WHO AM I? [3]

Поділитися
Вставка
  • Опубліковано 10 лип 2024
  • #clamvevo #dontatv #dubutv #mwakatobe #snekeboy

КОМЕНТАРІ • 185

  • @JigoSengiyumva-ln9xf
    @JigoSengiyumva-ln9xf 19 днів тому +19

    Wa burundi wanao mukubali kipara wanama ao kipara jaivah tuko niaciy like nzangu bas✌💨💣

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 19 днів тому +22

    SANDRA nilianza kumuona kwenye Tamthilia ile akiwa na JUMA JICHO 😂 Tangia nianze kumuona nampa tuzo zake ktk uigizaji anaweza sana......

  • @OdemoDennis-ku8eo
    @OdemoDennis-ku8eo 19 днів тому +16

    Kazi safi mmbea kipara 🇰🇪🇰🇪

  • @DonMooFILMES_Express
    @DonMooFILMES_Express 19 днів тому +14

    Hizi ndizo aidia ambazo mnatakiwa muandae sasa Clam Vevo Gang ❤ Naona kwaupande wa Mr CHIBU kaachia Tamthilia yamoto sana na Kipara huku umeachia tamthilia yamoto sana. Sasa nasubiria Mr BUTUA naye aachie tamthilia yamoto.
    Mimi ndio yule fans sugu wa Mr CHIBU & Mr BUTUA soon ntamuongeza Mr KIPARA kama atakaza aidia kwenye stori zake namna hii ❤

  • @hellismtotowakifalme4009
    @hellismtotowakifalme4009 19 днів тому +6

    Kazi nzuri sana BANA na kubwa hii nimependa tu sana nipo Mombasa kenya hapa jomvu like zenu bn❤❤❤❤ tuonyeshe upendo bn

  • @fridacharles4173
    @fridacharles4173 19 днів тому +10

    Kipara Wana man hongera sana kaka Kwa kazi nzuri plz mwisho uwe mzuri msiishie njiani 🔥🔥🔥💥💥

  • @binwacomedy2453
    @binwacomedy2453 19 днів тому +36

    ❤KAMA UNAMUKUBALI KIPARA NIPE LIKE NA S'ABONNER WATANZANIA❤ SIMICHOANGU NISHAACHA

  • @All_Star_Music_Label
    @All_Star_Music_Label 19 днів тому +19

    Leo naombeni like jamani 🇲🇿🇲🇿

  • @JoynessMshaija
    @JoynessMshaija 19 днів тому +8

    Wa kum na mbili mim nampenda kipara igwe 🤣🤣🤸

  • @zephbaraka
    @zephbaraka 19 днів тому +9

    Ikiekewa ubunifu mzuri huenda ikawa filamu nzuri ya kutazama.....kazi nzuri naifuatilia toka Kenya

  • @user-zu8yr7mh4h
    @user-zu8yr7mh4h 19 днів тому +18

    Like kwajili ya kipara tafadhalini naomba

  • @DeogratiusKanda
    @DeogratiusKanda 19 днів тому +5

    Move Kali kinoma Ila una chelewa kuileta.tuwaishie sawaa jaiva

  • @Monystar01
    @Monystar01 19 днів тому +4

    Hongera kwa director kije madevu 🔥 🔥

  • @OmaryMbaruku-ob8te
    @OmaryMbaruku-ob8te 19 днів тому +8

    Leo wa kwanza jaman naomben like zangu ❤❤❤❤ from tanga korogwe

  • @Oscarowen-tf1bx
    @Oscarowen-tf1bx 19 днів тому +6

    Kipara Wana man, au kipara jaiva aweeee😅😅😅😅😅

  • @ImmaKerenge-iz2yb
    @ImmaKerenge-iz2yb 19 днів тому +4

    Mkemia apa from Tanga Tanzania kaz nzur sana tuko pamoja mwanzo mwisho

  • @coolbz133
    @coolbz133 19 днів тому +5

    Kipara hebu tulia na hicho kizungu chako daaaa watueka njia panda ulisomea wapi na mm nirudi shule😂😂😂

