EXCLUSIVE: MAISHA YA HAJI MANARA, KUZALIWA AMSTERDAM, WAKE WATATU, MSHAHARA MPYA, KUGOMBEA 2025 N.K
Вставка
- Опубліковано 14 жов 2024
- Ulikua unafahamu kwamba Msemaji mpya wa Yanga Haji Manara hakuzaliwa Tanzania bali Uholanzi? nini kilisababisha akazaliwa huko? maisha baada ya hapo? Wake watatu? alivyoanza kazi ya Utangazaji na kusoma South Africa na China? mshahara mpya Yanga? anasemaje kuhusu kauli yake ya kitambo kwamba hawezi kuhamia Yanga hata iweje? unafahamu kuhusu mpango wake wa kugombea Uongozi mwaka 2025? hiyo ni sehemu ya maelezo machache sana kati ya mambo mengi aliyoyaongea kwenye hii EXCLUSIVE..
"Ushabiki Unahama"...@Haji Manara🙌🏻...Jamaa Anafalsafa Nzuri Sanaa Appreciate✊
Mashaaalah,Mashaaalah, the best Interview, nimefurah sana , Haji Ni zawadi ya wa Tanzania toka kwa Mungu , Haji ni mkubwa sana mwenye kipawa kikubwa sana , Mungu akujaalie kheri zote ktk maisha yako kk Haji Manara. Allah akupe umri mrefu na uzima na hekma, Allah kuongoze vyema ktk kila hatua akuepushe na shari zote na mitihani. Kila jambo lako utakalopanga liende kama ulivyokusudia , Puuzia sana maneno ya watu wabaya ,songa mbele unaweza sana ndiomaana unapigwa vita nyingi usjali be strong .AAMIN AAMIN KHERI INSHAALAH.
Saaaaaafi sana Haji Manara. Leo nimejua jambo la muhimu sana ambalo sikulijua mwanzoni. Sikujua kama baba yako ni Sande Manara mchezaji wa kabumbu! Asante sana. Watanzania tunakupenda sana.
Haji Manara ni smart 😎 salaam toka canada 🇨🇦
Haji manara yupo mmoja tu ,🙌🙌🔥🔥🔥🔥
Kumbe hatar sana ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Mimi ni mpenzi wa Simba lakini nimeopenda sana interview hii namba has a historia yake Haji Manara.
Wenye Akili tunajua Haji ni Precious Treasure,Hii ni best interview.Kuna zuzu Moja lilitaka kuchallenge uwezo wa Haji.Wazee wake waliwekeza,We wa kwa Mama Kimbo Buza unajifanya Ujuaajiii.
Yanga mmeopoa dume aisee ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Akina mwijaku Hao
nimecheka sana jamani nimejifunza mengi mashaallah, na mimi INSHAALLAH nitamuita mwanangu MILLARD JAPO bado sijaolewa lkn my future huby jua hili mapema hahahhah hongereni sana nimependa I WATCH THIS THREE TIMES
Bonge moja ya interview manara yuko vizuri tuache maswala ya ushabiki hadi kwenye maisha ya kawaida haji nae anamaisha nje ya mpira maana mtu ukimwona haji tu unawaza simba na Yanga
Gud ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Huyu mtu nampenda sana... Haji ni dume kamilifu....
Piga like kama unampenda semaji la dunia 👍👍
Hatar jaman ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Natamani mungu anipe mme mwenye busara Kama Haji manara,,nakpenda sana,ur very bright❤️❤️❤️
Mă a
Juliana Kamese Aminaa utapata mpenzi, Kikubwa maombi.
nipo apa
@@nulaniisa9425 umpakie mkongo sio
Nilikua naisubiri kwa hamu hii interview ahsante Millard Ayo
Safi sana @hajismanara. Toka uwe mwananchi unaongea kwa busara sana
Ila haji bwana una maono makubwa aman of abig dream u inspire so many young generation congratulation bigup
nampenda sana haji manara🤩
Ayo Millard Ayo hongera sana broo big up unafanya kazi kubwa na yenye uboraa ubarikiwe ktk maishaa yako pia manara hongeraa uko vyema unaweza kufanya kitu chochote kwa uimara wako mashallah
Hongera Haji Manara na Millard Ayo pia 😎God bless us all
00
⁰14131³
Haji Manara nakupenda sana resembling with my brother , the way you are, navyosema umefanana nae namaanisha mpk rang. He is an alibi no like you
Namkubali sana haji manara. Big up bro 💪💪💪🇹🇿🇹🇿🇹🇿.
Semaji la DUNIA ndani ya millard ayo Tv
Hatar ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Kizazi sana
Jambo bora sana.
