Kafungua tawi shamsul-maari Tanga Duga yafahamika sana sana alipata taabu mno kulikuw kichaka sasa huwez jua yeye na wanafunzi wake ndio walpfanya kaz ya kusafisha na kujemga chuo masha Allah huwez kupajua kuw kulikuw msituni walah ameacha alam mno amegawa dini na kile alichojaaliw Allah amrehem sana sana
Salaam zangu mingi from Albuquerque USA mimi nilisomea tamta from 1999 to 2002 ingawa sikuhitimu kwa sababu za kutafuta maisha life was very hard in my home Nairobi but Inshaallah nikirudi nyumbani will make sure nitarudi kusoma shamsiya tamta tanga I miss ustadh kigoda the other one alikua anaitwa ustadh mwakalua I pray to Allah anirudishe Kenya poa nirudi tamta kusoma hata miezi tatu
I remember sheikh Mohammed bin ayub while in Kenya my friend took me to Tanzania tanga where we met the sheikh he was a humble and educated man now working in Massachusetts American still have a book of dua which he gave us back 1994 may his soul rest in peace
Allah akupunguzie adhabu ya qaburi Shaikh wetu ulitoa elimu kwa watu wengi mm ustadhi wang ulimfundiaha ww na yeye pia katangulia mbele ya haki ila nyote nawaombea dua Allah warehem san sana mlichotuachia tunakifanyia kaz zaid na kina faida kwetu mno Allah awape nuru ya jannat-firdous iwe makaz yenu amona yarabi
Ilaahi warehem mashekh zetu mrehem shekh Muhammad bin ayoub na shekh suleimani bin mbwana na shekh Muhammad bin aboubakar na mashekh wengine wengi allahum maghfir lahum
Mimi nilisoma kwa shkh Mohammed bin Ayoub. Alimua na umri mkubwa lakini sija wahi kuona shkh mfano wake. Allaah amrehemu shekhe wetu. Atunufaishe kwa elemu yake.
Ishallah sauti yangu idumu mpaka mwisho wadunia hii kwakumtaja shekhe wangu Kama Sasa hivi mnaisikiliza mpaka UA-cam nazidi kufurahi maana haikua kazi rahisi kuiricod
Sheikh Muhammed Ayubu, Mwenyezi Mungu amrehemu, amuepushe na moto wa jahanam, amlipe maradufu kwa kazi yake, na azidi kuipamba kazi yake hadi siku ya kiyama.
Qaswida imeniliza jmn bikikumbuka kipindi twaenda maulidin mwaka 2000 na Leo hii hayupo tena walah Allah amuepushe na moto wa jahanam sheikh Mohammed bin Ayoub yaniliza kweli Qaswida hii
Huyu babu amekufa mwili ila ipo hai maana aliyoyafanya ni makubwa sana shekh muhammad id wa channel ten jeuri na ilmu yake kaitoa hapa shekhe kilemile pia na wengineo wengisana
imenikumbusha mbali sana wakati twatoka daresalam chuo cha salafia kwenda tanga tamta kwenye ziara ndo ilikua qaswida yetu ya kusafiria Allah amrehemu shekh bin ayube na mashekhe wengine walio tutangulia mbele ya haki inshaallah.
Masha Allah natokea Nairobi Kenya nakumbuka in 1999 nilisoma tamta kwa miaka mitano ingawa sikumpata sheikh ayub sikuhizo was runed by sheikh Mohammed bakar but was the good moments I had in my life
Masha Allah natokea Nairobi Kenya nakumbuka in 1999 nilisoma tamta kwa miaka mitano ingawa sikumpata sheikh ayub sikuhizo was runed by sheikh Mohammed bakar but was the good moments I had in my life
Tuwapende Mashkhe zetu tuwatakie Rehema na kuwaombea Dua kwani hakika Elimu zao walizo wapatia wazee wetu na ndugu zetu bado zinaishi niwajibu Sana kujua history zao , Allah akulaze mahali pema peponi Shekh wetu🙏
Allahuma aamiyn,Allah akurehemu na akusamehe makosa yako na akulaze mahala pema peponi aamiyn..Tutaendeleya kukukumbuka daima dumuni..