  • @abdulazizitwalib5859
    @abdulazizitwalib5859 19 днів тому +6

    Big story Kipara una kitu Utafika mbali 🤜🤛

  • @ngabungabrain6574
    @ngabungabrain6574 19 днів тому +12

    Wakwanza toka Uganda like zangu

  • @kinananyuni9732
    @kinananyuni9732 19 днів тому +4

    Aweeeee bonge lishapagawa na chizi😂😂😂

  • @UmiMazari
    @UmiMazari 19 днів тому +5

    😂kazi safi sana

  • @mwanaidisaidi1101
    @mwanaidisaidi1101 19 днів тому +5

    Kipara wanamani kipara jaivah 🤣🤣🤣🤣 nakukubali broh

  • @user-lj5sw4xw6m
    @user-lj5sw4xw6m 19 днів тому +7

    Kazi Yako naikubali sana ila kazi zinachukua mda kutoka tunasubili sna

  • @husnansabimbona4496
    @husnansabimbona4496 19 днів тому +5

    Sawa all in all😂😂😂

  • @aganzeroger
    @aganzeroger 19 днів тому +5

    Kipara ana lo😂😂😂🎉🎉🎉🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩

  • @mansoursilima6620
    @mansoursilima6620 19 днів тому +18

    Jaman leo wa mwanzo naomba like japo 10🎉🎉🎉❤

    • @mansoursilima6620
      @mansoursilima6620 19 днів тому

      Kipara brand nakukubali sana ktk series zako hongera kipara brand😀✌️

  • @user-yd2dw5nt7r
    @user-yd2dw5nt7r 19 днів тому +4

    Kipara kazi nzuri kaka❤❤❤

  • @crazykea2032
    @crazykea2032 19 днів тому +4

    Kipara jaiva aweeeh😂😂

  • @VailethYusi
    @VailethYusi 19 днів тому +17

    Wa Kwanza mim naomba like zangu kutoka Dodoma

    • @mtzhalisi2232
      @mtzhalisi2232 19 днів тому +1

      @@VailethYusi uko Dodoma maeneo gan?

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 19 днів тому +4

    Kipara lakin unatueka sana bwana utasema watu wanasubiri kiama 😂😂😂😂

  • @user-xk8si6bo9b
    @user-xk8si6bo9b 19 днів тому +4

    Kipara jayva hongera sana kwa kazi nzuri naomba ongeza dk kidg kwa maan ni 🔥 mkali ❤❤

  • @hamisikamanda9933
    @hamisikamanda9933 19 днів тому +3

    Kali kali kali kali saaaaaanaaaaaaaa

  • @GabrielYohana-e1f
    @GabrielYohana-e1f 19 днів тому +6

    Kaz nzr kipara

  • @pasqueensebastian9930
    @pasqueensebastian9930 19 днів тому +4

    Kipara after vevo.. Kipara vevo😅

  • @aminakatana8721
    @aminakatana8721 19 днів тому +5

    Nimefika wala sichelewi kabisa

  • @LovelyDandelion-dv5ht
    @LovelyDandelion-dv5ht 19 днів тому +4

    Ongeza dakika bwana kipara movie nzuri dakika n kidogo 😢

  • @mc-bii228
    @mc-bii228 19 днів тому +4

    Kipara 😊🔥

  • @gendaekafilmproduction4678
    @gendaekafilmproduction4678 19 днів тому +5

    Kaz kaz

  • @JacquelineLightness
    @JacquelineLightness 19 днів тому +3

    Nzurii sanaa❤❤Sandra nakupenda❤

  • @TheddyAlistarick-dn4tg
    @TheddyAlistarick-dn4tg 19 днів тому +4

    Mnaweka muda mchache bhna Ata huenjoy

  • @energeticmbn4596
    @energeticmbn4596 19 днів тому +4

    Kipara wana man au kipara eeeeeee- ! 😅

  • @user-rg5im1ls4j
    @user-rg5im1ls4j 19 днів тому +4

    Eti kipara alisomea nn Allo in allo😂😂

  • @mc-bii228
    @mc-bii228 19 днів тому +4

    Watu wa Clam Vevo Gang 🤣🤣🤣🤣 Aloooh english imewapitia kushoto sana

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 19 днів тому +3

    Kipara Jaivah aweeh bibi hajasema hapo aweeh 😂😂😂ila udiwani na kipara mmmmh... mhuu🙌🙌

