AIBU YANGU |4| FINAL | Love story❤️😘
Вставка
- Опубліковано 3 лип 2024
- AIBU YANGU |4| Love story❤️😘
Ni filamu inayoelezea maisha ya mwanadada Hidaya ambaye anakata kuolewa na mpenzi wake wa muda mrefu Adam, kitu kinachopelekea shoga yake Zai kuona mwanya huo na kuutumia kumnasa shemeji yake kimapenzi
Fuatilia kisa hiki kizuri na usiache ku subscribe, ni filamu yenye mafunzo mazuri sana.
#film #bongomovie #2024movies #swahilimovies #aibuyangu4 - Фільми й анімація
Mimi kitu Cha kwanza na like 👍 chapili na weka comment yangu,ili tumusapoti Adam❤
Shukrani sana
Very good
@@AdamLeoStudioskazi nzuri sana kaka nimeipenda bure acha huyo hidaya akale ugali wa sello mshenji huyo
Wow nimewahi leo jaman naomba like zenu jaman
Kuomba like tu ku subscribe aanh
Leo wa mwisho ila nashukuru Mungu sijui nmefika
Team Adam hoyeee ❤❤
Thanks
Nipeni like jamani na mm do oo oh🥰🥰🥰
Nomaa
Jaman siendelee 😂😂❤
Inakuja mpya
Wakwanza Leo naomba like zangu ❤❤❤🎉🎉
Shukrani
Nawapenda Sana Team Adam Leo ❤❤❤❤ From Burund 🇧🇮🇧🇮❤❤❤🎉🎉🎉
🙏🙏🙏🫶
Whauuuu 🎉🎉🎉 Adam barikiwa sna wewe nawe idaya malipo ni hapahapa
Kabisaa
Ata mm naomba like alafu naeka comments kwa Adam umeweza sana bro saluti
Shukrani
Ila Hidaya bwana ww hatari sana sijawahi ona ❤❤❤❤❤❤
Nomaa!!
Big up team Adam 🎉🎉...nice Work. We are glad umerecover. Alhamdulillah ... ila punguza makande kaka😅.. daktari amesema 👍
🤣🤣🤣asante
Waaaoooh nimewahi na Mimi naomba like🎉🎉🎉🎉🎉
Thanks
Nimewahi leo wa 12 naomben like nyingi kwa adam 🎉🎉🎉
Asante
😂😂😂duuh kumbe na mm sijachelewa saaana 😂😂
Safi adam kazi nzuri nakukubali mnoo
Shukrani
Adam hongera kwa kazi ila naomba ubadilishe chakula upe mle hata ndizi si makande kila siku jamani😂😂😂
Jamanii
😂😂😂
Kwenye upande wa chakula naomba mchango wako 😂😂😂
@@user-dm7mp2uq6u nitatowa kwakweli makande mda wote hapanaa
😂😂😂
Safi Adamu kwa Kazi nzuri tutazidi kukusapoti.