Sheikh wetu muasisi wa shamsiya nzimaa allahumma takabbal dua,Ana bibarakaatih inshaallah
Kafungua tawi shamsul-maari Tanga Duga yafahamika sana sana alipata taabu mno kulikuw kichaka sasa huwez jua yeye na wanafunzi wake ndio walpfanya kaz ya kusafisha na kujemga chuo masha Allah huwez kupajua kuw kulikuw msituni walah ameacha alam mno amegawa dini na kile alichojaaliw Allah amrehem sana sana
mwenyezi mungu awtangulie mashekhe wetu wameacha alama
Allah akurehemu shekhe wetu mwema
اللهم اغفر له وارحمه واسكنه فسيح جناتك مع النبيين والصديقين والشهداء والصالحين وحسن أولئك رفيقا
Walah sheikh Mohammed Bin Ayoub alifanya kazi kubwa mno kuisambaza dini ya kiislam Allah amrehem huko alipo
Ameen
Salaam zangu mingi from Albuquerque USA mimi nilisomea tamta from 1999 to 2002 ingawa sikuhitimu kwa sababu za kutafuta maisha life was very hard in my home Nairobi but Inshaallah nikirudi nyumbani will make sure nitarudi kusoma shamsiya tamta tanga I miss ustadh kigoda the other one alikua anaitwa ustadh mwakalua I pray to Allah anirudishe Kenya poa nirudi tamta kusoma hata miezi tatu
In shaa allah
Krb tupo huku tunakukaribisha no yangu 0738641659
Allah akamilishe Nia yako
allah akuwafikishe kaka
@@TheSalimMash ameeen brother
I remember sheikh Mohammed bin ayub while in Kenya my friend took me to Tanzania tanga where we met the sheikh he was a humble and educated man now working in Massachusetts American still have a book of dua which he gave us back 1994 may his soul rest in peace
Amin rabil’alamin
Indeed he was, may his soul rest in peace 🙏, he was my Sheikh when I was a little boy. Nashville TN
subhaanallah nuru yake imefika pembe zote za dunia
Mashalllah mwenyezimungua amuweke mahala pema peponi shekhe wetu kwa wema aioufanya nisingeijua Alifu ni kwa karama zake
Amin
Mung akupe pepo yeny bustan zipitapo ndan yake mito ya maziwa amin
Allah akupunguzie adhabu ya qaburi Shaikh wetu ulitoa elimu kwa watu wengi mm ustadhi wang ulimfundiaha ww na yeye pia katangulia mbele ya haki ila nyote nawaombea dua Allah warehem san sana mlichotuachia tunakifanyia kaz zaid na kina faida kwetu mno Allah awape nuru ya jannat-firdous iwe makaz yenu amona yarabi
Hii qaswda wallah imeniliza allah awarehemu mashkh zetu wote
Mashanllah
Allahumma aaamiin
Amin rabil’alamin
مرت الأيام ولن تعود أبدا... رحم الله شيخنا الجليل منبع العلماء الأجلاء
Amin
حقا والاهم هو الدعاء اليه والموتى المسلمين.
Ilaahi warehem mashekh zetu mrehem shekh Muhammad bin ayoub na shekh suleimani bin mbwana na shekh Muhammad bin aboubakar na mashekh wengine wengi allahum maghfir lahum
Allahumma amin
Ameen yarabbal aalameen
Allahumaa amiiin
Allahumma aamiin
Aamin
Mimi nilisoma kwa shkh Mohammed bin Ayoub. Alimua na umri mkubwa lakini sija wahi kuona shkh mfano wake. Allaah amrehemu shekhe wetu. Atunufaishe kwa elemu yake.
Aamin rabal aallamin
Allahumma ghirllahu warhamahu waskinahu filjjannah
shekh wetu m mungu amrahamu na hongera sana muharram
رحمه الله. شيخنا
Ishallah sauti yangu idumu mpaka mwisho wadunia hii kwakumtaja shekhe wangu Kama Sasa hivi mnaisikiliza mpaka UA-cam nazidi kufurahi maana haikua kazi rahisi kuiricod
amin
masha ALLAH umeipangilia vyema hiyi kaswida Sheikh.
Hongera sana
Maashallah
Mii sijui sauti ila nahisi umepita na ajemi
Elimu iliyoko east Africa nyingi ilitoka kwa almarhuum shkh Muhammad ayoub allah amrehemu alifanyakazi kubwa san
Amin
Upo sahihi kabisa amefanya kazi kubwa huyo babu sheikh Muhammad
Sheikh Muhammed Ayubu, Mwenyezi Mungu amrehemu, amuepushe na moto wa jahanam, amlipe maradufu kwa kazi yake, na azidi kuipamba kazi yake hadi siku ya kiyama.