  • @PacifiqueKalenga-we5hf
    @PacifiqueKalenga-we5hf 19 днів тому +4

    Kipara brand 💪

  • @fguy2687
    @fguy2687 19 днів тому +5

    Safi sana

  • @MR_BAD_SHOOT
    @MR_BAD_SHOOT 19 днів тому +4

    Mnipe namba za kipara nimwambie kama Sandra sio chizi 😂😂😂

  • @EvodiaDominic
    @EvodiaDominic 19 днів тому +4

    Usichelewe kuleta mwendelezo

  • @valuboy4335
    @valuboy4335 19 днів тому +9

    Kipara the genius ❤❤❤😂😂😂😂 wapi subscribe zangu ❤❤

  • @KASIMILKIBANO
    @KASIMILKIBANO 19 днів тому +5

    First one

  • @charlesjbjb8513
    @charlesjbjb8513 19 днів тому +4

    Sandra anacheza na akili zetu

  • @UmiMazari
    @UmiMazari 19 днів тому +5

    Chizi biga kazi

  • @zenamtembezi4921
    @zenamtembezi4921 19 днів тому +3

    Jaman miwamwisho nipeni like zangu

  • @UmiMazari
    @UmiMazari 19 днів тому +6

    Çhizi omba kipara asijue ukweli

  • @Hawadadi-kt9bz
    @Hawadadi-kt9bz 19 днів тому +3

    good job

  • @abdallaali025
    @abdallaali025 19 днів тому +4

    Kazi safi kipara

  • @ErickyTz-ku7dt
    @ErickyTz-ku7dt 19 днів тому +3

    Kipara ndo mridhi wa clamvevo

  • @SafaniaWafula
    @SafaniaWafula 19 днів тому +5

    Kweli

  • @YoungblackPeople-qf7vx
    @YoungblackPeople-qf7vx 16 днів тому +2

    Kipala wana man aweeeeeeeeeee😅😅😅😅😅😅😅😮kama ume cheka gonga like 👍 😊

  • @fatumajuma9388
    @fatumajuma9388 19 днів тому +3

    Oro ovo oro much love from 🇰🇪🇰🇪😂😂😂 kipara nakukubl na icho kizungu 😂😂

  • @KafehilaJunior
    @KafehilaJunior 19 днів тому +3

    Brother kipara umezingua tena kinoma yani
    Mshangazi kwani iko wapi

  • @melomusictz1079
    @melomusictz1079 19 днів тому +2

    Kitu cha moto 🔥 balaa hatujakataa ,kazi inanguvu hatari hili sipingi , tatizo dk chache kipara jaivah kipara wana man kipara marley kipara oh my tunakuomba part 4 dakika kuanzia 25-35 kipara konde please

  • @Hirammbindyo
    @Hirammbindyo 19 днів тому +3

    Kipara uko genius sana,mambo ipo sawa❤❤❤❤❤❤

  • @hamdunslimofficail4150
    @hamdunslimofficail4150 17 днів тому +1

    Sema una chelewesha sana kipara wanaman au kipara Jaiva movie Kali sana ii 🔥🔥✔✔✔✔✔

  • @user-ex2id7sw4x
    @user-ex2id7sw4x 17 днів тому +1

    Safi San kipara KAZI inaonekan Kwa kwel n nzur xan wallah big up xan kipara Wanaman mzungu WA Tz

  • @Edith-rq3mm
    @Edith-rq3mm 19 днів тому +3

    Haraf wanasemaga et mwanaume ni kama mtt et anahitaj kubemberezwa ASA km mme Wang namuuliza ananifokea unadhan ntarudia ten ck ingne cwez kurudia kabisa

  • @FrankLuhaha-dt5sh
    @FrankLuhaha-dt5sh 18 днів тому +2

    Oya mbeaaa wa kiumee kaz yko nzulii sanaaaa

  • @PoleenNjeru
    @PoleenNjeru День тому +1

    Hivi hiki kizungu kingi hivi mmekitoa wapi jamani🤣🤣🤣🤣 from 🇰🇪👌

  • @user-qq4zr3sk2g
    @user-qq4zr3sk2g 19 днів тому +2

    Kwani Aby mbona mpeku peku sana 😂😂😂akiwa chizi au sio chizi inakuhusu nini? Sandra na wewe bora umeletewa nguo nilitaka nikuchambe😂😂😂🥰👏❤❤❤

  • @josephswana7286
    @josephswana7286 19 днів тому +3

    Kipara wana man Kizi zuri ❤❤❤

  • @MoTalentTz
    @MoTalentTz 19 днів тому +3

    Kipara wana man💪🏻💪🏻🙏🙏

  • @pakpatriot-xk7qg
    @pakpatriot-xk7qg 15 днів тому +1

    Uganda 🇺🇬🇺🇬🇺🇬🇺🇬 twafuatilia nyie.... Waigizaji shupavu 🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤

  • @MzeeRaca
    @MzeeRaca 18 днів тому +2

    Kazi nzuri broo safi sana kipara wana man ❤💯

  • @eldalisboa7403
    @eldalisboa7403 9 днів тому +1

    Nimempenda sandra, anajua kigiza sana, natafuta movie zake nione

  • @RizikiZiki
    @RizikiZiki 19 днів тому +2

    Habi sandra anakuumiza kicwa kiukweli atami sijamuelewa sandra 😅aca tutaona mwisho