Asante
😢😢😢jamani mm kila siku wa mwisho ila Asante Adam ubarikiwe❤❤❤
Enjoy
Adam na team yako napeda kazi yenu nzuri from Kenya 🎉🎉🎉🎉
Thanks
Pogezi zimwedee Adam .wewe ni MTU mwema sana sijui ata niseme nini yaani ogera nimekupenda sana kwa kuwa mwelewa
Shukrani
@@AdamLeoStudios 🙏🙏🙏
Adam this actress Hidaya..bro she makes a good taste on your stories 🎉🎉
Thanks
Tukupe mauwa yako kaka Adam wetuu umetuheshimisha 🎉🎉🎉
Asantee
Hongera sana Kaká Adam Léo twasubuli sana nyengine
Enjoy
Tunaomba mwendelezo adam
Hidaya kiboko ya Adam,amejua kucheza na akili zenu😂❤
Nomaa
bonjour me chères amies je suis numéro 1😮
Asantee
Karibu❤
KAZ nzuri mafunzo mazuri mwisho WA ubaya ajibu hidaya Kula chuma icho 😊😅
Naam
movie imechachuka hatarii Adam tunakupend na kazi zko nzurii❤
Shukrani
E.tumewachoka.na.laik.eeee
Woooow ❤❤❤❤❤🎉namuomba Allah anijalie mume mwenye hekima na upendo na kujali kama Adam 😢❤ameen
Ameen
Wapo ila awana pesa hapo vp utabaki au tukuache uende 😂😂😂
Aah Adam umezingua...uyo Dem alikua analeta madharau naye ungepiga chini sio kurudiana nae
Daah kumbe
Honger bro kwa jutufundish kuwa wajasili katk maish
Naam
Nimependa sana kabisa. Muongeze tena volume. Niko Congo RDC
Ok
Napenda km ivo episode isiwe refuu kiiivo😂😂
Naam
Adam naipenda iyo nyimbo
Shukrani sana
Uko vizuri sana Adam❤❤
Asante
Ila idaya w noma😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🎉🎉🎉🎉🎉
Noma sana
Adam.na.zai.nawapenda.sana.❤❤
Asante sana
Waaaah umenifnya nimelia adam congrats ila hidaya nmchukia walah
Polee
@@AdamLeoStudios Asante tunangoja mpya sasa mna tumeanza kuboeka
Honger Sanaa kaka adam kazinzuri sanaaa🎉🎉🎉❤❤❤❤
Asante
Wow jaman kazi nzuri sanaaa na movie imeishia vzr ❤❤❤❤❤❤
Shukrani
Tunakushuru kaka adam kwa kutuwahishia leo ubarikiwe
Amen
@@AdamLeoStudios dah kaka hii nikali sana lakini vipi nyingine lini kaka angu sisi tunaitaji kukusapoti tu hakuna kingine asee maana unatisha kaka mkubwa
Adamu yule zai mazuri ako wapi coz huyu hadi aeleweki
Yupo
Nakukubali sana mwangu adamo leo mimi niko mozambique na mimi ni mozambican sema nakubali sana movie zako sema unganisha wanao tupate kuinjoy visul na amanda yoko ver smart
Shukrani
mafunzo mengi muhimu katika maisha ya leo...hongerani nyoteee...Adam pamoja na wote
Shukrani
Wa pili jamoni naombeni like zenu😢
Asante
Ila hidaya jamani mmh mbaya kweli na inaonekana hata kwenye maisha yake atakua hivi ndio maana Adam kamweka kwenye hiyo caracta😅
No this is acting she looks a good and humble lady
Kabisa ni binti mzuri
Sijawai kumpenda anisamehe bule
😂😂@@user-pw2sw1sk1b
@@user-pw2sw1sk1bhata hakujui so haimshitui
Ya leo imeisha vizuri sana❤
Asante sana
Jamani Adamu naomba mwendeleshe hii movie 🎉🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤
Inakuja mpya kalii
GOOD JOB ADAM
Thanks
Ila hidaya jaman umeweza 😂😂😂
Jamanii😂😂
Big up sana Adam na vile unajibu kila comment
Asante
Kuomba like tyu kushare na kusubcribe aahh 🎉
Hahaha jamani
Shoga kakufanyia.ubaya bado.unamkaribisha kwako.