Aamin rabal aallamin
Allah amlipe firdaus
Allah amrehem sheikhe wetu ampe nuru katika kaburi lake kwakazi kubwa aloifanya
Ameen Allah atusamehe madhambi yake ampe Fridausi
Mashaallah 🙏 shamsiya itasongs mbele
Maashallah mung ukupe thawabu shekhe wang
Allahumma aaamiin
Allah amjalie shekh ibn ayoub
رحمه الله شيخنا
Amin
Umriwangu ni mdogosana na sikuwahi kumuona huyu sheykh lkn kwa qaswda hii nahisi kama namuona
Yan acha me huo Kila leo lazima nisikie Kama nikiwah kumuona vile
Sheikh ayyub simfahamu ila kw sifa anazosemwa nazo Allah aijaalie noor kabur yake
allahumma amin
Qaswida imeniliza jmn bikikumbuka kipindi twaenda maulidin mwaka 2000 na Leo hii hayupo tena walah Allah amuepushe na moto wa jahanam sheikh Mohammed bin Ayoub yaniliza kweli Qaswida hii
amin
@@karamashariffal-baar9424 karam Sharif bibi ami yake Lutfiya Tanga kwema huko
Kwema tu sijui wewe tu
Huku al hamdulillah
الحَمْدُ ِلله
Huyu babu amekufa mwili ila ipo hai maana aliyoyafanya ni makubwa sana shekh muhammad id wa channel ten jeuri na ilmu yake kaitoa hapa shekhe kilemile pia na wengineo wengisana
رحمة الله عليه
Maashallah wetu
رحمه الله شيخنا الحبيب
Amin
Mwenyezimungu amlipe khery na ampunguzie adhabu za kaburi elim yake kila pande ya dunia ipo
Nawezaje kupata no yako?
M'mungu Amzidishie kheir
imenikumbusha mbali sana wakati twatoka daresalam chuo cha salafia kwenda tanga tamta kwenye ziara ndo ilikua qaswida yetu ya kusafiria Allah amrehemu shekh bin ayube na mashekhe wengine walio tutangulia mbele ya haki inshaallah.
Amekufa huyu shehe
Aamin
Mpaka Oman tupo wanafunzi wake
Shekh_wa_baba_yangu_Shekh_simba_Arusha_najivunia_nimepata_ilimu_kupitia_baba_kutoka_kwako
mashaallah
Pepo_niyako_biidhinnllah
Nakumbuka shamsia tamta jaman haiiiiiiiiiiiii zai Micky me
Daaah acha thu ,,Umesoma Tawi lipi la Tamta?
Masha Allah natokea Nairobi Kenya nakumbuka in 1999 nilisoma tamta kwa miaka mitano ingawa sikumpata sheikh ayub sikuhizo was runed by sheikh Mohammed bakar but was the good moments I had in my life
Masha Allah natokea Nairobi Kenya nakumbuka in 1999 nilisoma tamta kwa miaka mitano ingawa sikumpata sheikh ayub sikuhizo was runed by sheikh Mohammed bakar but was the good moments I had in my life
k
Uislamu ndiyo dini ya haki inayostahili iliyo kamilika kufuatwa ulimwenguni kote ya zama na zama.
naam
AMIIIN YAARABB
Allah amrehem
Allahuma amiiii
Sheikh Muhammad ayoob
Sheikh Suleiman mbwana
Sheikh Muhammad bakar
Sheikh rashidy bakar
Na masheikh woote waliotangulia Allah awarehemu
Amin
Mungu amtangulie mzee wetu
Aamin
الهم غفر له ورحمه وسکنه فالجنة
Ameen yarabi
Sheikh ana mengi yakusifiwa nayo
Sanaaaaaq
Bro naomba namba yako nna issue ya muhimu
Imeniliza wallahy,,,Tuwapende wanachuoni wetu 😅😅😅😅😅
dulla Tawakal mashallah inapendeza inshaallah
Sheikh amefariki liniii....?
1998
Taasisi ya tamta ilikua ni ya mjumuiko wa mashekhe watamga wote je ikawaje ikawa yake peke yake
Una ushahidi wa unachokiuliza ?
yaliyopita yamepita.tushikamane katika kamba ya mwenyezimungu na wala tusifarikiane
Allah akuepushe na moto wa jahanam sheikh Mohammed bin Ayoub
Amin
😆😆
Mungu amrehemu
Tuwapende Mashkhe zetu tuwatakie Rehema na kuwaombea Dua kwani hakika Elimu zao walizo wapatia wazee wetu na ndugu zetu bado zinaishi niwajibu Sana kujua history zao , Allah akulaze mahali pema peponi Shekh wetu🙏
Wallahy hakika sheikh Mohammed ayoub Amefanya kazi kubwa katika kusambaza ilmu kwa watu,,allah ampe Kheri zisizokwisha katika kaburi lake ameen
MOKI ONLINE amiin
اللهم انفعنا بعلومه ونفحاته واسراره وبراكاته في الدرين امين