Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto. Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤
Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please
Haraf wanasemaga et mwanaume ni kama mtt et anahitaj kubemberezwa ASA km mme Wang namuuliza ananifokea unadhan ntarudia ten ck ingne cwez kurudia kabisa
Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana
Wa burundi wanao mukubali kipara wanama ao kipara jaivah tuko niaciy like nzangu bas✌💨💣
SANDRA nilianza kumuona kwenye Tamthilia ile akiwa na JUMA JICHO 😂 Tangia nianze kumuona nampa tuzo zake ktk uigizaji anaweza sana......
❤❤❤napenda sana hii from kenya
Kazi safi mmbea kipara 🇰🇪🇰🇪
Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto.
Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤
Kazi nzuri sana BANA na kubwa hii nimependa tu sana nipo Mombasa kenya hapa jomvu like zenu bn❤❤❤❤ tuonyeshe upendo bn
Kipara Wana man hongera sana kaka Kwa kazi nzuri plz mwisho uwe mzuri msiishie njiani 🔥🔥🔥💥💥
❤KAMA UNAMUKUBALI KIPARA NIPE LIKE NA S'ABONNER WATANZANIA❤ SIMICHOANGU NISHAACHA
Leo naombeni like jamani 🇲🇿🇲🇿
Wa kum na mbili mim nampenda kipara igwe 🤣🤣🤸
Ikiekewa ubunifu mzuri huenda ikawa filamu nzuri ya kutazama.....kazi nzuri naifuatilia toka Kenya
Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba
Move Kali kinoma Ila una chelewa kuileta.tuwaishie sawaa jaiva
Hongera kwa director kije madevu 🔥 🔥
Leo wa kwanza jaman naomben like zangu ❤❤❤❤ from tanga korogwe
Kipara Wana man, au kipara jaiva aweeee😅😅😅😅😅
olooooo in oloooo😂😂😂
Mkemia apa from Tanga Tanzania kaz nzur sana tuko pamoja mwanzo mwisho
Kipara hebu tulia na hicho kizungu chako daaaa watueka njia panda ulisomea wapi na mm nirudi shule😂😂😂
Big story Kipara una kitu Utafika mbali 🤜🤛
Wakwanza toka Uganda like zangu
Aweeeee bonge lishapagawa na chizi😂😂😂
😂kazi safi sana
Kipara wanamani kipara jaivah 🤣🤣🤣🤣 nakukubali broh
Kazi Yako naikubali sana ila kazi zinachukua mda kutoka tunasubili sna
Sawa all in all😂😂😂
Kipara ana lo😂😂😂🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Jaman leo wa mwanzo naomba like japo 10🎉🎉🎉❤
Kipara brand nakukubali sana ktk series zako hongera kipara brand😀✌️
Kipara kazi nzuri kaka❤❤❤
Kipara jaiva aweeeh😂😂
Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma
@@VailethYusi uko Dodoma maeneo gan?