Mtangazaji bora
Imefahana sana kwenye kipindi
Hajii manala ni haruatani mzee
Ubinadamu uko poA
Ayoooooo
Nakwambia Tena mtu Achekwi kirema Anachekwa uchafu sawasawa
Nampenda sana HAJI lakini yanga siipendi kabisa
Hongera yako Al hajj hajji manara
Keep it up Haji haya ni maisha mi binafsi nimekuelewa vzur
Maswali na majibu ya ufasaha nice interview 👍👌 manara ana akili kubwa sana mungu akutimizie ndoto zako inshallah ❤ you all kwaajili ya Allah
Great Interview! This is Haji a lot of people know nothing about him.
Mnknnbbgjbbbg
Baba yako ameshangaa sana. Kusema umezaliwa Ulaya. Muongo umezaliwa kariakoo
Mashallah bro
Msemaji wa viwango vya juuu haji mtoto wa mzee manala
Heheheee ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
@@simbafuns785kviews hkkk
Aisee
Nakuelewa Shekhe Manara
Inshallah Shekheeee
Asante sana
Karibu sana Yanga tunakupenda huyo ndo Mungu
Uwezi kuzungumzia soka la bongo lazima umtaje haji manara anamchago mkubwa sana katika tasinia ya soka . Bugatti
Nimesoma na mama yako Rehema Zanaki Secondary form 3 Com III Mimi patsy mage Hudson robina princilla mauga Farida, mackeja janet mna ndio Wakati WA uja uzito wako. Alikua mchekeshaji Sana Rehema kuna comment aliitoa darasani sitakaa niisahau kuhusu uja uzito WA huyu Haji Ayo niunganishe na Rehema pse
Asalaam aleikum warhatullah wa barakatuh Haji manara mimi naitwa Abdul Simba naishi Amsterdam Netherlands mwaka 43 ukitaka kupata uraiya wa Hollands kwako niraisi sana juu umezaliwa hapa unahaki zote
Bonge la interview! Quality 💯 Shout out to Millard Ayo
💯%🤝
Mmmmh! Sikuwahi waza kama Haji uko
Smart kiasi hiki! We ni hazina na ni mkweli daima. Mungu akupe maisha marefu.
Maashaallah ❤
Naam semaji letu inshallah mwenyezi Mungu atazidi kukuwa na wewe
Millard Ayo ni icon wangu kwenye interviews 🙌🏾
Div 1 ya Point 7,, big up sn Haji
Manara ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Hapo tumedanganywa
@@musamgulila577 Hajji alipata point 7, watu wa Dar na tuliomaliza muda ule tuna kumbukumbu nzur kwa hilo
@@kassimabdu5677 hahaha danganya wajinga ...hii sio interview ya kwanza ya haji ...
@@musamgulila577 mie simjui Hajji kwenye interview, nimezaliwa Kkoo, nimesoma Azania, namjua Hajji kama kijana mwenzangu tuliyekulia kkoo, najua na nakumbuka mzee wake alivyokua na furaha na raha siku ile ya matokeo ya mtoto wake... halaf mbona kuthibitisha hilo la matokeo yake ni rahisi sana? Au hujui nikuelekeze namna ya kufanya ili ujiridhishe?
Kwa tanzania hapa hakuna msemaji wa mpira kama Haji manara.Ninakubari sana.
Nmependa maneno yakuhitimisha asee.
Nakukubali sana Manara
Ndoto yangu kwel imetimia nilikuwa natamani haji manara kuja yanga leo imetimia
Jamaa hatar ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Haji ametulia sana ktk hyo inter view
Interview bakubwa! Penda sana Haji Manara❤❤❤👍
Vizur sana haji
Huyu kweli ni msukule amefanana kuanzia rangi ni ya usukule akili ni usukule ni msukule kweli
ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Ulipo tupo gonga like zangu
Amina ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Upo na nani?
Semaji kuu la nchi 🇹🇿
Mambo safii sana
Kweli mungu akupi kilema akakukosesha mwendo
Hii sauti niliimis sana da! Millard uko na kipaj brother
#settingIsAwesome
Millard Ayo uki-host Interview hata ikiwa na masaa 10 kuajilia njiani Ni ngumu sana😄,Hongera sana unapangilia sana maswali nk. Kiasi kwamba interview ya lisaa inakuwa Ni kama dk 5😄...Well Done! Big Up sana Brother.
Shukrani sana Chipuga
❤🌺@@millardayoTZA
Bado naendelea na DOZI ya Dawa nameza kutwa mara tatu Kila siku ili KUMSAMEHE NA KUMkubali Manara kuwa Yanga ipo siku nitapona.
