mmoja katika kizazi chake
Mazinge kwanz jifunze kusoma qur an
Ayatul kursiyyu yasomwa hivo
والله وبالله بارك الله فيك يا حبيبي عثمان
Hapo umepatia sukari bure.haukujibu kitu.bado sanaa wapotosha watu
Huyo mchungaji aliyekuambia yesu kamuumba Mungu sidhan kama anajua alichokiongea labda kama ni mchungaji muislam tatizo mazinge muongo sanaaaa aisee unapenda sifa and we know you
Kwani nyinyi si ndo mnasema kua yesu ni mungu au,na kazi ya mungu c ni kuumba au hujui halafu eti mungu wenu alikufa na alitajiriwa na alilala.duh kweli akili ni nywele
Masha Allah
Allah akujalie umri wenye afya njema sheikh mazinge
Aamin
@@makironlinetv Allahumma amin
Salute to ue sheikh
Sema unajiinua sana,hunishawishi,jishushe basi MUNGU atakwinua
Huyu Shee anashangaza. Badala kupatia Mungu utukufu anajipatia yeye mwenyewe. Kiburi.
Sawa mazinge tangaza dini ya allah
Aacha uongo wew,nani mu christo kasema#Yesu kaumba#Mungu eeh
Kwaio ni yesu ni mutu?
@@muksinsaidi4892 siwezi ni kabisha na muislam ajili nyinyi na dini muko mu ignorance mumesha poteya#Yesu huwezi mupimanisha na kitu cocote kiko apa duniani hakuna#ata mohamad ameleta just islam nothing special 4 him,kwa Jina la Yesu#Magonjwa yana pona#sida cancel diabète majini yanakimbia wat abt mohamad neva...najua utapinga ajili umeshapotea na yeye ndo njia yakufika mbiguni..
Ni hayo tu kumuhusu yesu wa wakristo au kuna mengine?
Wewe kufa kwenye ukristo namimi nitakufa na uislam, huna point kwangu, mimi siko apa kwa ajili ya kushindana au kukemeana na majini, uchaWi,mapepo kama nyie, nikimwamin mungu mmoja mtume wake tu bas inatosha sitopatwa na uchaw wala mapepo,
Asalamu aleykumu waislamu wenzangu na shee wangu nina shida na wewe nakupataje
Allah Ummah ameen
Mbona kama vile Mazinge unawafanya wenzio watoto mimi ni mkristo na sio mchungaji ila najua Yesu ameumbwa na Mungu wewe huyo mchungaji aliekuulza kama unayo ushahidi hembu weka tuone mana mambo yote niutandawaz acha kutudanganya tena upo kwenye memba unakua muongo da!
Mashallah
HuyU Jamaa mnayakyusa🤣🤣🤣
Mazinge utawapata waisio na akili, Kwa sifa zako hizi, Mungu siyo wa hivyo
Bado bado...mtaelewa tu Q72
❤❤❤amiiin ❤❤
Marshallah
Dah, hilo jibu la hakuna mtume alorogwa km Mohammad ndio jibu dume
Mazinge hamna kitu Anajinadi akiwa kwenye misikiti
😃😃😃😃😃
mazinge we acha uongo, tatatizo shule ndogo......... kasome tena, kwani uliishia la ngapi.........
AllahuAkibar
Mazinge ww hujielewi ..utaelewa je ukristo..hata huo uislamu wenyewe huuelewii..coz unazani unajua kumbe ni mjinga tu..
Wewe ni Muongo sana
Mungu atakufungua tu kijana nakuombea huko uliko siko
Huyo sio Masai acha uongo
Mung akulipe kila la her
Shehe mazinge naomba msanda wa dua kwako Kuna mama jirani ikifikia siku tukakosana. Wazee wakamua kuyatatua. Kujua amesamehewa kila mtu yuko radhi akamua kurudia hilo, hilo kosa. Mm ni msilamu anajua mtu akishakukosea haina budu kumsamehe, Nilipo sai mm nayeye siwezi msamehe bali ni kumuomba dua ya kumwadhibu. Je,Nihaki mwisilamu kumuombea dua mtu aliomiza nausi yake
UNAULIZA SWALI KISHA UNANZA KUJIGANGAMBA YAN MAZINGE NI WA MBWE MBWE TU NDO MANA AKIPATANA NA NDACHA ANANYOROSHWA
Quran Mazinge bado sana..hujui
We unayejua tunaomba utufikishie ujumbe
Tunashukuru kwa majifunzo
Mashallah jazakallah kheyr
Mazinge anapenda Sifa Sana riyaa simpendi napenda kinyogoli alafu amevunja ayatull kúrsi
Ati kidume bite kabisa
Allahu Akbr
Allah akulipe jannatul firdous
Sheikh unapatikana wapi
Yesu yupo karbu kukuokoa mazinge watu hawataamini siku hiyo
Nabii issa ataludi ikiwa nyie mludi au jamaluddin na hamjui kwakufika
Sheikh wambie !
Kwenda zako wewe hubiri huo upuuzi wako lakin msema kweli ni ile sikuku akayorudi Yesu
Endeleash mazinge
Mashall
Itakuwa jambo la kher ukisilimu utapata fazila na mwezi huu mtukufu
Good.
Muongo hakuna mkristo yoyote anaesema Yesu kamuumba Mungu umbea kwa coment hii fungua mstari wa biblia,domo tu mizani ya dini unayo wewe au Mungu et professar.