Kipara lakin unatueka sana bwana utasema watu wanasubiri kiama 😂😂😂😂
Kipara jayva hongera sana kwa kazi nzuri naomba ongeza dk kidg kwa maan ni 🔥 mkali ❤❤
Kali kali kali kali saaaaaanaaaaaaaa
Kaz nzr kipara
Kipara after vevo.. Kipara vevo😅
Nimefika wala sichelewi kabisa
Ongeza dakika bwana kipara movie nzuri dakika n kidogo 😢
Kipara 😊🔥
Kaz kaz
Nzurii sanaa❤❤Sandra nakupenda❤
Mnaweka muda mchache bhna Ata huenjoy
Kipara wana man au kipara eeeeeee- ! 😅
Eti kipara alisomea nn Allo in allo😂😂
Watu wa Clam Vevo Gang 🤣🤣🤣🤣 Aloooh english imewapitia kushoto sana
Kipara Jaivah aweeh bibi hajasema hapo aweeh 😂😂😂ila udiwani na kipara mmmmh... mhuu🙌🙌
orrrrrro in orrrrrrro
Kipara brand 💪
Safi sana
Mnipe namba za kipara nimwambie kama Sandra sio chizi 😂😂😂
Usichelewe kuleta mwendelezo
Kipara the genius ❤❤❤😂😂😂😂 wapi subscribe zangu ❤❤
First one
Sandra anacheza na akili zetu
Chizi biga kazi
Jaman miwamwisho nipeni like zangu
Çhizi omba kipara asijue ukweli
good job
Kazi safi kipara
Kipara ndo mridhi wa clamvevo
Kweli
Kipala wana man aweeeeeeeeeee😅😅😅😅😅😅😅😮kama ume cheka gonga like 👍 😊
Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪😂😂😂 kipara nakukubl na icho kizungu 😂😂
Brother kipara umezingua tena kinoma yani
Mshangazi kwani iko wapi
Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please
Kipara uko genius sana,mambo ipo sawa❤❤❤❤❤❤
Sema una chelewesha sana kipara wanaman au kipara Jaiva movie Kali sana ii 🔥🔥✔✔✔✔✔
Safi San kipara KAZI inaonekan Kwa kwel n nzur xan wallah big up xan kipara Wanaman mzungu WA Tz
Haraf wanasemaga et mwanaume ni kama mtt et anahitaj kubemberezwa ASA km mme Wang namuuliza ananifokea unadhan ntarudia ten ck ingne cwez kurudia kabisa
Oya mbeaaa wa kiumee kaz yko nzulii sanaaaa
Hivi hiki kizungu kingi hivi mmekitoa wapi jamani🤣🤣🤣🤣 from 🇰🇪👌
Kwani Aby mbona mpeku peku sana 😂😂😂akiwa chizi au sio chizi inakuhusu nini? Sandra na wewe bora umeletewa nguo nilitaka nikuchambe😂😂😂🥰👏❤❤❤
Kipara wana man Kizi zuri ❤❤❤
Kipara wana man💪🏻💪🏻🙏🙏
Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 twafuatilia nyie.... Waigizaji shupavu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤
Kazi nzuri broo safi sana kipara wana man ❤💯
Nimempenda sandra, anajua kigiza sana, natafuta movie zake nione
Habi sandra anakuumiza kicwa kiukweli atami sijamuelewa sandra 😅aca tutaona mwisho
Kazi mzuri kipara lete vituu
Assesnation formation juction 😂kipara unawazim😂
Finally am the first 😂
Yani tamu sanaa
kipara napenda ukiongea kiingereza😂💔
Sandra kumbe anataka kuri piza kisasi ambao wariona ivo tujuane kwa link bas hata 10
Kazi nzuri kipara ❤
Much love from Kenya 🇰🇪
Kazi safi Sana hongereni next plz 🎉🎉❤
Oro in oro kazi nzuri sana kiukweli. Sandra kuna idea naomba nikupe story utaweza kuicheza vizuri.@sandra
Kipara big up😊
Mwamb Hill ni dude jaribu kuficha matukio
Good nice one job mr wanaman🎉🎉
Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana
Kipara Niue na hicho kizungu tu 😂😂😂ila mnaweza team kipara hii kali❤❤😊
Have a good everyday😂
😂😂😂😂😂😂nmecheka sana
😂😂😂
Tuongezee muda kipara wana man
Physics ishageuzwa na kipara ikawa syphics😂😂😂kizungu yako nomaa
Nakubali sana kipala❤❤❤
Nakukubari kipara
Bib una d2 ila ujui mjukuu wako ni nani😂😂😂
Kweli ni bomba. Nipe lik zenu na subscribed
Kipara kwenye hii umeniboa huna umbea umbea
Bwana diwani umepigaje apo😂😂😂
Sadra bonge la muhigizaji endelea ivyo ivyo