Hemedi Sanyua mkulima kutoka Kibaha anaitegemea YaraMila OTESHA
Вставка
- Опубліковано 8 жов 2024
- Hemedi Sanyua mkulima kutoka Kibaha anaitegemea YaraMila OTESHA linapokuja suala la kilimo. Pamoja na bidhaa/mbolea zingine za Yara wakulima kama yeye wanahakikishwa kuwa mazao yao hupata lishe muhimu kwa wingi na ubora wa mavuno.
Je! Una zao kama hili? Tutumie ujumbe leo kujua jinsi Yara inaweza kukusaidia mwongozo wa lishe. #MboleaNiYara
Mbolea za yara ni nzuri tatizo hazipatikan kwa mawakala wao
Asante kwa mrejesho, tafadhali tunapenda kufahamu unapatikana wapi kwa msaada zaidi.
Napatikana Turiani wikayan mvomero na wakala wenu hana mbolea zenu kabisa. Ukienda agrinature na yeye pia hana. Upatikanaji wa mbolea zenu sio wa uhakika
Pia tunaomba muweke mawasiliano ya simu kwenye content zenu. Nimevutiwa sana na ubora wa kazi zenu.
Bei zake zinauzwaje
Karibu utufahamishe unapatikana wapi kwa msaada zaidi.
Wakala wao kwa zanzibar wanapatikana wapi
Karibu uwasiliane na Bi.shamba mauzo wetu +255 755 417 996 atakusaidia wakala aliepo karibu yako zaidi.
@@yaratanzania4642 asante sana
@@yaratanzania4642 Nimewasiliana nae tayr na nimepata mbolea zenu. Asanteni sana kwa ubora wa kazi zenu