Uchiz pacee
Umeonaeh
Siku zote adui ukimuona anakua wema basi Kuna anachokuja kukumaliza
Kabisa
Nawapenda sanaaaa jamanii mko good sanaaa❤❤❤❤❤❤
Asante
kzi nzuri kaka adam big up
Thanks
Hongera sana kaka adamu kwa kazi nzuri ya kutuelimisha ubalikiwe sana
Asante sana
❤❤❤❤🎬
♥️♥️♥️
Iv Adam hyoo huwa ni bia kwelii au mmaaaaaaa😂😂😂
Mmaaa🤣🤣
Nko hapa nmeingia❤❤❤
♥️♥️♥️
Hidaya mbone wamfanyia zai hivi
Shukrani
Ningekuwa nizai ningeambiatu Adamukilikilicho tokea akiamua kunisamehe nisawa akikataaa nisawa lakini siwezi taka ati sikutaka nawakati na penda weeeeeeee
Kweli jamani
Hidaya anajua jamani ❤❤❤🌷🌹
Haya
Kaka big up kaz nzuri
Asante
Huyu hidaya ni shetani akk
Jamani
@@AdamLeoStudiossimpendi ata kanikwazaa😢
Sikia hidaya nikuambie kitu ukirudia ujinga wako utakufa we mbwa kabisa ingekuwa mm adam ningekuchinjaa by Edward mweru mhaa from kigoma
Asante
@@AdamLeoStudios Napenda sana unavoigiza yan sema kama mm ningemchinja
Jamani hii ya mwisho mungeieka ndefu kiasi❤❤❤❤
Inakuja mpya
ILove you Adam and your team nice move❤❤❤
Thanks
Waoooooo nawapenda sna ❤️❤️🇧🇮
Shukrani
Vitu nimejifunza kwa hii series ni DON'T FORCE ISSUES.
Sure😅
Kazi nzuri sanaa
Asante sana
Kazi nzuri kaka keep it up💯💯
Shukrani
Hongereni sana nawapenda nyote ❤❤🎉🎉
Asante
Tunawapenda sana team Adam
Shukrani
Vizuri sana adam
Shukrani
Adam bigap kaka umetisha
Thanks
Kazi nzuri sana hongera kwa timu nzima 🔥🇹🇿
Asantee
Mapenzi yangu kwa Hidaya hayaelezeki. nampenda sana huyu dada
Woww
🔥🔥🔥🔥🎉🎉🎉🎉 pongezi kaka Adam ❤❤❤
Asante
Hiki kiroho changu kikoje c nalia mmi pia😢😢😢😢
Jamanii
Like zangu zije toka Kenya 🇰🇪 ❤
Shukrani
Nice move 💕❤️💞😘🔥🔥🔥
Thanks 🔥
Duuuuh ila Adam kwa makande usiku tena makande😮😮
Naam
😂😂😂😂
Hahaha amazing sema we bro na makande 😂😂😂 unapenda ❤
Mnoo
Nasubiri next ❤❤❤
🙏🙏🙏
Adamu ukilewa hata hupendez😂😂
Jamanii
Adam hi keep it up very nice❤
Thanks
@@AdamLeoStudios ur welcome
Zai naona apa umepata funzo kubwa ongera san mafunzo yenu mazuri
Shukrani
Watu mnaboa yaan mnaomba like tu shusha comment yako kuwasapot 😊😊❤❤
Shukrani
Makofi jwa Adam❤
Asantee
Adam hongera sana kwa hizi filamu zako za aibu yangu 1-4, Kuna mengi ya kujifunza kutokana na Yale tumeyaona. rafiki Yako kweli ndiye adui Yako mkuu. Siri zako nyingi, anazijua...😂😂😂🎉👈
Naam
Isiwe ya mwishooo🙆
Jamanii inakuja mpya
Lini hiyo ingine na msituweke saana la bodaboda
Au na
Enyewe imeishaaa🙆😋
Mupo vizur na kwa kazi nzur sana❤❤❤
Asante sana
My adam❤🎉
♥️♥️
Amanda anajua sana kuigizi
Asantee
Kazi mnzuri sana❤❤❤
Asante sana
Mm nipo kama kawa❤
Shukrani
Nimeipenda sana
Shukrani
Adamu.bigafusana.andre.gutokaburundi.munatuburudisha.kazi.nzema.adam
Shukrani
😂😂Dii bhana tupumzishe na makande
Good job Dii
Asante
Jamani zai adui hachekewi
Umeona eh
Big up Mngoni mwenzangu ufike mbaliiiii
Shukrani