Na Mimi pia
Haji staaaa sanaaa
Interview To watch Iko Sawa Sana Bwa Wawili Wazuru
Haji wetu
Pamojasana
Duuuuuuh aiseeeee unatisha hajj div1 ya point 7
Interview nyingine kasema amezaliwa Daressalaam hospitali ya Dr Khan
Manara ni brand kubwa hela unayo huwezi kosa milion moja kwenda kusafisha meno jamani wakina GIGY wakupe siri.
Nadhn kapenda yawe hivyo,kwa baadhi ya watu wanapenda meno ya namna hiyoo
Sasa mbona we mchokozi hivi !!!
tatizo huna ndugu mwenye ulemavu wa albino ukajua maumbile yao..ni tatizo kubwa kumuona mtu anatoa madhaifu ya maumbile
@@drimazonechoice9822 wachana na huyu dada ..hana habari...ni maumbile ya albino sio kutopiga mswaki....
Mbona wewe unananuka
Kumbe Manara aka akili sana kuliko Mwijaku mropokaji mwijaku anasema manara hana Elimu kumbe ipo elimu
Profile ya Mwijaku haiwezi kuifikia huyu jamaa.Ndio utajua Kuna watu warokopaji.
Bugatiiiiii ✊✊✊✊
Haji anazidi kuwa kijana ...kweli pesa hatari. Bora umekimbia njaa kule
Tuishi kwa Upendo, it is all matters my pipos
I appliciate your work
Appreciate
@d😊elmasmas1347
The best interview i ever come across
Ongera Sana Haji Manara Nilipenda Sana uchezaji wa baba yako alikuwa anaitwa Computer wakati anachezea Yanga
Afadhali dogo kasema mwenyewe jinsi alivyokuwa cha utundu pale alipokuja Bunge p/school,Lakini mcheshi pia.
sawa rais ujae nakubali harakati mwaisa
Jamaa amenifanya niipende yanga African namkubali sana semaji la dunia
Manara Safi Sana
Interview tamu Sana hii lkn mb za kuunga nitamalizia nilipo ishia inshaallah nimeishia dakika ya 18 👊👍💪
😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣
Mr hamisi usiwe mbahiri wa mb
Fanya setting kwenye account yako video zisile mb kwa kasi.
Wowww hongera sana
Jamaa anajua
Aloooh mpaka nimeimaliza yote mmetisha watoto wa mwezi mmoja sema yanga oyee✊ haya mikia🐒 wakate kaclip aliko alikosema bhakresar ajanijua nikiwa msemaji wa simba maana wanataman akosee lakn lijamaa alikosei lipo makini kinouma daah bugati hatari😂😂
Millard eti ulizaliwa uholanzi wew jamaa ni moto
😹😹😹😹
😂😂😂😂ety miaka ya sabini acha uwongo ww walozaliwa sabini wapo lkn ww unatuongopea
Jembe!
Kabisaaaa!!
💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛💛
Achana nao hao manara fanya kazi ulishe familia yako
Kaz iendeleee ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Semaji la Dunia
Huo Utundu NI WA kama yakeeee darasani ilikua hivyo hivyo
Duuh safi sana
Kwel ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Ndy maana ana mawazo mapana kumbe kazaliwa ng'ambo.
Good
Ongereni
Mbingu na ardhi😂😂😂😂😂
Nimefurahi sana kusikia historia ya haji manara ,kutoka kwenye kinywa chake mwenyewe.
Hao wanaliokuwa wanambeza HS Manara sasa wajue.
Yule ni mtoto wa kishua.Kusoma international school of Tanganyika si mchezo
Kwel ua-cam.com/video/hPfGDMQuh3M/v-deo.html
Aisee kweli, Tanganyika sio mchezo, ndo shule ya kwanza Tz kwa ghali Zaid ada
Wanajutaaaaaa
Sijaelewa,umetoka Tanganyika international ( English medium) ,ukahamia bunge ( Swahili medium) Kisha mzumbe......,..?????
Msemaji msomi
Hata nzi na paka wanazaliwa ulaya usitushughulishe wacha tuhangaike na tozo
Pamoja umetoka simba nakukubali sana
Nimependa kusikia ulisoma Mzumbe kwa watoto wenye vipaji maalum(Akili nzuri!)
Haji umefanya maamuzi mazuri sana kukubali kazi yanga,ungechoka simba wangeongea sana
Haji ni bugati kweli..hahaa.Kuna watu wanadharau hawa watu wenye rangi tofauti ila haji ana wanyoosha kisawa sawa.
Huyo jamaa anaezunguka zunguka anaharibu interview improve that millard
Ushaondoka nyumbani kwenu
Umeaathirika nini sasa? Huyo fundi mitambo.