  • @halemasuliman-js8ug
    @halemasuliman-js8ug 18 днів тому +2

    Kazi mzuri kipara lete vituu

  • @user-zp4zc2ln2n
    @user-zp4zc2ln2n 19 днів тому +2

    Assesnation formation juction 😂kipara unawazim😂

  • @user-yk4xn2qp6s
    @user-yk4xn2qp6s 19 днів тому +5

    Finally am the first 😂

  • @celestinss4045
    @celestinss4045 19 днів тому +2

    Yani tamu sanaa

  • @collinsouma-cv1uo
    @collinsouma-cv1uo 19 днів тому +3

    kipara napenda ukiongea kiingereza😂💔

  • @user-en6ch1uv7w
    @user-en6ch1uv7w 19 днів тому +3

    Sandra kumbe anataka kuri piza kisasi ambao wariona ivo tujuane kwa link bas hata 10

  • @user-ee7xd5wu1n
    @user-ee7xd5wu1n День тому +1

    Kazi nzuri kipara ❤

  • @user-rl5zb1jc9k
    @user-rl5zb1jc9k 19 днів тому +3

    Much love from Kenya 🇰🇪

  • @user-vo7yb6wp1m
    @user-vo7yb6wp1m 19 днів тому +2

    Kazi safi Sana hongereni next plz 🎉🎉❤

  • @musicschool_tz7014
    @musicschool_tz7014 8 днів тому +1

    Oro in oro kazi nzuri sana kiukweli. Sandra kuna idea naomba nikupe story utaweza kuicheza vizuri.@sandra

  • @jumaboy4918
    @jumaboy4918 18 днів тому +3

    Kipara big up😊

  • @RichardMasogola
    @RichardMasogola 19 днів тому +3

    Mwamb Hill ni dude jaribu kuficha matukio

  • @AmaniNangerembe
    @AmaniNangerembe 19 днів тому +2

    Good nice one job mr wanaman🎉🎉

  • @barakathdthekinda3722
    @barakathdthekinda3722 19 днів тому +3

    Kipara kazi nzuri sana na tunaifatilia kwa kina ila kuna sehemu zinakuwa Ima director au Script inakosewa mm binafsi sijaona sababu ya Abby kuwa mkali kwa mke wake kiasi hicho kisa anamuwazia dada anaejifanya kuwa ni chizi content inakujaje wana ishu gani na yule mdada mpaka imefikia mahala mpaka kumuwazia kiasi ambacho akose maelewano na mke wake? Maana kwa kawaida hauwezi kumuwazia mtu ambae hauna ishu nae kiasi kwamba ukakosa maelewano na mke wako so kuna sehemu za kurekebisha maana wanaotizama ni wengi na sio kila anaetizama anaangalia tu! Hapana mwingine anaangalia vitu vingi sana kuanzia shorts,movement ya msanii Script,director,reaction ya artist na vingine kibao ni hayo tu! Kwa uelewa wangu mdogo shukran sana

  • @Dianaf774
    @Dianaf774 17 днів тому +1

    Kipara Niue na hicho kizungu tu 😂😂😂ila mnaweza team kipara hii kali❤❤😊

  • @NesthKey
    @NesthKey 19 днів тому +3

    Have a good everyday😂

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 19 днів тому +2

    Tuongezee muda kipara wana man

  • @user-kx1pe7uk7x
    @user-kx1pe7uk7x 19 днів тому +2

    Physics ishageuzwa na kipara ikawa syphics😂😂😂kizungu yako nomaa

  • @AsumaniSikitu
    @AsumaniSikitu 18 днів тому +2

    Nakubali sana kipala❤❤❤

  • @VictoriaMaunda
    @VictoriaMaunda 19 днів тому +3

    Nakukubari kipara

  • @user-zx3ji7ux4k
    @user-zx3ji7ux4k 18 днів тому +2

    Bib una d2 ila ujui mjukuu wako ni nani😂😂😂

  • @Innocentfilm
    @Innocentfilm 19 днів тому +3

    Kweli ni bomba. Nipe lik zenu na subscribed

  • @ladyjoomahegga9407
    @ladyjoomahegga9407 19 днів тому +2

    Kipara kwenye hii umeniboa huna umbea umbea

  • @772moana
    @772moana 19 днів тому +2

    Bwana diwani umepigaje apo😂😂😂

  • @ramabig9907
    @ramabig9907 7 днів тому +1

    Sadra bonge la muhigizaji endelea ivyo ivyo